Katika somo hili la ndoto chafu(Nightmares),Apostle Mtalemwa anasisitiza juu ya usiku unavyoathiri maisha ya ndoto. Mwishoni anaongoza maombi ya kukufungua katika ndoto chafu.
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu. Ila hawa Wa Dada wakukuja kanisani wakivaa kama wanaenda club wabadilike kwa mivaliyo na mapambo yao kama vile bibilia inatuambia nakujibamba kwenyu kusiwe kwakusuka nywele na mavalio, na kuna majini na mapepo yanatuingilia kufwatana na mwenendo wetu. Mungu atuhurumiye
Asante sana kwa aya mafundisho Mungu nisaidie niweze kubadili muda wangu wa kulala na kufanyia kazi ndoto.zote za kipepo na najua nimefunguliwa kutoka kwenye ndoto ya kupoteza vitu ktk jona la Yesu.
Baba nashukuru wakati unaomba nimefunguliwa Naomba Mungu aniwezeshe katika kuikabili zamu yangu wakati wa usiku Mungu akujaliye Maisha Marefu Apostle yenye furaha
Neno la mungu ni Nuru,na tumwombe roho mtakatifu awe msaidizi wetu,tulalapo usingizi malaika walinzi watulinde na yule movu ibilisi,tumshinde ktk jina la yesu.
Amen Amen pastor all the dreams you have teaching as consider me please pastor when you pray remember as I wish one day God make her away to came our homeland Kenya may God proctor you always so that we can learn to much from you 🙏🙏🙏🙏🙏
Namshukuru Mungu kwa ajili ya mtumishi wake pastor Mtalemwa kupitia wewe nimeweza kujifunza namna ya kudeal na ndoto chafu na pia kukesha kwa ajili ya Mungu
Kina Aina ya pando la shetani juu ya ndoto zangu nakataa kwajina la Yesu fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kila Aina ya ndoto chafu juu ya ndoto zangu kwajina la Yesu fire 🔥🔥🔥 🔥🔥🔥🔥 Ameen
God has placed u apostle for this end times just like Easter may he empower you even in the whole world,may he give you grace and walking favour triple annointing to impart nations
Mimi naomba uniombee mtumishi wa Mungu maana naota Sana naongea na ndugu zangu waliokufa na hali yangu sio nzuri kabisa kiuchumi,mahusiano naomba maombi yako .
Aise nashindwa nisemeje juuu yako pastor lakin Mungu azidi kukutumia na kukuinua Kwa viwango vya juu mnoo unafungaaa Sanaa watuu wanapokea uponyaji sanaa
Mungu atuweke mbali na mapepo yote napokeya mahombi yako ni katika jina la yesu cristu amen
Kira pando lililojipanda ndani ya ndoto ninalingoa kwa jina la yesu, shetani hana mamlaka kwa maisha yangu
Kira ndoto lililopandwa kwa ndoto nangoa kwa njina la yesu
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu. Ila hawa Wa Dada wakukuja kanisani wakivaa kama wanaenda club wabadilike kwa mivaliyo na mapambo yao kama vile bibilia inatuambia nakujibamba kwenyu kusiwe kwakusuka nywele na mavalio, na kuna majini na mapepo yanatuingilia kufwatana na mwenendo wetu. Mungu atuhurumiye
@Sylvia Ngunya Amejaribu kuzungumzia mavazi. Kanisa limepuuza sana jambo hili, ila wadada wanatutesa na wabadilike. Hakuna kinachoshindikana kwa Mungu
Barikiwa mtumishi wa mungu kwa somo la ndoto Mimi binafsi nimefungulowa
Asante sana ntumishi kwa fundisho lako, nina teseka sana na ndoto nchafu, ehee yesu nisaidie,Amin
Amen Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana Tunapokea kwa Jina la Yesu
Barikiwa Sana mtumishi kupitia SoMo la ndoto nimefunguliwa na nimejifunza kutokupuuzia ndoto
Kilamapando yaliyopandwa Kwa ndoto zangu yakichawi yakuzimu ninayang'oa katika jina la Yesu
Ubalikiwe mtumishi kwajili SoMo limeningusa sana mala nyingi naota ndoto nasahau nilicho ota
Asante sana kwa aya mafundisho Mungu nisaidie niweze kubadili muda wangu wa kulala na kufanyia kazi ndoto.zote za kipepo na najua nimefunguliwa kutoka kwenye ndoto ya kupoteza vitu ktk jona la Yesu.
FIIIIIIIREEEEEE!!🔥🔥🔥🔥MAPANDO YOTE MAGUGU YOTE KTK NDOTOOO FIREEE🔥🔥🔥KTK JINA LA YESUUUU🔥🔥🔥🔥
Baba nashukuru wakati unaomba nimefunguliwa
Naomba Mungu aniwezeshe katika kuikabili zamu yangu wakati wa usiku
Mungu akujaliye Maisha Marefu Apostle yenye furaha
Kila pando ambalo halijatokana na Mungu i cammand it out in Jesus esus name
Neno la mungu ni Nuru,na tumwombe roho mtakatifu awe msaidizi wetu,tulalapo usingizi malaika walinzi watulinde na yule movu ibilisi,tumshinde ktk jina la yesu.
Ninamshukuru sana Mungu kwa ajili yako mtumishi wa Mungu
Naona mafanikio makubwa xana kwako mtumishi ...Mungu aendelee kukupa maarifa juu ya ufalme wa mungu
Mungu akubariki Apostle binafsi huwa naota nipo shuleni Mara nyingi sana sielewagi maana yake
Barkiwa sana bt sielewi hayo mafuta ulitumiani ya nn coz nguvu zako zatosha
Nakupenda sana nakuelewa sana man of God
Man of God 🙏🙏🙏🙏 bless you so much umenigusa sna wcha ni muinuwe mwana wa nazareti
Mtumishi naota sanaaaaaa kweli nifanyeje
Amen Amen pastor all the dreams you have teaching as consider me please pastor when you pray remember as I wish one day God make her away to came our homeland Kenya may God proctor you always so that we can learn to much from you 🙏🙏🙏🙏🙏
Namshukuru Mungu kwa ajili ya mtumishi wake pastor Mtalemwa kupitia wewe nimeweza kujifunza namna ya kudeal na ndoto chafu na pia kukesha kwa ajili ya Mungu
Kina Aina ya pando la shetani juu ya ndoto zangu nakataa kwajina la Yesu fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kila Aina ya ndoto chafu juu ya ndoto zangu kwajina la Yesu fire 🔥🔥🔥 🔥🔥🔥🔥
Ameen
Asante Yesu kwa neno hili
Amen amen be blessed mtumishi
Kila pando mbaya lilijipada kupitia ndoto nalingoa katika njina la Yesu. 🇰🇪🇶🇦
Kila pando alilopanda adui kupitia ndoto naigoa kwa jina la yesu adui ana nafasi kwangu
Upo sawa pr Mungu akubarik sna
The son of major provovo in Tanzania.
Asante kwa Hili somo.
Kuanzia Leo usiku utapata muhaho.
😀😀amen
Amen 🙏🙏 muchugaji nimejifunza
Be blessed very powerful teaching nakusikiza nikiwa saudia arabia from kenya
me too
Ndoto zanisumbua Sana na huwa nyinginezo Sina happen lakini kwa mafundisho niliyosikiza Leo nakemea hizo ndoto kwa Jina LA yesu fireeeee🔥🔥🔥🔥🔥
God has placed u apostle for this end times just like Easter may he empower you even in the whole world,may he give you grace and walking favour triple annointing to impart nations
Nabadilika kwa damu ya Yesu
KILA NDOTO CHAFU NIMECHOKA!!COME OUT!FIRE🔥🔥NAKATAA MAPANDO YOTE YA GIZA NA USIKU WAO!!KUZIMU,ANGANI,ARDHINI NA WA MAUTI!! COME OUTTTTT🔥🔥FIREEE🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
Hakika ww uliletwa kuwa baraka kwetu, mungu akubariki sana mtumishi
Be blessed prophet
Napokea uponyaji kutokana na ndoto mbaya kwa jina la Yesu sasa hata milele amen.🙏
Barikiwa mtumishi
Kila pando la ndoto chafu kauka na ung'oke kwa Jina la Yesu! Amen
Asante Baba...Na mimi niliota ndoto chafu usiku wa kuamkia leo ila sasa naamini nimefunguliwa ...Nashukuru kwa hili somo na maombezi...
Amen..asante sana kwa mahubir nimebarikiwa na kujifunza kitu .Very powerful teaching 🙏.
Mimi naomba uniombee mtumishi wa Mungu maana naota Sana naongea na ndugu zangu waliokufa na hali yangu sio nzuri kabisa kiuchumi,mahusiano naomba maombi yako .
Nakupata nikiwa Kenya amein
This is an eye opener more grace pastor
Mungu naomba niondaleee mapando ma baya oooooyes🍇🍇🍇
I'm blessed hakika
Nimepata kitu ubarikiwe sn👐👐🔥🔥.
Amen mtumishi wa Mungu .Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri yanayo tufungua
Nakuelewa Sana Kwa mafafanuzi yako
Powerful Message I connect in JESUS name
Fireeee in Jesus name
Barikiwa kwa huo huduma wa ndoto mutumishi wa Mungu .
Asante MUNGU kwa huu ujumbe nina uwezo wa kuona 🔥🔥🔥
Apostle Mtalemwa Mungu azidi kukuinua katika HUDUMA yako
Changes ni pamoja DELIVERENCE 🙌 I stand up in Jesus name
Amen my daughter valarie vigehi is doing all this things I'm watching from Kenya I need your help man of God my life is spoiled
Mungu akubaliki
I love this teaching
God bless you more and more
Amen .I will stay on to the road to success God path light on my way.be blessed Amen.
Powerful message to me my God bless you. Man of God
Nimefunguka kwa kiwango kikubwa
Man of God you ask people of God something good may God bless you,
Amen nimefunguliwa katika jina la YESU amen amen amen
Ameen mungu nifungue kwa jina la yesu
Be blessed so much Man of God. Thank you very much for this revelation, Indeed I'm impacted by this.
Q
Thank you chief what an amazing teaching you have corrected alot of this concerning my understanding of dreams
💪💪💪powerful dady. God bless you
Ubarikiwe sana Apostle,umenifundisha na nimeelimika.
Powerful message be blessed apostle
Praise God
Be blessed 🙌
such blessing from kenya .
Ndoto. Chafu na mtalemwa
This is a unique teachings, be blessed MOG, tangu nikutane na mafundisho yako CZcams,sichoki kukufuatlia, nimejifunza sana kwako thanks mtumishi 👏
AMEEN
Am blessed from Kenya
Jamani wazimu nisaidie mimi Nina ndoto mbaya kila siku ila leo mungu ataenda kazi
Na ufunguliwe Kwa jina LA Yesu
Awesome, Be Blessed Brother, This is Must Watch/Learn!
Hallelujah,,,,Nimedaka kitu🙏🙏
Ndoto mbaya kwa jina la yesu catch fire fire fire
Amina Amina Amina mtumishi asante Kwa kunifungua
Feeling blessed 🙏🙏
I am delivered in Jesus Christ powerful name Amen
Apostle njoo Musoma tusaidie
Powerful teachings God bless you Man of God.. I'm getting something in Jesus Name 🙏
Thanks man of God, hakika nimefuatilia mafunzo yako mpaka na hizi kufunguka fahamu zangu
It's true servant of God now it's a challenge to me
Aise nashindwa nisemeje juuu yako pastor lakin Mungu azidi kukutumia na kukuinua Kwa viwango vya juu mnoo unafungaaa Sanaa watuu wanapokea uponyaji sanaa
Asante mungu kwa mafundisho haya mazur
Thank so much pastor 🙏🙏🙏
Asante Baba mungu akuinue naanza upya
Mungu akupe uhai marefu man of God
i connect myself to this prayer
Powerful ❤😍
That is a good sign kwamba unaweza kuota Amina
Mimi Nina hiyo shida ya ndoto chafu sana😢
Like father like son.
Son of Major1 may God bless you.What a revelation! Enough is enough,in our family we don't stress.Major provovo.
Father propher Bushiri au yupi his Father??
Iwish ukuje siku moja Kenya Nakuru powerful powerful messages
Amen
Amina mtumishi 🙏 ubarikiwe
Thank you Apostle 🙏🏿
I connect myself to this prayer