LAMECK LAWI Kwamara Yakwanza Mbele Ya Waandishi Kwa Nini Hajaripoti SIMBA? Msemaji Ajibu Kibabe

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 23

  • @SangaryaMasero-kc3br
    @SangaryaMasero-kc3br Před měsícem +5

    Nyinyi sio watu wazr mnakatalia lawi mnadhan anafurahia Hilo swala

  • @denisosward7464
    @denisosward7464 Před měsícem +3

    Duu pole Sana lawi kwa hili

  • @allyiddakizimana7103
    @allyiddakizimana7103 Před měsícem +1

    ROHO MBAYA.WANAMBANIA DOGO HANA HATA RAHA

  • @shukurumwepea3319
    @shukurumwepea3319 Před měsícem

    Wanamkatalia lawi kuondoka alafu shirikisho caf hamfiki popote

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d Před měsícem +2

    Uyo ataondoka akiwa huru naligi ikianza hatoonyesha makali malengo yake sio kucheza cost😅😅😅 anataka kwenda juu

  • @user-pv2to4cu2m
    @user-pv2to4cu2m Před měsícem +3

    Lawi Hana Amani ya moyo Hadi amenuna kuikosa simba

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o Před měsícem +2

    Mnambania dogo kupata maisha yake

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před měsícem +2

    Daaa!!!...dogo Hana amani....tff ingilieni kati dogo moyo unamsononeka sana...dogo muulize fei toto alishindaje hizo vita kama hiyo

  • @erickprotace9463
    @erickprotace9463 Před měsícem

    Shida ya waandishi wa habari ni kutoelimisha hatua ya kusitisha mkataba kuendelea kwa watu ili watu waelewe vizuri sakata. Bila hivyo watu wataakaa bila kujua mmiliki halisi wa mchezaji. Elimisha njia za kusitisha mkataba au makubaliano Kama zimefatwa au la Kama vilifatwa watu wajue mmiliki

  • @JacobKibiki
    @JacobKibiki Před měsícem +1

    Mnazani anapenda laki kuliko mil

  • @kassimyusuph9470
    @kassimyusuph9470 Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂 Simba nidude kubwa,sana Simba nikubwa kuliko,lawi mnachokifanya mnaweza kukijutia bade kwani,mchezaji,huyo,inawezekana asicheze Simba Wala kosto hadimwisho wamsimu

    • @LeoniaLyimo
      @LeoniaLyimo Před měsícem +1

      Wanatakiwa kuheshimu anachokipenda mchezaji sio kumpangia Kama Simba au nje ya taifa letu sawa ila kumfanya akae benchi ni kosa hamtendei haki.❤❤❤❤❤❤❤

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Před měsícem +1

    Cost bure kabisa ninyi

  • @saidothman4527
    @saidothman4527 Před měsícem +1

    Lawi anapotea kimya kimya kwenye şoka

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před měsícem

    SI MSEME TU HIZO NI FITINA ZA MATOPOLO MACHOGO FC

  • @JacobKibiki
    @JacobKibiki Před měsícem +1

    Mbna kuongea mchezaji TU mnaogopa au Kuna kitu mnajua ataongea nn hata yy czani kama amependa

  • @ganjosuleman9263
    @ganjosuleman9263 Před měsícem

    We nifala😊

  • @tsitingilembombo9995
    @tsitingilembombo9995 Před měsícem +1

    Kwani LAWI yeye anasemaje??

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 Před měsícem +1

    Muacheni aende

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 Před měsícem

    Unazungumza ujinga , Lawi atachelewa kucheza mwaka huu.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem

    uyo anakwenda kupotea

  • @yohanamabula7088
    @yohanamabula7088 Před měsícem

    Ww nimsemaji tu hujui hata kusaini

  • @user-wc6dl8kp9p
    @user-wc6dl8kp9p Před měsícem

    Wajinga nyie kaeni naye .