Shida ya waandishi wa habari ni kutoelimisha hatua ya kusitisha mkataba kuendelea kwa watu ili watu waelewe vizuri sakata. Bila hivyo watu wataakaa bila kujua mmiliki halisi wa mchezaji. Elimisha njia za kusitisha mkataba au makubaliano Kama zimefatwa au la Kama vilifatwa watu wajue mmiliki
Nyinyi sio watu wazr mnakatalia lawi mnadhan anafurahia Hilo swala
Duu pole Sana lawi kwa hili
Uyo ataondoka akiwa huru naligi ikianza hatoonyesha makali malengo yake sio kucheza cost😅😅😅 anataka kwenda juu
Mnambania dogo kupata maisha yake
Lawi Hana Amani ya moyo Hadi amenuna kuikosa simba
ROHO MBAYA.WANAMBANIA DOGO HANA HATA RAHA
Daaa!!!...dogo Hana amani....tff ingilieni kati dogo moyo unamsononeka sana...dogo muulize fei toto alishindaje hizo vita kama hiyo
Mnazani anapenda laki kuliko mil
Shida ya waandishi wa habari ni kutoelimisha hatua ya kusitisha mkataba kuendelea kwa watu ili watu waelewe vizuri sakata. Bila hivyo watu wataakaa bila kujua mmiliki halisi wa mchezaji. Elimisha njia za kusitisha mkataba au makubaliano Kama zimefatwa au la Kama vilifatwa watu wajue mmiliki
Wanamkatalia lawi kuondoka alafu shirikisho caf hamfiki popote
Lawi anapotea kimya kimya kwenye şoka
Cost bure kabisa ninyi
Mbna kuongea mchezaji TU mnaogopa au Kuna kitu mnajua ataongea nn hata yy czani kama amependa
Kwani LAWI yeye anasemaje??
Muacheni aende
We nifala😊
Unazungumza ujinga , Lawi atachelewa kucheza mwaka huu.
😂😂😂😂😂 Simba nidude kubwa,sana Simba nikubwa kuliko,lawi mnachokifanya mnaweza kukijutia bade kwani,mchezaji,huyo,inawezekana asicheze Simba Wala kosto hadimwisho wamsimu
Wanatakiwa kuheshimu anachokipenda mchezaji sio kumpangia Kama Simba au nje ya taifa letu sawa ila kumfanya akae benchi ni kosa hamtendei haki.❤❤❤❤❤❤❤
SI MSEME TU HIZO NI FITINA ZA MATOPOLO MACHOGO FC
uyo anakwenda kupotea
Ww nimsemaji tu hujui hata kusaini
Wajinga nyie kaeni naye .