MWIJAKU hatiani kukabiliwa na kesi ya kifungo miaka 15 CHINA kwa hili alilofanya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • HURUMA KILICHO MKUTA STEVE MWEUSI ASHUSHIWA KIPIGO KIZITO CHANZO CHA UGOMVI HIKI HAPA
    KIMENUKA STEVE MWEUSI NA SHAFII BRAND WAPIGANA TAIFA LEO NGUMI ZA MAANA WAGOMBANIA MSEMO KUOGA AAH
    Shafii Na Steve Mweusi Wazichapa Taifa
    UGOMVI MZITO: STEVE MWEUSI NA SHAFII WAPIGANA LIVE
    KIMENUKA STEVE MWEUSI NA SHAFII BRAND WAGOMBANIA MSEMO WA KUOGA AAH NDARO NA MR MWANYA WAINGILIA
    Wachekeshaji Steve Mweusi na Shaffih washambuliana mtandaoni kisa msemo wa kuoga aah
    BABA JOAN UMALAYA TU KUOGA AAAH #comedy #clamvevo #babajoan #kicheche #stevemweusi #ndaro #mwakatobe
    #comedy #TOP10 #wachekeshaji
    TOP 10 WACHEKESHAJI MATAJIRI NA MAGARI WANAYO MILIKI TANZANIA LIST RASMI IMETOKA COMEDY INALIPA
    TOP 10 MASTAA WENYE BIFU ZITO NA ZUCHU WALIO SHINDWA KUMTOA KWA DIAMOND WALIO MPIGA MATUKIO MAZITO
    WASANII 10 MATAJIRI ZAIDI TANZANIA 2023/2024 LIST RASMI IMETOKA
    TOP 10 MASTAA WALIO ACHANA VIBAYA NA KUTOLEANA SIRI ZA NDANI ZARI/LUKAMBA/RAYVANNY/HARMONIZE/KAJALA
    #lukamba #cecy
    TOP 10 COUPLE BORA ZA MASTAA NA WAPENZI WAO NA UMRI WALIO PISHANA 2022 - 2023 EAST AFRICA
    TOP 10 WASANII MATAJIRI BONGO 2021 2022 WANAO INGIZA PESA NYINGI LIST RAMSI IMETOKA
    MASTAA WANAWAKE 10 WENYE WATOTO CHINI YA MIAKA 25 SUPER WOMAN
    ANAWAKE 10 MASTAA WENYE SIMU ZA BEI KUBWA AFRICA MASHARIKI UTASHANGAA
    TOP 10 YA MASTAA WAKIKE WANAO FANANA KILA KITU MAPACHA
    WANAWAKE MAARUFU 10 MASTAA WENYE LIPS NZURI TANZANIA
    TOP 10 ya Watoto wa mastaa wanaotikisa Instagram Bongo
    TOP 10 MASTAA WAIOFANYA SURGERY KUBWA EAST AFRICA
    TOP 10 MASTAA WA KIKE WAZURI ZAID TANZANIA/WASICHANA 10 WENYE MVUTO ZAID WA SURA NA SHEPU TANZANIA
    MASTAA WANAWAKE 10 TANZANIA WAZURI NA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 30 TOP 10
    WANAWAKE 10 MASTAA WENYE MAKALIO MAKUBWA TANZANIA
    MASTAA 10 WA KIUME WENYE SURA NZURI ZAID TANZANIA/TOP TEN WASANII WA KIUME WENYE MVUTO ZAIDI
    TOP 10: LISTI ya WASANII Wanaojua KUTUPIA NGUO za GHARAMA na KUPENDEZA BONGO...
    TOP 10 Wasanii Ma Handsome ZAIDI Tanzania (Handsome Boy) Part 1
    MASTAA 10 WENYE MKWANJA MREFU BONGO!
    WATOTO WA MASTAA WATAOSUMBUA VIDUME
    Top 10 ya mastaa waliowahi kukiri kuwa Messi ni bora kuliko Ronaldo
    LIST YA WATOTO WA MASTAA KUMI WANAOJUA KUVAA NA KUPENDEZA
    TOP 10 List ya wasanii Matajiri ZAIDI Kuliko Wote Duniani Mwaka 2021 | 2022
    TOP 15 Majina Halisi Na Miaka Kamili ya Mastaa Kutoka Tanzania
    WASANII 15 WANAOJUA KUONGEA ENGLISH TANZANIA HAWA APA/MASTAR 15 WANAOJUA KUONGEA KIINGEREZA ZAID
    MASTAA 10 WAREMBO ZAIDI AFRIKA MASHARIKI-2020/ TOP 10 MOST BEAUTIFUL CELEBRITIES IN EAST AFRICA.
    HAWA ndo WASANII 5 wenye MAGARI YA KIFAHARI Tanzania
    JEURI YA PESA! Jionee Mastaa 10 Wanaomiliki Ndege Binafsi
    Rayvanny X Harmonize - SENSEMA (Official Dance Video)
    Ibraah Feat. Billnass & Whozu - Tubariki (Official Dance Video)
    Alikiba feat Billnass - Fallen Angel (Visualiser)
    Geniusjini X66 Ft Jay melody -Far Away ( Official Visualizer)
    Mbosso ft Jaivah & DJ Awekening - Dokta (Official Lyric Video)
    Ay Masta Feat. Marioo - Yule Remix (Official Music Video)
    Barnaba feat Mbosso & Yammi - Nibusu (Official Music Video)
    Maua Sama feat Nandy - Poa (Visualiser)
    Kendrick Lamar - Not Like Us
    Kontawa Ft Harmonize - Binadamu [Official Music Video]
    Sinaga Swagga Session 7 - Msukuma Mjanja
    Lava Lava - Maji (Official Music Video)
    Chino kidd ft Rich Mavoko - Mwakitale (Official Music Video)
    🚫➡️🛠️ DIY Asphalt Repair: Transforming Potholes Step-by-Step!
    NATUMIA MILIONI 1.5 KWA SIKU , KILA NIKITOKA NYUMBANI KWANGU - SISHKIKII
    #ZaNdaaani TAJIRI KAFANYA UMAFIA KWA STAA WA WATANI / KAMUWEKEA BIL 3 BENKI / KIJANA KAVURUGWA HUKO
    NDARO ALIVOMTONGOZA SHEMEJI YAKE KISA STEVE UTACHEKA

Komentáře • 147

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 2 měsíci +10

    Unaongea sana na kurudia maneno unachosha mwijaku akifungwa nitafurai sna😂😂😂😂😂

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 Před 2 měsíci +4

    Ukikosa aibu kama mwijaku au baba levo mwisho wako ni mbaya sana mambo wanayoyafanya watu wa aina hii yanapendwa na nafsi zao tu.

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před měsícem +3

    Huyu mtangazaji wa Kondoa Nini😭😭😭 hajui kitu uumbavu zake

  • @edinafaustinez8514
    @edinafaustinez8514 Před 2 měsíci +4

    Mwijaku pole sana kaka yangu ..sifa hanzifai umezidi sana misifa

  • @user-bo3jd6ng5d
    @user-bo3jd6ng5d Před 2 měsíci +2

    Mwijaku ataishia pabaya kirahisi sana anadhn ujinga wake tz dunian unakubalika

  • @DuuSaid
    @DuuSaid Před 2 měsíci +1

    Hao wana haki katika nchi zao sio Kama kwetu mwanamke umbebetu na kumzalilisha😂😂😂

  • @naddykhamis9667
    @naddykhamis9667 Před měsícem +1

    tabia mbaya halafu anapenda sifa sna

  • @fatmaahmedmzee1031
    @fatmaahmedmzee1031 Před měsícem +1

    Nyie acheni habari za uongo😂

  • @NassourSalim
    @NassourSalim Před 2 měsíci +3

    Acha uwonqo mwijaku yupo Tanzania amerudi jana13/7/2024

    • @ClaudeBukasa-w6q
      @ClaudeBukasa-w6q Před měsícem

      Hilo sii tatizo kwenyesheria, ila tatizo pale watakapo toa mastaka nasheria ifanyike ndio shida ss

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv Před 2 měsíci +1

    Shda huyu jamaa anapenda sana kukurupuka

  • @GabbyRomnize
    @GabbyRomnize Před 2 měsíci

    Ndomana Leo mwijaku hajapost🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @JonathanMGAIWA-ow4py
    @JonathanMGAIWA-ow4py Před měsícem

    Nenda straight kwenye topic unapoteza muda

  • @AbeidMabrouk-yu7iy
    @AbeidMabrouk-yu7iy Před měsícem

    Wabongoniwadudu kamawaduduwengine sijawahionamdudu akijitambua ndivomulivo shwain

  • @fredrickchisanyo6663
    @fredrickchisanyo6663 Před měsícem

    Ataenda kuukalia wa kichina😂😂😂😂

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Před 2 měsíci +1

    Akiazibiwabora tawapa wachina🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DoreenOmmy-gw3op
    @DoreenOmmy-gw3op Před 2 měsíci +3

    😀😀 kwisha abari yake

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 2 měsíci +2

    Waongo wandishi wahabari hawezi kupatwa nachochote kikityu hii

  • @FranklinLux
    @FranklinLux Před měsícem

    Mwijaku mbona anahakili za kitoto Mimi Niko hapa Zambia kumgusa mwanamuke asiye wako kwe makalio au matiti hiyo inaitwa disentre a sort miaka 30jela hapa Zambia Hilo nikosa kubwa sana

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +4

    Mfungeni maisha huyo
    Huko ndio anakostahili kuishi na watu wa level yake,

  • @Nanata1995
    @Nanata1995 Před měsícem +1

    You bribed me a lot

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 Před měsícem

    Nami spendi na anavyio Kuwa na misifa mingi wachia watu wakusifie sio wewe fungwa tuh none of my business 😂😂😂

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 Před 2 měsíci +1

    🇨🇳 wanajuwa kama mwijaku sio raiya wa China kakoseya ila % kubwa atasamehewa na ndugu yetu anatakiwa abadilike pale sio bongo

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv Před měsícem

    Walizani uko nitanzania acha wapambane nahaliyao😂

  • @chidikhalifa
    @chidikhalifa Před měsícem

    Kweli mwijaku umezidi sana sifa utabeba vipi mwanamke hujui ata ni mke wa nani

  • @user-vh4rz4qp8z
    @user-vh4rz4qp8z Před měsícem

    Mwinjaku ana akili kabisha amesoma lakini mwenda wazimu

  • @makondorshimora5017
    @makondorshimora5017 Před měsícem

    Na kama angejua sheria za China, hata ukiwaona wanafunzi wa chuo kushikana tu mikono hilo huko halipo kabisaa. Sheria na maadili ya China wako vizuri

  • @user-gy5fo6zv6w
    @user-gy5fo6zv6w Před měsícem +2

    Unazunguka sana

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 Před 2 měsíci +1

    Mara nying watu aina hii kama mwijaku wanakuwaga mashoga

  • @joycendanundanu9218
    @joycendanundanu9218 Před 2 měsíci +1

    🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️huku nako Tz masudi kipanya anamsubiri bilioni 5 amlipe kipanya kwa kumchafulia jina akipatikana na hatia .haya kaenda China kazua mengine 😮😮mwijaku huu mwaka umeyatimba umezoea kumtukana diamond, zuchu,wanakukalia kimya sasa hayo ndy malipo yao kwa wale wote ulikuwa unawatusi bila sababu mungu amewalipia ndyo ukome kutukana na kumnyanyua juu mtu usiyemjua. Mwijaku utapata tabu sn

  • @MrTiba_T.v
    @MrTiba_T.v Před 2 měsíci

    Ila uongo wako umezidi😅😅😅

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Před 2 měsíci +1

    Huu ni umbea Tu,,,hawezi Fanya vile bila kumcosalt,,

  • @saidalnaamani1233
    @saidalnaamani1233 Před měsícem

    Mwenzangu mwijaku punguza ufala na majivuno kesi ya kwanza haujamaliza ya Masoud kipanya unatengeza nyinyine tuliza akili yako kaka yangu

  • @SipeKato
    @SipeKato Před 2 měsíci

    Tatizo la huyu mwijakuu uwagaaa miaka yote ana kierere

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op Před 2 měsíci

      Kusema u kwel uyu kaka nichekeshaji sana ila asikulupupe kufanya ivyo tena mm napenda kwanza kamlahaja Fanya haongee nae kwanza ndio hafanye hayomatukiwo yake ilakajifunza hataludia tena

  • @KaijageEvodius
    @KaijageEvodius Před měsícem

    iyosiyombongo iyonichina inambindi mweshimiwa amsandiye

  • @andrewmlowezi2610
    @andrewmlowezi2610 Před 2 měsíci +1

    Puzunguza maneno

  • @user-wj9vl9yg6h
    @user-wj9vl9yg6h Před 2 měsíci

    Kiukweli china wanasheria ni kali sana

  • @AnchaCadrebuana-b3y
    @AnchaCadrebuana-b3y Před 2 měsíci +1

    Yametokea puany kkkkkk

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga9700 Před 2 měsíci

    Hii sio sawa

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Před 2 měsíci

    Heee mungu mkubwa faida yakutaka kiki sasa yamemkuta apewe adhabu kali .yeye angebeba wabongo ndiyo aliwazowesha wazimu hiyo.

  • @zenajumanne2454
    @zenajumanne2454 Před měsícem

    Tulikwambia utafungwa kwa wenyewe kwan aliwapeleka nani huko nchi za wenyewe hamuwezi kuhekiti tanzania mpaka nchi za wenyewe

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi Před 2 měsíci +2

    Hata hapa Tanzania unachukuliwa hatua ya kisheria, ni shambulio la aibu eidha kumshika, kumbeba, kumkonyeza na kumtusi

  • @jumannemagawa5095
    @jumannemagawa5095 Před měsícem

    Sheria za nchi za watu ni zakuwa makini nazo sana, kama inge kuwa sudani mjaku ange uwawa, sudani ni marufuku kumshika mwanamke au kumgusa kama sii mke wako.

  • @user-ow6fw2lw7n
    @user-ow6fw2lw7n Před měsícem

    Mwinjaku dunia kaiweka mbele mpaka anakosa akili ya kujua kua hili sawa hili sio sawa

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 2 měsíci

    Usitupigie kelele tafadhali hiyo ni kazi yake tumemzoea commedian anaruhusiwa kuigiza popote😂

  • @IsugiloGwanda
    @IsugiloGwanda Před měsícem

    Ila jamani sokawaida hatakama nihapa tz kwa mfano angekuwa mke wake ilikuwa ni sawa?

  • @user-ot6so8ko8e
    @user-ot6so8ko8e Před měsícem

    Acha afungwe ujinga anaofanya Tanzania anaupeleka nchi za watu

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly Před 2 měsíci

    Mwijaku ana kimbelembele sana,yaani ni mtu ambae hana HEKIMA wala MAARIFA.
    Yeye anategemea vile kapelekwa huko basi afanye anavyotaka.
    Namuombea MUNGU amrehemu,amsaidie maana amejifunza hasara za kuishi maisha ya comedi hadi Nchi za watu,asifungwe jamani.

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 Před 2 měsíci

    Wafungwe tu ili iwe fundisho kwa wengne maana sisi watu weusi tunaishi kwa mazoea

  • @GaspercomedyTv
    @GaspercomedyTv Před 2 měsíci +1

    Wewe mtoa taarifa unazunguka hovyo pili wakome

  • @anthonysegereti9795
    @anthonysegereti9795 Před měsícem

    Unchosha ulituwekea mb we mpuuzi hufai tafuta Kazi ingine

  • @ThomasMgwabati-cj1zh
    @ThomasMgwabati-cj1zh Před měsícem

    Shida sifa bila kujua Sheria za eneo launalotaka kufanyia hizo sifa binafsi ningekuwa huko ningesema wamwache tu maana hakuwa nania mbaya

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před měsícem

    Wasanii wa Tanzania waache Mungu akawahukumie kwenye nchi zingine wamewaharibu wadada Tanzania Tanzania yenye maadili.wameihalibu.jamani wadada wanavaa taiti barabarani wanawaharibia wasichana mm sipendi Mungu awalete wengi wengi kwenye nchi zenye sheria kali tusikiage wamefungwa au wamepewa onyo kali mwe wameiharibu Tz wasaninii hawa mm siwapendagi.eti.shetan.anawatumia sana hawaangalii.saman ya binadamu.wanapiga.hela.tu.da

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 2 měsíci

    Mwijaku anadhani China ni km Tz kimemramba. Tz wanawake wana kubali kushikwa ifike muda sheria iwe km China

  • @songeza
    @songeza Před měsícem

    Wachina wanafanya mangapi hapa kwetu wamrudishe bongo

  • @Katembo-sk4xm
    @Katembo-sk4xm Před měsícem

    Mbona tulikutana naye dubai majuzi apa kwani tarifa nizalini

  • @MackSteve-i9l
    @MackSteve-i9l Před měsícem

    Uyojama auanakura mjan mana

  • @ClaudeBukasa-w6q
    @ClaudeBukasa-w6q Před měsícem

    Ndio unasema kwl kbs siovizur alichofanya nikosa, ila mwejaku atajuta kifanya mambo yakishamba shamba bilakufiliria Huku hairuhusiw hatakumgusa mtu bila nizamu yake utafunguliwa kesi alitakiwa aulize ninichakufanya na nini ambachohawezi fanya

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 Před 2 měsíci

    Hata hapa Tanzania kumshika shika mke mtu ni kosa kisheria .

  • @CholoFaizaan
    @CholoFaizaan Před 2 měsíci

    Mmi huyu jamaa huwa cimuelewi kuingia maungoni mwa wake zawatu

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 Před měsícem

    Uongo huo , tafuteni kiki nyingine

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye Před 2 měsíci

    Afungwe2 tumewachoka nakujipendekeza kwao

  • @Qqambaa
    @Qqambaa Před 2 měsíci +1

    Anzeni kumchangia huu ni msala tayari

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před 2 měsíci

    Kila Nchi Awakosi Watu Wa Maisha Tofauti Kikubwa Kupendana2 Mengine Ayana Mana

  • @MpembaHalisi
    @MpembaHalisi Před měsícem

    Hawasubutu kumfunga kama kweli asa ao wachina wanaume kweli wamfunge sasa tuone!

  • @cyrilmmasi5070
    @cyrilmmasi5070 Před měsícem

    Unajua kinachoonekana na kumshikashika au na wewe ni ki taaira mtangazaji?

  • @vannymokoca358
    @vannymokoca358 Před 2 měsíci

    Auna content wew unaleta sheria za watu wenye midomo ya chuki eti ni sheria ya china 🇨🇳

  • @frpznz972
    @frpznz972 Před měsícem

    Sifa nyengine hazifai kake mwijaku

  • @AbelFrancis-ww7cb
    @AbelFrancis-ww7cb Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂uongo

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Před 2 měsíci

    Bora wamtiye adabu aliye mroga alisha fariki sssa anakuwa anabweka bweka tu bila ufaham .

  • @songeza
    @songeza Před měsícem

    Kukamatwa mbona wageni hurudishwa kwao hivyo niseme arufidishwe

  • @user-mr7bc7tx6r
    @user-mr7bc7tx6r Před měsícem

    Sasa mbona unaongea sana kama unaogopa kuachwa😢

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 2 měsíci

    Yamemkuta. Hata huku Africa mimi sikua napenda namna alivyo kua akishika shika wake za watu wakati wake anamfungia ndani

  • @Katanamazurui
    @Katanamazurui Před měsícem

    Masifa yake yamemponza

  • @Malangalusaede
    @Malangalusaede Před 2 měsíci

    is okay china good

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd Před měsícem

    Hili jamaa ni jinga na sababu ni kwamba halina kazi ya kufanya zaidi ya kubebwabebwa tu

  • @YusuphMdaki
    @YusuphMdaki Před měsícem

    Tatizo ushamba na ujinga jifunzeni sheria za watu kabla ya kusafiri nchi za watu

  • @kagwafazuka7565
    @kagwafazuka7565 Před 2 měsíci

    Sio china tu,hata na (Dini yake)hairuhusu kumshika mke wa mtu.likimpata acha limpate ,amevuka mipaka.

  • @DaheerK
    @DaheerK Před měsícem

    Uongo mwijaku karud Acha umbea nyau ww ilooo domo

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu Před 2 měsíci

    Huyu jamaa kama cjui ana nini kishwani anatia aibu kishwa maji

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 Před 2 měsíci

    Aaa Afungwe tu pumbavu sana

  • @HassanNdarama
    @HassanNdarama Před měsícem

    Kafanya makosa atapigwa ushu

  • @MaliusMaliuskagumisa
    @MaliusMaliuskagumisa Před měsícem

    Nomasana du! Asameewetu make kukosea kupo kwakilamtu tu pia kosa nimalamojatu ivo ubalozi naserikali yetu wakae kihiimani zen wamsameetu kwani akuna anaezaliwa akijuwa kilajambo iyo niakunaga kabisa

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 Před 2 měsíci +1

    Jamn kierehere uyu

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga9700 Před 2 měsíci

    Huyu Jamaa ni misifa sana

  • @danielmwandenga5369
    @danielmwandenga5369 Před měsícem

    Alizani n wema sepetu bongo. Iyo nchi niyakisheria zaid kwahyo atawew ukienda China mazoea ya tz usipeleke china

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf Před měsícem

    Mwijaku ni matako ameigiza muv bila kibali

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Před 2 měsíci +1

    Kama walikubaliana na hako kachina hapo Hana kosa ila Huyu mwijaku ni mpumbavu sana.. hivi ingekuwa ni mke wake kafanyiwa hivyo angefurahia? Istoshe hata mi binafsi swezi kukubali mke wangu afanyiwe hivyo.. huyu chawa angethubutu kufanya hivyo nchi za arabuni kwa sasa angesha dakwa..

  • @SbOm-b7k
    @SbOm-b7k Před 2 měsíci

    Sifa zikiwa nyingi mwishowe n utovu wa adabuu,

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před měsícem

    Ili jamaa uwa ni chizi sana eshima hana

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim Před měsícem

    Mfungeni alaf mumnyonge kabisa mutuletee mzoga2 hapa tz tukafukie

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv Před měsícem

    Kafanya vibaya ilonikosa

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před měsícem

    Haji wamchongo mfungeni maisha chawa huyo

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 Před měsícem

    Sio china tu ata yeye angeshikiwa mkewe kama ivi yeye mwijaku angejiskiaje??

  • @SafariIbrahim-f2m
    @SafariIbrahim-f2m Před měsícem

    Sema unataka views tu

  • @IddyJm599
    @IddyJm599 Před měsícem

    Mwenyw Nik nae hap anampend anasem nikuach unatafut ugal nisij kukualibia sorry bro

  • @SokoloJonson
    @SokoloJonson Před měsícem

    Kamboa sana

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 Před 2 měsíci

    ushamba mwingi ale miaka tu make muda mwingine majigambo, hata hao anapromote biashara zao hawana watu wengine mfano akina masanja, steve mweusi, mpoki nk

  • @cyrilmmasi5070
    @cyrilmmasi5070 Před měsícem

    Wahumi tu nyie Hadi wewe mtangazaji

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 Před 2 měsíci

    Siyo China tu, 🇨🇳 nchi za wenzetu kumshika mwanamke matako, matiti n.k ni kosa, watu wanatafuta pesa usiku na mchana za fidia, ukimgusa tu, umekwenda na maji

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před měsícem

    KIHEREHERE KINGINE SIO KIZURI