Nani yupo hapa leo kujikumbushia namna utopolo fc walivyo fungwa na Simba 4-1 2020 😀😂😀😀😀😀 yaani hawa ni wachumba wetu tutaendelea kuwafunga kila mara mpaka pale watakapo shika adabu shenzi kabisaaaa
Juma Kaseja Nasoro Cholo Amiri Maftaa Kelvin Yondan Shomari Kapombe Haruna moshi Boban Mwinyi Kazmoto Felix Sunzu Uhuru Selemani Emmanuel Okwi Patrick Mafisango (RiP) Moto ukawaka kama tunavyouwasha miaka yote
Hii ndo ile simba ya zamani, lakini sasa imebaki jina tu, Sijui lini tutaludi kwenye chat Sijuwi ngoja tuangalie mwaka huu, Sijui okwi atakuwa Kama yule wa kipindi kile
Hakuna cha Hujuma kaangalie rekodi za Simba SC na yanga. Simba SC amewakanda yanga magoli mengi wanapokutana,,, halafu asili ya soka la Simba SC ni Tik_Taka pira linawekwa chini linatembea.....
Kama umekuja kuangalia kama simba walisha wai kufunga magoli matano Leo baada ya simba kupigwa na yanga magoli matano gonga like
Pumzika salama Patrice Mafisango na hongera sana Simba Sc kuioa Young Africans Sc🦁💪💪💪💪💓💓🙏🙏🇹🇿
Kama bado unatazama hii 2021 like
Simba sports club in Tanzania is unbeaten now days,l love it
Nani yupo hapa leo kujikumbushia namna utopolo fc walivyo fungwa na Simba 4-1 2020 😀😂😀😀😀😀 yaani hawa ni wachumba wetu tutaendelea kuwafunga kila mara mpaka pale watakapo shika adabu shenzi kabisaaaa
Mi najikumbushia zile tano za 2016
@@barakagwakisa5207 kipigo.cha 5 ilikua 2012 sio 16
Hawa niwake zetu ata wabishe
Nipoo
🤣🤣♥️♥️💖💖
I Love Okwi 5 {2 Solo Goals and 3 Assists via Penalties} - Okwi Oyeee
Wasijidhime data utoporooooo! Simba ndiyo wanzilishi wa magori ❤️
Rest in peace mafisango 🎉🎉🎉🎉🎉
Hongel simba kwa kuwachakaza yanga
dah asante Mungu nilikiona kichapo hiki...nina kitu cha kuwasimulia wanangu
kuma mnato
back ground of simba
kablu ya kuitwa simba ilikuawa inaitwaje?
Adam Kimath.....
Xxx video
this is simbaaa tutampigaa yoyote anaekujaaa nan wakutuzuiaaaaa
Dawa ya Utopolo ni kuwatandika sawasawa bira huruma huwa wanawashwa sasa wakuwakuna vizuri huwa Simbaaa
Duuuuuh!!!! Hiki kifinyo kitakatif na mwendelezo wake AGUST 23
Nmeipenda xana.
Rest in peace mafisango
Dah hii ni hatari kumbe wanasimba hawajaanza kufurahi leo duhuu mlikuwa muwapige kumi au huwii Simba jmn nyie ni htari
Mechi pekee ambayo mpaka golikipa wa Simba alifunga 🤣🤣🤣🤣
Jaman 2021 apaaa kun mwenzang!!
Utopolo huwa wanasahau
30 R.I.P Patrice Mutesa Mafisango..😭😭🙏🙏
16/2/2018 zinarudi tena
Ebhana eee nimeipenda
noma sana
Kaseja Gooooooooal
Juma Kaseja
Nasoro Cholo
Amiri Maftaa
Kelvin Yondan
Shomari Kapombe
Haruna moshi Boban
Mwinyi Kazmoto
Felix Sunzu
Uhuru Selemani
Emmanuel Okwi
Patrick Mafisango (RiP)
Moto ukawaka kama tunavyouwasha miaka yote
Dah iiilikua ayibu sana
Ungetuwekea na sauti ile gooo moja goooo mbili gooo tatu gooo nne goooooooooooooooooo tanoooo
Hahhhhh
Asande sana simba kwa kazi nzuri mlio ifanya
mchezo hauitaj hasira,pole san yang
Simbaaaaa jamani sasa sifaaa
Nikionaga mashabiki wa utopolo wakiongea nawashangaa sana
this is simba bwana
R I P mafisango
This is simba.
Hii ndo ile simba ya zamani, lakini sasa imebaki jina tu, Sijui lini tutaludi kwenye chat
Sijuwi ngoja tuangalie mwaka huu, Sijui okwi atakuwa Kama yule wa kipindi kile
simba noma sana timu ya taifa
Tumesharudi kwenye form yetu bro
Nakumbuka sana nilikuepo naitazama hapohapo
Mnyama✅
r.i.p mafisango
dah angalau Kwa hichi kipigo nna cha kuwaelezea wanangu
This is Simba brother
Mnyama aliacha historia
Kama namuona Mkudee
yanga hawana lolote simba baba lao.
Mwinyi kazimoto
Kweli simba mmeumiya
Mimi ninawaambia utopolo wasi sahau hiki kipigo😅😅😅😅😅😅😅
I'm watching 2024
noma can hii ktu
Haikuwa simba Vs Nyanga
Bali Yanga Vs Refarii
yanga 2likua 2napiga kama mtoto wasubir date one
Didas 🔚♌imaro
@@mwidiniidrisa9391 yyb6h66y
Clip hii ilikus wapi???
yanga utoporo kwelikweri tena tunawasubiri kwaham san tumewakosa san 3 - 0
fundi ngosha
napenda Moira
🏃
🏃
Ama kweli cmba ni kisanga
Yanga Kupokea kichapo kwa mnyama ni kawaida yake🤣🤣🤣🤣🤣
kumbe hawa mbweha fc wamewaipigwa tank ma simba
Hujuma za wachezaji kwa viongoz zilisababisha mashabiki wa yanga wote tuonekane machoko.
Hakuna cha Hujuma kaangalie rekodi za Simba SC na yanga. Simba SC amewakanda yanga magoli mengi wanapokutana,,, halafu asili ya soka la Simba SC ni Tik_Taka pira linawekwa chini linatembea.....
Maisha ni burudan kwa kila mtu
Hqhqhaaa watu wanapunguza maumivu hahahaa
Hawa yanga huaga.kirawancho kifanya simba huwa.keshapitia
Juni 2023
Vp kuhus yondani alikuwa anachezea timu ipi kat ya hiz timu mbili?
Hapo bdo yondani yupo simba Bro
Hata 6-0 tulishawajojolea
Unafikir hawajui
Huwa wanajkausha tu
😁😁😁walifungwa hadi na kipa....
Chezea simba wew
historia
Walikula nyingi ivi wanakumbukaga
Yanga kama timu ya mchangani vile utafikiri watoto wa primary school
Kati ya ma2kio yote hili nalo ni kiboko kamwe halitosahaulika Simbasc5 Vs 0 Yangafc
lea
simba to azam fc
simba fc azamu fc mapinduzi kap
kwaya katoliki
unyama unyamani
Dah inauma kweli 😂😂😂😂
Nipo mm hapa
Paulo
Kumbe hivi viyanga vinajititimua tu sasa ndo vimeamka usingizini na subirini tu
Yuko anakula bat
Kumbe ni ni penalty tatu yaani at trick penalty
Daaaa usicheze na moto huuu n balaaaaaa
Patrick Mafisango 😪
😀😀😀kumbe adi kaseja alifunga
Yanga vimeo tu
okwi vipi yukowapi
yupo villa ya kwao
Enzi hzo TV inawashwa uwanjani
Heeee😂😂😂😂mabig,yame expand 😅😅
Simba balaa
daa ila nn ntamkumbuka patrik mafisango
😅😅😅😅😅alafu wanasema hawajawah kufungwa tano na Simba nyok hii nin??
Jamaa alikula mkono
taifa leo
poreni simba
Wachumba zetu hawa hawatupi shida
enzi hizooo
Matiko Marwa
13/11/2023
Yani kumbe goli zenyewe zakupewa
sasa wewe music wa nini tena kwenye hii clip
Donian
kichapo kitakatifu
kichapo
franz
Chege
rose
simbavsmgambo
Hi unatosha kuwasmlia wtt wngu