Austin Makhoha na Michael Kenoh wadaiwa kupigwa risasi na polisi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 06. 2024
  • Familia mbili katika Kaunti ya Nakuru zinatafuta haki baada ya wana wao kudaiwa kuuawa na maafisa wa polisi wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha Jumanne. Wawili hao Austin Makhoha, mwenye umri wa miaka 17 na Michael Kehoh walipigwa risasi na maafisa wa polisi waliokuwa wakiwafukuza waandamanaji.
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Komentáře •