Khutba Ustadh Muhammad Al Beidh, Mawlid Faqihil Muqaddam Kibokoni 2012

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Description

Komentáře • 22

  • @mohamedjembe295
    @mohamedjembe295 Před 8 lety +5

    Mnae mpinga sheikh mohammad albeidh mkula khasara kubwa.

  • @samiraswaleh4796
    @samiraswaleh4796 Před 2 lety +1

    اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة

  • @hajijumaa362
    @hajijumaa362 Před 7 lety +3

    jamani sharifu hastahiki kuzungumziwa kwa ubaya wala upungufu wa elimu na mtu yeyo aliyoko katika huu ulimwengu katika zama zetu hizi kwasababu hana mtu wa kumlinganisha na kitabia kielimu kitawaadhuu kiufahamu ndo usiseme maan inafika wakati mpaka anawaona mashekh walomtangulia katika vitabu walivovitunga si kuwakosoa bali ni kuona wanaupungufu katika fataawa na siira zao ju ya mtume s.a.w ukimuona mtu anampi ga sharifu wewe usitie ulimi kwasababu unaweza kukosa barka zake

  • @Mohamed-vv8fc
    @Mohamed-vv8fc Před 3 lety

    Kalima kutoka kwa Alhabib Ustadh Muhamad Al Beidh رحمه الله
    NA
    Dua kutoka kwa Al Allama Sheikh Bahasan حفظه الله ورعاه

  • @swalhaabeid1627
    @swalhaabeid1627 Před 4 lety

    Mashallah

  • @salimahmedabeid6835
    @salimahmedabeid6835 Před 9 lety +1

    Wewe mtoa comment hujui unachosema wala kilichosemwa ndo maana hukuelwa kitu

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 Před 3 lety

    من حدث عني بحديث يرى أنه كذب فهو أحد الكذابين ومن كذب علي متعمدا فليتبؤ مقعده من النار رآه مسلم

  • @amanikhoja8305
    @amanikhoja8305 Před 9 lety

    makonyeza nenda shule kasome usitusumbue na elimu yako ndogo

  • @NurdinKishik
    @NurdinKishik Před 5 lety

    yaallaah

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 9 lety +1

    ameongea maneno mengi sana ni ya kweli.ila kuna kitu kimoja bado hajakielewa kua waliokua wakimsifu mtume kwa mashairi tu waliacha hiyo kazi baada ya mtume kuondoka ila wakabaki wenye kumtakia rehema na amani kwan ndo ilikua na mafunzo sahihi.na wala hakukua na mikesha ya usiku kucha kwa kupiga dufu.kwani ktk suratul maaaidah ilkua katika mwaka wa 10 hijjatul wadaa ikisema LEO HII NIMEKUKAMILISHIENI DINI YENU NA NIMERIDHIA UISLAM NDIO DINI YENU.

  • @omarameirsalum8879
    @omarameirsalum8879 Před 6 lety

    Ramadhani Alli huna ufahamu.Kwani kilichofanywa wakati wa Mtumi ndio hakifai kufanywa baada ya kufa kwake?

  • @fuadimbarak5766
    @fuadimbarak5766 Před 5 lety

    Vita vyatabuk zilipo maliza mahabasha walisherehekea ndani ya miskiti wala sio kupiga twari.walisherehekea kwa mikuki.JAMINI wacheni kuwa chezea umati MUHAMMAD kuna mambo mungu ya kufanwa ambayo yenye manufaa.katika tarikhi hakuna siku MTUME alikaa na mwasahaba kupiga twari.mpaka MAIMAMU wote wa inne hakuna siku IMAMUM SHAFII AMA HAMBAL waliweka SHEREHE za kupiga twari.

  • @auntykhaemba1198
    @auntykhaemba1198 Před 7 lety

    Ryan

  • @user-yv4ve6ee8c
    @user-yv4ve6ee8c Před 4 lety

    اللهم اغفرله
    ولكنه كذب وفجر وألقم الحجر

  • @makonyezamokonyeza5985
    @makonyezamokonyeza5985 Před 10 lety

    matatizo hayo,sheikh mkubwa allah amrehemu, lakini analolisema halijui.

  • @muhidinisaidslsalim7464

    a a kijana mwezangu huyo niwalimu wakutegemewa duniyani wacha ujuhaaa kasome

    • @nurudinisalmu4912
      @nurudinisalmu4912 Před 6 lety

      tena akasome sana huna uwezo wa kumkosoa shekh mkubwa kama huyu

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 Před 4 lety

    kz yake sufi huyu kusema uongo ana baraka zip hyu sufi tu