Dr.Elie V.D Waminian - (Sababu Za Migogoro) Sehemu Ya Nane
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Kwa MaonI, Ushauri Wasiliana Nasi Kwa Simu Namba (0747-744744 CHOMOZA MEDIA LIMITED) Au Kwa Barua Pepe Email. chomozamaoni@gmail.com
Pia Unaweza Kutufatilia Facebook @ChomozaTV Na Istagram @chomozanews TikTok ChomozaTV
Mungu Wetu Wa Mbiguni Akubariki......Endelea Kujifunza Na Kushare Mafundisho Haya Kwa Rafiki Na Nduguzo.
Hichi kipindi ni the best sasali your sa genius unauliza maswali mazuri sana ila jimy punguza story
Sina la kusema namshukuru Mungu kwa ajili yenu Dkt Elly , Jimmy Temu na Sammy Sasali . Mbarikiwe sana
Jambo wapendwa wa chomoza tv kweli Mungu awabariki saana mimi nikonafwata video hizi za Dr Eli kama mwalimu ninaye muamini sana kabisa ningelikuwa Tanzania ningekuwa nashida chini ya miguu yake kusikia huu ushauri mzuri na wa hekima je mwaweza nisaidia number yake? Asante niko hapa Canada na it was Solomon baleke Asante
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Amen 🙏
Dr ubarikiwe
Dr.Elie na team nzima ya chomoza hongeren na endeleani hvyohvyo coz sisi vijana mnatuokowa sana
Amen
Sam na Jim tumieni angalau sekunde 30 kutaniana kabla doctor hajaanza kuongea plz coz doctor anamda mchache sana.
Sawa ndugu Justin Washington asante kwa maoni yako
Hivi hii Jet Tv Tz ndio hii hii Chomoza TV ya leo ama vipi maana kila nikisearch siioni
Nimegundua kuwa wanaojiita wataalamu na waalimu wa Ndoa ndio wanaotupoteza huwa wanatufundisha uongo sana
Baada ya kumsikiliza doctor akili yangu imekaa sawia
Dr..!asante unaendelea kunitibu
nawaelewa sana ndg zang
thanks jesuse
Mtumishi nahitaji vitabu kama vipo
Amene Amene ubarikiwe
mko vizuri
Maman.Raha Bernadette USA Asante saaana kwa Mafundisho ya furaha ya mtu peke yake
Amazing 🙏🏾
thank you (nakuelewa vizuri)
kaka tengenezeni CD jamani katugusa wengi
Thanks Dr
Dr Mungu akuongoze Uzidi kutupa Elimu
huyu mzee ni genius
nice
Cd tafadhali ziwe sokoni tunaitaji kuwa nazo,
😂😂😂😂😂
NM
Jamani ninaba numba za huu mwalimu please
hio phobia duuu imenitasa miaka 6 sasa,,,, ata nijue tu jinsi za kuondoa ,,, nitashukuru,, imefanya nimekaa maskini wa ndani kwa upweke,,,