UKITAKA KUAONA WACHWI TUMIA MTI WA MBAAZI KWA NJIA HII/maalim shabani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 32

  • @user-wy7zl2vr6k
    @user-wy7zl2vr6k Před 4 měsíci +2

    Hao watu wanaokuhoji wanatukera wanatukerasana binafsi siwapendi ukitakakuelezee wanakukatisha, hadi kipindikinaisha , wanakera sana sana sana ,

  • @EricMbuto
    @EricMbuto Před 27 dny

    Mashallah sh ila ATA NAMI na sumbuliwa na wanga ila naitaji dawa hio ya mtii wa mbaazi

  • @fatuma3969
    @fatuma3969 Před rokem +1

    Asaallm allykm shekh na kupenda kwa ajili ya allh mungu akulinde

  • @jamalysungu8131
    @jamalysungu8131 Před rokem +1

    Mashaallah mwenyzi mungu atuongoze tuwe na hofu ya allah

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 Před rokem +3

    MashaALLAH ALLAH Afikum Afya wa wabarik

  • @EricMbuto
    @EricMbuto Před 27 dny

    N Eric angana apa kutoka Mombasa kenya

  • @SaumuRashid-ji9fe
    @SaumuRashid-ji9fe Před rokem

    Asalam aleikum maalim shaaban mungu azidi kukulinda inxhalla pamoja na familia yko

  • @MasudFadhili
    @MasudFadhili Před rokem +1

    Mungu akulinde Maalim shahaban

  • @user-rj1qn8us7z
    @user-rj1qn8us7z Před 5 měsíci

    Good work God bless you 🤝

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 3 měsíci +1

    Mnakera wanaokuhoji HAWAJUI kabisa kuhoji

  • @emmymajula5164
    @emmymajula5164 Před rokem

    Shekhe mungu akufanyie wepesi inshallah 🤲

  • @emmymajula5164
    @emmymajula5164 Před rokem

    Allah anifanyie wepesi nipone inshallah

  • @hafsakabutiei3707
    @hafsakabutiei3707 Před rokem

    From Kenya JazakAllahu kheir

  • @user-my2vm5pt9o
    @user-my2vm5pt9o Před 6 měsíci

    Mimi Niko mwamini mpya.natska Sasa wakunifunza il n'a mimi ni jue kuyasoma inshallah

  • @VivianViv-h7l
    @VivianViv-h7l Před rokem

    Mashallah maalim shabani

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 Před rokem +1

    Umetunyima hee😂

  • @MsambyaNdulu-uw4do
    @MsambyaNdulu-uw4do Před měsícem

    Sura hiyo ume sema ni kitabu cha mtume Mohamad sasa katika biblia wakristo wasome sura gani?

  • @rizikisalum
    @rizikisalum Před rokem

    Sheikh tunakuomba uje Zanzibar maan mmmh

  • @safmarwa2977
    @safmarwa2977 Před rokem +1

    Story tamu lakini mda mdogo

  • @mahmudumsuya3831
    @mahmudumsuya3831 Před rokem

    MOLA akujaalie heri

  • @user-vz3ql5yn2w
    @user-vz3ql5yn2w Před rokem

    Asalm aleikwu usitazi naoba namba ya simu hapo hazionekani vizuri

  • @BenemweteAmisi-li1wb
    @BenemweteAmisi-li1wb Před 11 měsíci

    Asante sana

  • @safmarwa2977
    @safmarwa2977 Před rokem +1

    Na sisi tuko mbali tutapataje???

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 Před rokem +1

    Watu wa kenya wanawezaj kupata dawa zako

  • @mansourkombo587
    @mansourkombo587 Před rokem

    Shehe ukianza kuchukuwa wanafunzi naomna niptr iyo bahat

  • @mothersmothersnasry9341

    Yani shekhe ulivozungumza hii stori km mm ilinitokea nilipofumba macho mama mwenyenyumba wangu teali alikuwa marehem ameingia ndani na mlango ulikuwa wazi tulisahau kufunga nilipotaka kumuamsha mume wangu alinifumba mdomo nikawa bubu kbs

    • @salha9186
      @salha9186 Před rokem

      Urifanyaje sasa ili umuone urikuwa usingizini ao urikuwa macho

  • @HamidaUkwayu-pg6np
    @HamidaUkwayu-pg6np Před rokem

    Sasa kwa ambao tuko mbali tunapataje tiba

  • @FatumaMaiga-j7g
    @FatumaMaiga-j7g Před rokem

    Naomba namba yako Nina shida