Mizozo ya mashamba kaunti ya Kisii yasababisha mirundika ya maiti mochari

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 11. 2022
  • Familia kadhaa kutoka kaunti ya Kisii zinaendelea kuhangaika kuhusu marehemu wapendwa wao ambao wamesalia ndani ya makafani ya hospitali ya rufaa ya Kisii kutokana na mizozo ya mashamba. kufikia sasa miili 21 inaendelea kuhifadhiwa kwenye makafani hiyo kutokana na mizozo hiyo.

Komentáře • 4

  • @ruthbosibori1482
    @ruthbosibori1482 Před rokem +3

    😭😭😭😭i wish mungejua plot yetu hapa duniani ni 6×6metres

  • @johnonkoba740
    @johnonkoba740 Před rokem

    Inafaa hiyo maiti ipelekwe kwa hao wapumbafu wameweka cases in courts

  • @tgeofrey
    @tgeofrey Před rokem

    Tanzania can offer Land to Kenyans please

  • @rogersorina7219
    @rogersorina7219 Před rokem

    4x6 ndio utaenda naye waja kusumbwa wengine uwe tajiri au masikini it's 4x6