Video není dostupné.
Omlouváme se.

JOSLIN - Full Interview na Bongo Project

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 08. 2023
  • Msanii wa Bongo Fleva kutoka kundi lililotamba sana zamani la Wakali Kwanza, Joslin Mchala almaarufu Joslin alitutembelea Bongo Project. Karibu katika mazungumzo haya marefu na ya kuburudisha kuhusu safari nzima ya maisha na muzini ya msanii Joslin. Amezungumzia changamoto zake mbalimbali na yote anayofanya kwa sasa.
    #joslin #bongoproject #wakalikwanza #bongofleva
    Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
    --------------------
    WEBSITE
    --------------------
    bongoproject.org
    --------------------
    SOCIAL MEDIA
    --------------------
    Instagram: / bongo_project
    Facebook: / bongo-project-10256641...
    TikTok: / bongoproject
    --------------------
    CONTACT
    --------------------
    Email: info@bongoproject.org

Komentáře • 10

  • @GelsonMadahas-iz8ub
    @GelsonMadahas-iz8ub Před 8 měsíci +2

    Unajua san bongo project unajua kuhoj sana nimekukubar mnoo hongera san

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před 8 měsíci

      Shukrani sana mwamba. Usisahau kusubscribe

  • @contempo_builders
    @contempo_builders Před rokem +2

    Interview nzuri sana.

  • @misbahuamsaka758
    @misbahuamsaka758 Před rokem +2

    Mwamba huyu mda umenda dah joslin

  • @kaulibrain
    @kaulibrain Před rokem +1

    Nampataje mwamba

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před rokem

      Tunaweza kukuconnect naye. TuDM kwenye page yetu ya Instagram: instagram.com/bongo_project/

    • @kaulibrain
      @kaulibrain Před rokem

      @@bongo_project poa eny time

  • @maarifanac
    @maarifanac Před 11 dny +1

    Albam ya jos perfume nilimuibia ela Mzee wangu buku jero nikaenda nunua nkawa natembea nayo popote napokuta radio naweka ila kwa sasa sijui inapatikana wapi

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před 11 dny

      Nadhani itakuwepo kwenye social platforms. Kama unaitaka tuDM Instagram. Tutakuconnect naye