MAJUMBA SITA YATIKISWA!!!!!!!!!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 01. 2020
  • Moto wa uamsho wa washwa katika Kanisa la Tag Majumba sita

Komentáře • 28

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi5011 Před rokem +1

    Naungana pamoja na kanisa langu na Mchungaji wangu Moses magembe Yesu hoyeee shetani utaomba cha moto utakiona naungana nanyi nikiwa Tanga mjini new nguvumali 🔥🔥🔥🙏

  • @samsonsindano2082
    @samsonsindano2082 Před 3 lety +3

    Hakika twamwitaji Bwana nanguvu zake ili tusonge mbele; mbarikiwe sana

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk Před měsícem

    Kanisa langu pendwa 😢😢😢❤❤❤

  • @EmanuelNyirabu
    @EmanuelNyirabu Před 3 měsíci

    Barikiwa sana baba yetu Kwa kazi nzuri unayoifanya sisi wainjilisti huku vijijini tutazidi kufanya kusudi hakika mungu akutie nguvu

  • @salomessmart9814
    @salomessmart9814 Před 3 lety +3

    Magembe baba nakupenda sana baba angu wa kiroho

  • @evaristkobelo3936
    @evaristkobelo3936 Před 2 měsíci

    Pamoja na Bwana tutatenda makuu

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 Před 4 lety +5

    Nampenda sana Mzee magembe na hiki nikilio chake miaka mingi Yesu anajibu tujinyenyekeze kwa Roho Mtakatifu

  • @sophiajonas8618
    @sophiajonas8618 Před 3 lety +2

    Mbarikiwe watumishi wa Mungu

  • @solomonilukumai8856
    @solomonilukumai8856 Před 4 lety +3

    askofu ananifundisha mambo mengi pamoja na UTHUBUTU na UONGOZI!Mungu azidi kukubariki na kukulinda

  • @ericaerasto2192
    @ericaerasto2192 Před 9 měsíci

    Mi natamani wachungaji wa Tag wajifunze kwa Baba Askofu kutembea na wake zao anguko halitakuwepo kwa sehemu kubwa.Hongera Askofu kwa kufanya kazi na maua wako.

  • @anithafrank5533
    @anithafrank5533 Před 2 lety

    Mubalikiwe mababa t a g mnapendeza na kamanda wetu mtoka mbali

  • @eliudmwamahonje7614
    @eliudmwamahonje7614 Před 2 lety

    Hongereni sana wapendwa,mpo vizuri

  • @salomessmart9814
    @salomessmart9814 Před 3 lety

    Wapendw hapo mahali moto unawaka nimeipenda bureeeee mungu awabariki sana

  • @mathewnemes5469
    @mathewnemes5469 Před 3 lety

    Naomba mnisaidie jina la wimbo huu tafadhari.

  • @yusufumwanawadaudi4670
    @yusufumwanawadaudi4670 Před 4 lety +1

    Yesu alirudia kanisa lake

  • @mboya4jc
    @mboya4jc Před 3 lety

    Eh, Mungu uturehemu - tukurudie na tukutumikie kwa nguvu zako

  • @shillahmbogo5556
    @shillahmbogo5556 Před 4 lety +1

    Amina. "Kurudi kwenye Uzima"

  • @Mazoea
    @Mazoea Před 3 lety

    Jamani jina la huu wimbo au kwaya

  • @mossesmziba8496
    @mossesmziba8496 Před 4 měsíci

    Nimependa utaratibu wa Mapoke ya Askofu mkuu

  • @emmanuelsamwel7615
    @emmanuelsamwel7615 Před 2 lety

    Haleluyaaa

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita9894 Před 2 lety

    Hakika hii kwaya siwa wasanii wanyimbo zainjili Bali niwahubiri waneno la Mungu waviwango vya Mbinguni

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta9387 Před 4 lety +5

    Hii ibada ilikuwa ya aina yake kwa kweli. Uwepo wa Mungu ulikuwa mwingi sanaaa!!! Bado lipo tumaini kwa Kanisa na uamsho unalijia taifa hili. Wana-TAG na makanisa mengine ya kipentekoste tukae vzr.

  • @RebecaMagoho-cy8yz
    @RebecaMagoho-cy8yz Před rokem

    🥰🥰🥰

  • @yacobolushingula110
    @yacobolushingula110 Před 4 lety

    Kwa pamoja tutatenda makuu

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Před 3 lety +2

    Tag majumba sita Kuna Mchungaji haswaa

  • @jasonheriwewejoas5282
    @jasonheriwewejoas5282 Před 4 lety

    Mungu awabarik

  • @marycharles2609
    @marycharles2609 Před 3 lety

    Mungu atusaidie katika mwaka huu wa uhamsho.... nawatakia mfungo mwema Wana TAG