mambo yamechemka💔💔she's never been in abroad alikua tu hapa githurai CAROL!!!! FEAR WOMEN!!!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 05. 2024

Komentáře • 136

  • @LucyKahogu
    @LucyKahogu Před 2 měsíci +6

    Mimi nlijiuliza majuu gani amekaa 4yrs na bag dongo hivio

  • @mildredkeris21
    @mildredkeris21 Před 2 měsíci +9

    Huyu mwanaume alianzisha hii story so twende nalo everything ni online.

  • @stellakwamboka6260
    @stellakwamboka6260 Před 2 měsíci +6

    Jay wewe unasoma comments ambia senior Dave asomange msgs

  • @fridahnkatha9589
    @fridahnkatha9589 Před 2 měsíci +9

    Hata mkiangalia Huyo msichana anakaa kutoka majuu kweli!? Then huyo mtoto anakaa wa mzungu kweli??

    • @SusanWamalwa-wq2cm
      @SusanWamalwa-wq2cm Před 2 měsíci +1

      The way amevaa showel ya mtoi si ya majuu aii watu watatubeba ufala

    • @miriammiloyo1212
      @miriammiloyo1212 Před 2 měsíci +2

      Hiyo blanket ya mtoto ni zile za mashambani she is not even well groomed like someone from mayolo😂

    • @user-lk3st7kz4f
      @user-lk3st7kz4f Před 2 měsíci

      Na viatu zenyewe

  • @VictorShajema
    @VictorShajema Před 2 měsíci +5

    Huyu kijana unadeal na yeye jay he is not reasoning

  • @MERCYmercy-rl3lu
    @MERCYmercy-rl3lu Před 2 měsíci +8

    Kwan siku hizi hamjui Kenya ni majuu ama mnajifanya hamjui 😂🤣😅 Kenya ni majuu

  • @chemutaijaneth568
    @chemutaijaneth568 Před 2 měsíci +1

    Next ni baby daddy on set😂

  • @DianaMuhonja-oi9co
    @DianaMuhonja-oi9co Před 2 měsíci +4

    Mimi tangu nitoke western province nikaenda Nairobi niko majuu 💃🤸🤸🤸

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula Před 2 měsíci +12

    Pia Mimi Niko majuu huku mombasa

  • @marykagota9456
    @marykagota9456 Před 2 měsíci +2

    Who arrives with one suitcase from majuu😅😅😅I knew that was a practical joke.

  • @blackylampard640
    @blackylampard640 Před 2 měsíci +11

    Fear women all day every day

  • @muthonibernard5841
    @muthonibernard5841 Před 2 měsíci +3

    Red flag Mr kevin.he definitely has a family anaficha

  • @Dotymonica
    @Dotymonica Před 2 měsíci +3

    Kumbe naweza rudi kenya na nijifanye bado niko majuu God have mercy on this Earth

    • @user-ch8so1rb2f
      @user-ch8so1rb2f Před 2 měsíci +1

      yea mimi nilitoka gulf lasy yr nilikua navaa tu buibui for one mnth na akuna mtu alijua hdi nikarudi tena gulf

    • @Dotymonica
      @Dotymonica Před 2 měsíci

      @@user-ch8so1rb2f me when l come back l will be wearing Abaya

  • @josephbongo8272
    @josephbongo8272 Před 2 měsíci +2

    What!!!! Canada was githurai

  • @user-iu5tu5ey5n
    @user-iu5tu5ey5n Před 2 měsíci +7

    Hata blanketi yenye alikua amefunika mtoto nayo ni ya isili 😂

    • @gakiimiriti9809
      @gakiimiriti9809 Před 2 měsíci +1

      I noticed the blanket and muddy shoes 😊😅😅 even her dressing code ni manguo za mtush

    • @kathurewasgaiti9241
      @kathurewasgaiti9241 Před 2 měsíci +1

      I noticed the blanket and her black dress . Hapa hakuna majuu

    • @Asumpter-sj2wu
      @Asumpter-sj2wu Před 2 měsíci

      😂😂😂😂

  • @TeresiaWanjiku-tk2py
    @TeresiaWanjiku-tk2py Před 2 měsíci +2

    😅😅🤣 am a proud woman coz of her

  • @Fredrickondieki-sm4tu
    @Fredrickondieki-sm4tu Před 2 měsíci +8

    Wakuu niliwaambia huyu demu alikua ameolewa ukambani kikaumana.

    • @monicahjoseph2528
      @monicahjoseph2528 Před 2 měsíci +1

      😂😂😂ala Dr ulijuaje😅🙌

    • @anastasiamumbi739
      @anastasiamumbi739 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @susanaseyonyundo9689
      @susanaseyonyundo9689 Před 2 měsíci

      Dem yupi 😅😅😅😅

    • @user-fj3jg5gm6b
      @user-fj3jg5gm6b Před 2 měsíci

      Weeee, what do umean ? The only place in this country where ladies can be married ad get roughed is only Ukambani surely, excuse us Kamba land is soo rich bwana give us break, the most beautiful ladies are Kamba in the whole nation . And again they are sparkling like morning glory ,jee hupooo????

  • @marykagota9456
    @marykagota9456 Před 2 měsíci +1

    Please Jay be reading quickly, you really keep us anxious 😢

  • @graceotieno2122
    @graceotieno2122 Před 2 měsíci +3

    Sasa tuseme mvua ndie ilipita na nyumba yenye aliishi

  • @carolkasavuli8583
    @carolkasavuli8583 Před 2 měsíci

    Juzi kwa Samaritan mwengine Machakos for 2yrs eti alikua qatar

  • @dorothyosoko4661
    @dorothyosoko4661 Před 2 měsíci +2

    Im.waiting the next ... Jay from.the look of that man ..he look like the.man who wanted to sold that baby back then. Coukd they are brothers or....
    Sanitized the man phone 📱🤳🤳

  • @DianaMuhonja-oi9co
    @DianaMuhonja-oi9co Před 2 měsíci +5

    She landed from githurai to jkia airport 😂😂😂😂

  • @user-jb3hg9un4i
    @user-jb3hg9un4i Před 2 měsíci

    Ooh my God and where is the man si atakufa kwa depression Aki

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 2 měsíci

    Kenya hatuwawex mungu wangu duuh

  • @okutebettina2509
    @okutebettina2509 Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂😂 weee wonders shall never end walai

  • @florenceatalyeba7855
    @florenceatalyeba7855 Před 2 měsíci

    Mmmmm woooiii wonders will never end

  • @gakiimiriti9809
    @gakiimiriti9809 Před 2 měsíci +2

    I saw her shoes were muddy 😅😅 from majuu you can know the dressing code. Alikuwa ameparara and I commented 😊

  • @antonykariuki2069
    @antonykariuki2069 Před 2 měsíci

    Huyu madam nliiona ni mang'aa tangu mwanzo.. na venye Ako na hubby tall and handsome

  • @user-cj9pe5ts6c
    @user-cj9pe5ts6c Před 2 měsíci

    Huyo ni stella😂😂

  • @Kathiora
    @Kathiora Před 2 měsíci

    😃😃😃😃😃 ololo😮😮,trust ladies for your owner Rick 😃😃😃

  • @CharityWachira-zw9cf
    @CharityWachira-zw9cf Před 2 měsíci +1

    Eti hutapost ujinga.proud man

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 2 měsíci +1

    Hakika tupo tunapenda san udako ndo inatupeleka vizur gulf

  • @mumblessed001
    @mumblessed001 Před 2 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂nani ata nipea fare nihame kenya wah wah ogopa watu

  • @bethwest6840
    @bethwest6840 Před 2 měsíci +1

    I believe this girl is telling the truth… Caro alikuwa majuu Kawangware…!!! Who arrives from a broad with a baby with only one small suitcase and dirty shoes. Speaking local swahili and broken English….!!!

  • @jacklinechepkoech6536
    @jacklinechepkoech6536 Před 2 měsíci +2

    Me nilishuku hiyo suit case ni ya four yrs kweli nko huku 2yrs but nashindwa ntabeba aje zangu tano

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂 mshen haitaki hasira

  • @Lzzlzz-k3m
    @Lzzlzz-k3m Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂kenya weww

  • @user-nl8my3ye5d
    @user-nl8my3ye5d Před 2 měsíci +2

    Bado baba mtoi ata kuja hapo pie😂😂😂

  • @user-ej7vv1qj6z
    @user-ej7vv1qj6z Před 2 měsíci

    Kiatu ilikuwa na matope.

  • @user-pv6lc4ur8f
    @user-pv6lc4ur8f Před 2 měsíci

    Niko majuu muranga pia mm 😂

  • @KhwakSarrah
    @KhwakSarrah Před 2 měsíci

    you're right Mr true k TV 😂😂😂😂

  • @moranekenya
    @moranekenya Před 2 měsíci

    Kabisa moshene lazima

  • @cindymorgan8765
    @cindymorgan8765 Před 2 měsíci

    Uyu den anadanganya

  • @chemutaijaneth568
    @chemutaijaneth568 Před 2 měsíci

    Let the guy run 🏃‍♂️for his dear life

  • @maryannekavindu
    @maryannekavindu Před 2 měsíci

    Wasichana WA sikunhizi jay waongope plz ukitaka kukufa haraka cheza na wao

  • @nellykosgei4030
    @nellykosgei4030 Před 2 měsíci

    The baby is not even mzingu ni mkenya tu lightskin kama mamake

  • @lindahwwangwe6679
    @lindahwwangwe6679 Před 2 měsíci

    Hats kiatu yenyewe ilikua inasema

  • @rejinarejina7263
    @rejinarejina7263 Před 2 měsíci

    I just wondered like how she was calling the baby I doubted alot having travelled alot.

  • @nancymoraa6491
    @nancymoraa6491 Před 2 měsíci +1

    Kumbe Stella wangu alikua anadanganya 😂

  • @ElizabethNafunamakhanu
    @ElizabethNafunamakhanu Před 2 měsíci

    Am huyu musichana pia alitokoswa akakataliwa Sasa anaumwa vile aliona

  • @jchebetsusan
    @jchebetsusan Před 2 měsíci +2

    Mimi.nashangaa sana alienda aje mbaka airport?jamaa nayo ataki kusaidiwa,unaweza muachia hali yake jay

  • @mumbisandtmann8931
    @mumbisandtmann8931 Před 2 měsíci

    Ata mimi nilishangaa ata hio mafasi jameni ,kasaduku kamoja na mtoto pia mtoto huyo sio wamzungu ataa

  • @sophiahmayaka9454
    @sophiahmayaka9454 Před 2 měsíci +3

    AM CONCENTRATING ON TITLE😂😂😂😂😂😂

  • @janetsikuku1176
    @janetsikuku1176 Před 2 měsíci

    Mr twende n huyu lucy mudaradara hadi kevin a jue mjuu n nakuru si U.S.

  • @dornesh1010
    @dornesh1010 Před 2 měsíci

    Servival is for the fittest

  • @user-lb6ej9cg5c
    @user-lb6ej9cg5c Před 2 měsíci

    Huyu mwanke hata hakuwa anaonekana alikuwa majuu. Majuu hata ingawa huko na mtoto huwezi ukiwa chini vile a likuwa

  • @CarolineWaturi-hk8jj
    @CarolineWaturi-hk8jj Před 2 měsíci +1

    Hats kiatu yenyewe ilikua inasema.

  • @chemutaijaneth568
    @chemutaijaneth568 Před 2 měsíci

    Nilijua tu huyo mwanamke ni muongo sana

  • @user-qw6th1yn3o
    @user-qw6th1yn3o Před 2 měsíci

    😂😂😂,,title

  • @jamesmaina6745
    @jamesmaina6745 Před 2 měsíci

    😂😂😂 nani aliona mwenye alikua Qatar no machakos for two years with his baba bwama akithani bibi ako mjuu wee3eeeee fear this woman alikua kwa Samaritan

    • @user-zo7ti5rv6f
      @user-zo7ti5rv6f Před 2 měsíci

      😂😂😂😂umeona mwingine from githurai to Jkia??

  • @teresiakinyua288
    @teresiakinyua288 Před 2 měsíci

    Hata huyo mtoto mnasema ni mzungu lakini hata tone ya damu ya mzungu iko

  • @ymefay
    @ymefay Před 2 měsíci

    Wow 😳😂😂😂😂😂😂

  • @user-fj3jg5gm6b
    @user-fj3jg5gm6b Před 2 měsíci

    Sasa wewe kijana siku ya bibi yako kwenda mayuru hukumzidi,mpaka airport? Tena nakuona na j air port, wastahili kuwa ndani ukisoma arrival guests ad time, saa huko wasimama kitradition waiting who kila kitu hapa nifake hata hiistory sio real i hv so many querries bt no one to answer.

  • @mamaboizpure842
    @mamaboizpure842 Před 2 měsíci

    Chisasi si nilisema huyu mtoy siio mzungu yawa

  • @Yuca878
    @Yuca878 Před 2 měsíci

    Fear my gender we never dissapoint😢😢😢

  • @user-pz5hp5ne9b
    @user-pz5hp5ne9b Před 2 měsíci

    Machakos pia ni mayuuu

  • @zippywaise2248
    @zippywaise2248 Před 2 měsíci

    From day one kwa airport Nliwaambia viatu za huyo dame ziko navumbi nikauliza kweli kama ameshuka ndege

    • @bintikib254
      @bintikib254 Před 2 měsíci

      Hata babyshawl,ni ya huku tu gikomba

  • @marykagota9456
    @marykagota9456 Před 2 měsíci

    So even the man is in a relationship.Why go to meet your wife to be at airport without relatives or friends.This is a script.😅😅😅

  • @user-io8nn4bs8w
    @user-io8nn4bs8w Před 2 měsíci

    Kupost nayo ni lazima budaah

  • @okko-le8sy
    @okko-le8sy Před 2 měsíci

    Jay undaku haitaki uzembe tupashe tunangoja sana ukitoka ushango uende Mahali ukomajuu✈️

  • @monicahjoseph2528
    @monicahjoseph2528 Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 dis harlours

  • @user-zo7ti5rv6f
    @user-zo7ti5rv6f Před 2 měsíci +1

    Nlijua tu matope ni za githurai mm😂😂😂

  • @anastasiamumbi739
    @anastasiamumbi739 Před 2 měsíci

    Airport alitokea wapi na aje surely

    • @Dotymonica
      @Dotymonica Před 2 měsíci

      Me too lam asking myself the same question

    • @user-zo7ti5rv6f
      @user-zo7ti5rv6f Před 2 měsíci

      ​@@Dotymonica😂😂😂😂😂c alienda tu jkia??kwan we huezi fika jkia?

    • @Dotymonica
      @Dotymonica Před 2 měsíci

      @@user-zo7ti5rv6f my dia huo ni ujinga mm Siwezi fanya huo ufala walai

  • @nagashapraise-vw7cc
    @nagashapraise-vw7cc Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂

  • @VictorKiplagat-wn4mw
    @VictorKiplagat-wn4mw Před 2 měsíci +1

    Hii title 😂😂ety ata Nakx ni majuu

  • @mellenondieki6329
    @mellenondieki6329 Před 2 měsíci

    Jay please take that white man from the page,it will bring conflict between you that lady we hear she was Nakuru,please delete musu gu from utube, l 😊

  • @user-iu5tu5ey5n
    @user-iu5tu5ey5n Před 2 měsíci +2

    Aje sasa na pesa zenye alikua anatuma majuu ni majuu gani tena? Na BTW huyo mtoto si white aki his Kenyan kuna mambo

    • @BeatriceMuthoni-rh3gd
      @BeatriceMuthoni-rh3gd Před 2 měsíci +1

      Mayb alikua anatuma na mpesa😂😂

    • @dorcaswairimu697
      @dorcaswairimu697 Před 2 měsíci +1

      If alikuwa anatumia kwa mpesa hakuwa ameenda mahali, maybe atumiwe western Union ndiyo atoe akiwa kwenye alikuwa

    • @DianaMuhonja-oi9co
      @DianaMuhonja-oi9co Před 2 měsíci

      Mimi nko saudia Arabia but Huwa natumiwa pesa Kwa mpesa Tena poa sana 😂😂😂😂

  • @ciiroz8325
    @ciiroz8325 Před 2 měsíci +1

    Why are you calling this guy & he said he DOES NOT WANT TO BE SEEN? THERE IS NO POINT!
    I understand he is FEELING ASHAMED TO HAVE BEEN DUPED & it is better you ask him to first watch the video when you interview the woman - then he can decide whether he wants to come on set after that!
    It is selfish of you & he said he is suffering from shame & depression!

  • @user-fj3jg5gm6b
    @user-fj3jg5gm6b Před 2 měsíci

    Sasa wewe kijana siku ya bibi yako kwenda mayuru hukumzidi,mpaka airport? Tena nakuona na j air port, wastahili kuwa ndani ukisoma arrival guests ad time, saa huko wasimama kitradition waiting who kila kitu hapa nifake hata hiistory sio real i hv so many querries bt no one to answer.