MWIJAKU hatiani kukabiliwa na kesi ya kifungo miaka 15 CHINA kwa hili alilofanya
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- HURUMA KILICHO MKUTA STEVE MWEUSI ASHUSHIWA KIPIGO KIZITO CHANZO CHA UGOMVI HIKI HAPA
KIMENUKA STEVE MWEUSI NA SHAFII BRAND WAPIGANA TAIFA LEO NGUMI ZA MAANA WAGOMBANIA MSEMO KUOGA AAH
Shafii Na Steve Mweusi Wazichapa Taifa
UGOMVI MZITO: STEVE MWEUSI NA SHAFII WAPIGANA LIVE
KIMENUKA STEVE MWEUSI NA SHAFII BRAND WAGOMBANIA MSEMO WA KUOGA AAH NDARO NA MR MWANYA WAINGILIA
Wachekeshaji Steve Mweusi na Shaffih washambuliana mtandaoni kisa msemo wa kuoga aah
BABA JOAN UMALAYA TU KUOGA AAAH #comedy #clamvevo #babajoan #kicheche #stevemweusi #ndaro #mwakatobe
#comedy #TOP10 #wachekeshaji
TOP 10 WACHEKESHAJI MATAJIRI NA MAGARI WANAYO MILIKI TANZANIA LIST RASMI IMETOKA COMEDY INALIPA
TOP 10 MASTAA WENYE BIFU ZITO NA ZUCHU WALIO SHINDWA KUMTOA KWA DIAMOND WALIO MPIGA MATUKIO MAZITO
WASANII 10 MATAJIRI ZAIDI TANZANIA 2023/2024 LIST RASMI IMETOKA
TOP 10 MASTAA WALIO ACHANA VIBAYA NA KUTOLEANA SIRI ZA NDANI ZARI/LUKAMBA/RAYVANNY/HARMONIZE/KAJALA
#lukamba #cecy
TOP 10 COUPLE BORA ZA MASTAA NA WAPENZI WAO NA UMRI WALIO PISHANA 2022 - 2023 EAST AFRICA
TOP 10 WASANII MATAJIRI BONGO 2021 2022 WANAO INGIZA PESA NYINGI LIST RAMSI IMETOKA
MASTAA WANAWAKE 10 WENYE WATOTO CHINI YA MIAKA 25 SUPER WOMAN
ANAWAKE 10 MASTAA WENYE SIMU ZA BEI KUBWA AFRICA MASHARIKI UTASHANGAA
TOP 10 YA MASTAA WAKIKE WANAO FANANA KILA KITU MAPACHA
WANAWAKE MAARUFU 10 MASTAA WENYE LIPS NZURI TANZANIA
TOP 10 ya Watoto wa mastaa wanaotikisa Instagram Bongo
TOP 10 MASTAA WAIOFANYA SURGERY KUBWA EAST AFRICA
TOP 10 MASTAA WA KIKE WAZURI ZAID TANZANIA/WASICHANA 10 WENYE MVUTO ZAID WA SURA NA SHEPU TANZANIA
MASTAA WANAWAKE 10 TANZANIA WAZURI NA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 30 TOP 10
WANAWAKE 10 MASTAA WENYE MAKALIO MAKUBWA TANZANIA
MASTAA 10 WA KIUME WENYE SURA NZURI ZAID TANZANIA/TOP TEN WASANII WA KIUME WENYE MVUTO ZAIDI
TOP 10: LISTI ya WASANII Wanaojua KUTUPIA NGUO za GHARAMA na KUPENDEZA BONGO...
TOP 10 Wasanii Ma Handsome ZAIDI Tanzania (Handsome Boy) Part 1
MASTAA 10 WENYE MKWANJA MREFU BONGO!
WATOTO WA MASTAA WATAOSUMBUA VIDUME
Top 10 ya mastaa waliowahi kukiri kuwa Messi ni bora kuliko Ronaldo
LIST YA WATOTO WA MASTAA KUMI WANAOJUA KUVAA NA KUPENDEZA
TOP 10 List ya wasanii Matajiri ZAIDI Kuliko Wote Duniani Mwaka 2021 | 2022
TOP 15 Majina Halisi Na Miaka Kamili ya Mastaa Kutoka Tanzania
WASANII 15 WANAOJUA KUONGEA ENGLISH TANZANIA HAWA APA/MASTAR 15 WANAOJUA KUONGEA KIINGEREZA ZAID
MASTAA 10 WAREMBO ZAIDI AFRIKA MASHARIKI-2020/ TOP 10 MOST BEAUTIFUL CELEBRITIES IN EAST AFRICA.
HAWA ndo WASANII 5 wenye MAGARI YA KIFAHARI Tanzania
JEURI YA PESA! Jionee Mastaa 10 Wanaomiliki Ndege Binafsi
Rayvanny X Harmonize - SENSEMA (Official Dance Video)
Ibraah Feat. Billnass & Whozu - Tubariki (Official Dance Video)
Alikiba feat Billnass - Fallen Angel (Visualiser)
Geniusjini X66 Ft Jay melody -Far Away ( Official Visualizer)
Mbosso ft Jaivah & DJ Awekening - Dokta (Official Lyric Video)
Ay Masta Feat. Marioo - Yule Remix (Official Music Video)
Barnaba feat Mbosso & Yammi - Nibusu (Official Music Video)
Maua Sama feat Nandy - Poa (Visualiser)
Kendrick Lamar - Not Like Us
Kontawa Ft Harmonize - Binadamu [Official Music Video]
Sinaga Swagga Session 7 - Msukuma Mjanja
Lava Lava - Maji (Official Music Video)
Chino kidd ft Rich Mavoko - Mwakitale (Official Music Video)
🚫➡️🛠️ DIY Asphalt Repair: Transforming Potholes Step-by-Step!
NATUMIA MILIONI 1.5 KWA SIKU , KILA NIKITOKA NYUMBANI KWANGU - SISHKIKII
#ZaNdaaani TAJIRI KAFANYA UMAFIA KWA STAA WA WATANI / KAMUWEKEA BIL 3 BENKI / KIJANA KAVURUGWA HUKO
NDARO ALIVOMTONGOZA SHEMEJI YAKE KISA STEVE UTACHEKA
Unaongea sana na kurudia maneno unachosha mwijaku akifungwa nitafurai sna😂😂😂😂😂
Ukikosa aibu kama mwijaku au baba levo mwisho wako ni mbaya sana mambo wanayoyafanya watu wa aina hii yanapendwa na nafsi zao tu.
Huyu mtangazaji wa Kondoa Nini😭😭😭 hajui kitu uumbavu zake
Mwijaku pole sana kaka yangu ..sifa hanzifai umezidi sana misifa
Mwijaku ataishia pabaya kirahisi sana anadhn ujinga wake tz dunian unakubalika
Hao wana haki katika nchi zao sio Kama kwetu mwanamke umbebetu na kumzalilisha😂😂😂
tabia mbaya halafu anapenda sifa sna
Nyie acheni habari za uongo😂
Acha uwonqo mwijaku yupo Tanzania amerudi jana13/7/2024
Hilo sii tatizo kwenyesheria, ila tatizo pale watakapo toa mastaka nasheria ifanyike ndio shida ss
Shda huyu jamaa anapenda sana kukurupuka
Ndomana Leo mwijaku hajapost🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nenda straight kwenye topic unapoteza muda
Wabongoniwadudu kamawaduduwengine sijawahionamdudu akijitambua ndivomulivo shwain
Ataenda kuukalia wa kichina😂😂😂😂
Akiazibiwabora tawapa wachina🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😀😀 kwisha abari yake
Waongo wandishi wahabari hawezi kupatwa nachochote kikityu hii
Mwijaku mbona anahakili za kitoto Mimi Niko hapa Zambia kumgusa mwanamuke asiye wako kwe makalio au matiti hiyo inaitwa disentre a sort miaka 30jela hapa Zambia Hilo nikosa kubwa sana
Mfungeni maisha huyo
Huko ndio anakostahili kuishi na watu wa level yake,
You bribed me a lot
Nami spendi na anavyio Kuwa na misifa mingi wachia watu wakusifie sio wewe fungwa tuh none of my business 😂😂😂
🇨🇳 wanajuwa kama mwijaku sio raiya wa China kakoseya ila % kubwa atasamehewa na ndugu yetu anatakiwa abadilike pale sio bongo
Walizani uko nitanzania acha wapambane nahaliyao😂
Kweli mwijaku umezidi sana sifa utabeba vipi mwanamke hujui ata ni mke wa nani
Mwinjaku ana akili kabisha amesoma lakini mwenda wazimu
Na kama angejua sheria za China, hata ukiwaona wanafunzi wa chuo kushikana tu mikono hilo huko halipo kabisaa. Sheria na maadili ya China wako vizuri
Unazunguka sana
Mara nying watu aina hii kama mwijaku wanakuwaga mashoga
🙆♂️🙆♂️🙆♂️huku nako Tz masudi kipanya anamsubiri bilioni 5 amlipe kipanya kwa kumchafulia jina akipatikana na hatia .haya kaenda China kazua mengine 😮😮mwijaku huu mwaka umeyatimba umezoea kumtukana diamond, zuchu,wanakukalia kimya sasa hayo ndy malipo yao kwa wale wote ulikuwa unawatusi bila sababu mungu amewalipia ndyo ukome kutukana na kumnyanyua juu mtu usiyemjua. Mwijaku utapata tabu sn
Ila uongo wako umezidi😅😅😅
Huu ni umbea Tu,,,hawezi Fanya vile bila kumcosalt,,
Mwenzangu mwijaku punguza ufala na majivuno kesi ya kwanza haujamaliza ya Masoud kipanya unatengeza nyinyine tuliza akili yako kaka yangu
Tatizo la huyu mwijakuu uwagaaa miaka yote ana kierere
Kusema u kwel uyu kaka nichekeshaji sana ila asikulupupe kufanya ivyo tena mm napenda kwanza kamlahaja Fanya haongee nae kwanza ndio hafanye hayomatukiwo yake ilakajifunza hataludia tena
iyosiyombongo iyonichina inambindi mweshimiwa amsandiye
Puzunguza maneno
Kiukweli china wanasheria ni kali sana
Yametokea puany kkkkkk
Hii sio sawa
Heee mungu mkubwa faida yakutaka kiki sasa yamemkuta apewe adhabu kali .yeye angebeba wabongo ndiyo aliwazowesha wazimu hiyo.
Tulikwambia utafungwa kwa wenyewe kwan aliwapeleka nani huko nchi za wenyewe hamuwezi kuhekiti tanzania mpaka nchi za wenyewe
Hata hapa Tanzania unachukuliwa hatua ya kisheria, ni shambulio la aibu eidha kumshika, kumbeba, kumkonyeza na kumtusi
Sheria za nchi za watu ni zakuwa makini nazo sana, kama inge kuwa sudani mjaku ange uwawa, sudani ni marufuku kumshika mwanamke au kumgusa kama sii mke wako.
Mwinjaku dunia kaiweka mbele mpaka anakosa akili ya kujua kua hili sawa hili sio sawa
Usitupigie kelele tafadhali hiyo ni kazi yake tumemzoea commedian anaruhusiwa kuigiza popote😂
Ila jamani sokawaida hatakama nihapa tz kwa mfano angekuwa mke wake ilikuwa ni sawa?
Acha afungwe ujinga anaofanya Tanzania anaupeleka nchi za watu
Mwijaku ana kimbelembele sana,yaani ni mtu ambae hana HEKIMA wala MAARIFA.
Yeye anategemea vile kapelekwa huko basi afanye anavyotaka.
Namuombea MUNGU amrehemu,amsaidie maana amejifunza hasara za kuishi maisha ya comedi hadi Nchi za watu,asifungwe jamani.
Wafungwe tu ili iwe fundisho kwa wengne maana sisi watu weusi tunaishi kwa mazoea
Wewe mtoa taarifa unazunguka hovyo pili wakome
Unchosha ulituwekea mb we mpuuzi hufai tafuta Kazi ingine
Shida sifa bila kujua Sheria za eneo launalotaka kufanyia hizo sifa binafsi ningekuwa huko ningesema wamwache tu maana hakuwa nania mbaya
Wasanii wa Tanzania waache Mungu akawahukumie kwenye nchi zingine wamewaharibu wadada Tanzania Tanzania yenye maadili.wameihalibu.jamani wadada wanavaa taiti barabarani wanawaharibia wasichana mm sipendi Mungu awalete wengi wengi kwenye nchi zenye sheria kali tusikiage wamefungwa au wamepewa onyo kali mwe wameiharibu Tz wasaninii hawa mm siwapendagi.eti.shetan.anawatumia sana hawaangalii.saman ya binadamu.wanapiga.hela.tu.da
Mwijaku anadhani China ni km Tz kimemramba. Tz wanawake wana kubali kushikwa ifike muda sheria iwe km China
Wachina wanafanya mangapi hapa kwetu wamrudishe bongo
Mbona tulikutana naye dubai majuzi apa kwani tarifa nizalini
Uyojama auanakura mjan mana
Ndio unasema kwl kbs siovizur alichofanya nikosa, ila mwejaku atajuta kifanya mambo yakishamba shamba bilakufiliria Huku hairuhusiw hatakumgusa mtu bila nizamu yake utafunguliwa kesi alitakiwa aulize ninichakufanya na nini ambachohawezi fanya
Hata hapa Tanzania kumshika shika mke mtu ni kosa kisheria .
Mmi huyu jamaa huwa cimuelewi kuingia maungoni mwa wake zawatu
Uongo huo , tafuteni kiki nyingine
Afungwe2 tumewachoka nakujipendekeza kwao
Anzeni kumchangia huu ni msala tayari
@@Qqambaa Achangiwe na ccm
Kila Nchi Awakosi Watu Wa Maisha Tofauti Kikubwa Kupendana2 Mengine Ayana Mana
Hawasubutu kumfunga kama kweli asa ao wachina wanaume kweli wamfunge sasa tuone!
Unajua kinachoonekana na kumshikashika au na wewe ni ki taaira mtangazaji?
Auna content wew unaleta sheria za watu wenye midomo ya chuki eti ni sheria ya china 🇨🇳
Sifa nyengine hazifai kake mwijaku
😂😂😂😂😂😂uongo
Bora wamtiye adabu aliye mroga alisha fariki sssa anakuwa anabweka bweka tu bila ufaham .
Kukamatwa mbona wageni hurudishwa kwao hivyo niseme arufidishwe
Sasa mbona unaongea sana kama unaogopa kuachwa😢
Yamemkuta. Hata huku Africa mimi sikua napenda namna alivyo kua akishika shika wake za watu wakati wake anamfungia ndani
Masifa yake yamemponza
is okay china good
Hili jamaa ni jinga na sababu ni kwamba halina kazi ya kufanya zaidi ya kubebwabebwa tu
Tatizo ushamba na ujinga jifunzeni sheria za watu kabla ya kusafiri nchi za watu
Sio china tu,hata na (Dini yake)hairuhusu kumshika mke wa mtu.likimpata acha limpate ,amevuka mipaka.
Uongo mwijaku karud Acha umbea nyau ww ilooo domo
Huyu jamaa kama cjui ana nini kishwani anatia aibu kishwa maji
Aaa Afungwe tu pumbavu sana
Kafanya makosa atapigwa ushu
Nomasana du! Asameewetu make kukosea kupo kwakilamtu tu pia kosa nimalamojatu ivo ubalozi naserikali yetu wakae kihiimani zen wamsameetu kwani akuna anaezaliwa akijuwa kilajambo iyo niakunaga kabisa
Jamn kierehere uyu
Huyu Jamaa ni misifa sana
Alizani n wema sepetu bongo. Iyo nchi niyakisheria zaid kwahyo atawew ukienda China mazoea ya tz usipeleke china
Mwijaku ni matako ameigiza muv bila kibali
Kama walikubaliana na hako kachina hapo Hana kosa ila Huyu mwijaku ni mpumbavu sana.. hivi ingekuwa ni mke wake kafanyiwa hivyo angefurahia? Istoshe hata mi binafsi swezi kukubali mke wangu afanyiwe hivyo.. huyu chawa angethubutu kufanya hivyo nchi za arabuni kwa sasa angesha dakwa..
😂😂😂😂😂😂
Sifa zikiwa nyingi mwishowe n utovu wa adabuu,
😂😂😂
Ili jamaa uwa ni chizi sana eshima hana
Mfungeni alaf mumnyonge kabisa mutuletee mzoga2 hapa tz tukafukie
Kafanya vibaya ilonikosa
Haji wamchongo mfungeni maisha chawa huyo
Sio china tu ata yeye angeshikiwa mkewe kama ivi yeye mwijaku angejiskiaje??
Sema unataka views tu
Mwenyw Nik nae hap anampend anasem nikuach unatafut ugal nisij kukualibia sorry bro
Kamboa sana
ushamba mwingi ale miaka tu make muda mwingine majigambo, hata hao anapromote biashara zao hawana watu wengine mfano akina masanja, steve mweusi, mpoki nk
Wahumi tu nyie Hadi wewe mtangazaji
Siyo China tu, 🇨🇳 nchi za wenzetu kumshika mwanamke matako, matiti n.k ni kosa, watu wanatafuta pesa usiku na mchana za fidia, ukimgusa tu, umekwenda na maji
KIHEREHERE KINGINE SIO KIZURI