Mizozo ya mashamba kaunti ya Kisii yasababisha mirundika ya maiti mochari
Vložit
- čas přidán 1. 11. 2022
- Familia kadhaa kutoka kaunti ya Kisii zinaendelea kuhangaika kuhusu marehemu wapendwa wao ambao wamesalia ndani ya makafani ya hospitali ya rufaa ya Kisii kutokana na mizozo ya mashamba. kufikia sasa miili 21 inaendelea kuhifadhiwa kwenye makafani hiyo kutokana na mizozo hiyo.
😭😭😭😭i wish mungejua plot yetu hapa duniani ni 6×6metres
Inafaa hiyo maiti ipelekwe kwa hao wapumbafu wameweka cases in courts
Tanzania can offer Land to Kenyans please
4x6 ndio utaenda naye waja kusumbwa wengine uwe tajiri au masikini it's 4x6