Mwanahabari wa kike apigwa risasi kwenye paja

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024
  • Polisi pia waliwavamia waumini waliokuwa kanisani

Komentáře • 259

  • @sanityrestored-p8g
    @sanityrestored-p8g Před měsícem +119

    Even in war torn countries, jounalists dont get shot but Kenya is just built different

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Před měsícem +74

    Uchokozi hufanywa na polisi kusudi vijana wakasirike ndio waweze kuwauwa

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před měsícem +5

      Waonekane wamefanya kazi zakayo afurahi state house akiangalia acheke watu wanavyopata tabu

    • @user-bb9hw5vw6h
      @user-bb9hw5vw6h Před měsícem

      Kenyan police are illiterate

  • @annciakarimi8715
    @annciakarimi8715 Před měsícem +28

    Si hawa mapolice waftwe wote Genz ipewe hio kaz,

    • @wallacemagua2836
      @wallacemagua2836 Před měsícem +1

      sababu how ndio wanajua kazi kuliko polisi?wako na skills gani

    • @junia_254
      @junia_254 Před měsícem

      Kwani hao wenye wako walizaliwa na hizo skill za upolisi? Acha kufikiria kama Ruto​@@wallacemagua2836

  • @duncanmurimi8917
    @duncanmurimi8917 Před měsícem +13

    Atapona tu kwa uwezo wa Mungu, katika kazi huwa Kuna mapito

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 Před měsícem +14

    Rutos commands is very clear,, police wasikumbali watu wawe wengi,,kazi yao ni kuwavuruga na kuwatawanya wakizidi wawauwe,, ruto enda ulide watoto wako achana na wakenya ulinzi wako umetosha.,tumekuchoka

    • @wanyonyirobert2735
      @wanyonyirobert2735 Před měsícem

      So you want police to stay home so that you and your gangs can continue looting? This your generation ni wale walikuwa wanachoma schools so you want to burn the country as well. Tandikweni kwanza mnafaa muwekwe kwa cadges.

    • @maxmiregwa6731
      @maxmiregwa6731 Před měsícem

      Wanyonyi you're a dog!! A devil's agent

  • @user-nr3yp6sk9k
    @user-nr3yp6sk9k Před měsícem +37

    Zakayo must resign and goooo home period

  • @user-kk1ub1zl3x
    @user-kk1ub1zl3x Před měsícem +4

    Pole Sana my journalist wish you a speedy recovery 🙏

  • @erictrez1299
    @erictrez1299 Před měsícem +56

    Ruto must go

    • @sarawaweru7664
      @sarawaweru7664 Před měsícem +1

      Ruto was elected by Kenyans and he has to finish his term as the Kenyan president

    • @spared7736
      @spared7736 Před měsícem

      You go yourself

    • @weropochon
      @weropochon Před měsícem

      and then what happens stupid stupid kids called gen-z what abunch of idiots

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Před měsícem +17

    Sasa hii ni maneno gani jameni wooiyie huruma zilienda wapi jameni Kenya yetu. Government, our Government mbona mbona munaua watoto wetu.

  • @jesusprotect1438
    @jesusprotect1438 Před měsícem +5

    Rito needs to resign, with this policemen...

  • @pstpeninahpeter2926
    @pstpeninahpeter2926 Před měsícem +12

    Hawa mapolisi saa zingine wanafanya unyama ndio wengine watakufa Kama kuku

  • @trizarkariuki6226
    @trizarkariuki6226 Před měsícem +2

    Wao wamekuwa too much wanajifanya wakitafuta content mtu akipata jeraha anaanza kulia musha julikana form zenu za ufara.

  • @annegraceatwork8616
    @annegraceatwork8616 Před měsícem +3

    THE POOR HORSES BEEING USED IN A SITUATION WITH TEARGAS AND LOUD ATMOSPHERE 😢THIS IS EVIL 😢

  • @Jonasngetich
    @Jonasngetich Před měsícem +2

    Stop reporting lies.

  • @kilimanimumsdad4965
    @kilimanimumsdad4965 Před měsícem +2

    You asked for it and ruto delivered

    • @wallacemagua2836
      @wallacemagua2836 Před měsícem

      mtoto akililia wembe mpe akijikata ndio atajua ukali wake

  • @zionkenyatv6756
    @zionkenyatv6756 Před měsícem +1

    I felt for you madam pole sana,,i urge our police officers not every problem is solved by guns please respect the laws,,some of you are parents just like the lady whom you shot....

  • @ladiannehommy1865
    @ladiannehommy1865 Před měsícem +3

    Walllahi Dunia inaisha ,,may God have mercy on us 😢

  • @DenisGitonga-mp6xu
    @DenisGitonga-mp6xu Před měsícem +2

    Wa kukufa ni wakufe juu kimbelembele yenu ni hamtaki hamani ata nyinyi wanahabari dio mpate kazi mubwa

  • @KaraniBonge
    @KaraniBonge Před měsícem +2

    Hao ni waumini au wakora waliokimbililia hapo wanaabari Kenya niwaongo na wachonganishi

  • @kagoripeter9800
    @kagoripeter9800 Před měsícem +1

    Where were this human rights in demonstration??

  • @annemungai4562
    @annemungai4562 Před měsícem +7

    That is enough evidence there. Hao polisi wachukuliwe hatua!

  • @trizarkariuki6226
    @trizarkariuki6226 Před měsícem +1

    Wapigwe kabisaa mbona wanaandamana ujinga tu

    • @rachaelmaiche
      @rachaelmaiche Před měsícem

      We mafi nini..hujui kusoma? They said it's a journalist who got shot minding the business that pays her..gerrarahia with your low grade mentality..nkt

  • @johson6963
    @johson6963 Před měsícem +1

    Mwambie awake paja zake pamoja yazirukaruke kwenda ovyo ovyo kimaandamano!

  • @jamesmarumbo6820
    @jamesmarumbo6820 Před měsícem +1

    Uhuru umezidi hawa wajinga wanatakiwa wauwawe ata milioni 2 ili iwe fundisho kwa wengine

    • @fredricknjugajulo8111
      @fredricknjugajulo8111 Před měsícem

      Mmoja wa kuuwawa anaweza kuwa ndugu yako. Jee utafurahia. Think before you utter anything.

  • @magicmind6458
    @magicmind6458 Před měsícem

    Kazi zingine za kuingia kwenye vita ikae. Sasa, hata akilipwa afya take itakuwa aje ? It was a stray bullet period.

  • @conceptaakinyi
    @conceptaakinyi Před měsícem

    Ruto in freemason and shall not allow this In kenya ruto must go

  • @GukuGuga-fu4lb
    @GukuGuga-fu4lb Před měsícem +5

    Police wanaenda hadi kanisani jamani😢😢😢

  • @willymitei6830
    @willymitei6830 Před měsícem +8

    Ruto upto 2032, citizen tv na ntv wapende wasipende.

    • @ugenyapasi
      @ugenyapasi Před měsícem +4

      ng'ombe ni ng'ombe tu

    • @SharonEmmanueli
      @SharonEmmanueli Před měsícem +1

      Kunguni wa kiume ww

    • @fanuelamuko5462
      @fanuelamuko5462 Před měsícem +1

      You aren't normal

    • @willymitei6830
      @willymitei6830 Před měsícem

      @@SharonEmmanueli president Ruto should deal with Goon-z once and for all. Kama Kenya itakuwa Somalia ikuwe haraka. Kwani ni lazima tuwe na amani. Wanawake watoke hapa Kenya wanaume tubaki tupigane kwanza.

    • @tbirdbird4431
      @tbirdbird4431 Před měsícem

      @@willymitei6830uko na akili ingine ama ni hii tu

  • @vmns4914
    @vmns4914 Před měsícem

    Unapigaje mtu risasi mwenye hajakuattack anafanya tuu kazi yake in peace madogy nyinyi na kamshahara ka 20k

  • @planb6078
    @planb6078 Před měsícem +1

    Jameni hata mama pia anapigua risasi😢😢😢😢

  • @wallacemagua2836
    @wallacemagua2836 Před měsícem +1

    mtoto akililia wembe mpe,akijikata ndio atajua ukali wake

  • @djdontwiga
    @djdontwiga Před měsícem

    stop seeking for favours or jobs in Qatar,Saudi Arabia,Lebanon ie Middle east there's no future for Kenyans there just regret and exploitation please ,I love you Kenyans

  • @pauly6625
    @pauly6625 Před měsícem

    Even in church? Eee Mungu tusaidie

  • @trizarkariuki6226
    @trizarkariuki6226 Před měsícem +1

    Hatutaki kupiganiwa mungu atatupigania

  • @agripinabukhala649
    @agripinabukhala649 Před měsícem +1

    Hakuna kitu mutafanyaaa plss musiseme kituu

  • @user-rh5gw9lh3x
    @user-rh5gw9lh3x Před měsícem

    Why provoke the police,kula risasi ndio mskie

  • @domnicotieno3370
    @domnicotieno3370 Před měsícem +1

    Media pia msichome picha sana. Kwanini wakati wa maandamano msiwe kwa waandamanaji mnakuwa katikati ya polisi mnasaidiwa hapo hamuongelei

  • @TracyImbira
    @TracyImbira Před měsícem +3

    Ruto must go,,,I saw this live

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem

    Ruto tafadhali nakuomba sana mm niko Tanzania. Nakuomba umuombe msamaha Raisi Putini.

  • @johnbrown3235
    @johnbrown3235 Před měsícem +8

    wakikuyu mlicheka sana uhuRUTO wakiuwa wajaluo...eh eh!! wakenya hawajasahau.

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před měsícem +2

      Huu ni uzuni kwa wakenya wote sio jambo lakuchekea ruto ataumiza watu wengi atafanya kila jambo ili aweze kukaa madarakani

    • @maina2924
      @maina2924 Před měsícem +3

      Tuache ukabila Kenya Ni moja Bro

    • @user-um6pc5iv2p
      @user-um6pc5iv2p Před měsícem +4

      Tumetoka enzi za ukabila

    • @antibiotic7238
      @antibiotic7238 Před měsícem +3

      ​@@maina2924Sahii ndio umegundua Kenya ni Moja?Watu sio wajinga bro unless you are Gen z then we can say you are reasoning like a revolutionary but kama wewe ni ngamia since Moi's regime you don't make any sense here 😂

    • @shadrackndoro2739
      @shadrackndoro2739 Před měsícem

      Hapa hakuna kabila ama cheo so Kama wewe ni mkabila then hautaweza elewa Kwa nini wakenya wanataka maisha yalio sawa

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 Před měsícem +1

    You will be fine girl🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏you are in our prayers

  • @safarikarisa5912
    @safarikarisa5912 Před měsícem

    Hakuna askari kenya hawa nimagaidi tu wanajifanya karao

  • @paulmuindiwilliam2945
    @paulmuindiwilliam2945 Před měsícem

    Kenya is not a real place, a glitch in the matrix

  • @rigwatvchannel4458
    @rigwatvchannel4458 Před měsícem +1

    Lsk wako save mahali wanakunywa ekiromu
    Na kutoa statements tu

  • @paulinanduku2748
    @paulinanduku2748 Před měsícem +13

    Quick recovery to her

  • @BrotherAbbass
    @BrotherAbbass Před měsícem

    Ruto again killing people in Church?😮

  • @pauly6625
    @pauly6625 Před měsícem

    All those who were hurt were labeled as “goons” now look at the journalist in uniform is she a goon too? Police don’t just shoot damu mnayo mwaka isiyo na hatia itawafuata till your 4th generation

  • @dentzzke
    @dentzzke Před měsícem +3

    Na wanafanya nini kanisani tena na mabunduki😢

    • @wallacemagua2836
      @wallacemagua2836 Před měsícem

      usalama kwa wote,huko si pahali pa wahuni kujificha

  • @user-vv6ki7sk7o
    @user-vv6ki7sk7o Před měsícem +2

    They are doing this to scare us who are police anyway are they not suffering Kenyans just like us

    • @wallacemagua2836
      @wallacemagua2836 Před měsícem

      and you also you are doing this to scare the government

  • @euuee9717
    @euuee9717 Před měsícem +3

    Why this mr president? Tell your Police stop this this

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 Před měsícem

      Ruto thrives on human blood if you don't know. Fallen churches cursed this country with their diabolic prayers.

    • @wallacemagua2836
      @wallacemagua2836 Před měsícem

      the police dont belong to the president only they belong to all of us,utumishi kwa wote

  • @Jay42915
    @Jay42915 Před měsícem +2

    No freedom in Kenya. No press freedom.. No human right freedom in Kenya. Not yet Uhuru.

  • @VALENCIANAFULA
    @VALENCIANAFULA Před měsícem

    Genz hakuna mtu anaeza unda grunade tuanze na hawa polisi its like they have vowed they want war wakiua genz ata wao wauawe

    • @hazeljelimo5995
      @hazeljelimo5995 Před měsícem

      na army wakuje awalipue na pomb like the way kagame did in his country

  • @BelvinNekesa-b9x
    @BelvinNekesa-b9x Před měsícem

    Hadi wanaenda church waah n kunoma,

  • @bensonmukunya
    @bensonmukunya Před měsícem +1

    Ruto must go no two ways about it

  • @ericktsumba7770
    @ericktsumba7770 Před měsícem +2

    You see the type of reasoning of Police

  • @ayiechaanne6756
    @ayiechaanne6756 Před měsícem +2

    We will not relent🥺🥺🥺 Ruto must go 😭💔

  • @user-jy7ne3iw7y
    @user-jy7ne3iw7y Před měsícem +1

    Maandamano ovyo. Kaeni nyumbani bwana. We are tired now.

  • @kahonzicaroline3185
    @kahonzicaroline3185 Před měsícem +2

    Na huyu mtu wa press amepaka nini kwa uso msiba wakujakia hauambiwi pole

  • @effortchigora5543
    @effortchigora5543 Před měsícem

    Mostly for the Internationsal communnity to understand you should post some of these inccidence videos in English

  • @Prophet.E.Andati
    @Prophet.E.Andati Před měsícem +3

    Watasema ni criminal😢

  • @kevinodhiamboakwany1470
    @kevinodhiamboakwany1470 Před měsícem

    Wacha wakikuyu wapige vita yao.

  • @user-qe7on1ws5u
    @user-qe7on1ws5u Před měsícem

    Hao police wa kenya ni mavi tu

  • @lenah449
    @lenah449 Před měsícem

    Ruto is truly out for blood

  • @ConcyGeis
    @ConcyGeis Před měsícem

    The Ofincer is class 3

  • @mayiramark5154
    @mayiramark5154 Před měsícem +1

    Freedom is here end of quote

  • @dickensojiambo275
    @dickensojiambo275 Před měsícem +4

    Unapiga dem mrembo ka uyo risasi na we unanyonga daily adi mkono imemea zigwembe

  • @rycsolo3318
    @rycsolo3318 Před měsícem

    Mpaka kanisa kweli

  • @githakutv
    @githakutv Před měsícem

    Kiswahili ya kujeruhiwa nayo imepiga changa kiasi lakini ata kama sio mdomo chetu pole kwa mwanahabari wetu

  • @MohamedDisho
    @MohamedDisho Před měsícem +1

    Quick recovery ❤❤❤

  • @franklinewesala2642
    @franklinewesala2642 Před měsícem

    Ndio maana hawangefanya pamoja na army.........juu hawa watakushoot tu

  • @ambrosematoro6789
    @ambrosematoro6789 Před měsícem

    That's how incompetent our force's r, was she a goon? Coz wat we have been hearing is that it's only mikora ndio Wana pigwa risasi.
    Justice must b done.

  • @daudiadimasu3243
    @daudiadimasu3243 Před měsícem +1

    Pole sana

  • @stevebiko7209
    @stevebiko7209 Před měsícem

    Huwa wanakashifu kila mara na hakuna change,imekuwa wimbo because hakuna kenye watafanyiwa,wamezingirwa na damu ya ruto

  • @ev.dauglasotiso1597
    @ev.dauglasotiso1597 Před měsícem

    Kama hajui mahali pakusimama atapigwa,it looks like it was by accident kos angekuwa amerengwa makusuti angekuwa mogur saai

  • @thettriplets
    @thettriplets Před měsícem +1

    Kwani hana kichwa why mguu

  • @peterkariuki9073
    @peterkariuki9073 Před měsícem +1

    Ruto alishindwa na kazi punde alipohapishwa. Ameua wengi.

    • @wallacemagua2836
      @wallacemagua2836 Před měsícem

      did you see him on the streets?

    • @hazeljelimo5995
      @hazeljelimo5995 Před měsícem

      after uhuru kuaribu uchumi ya inchi,you started blaming ruto yeye anajaribu ku fix economy , na nyinyi mko street ata yeye ni binadamu hawezi fanya miracles in 2 yrs

  • @angelanderito6482
    @angelanderito6482 Před měsícem +2

    Ruto is finished.

  • @tisawambani9683
    @tisawambani9683 Před měsícem

    Hao wanao ingia kanisani wakikimbia ni waumini kweli? Katiba yasema watumie nguvu kilo ngapi???

  • @mahasham4759
    @mahasham4759 Před měsícem

    Intentional murder?

  • @dennisndirangu2536
    @dennisndirangu2536 Před měsícem

    RUTO MUST GO!

  • @JospheneMwanzia
    @JospheneMwanzia Před měsícem

    We need justice to happen

  • @estherwanjiru3745
    @estherwanjiru3745 Před měsícem

    Ata kanisa surely 😢😢😢😢???

  • @JoyzMichelles-eh8vs
    @JoyzMichelles-eh8vs Před měsícem +1

    What?

  • @josekoril
    @josekoril Před měsícem

    hawa maguys bado tu wataitisha bribe kwa streets..this time round hatunyamazi izo bribes hamchukui bana heri tushout😂

  • @FridahMbithe-lv2ry
    @FridahMbithe-lv2ry Před měsícem

    Polisi wanaingia mpaka kanisani

  • @wayando
    @wayando Před měsícem

    Attacking churches?!

  • @Msemaukwelikweli
    @Msemaukwelikweli Před měsícem

    Wazi

  • @sombavincent923
    @sombavincent923 Před měsícem

    Atapona tu but rangi niya nini

  • @ruthkarimi2646
    @ruthkarimi2646 Před měsícem +2

    Hao vijana ndio walianza uchokozi

  • @benjaminnzioki8815
    @benjaminnzioki8815 Před měsícem

    From this video clip, she had been in the company of police in several different locations. So, the same police deliberately shot her!

  • @MrEricdraco
    @MrEricdraco Před měsícem

    Kenya had become Israel 😂😂😂😂

  • @lydiajames7570
    @lydiajames7570 Před měsícem

    Wanaingia hadi Church

  • @David-kl4sw
    @David-kl4sw Před měsícem +3

    Nguo za brown nani anamuona 😂😂😂😂Pole kwake but media muache incitement 😂😂😂😂then anasimama mbele ya bunduki

    • @Nathaniel-j7x
      @Nathaniel-j7x Před měsícem +1

      Ukisimama mbele ya bunduki unapigwa risasi?

    • @kambakambatena6878
      @kambakambatena6878 Před měsícem +1

      Peleka makende huko gunia hii ya mwanaume

    • @kenyanowtv
      @kenyanowtv Před měsícem

      I pity those who depend on you because if this is the only brain you have then they should disown you.

    • @kambakambatena6878
      @kambakambatena6878 Před měsícem +1

      Unacheka nini ghasia hii ngombe ya mwisho

    • @andrewmuigai6573
      @andrewmuigai6573 Před měsícem

      David wewe ni mjinga sana

  • @gudygudy-qx5xc
    @gudygudy-qx5xc Před měsícem +7

    First comment plz like❤❤

  • @fathers19991
    @fathers19991 Před měsícem

    Kenya stop smoking 🚬

  • @naaumy63
    @naaumy63 Před měsícem

    This is way too far😢😢😢😢

  • @DanielMutembei-w1z
    @DanielMutembei-w1z Před měsícem

    Police wamesoea kua wakenya kama kku wangoje yao hii mtoni

    • @hazeljelimo5995
      @hazeljelimo5995 Před měsícem

      na bado wauliwe vijana ata hawana respect kwa president

  • @jameskariuki7961
    @jameskariuki7961 Před měsícem

    He must be from riftvalley

  • @brianokelo31
    @brianokelo31 Před měsícem

    Ama Ruto si binadamu

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před měsícem

    Polisi wanajifanya wakali na hawawezi dai waongezwe salary

    • @wallacemagua2836
      @wallacemagua2836 Před měsícem

      ukali sio kuongezwa mushara,ukali ni kufanya kazi yako