MZEE MAGOMA AFICHUA YANGA WANAROGA SANA "MBINU ZAO HIZI HAPA KUIVAA SIMBA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024

Komentáře • 105

  • @joshuamhagama4311
    @joshuamhagama4311 Před měsícem +2

    🎉magoma uko vizuri unaujuwa mpira,siyo shabiki tuu,Mimi Ni Simba nakubaliana na uchabuzi WAKO ila KUMBUKUMBU mzee WANGU leo utafungwa,ila uwe mtulivu ukifungwa mtani leo unalala mtani

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 Před měsícem +2

    Mzee Unapagawa Uzeeni Wewe!! Unaongelea Sana Uchawi Kuliko Mpira Wenyewe!!!

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Před měsícem +2

    hayo ndio maisha uliyochagua.

  • @MariaSigan-i6g
    @MariaSigan-i6g Před měsícem +5

    Mzee mzima huna hata aibu😂😂😂😂😂😂😂

  • @asajiremandalasindabira5975

    Mzeee shikamoo

  • @stevenkessy7359
    @stevenkessy7359 Před měsícem

    Kama ndo hivo basi maliza kessy Yako Mzee magoma

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +1

    Umefeli sana mzee utapata tabu sanaaaaaa endelea tu kunen'geneka tu mzee utalipata unalotafuta mzee

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 Před měsícem +1

    Kasema ukweli

  • @stevenkessy7359
    @stevenkessy7359 Před měsícem

    Yaani kama mambo ndo hivo yalivyo tumia utamaduni huo kumalizia kesi Yako mahakamani Mzee magoma

  • @Juama-gn9bx
    @Juama-gn9bx Před měsícem

    Mzee yuko vizuli 😊😢

  • @NYEMOYOHANA-w5c
    @NYEMOYOHANA-w5c Před měsícem

    Tulien

  • @ZaaD31
    @ZaaD31 Před měsícem +1

    Mzee anafanana na Rick Ross kwa mbaaaali

  • @sumbaonline4002
    @sumbaonline4002 Před měsícem +1

    Huyu mzee msenge kweli kashindwa kesi ameona aichafue yanga

  • @DesertTears
    @DesertTears Před měsícem +1

    Badilisheni hicho kitv chenu mkiite magoma tv😂😂😂😂 mnalipa airtime kubwa sana hili likitu

    • @JabirJabir-c9o
      @JabirJabir-c9o Před měsícem

      Basi na ile media onayomuhoji ,mchome ipewe jina gani?

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 Před měsícem

    Magoma big up

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef Před měsícem +3

    Mzee UMEPIGAJE APO ! HHHHHHHH DAH KWELI MAKAFARA FC WAZEE WA KUCHUPA UKUTA

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před měsícem +3

    Huyu mzee anajuwa sana mpira

  • @user-lf5mo3tp9k
    @user-lf5mo3tp9k Před měsícem

    Huyu mzee akapimwe Afya ya Akili

  • @RauwrencMbwana
    @RauwrencMbwana Před měsícem +2

    Acha uongo we Mzee mpira nimazoezi

  • @hassankumba6938
    @hassankumba6938 Před 20 dny

    Hamna lolote huo ni ujanja ujanja wa mission town tu na njaa njaa. Nyie mnaye mhoji hoji mnapa mkanda. HANA LOLOTE .
    Anataka afuatwe apewe chochote akale. Huyo hana uchawi wala kurujuani. Huyo ni mipango ya hela tu.

  • @DaniBoeeTz
    @DaniBoeeTz Před měsícem

    😂😂 msenge uyu Mzee

  • @kareemmponda
    @kareemmponda Před měsícem

    mzee mjinga sana huyu,anajaribu kuichafua yanga kila kona

  • @user-hv4px1dh4l
    @user-hv4px1dh4l Před měsícem

    Huyo mzee njaa tu😮😮

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 Před měsícem +1

    Umechanganyikiwa najua Segerea inakusubili.

  • @hodaneymujib6621
    @hodaneymujib6621 Před měsícem

    Washrikina

  • @elgringo8592
    @elgringo8592 Před měsícem

    Kalinjombwe

  • @AlistideKiiza
    @AlistideKiiza Před měsícem

    Nataman nikichome ksu

  • @wililochristopher
    @wililochristopher Před měsícem

    Wewe mzee utakufa vibaya shauri yako

  • @user-gk9wq5pl6l
    @user-gk9wq5pl6l Před měsícem

    Uyo nae sukari nyingi

  • @aishaadam9933
    @aishaadam9933 Před 25 dny

    Ila uyu mzee nje na kupigania anachodai aki yake anashida uyuu ivii anania zur kwel na yang kama kwel anaipenda kama anavyodai

  • @andrewmagelewanya5124
    @andrewmagelewanya5124 Před měsícem

    Kweli huyu muhuni

  • @user-gk9wq5pl6l
    @user-gk9wq5pl6l Před měsícem

    Wanajenga timu kwani msimu uliyo pita hawakucheza rigi kuu???

  • @MohmoudMnyawi
    @MohmoudMnyawi Před měsícem

    Magoma mda mwingne unaakil mda mwingne ivyoooo tukueleweje

  • @FaridaTonny
    @FaridaTonny Před měsícem

    Kumbe ww mzee ndio mambo yako ya nje mchezo

  • @hassanmatata9335
    @hassanmatata9335 Před měsícem

    Mzee unaichafua sana Yanga unadiriki kusema inashida kwa uchawi wewe mzee hovyo sana

  • @solomonsilas1149
    @solomonsilas1149 Před měsícem

    😂

  • @chikizamifupa5786
    @chikizamifupa5786 Před měsícem

    Jinga sana

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q Před měsícem

    Ili lizee lann???

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey Před měsícem +1

    😂TILIOYADHANI NI KWELI KURUJUANI IMEANZA NA WEWE MSHENZI MKUBWA NA HAYO NDIO MAISHA ULIOCHAGUA NA HAYO MAMBO MENGINE BADO YANAKUJA
    KAMA HUJAMALIZANA MAMA FATMA KARUME KWANZA

  • @erastomsigwa7713
    @erastomsigwa7713 Před měsícem

    Hivi huyu Mzee ana kofia Moja tu

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 Před měsícem

    Mzeee acha njaaa

  • @JonathanMgaiwa
    @JonathanMgaiwa Před měsícem

    Utopolo wachawi sana sana

  • @user-yr3yi2yr6i
    @user-yr3yi2yr6i Před měsícem

    Huyu mzee amechagua maisha haya

  • @moshikingumba5091
    @moshikingumba5091 Před měsícem

    Dar kalinjombwe ndonn mzee magoma

  • @DeryJamson
    @DeryJamson Před měsícem

    We mzee jinga kweli wewe

  • @jamesmakaranga1170
    @jamesmakaranga1170 Před měsícem

    Hili nalo linatafuta Kiki san lipuuzi t

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx Před měsícem

    Njaa tupu ataka aonekane kama mtaalamu apewe pesa na Simba

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Před měsícem

    Magoma ansjua kutuchafua Yanga sijui kwanini hajiungi na makolo mazima

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn Před měsícem

    kama mpira ni njee ya uwanja kwann mtibwa wasiroge ili wawe wanawafunga simba yanga hadi azamu😆😆😆

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx Před měsícem

    Hajui chochote huyu njaa tu hatkama yapo lkn ww hujui huna la kujua mana ww sio kiongozi ktka viongozi

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před měsícem

    Magoma ni tapeli sasa hivi anataka kuwatia chaka Simba kwa kujifanya yeye anawajuwa waganga ili apate maganda si unajuwa huyo tapeli ndiyo maisha yake ? Kawa kosa Yanga na sasa anawapelemba Simba

  • @yakobokuzenza6837
    @yakobokuzenza6837 Před měsícem

    Lizee litaahira hili.

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 Před měsícem

    Magoma mpuuzi. Unaamini mambo ya giza. Kama yapo kwanini watu wahangaikie kusagili kwa gharama kubwa hali kuna mazongezonge yanayoweza kuleta matokeo. Acha upuuzi

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Před měsícem +1

    Mkavu uyu ndo maana kazeeka masikin kwa iman potofu😂😂😂

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 Před měsícem

    Hiv mzee unakaa wapi?

  • @cottyadam
    @cottyadam Před měsícem

    Kipindi upo ndani ya yanga mbona hukuroga ukalileta kombe la afrika?

  • @janethelly4986
    @janethelly4986 Před měsícem

    Badooooo mtahangaikaa sanaaa Damu ya Yesu itawafunika wachezajiii wetu 🦁mtashindwaa

  • @TulaLaulent
    @TulaLaulent Před měsícem

    Huyo mzee ni msenge tu hana lolote

  • @cottyadam
    @cottyadam Před měsícem

    Mzeeee magoma mbona ww hujajiroga ukawa mfungaji bora ligi ya ulaya.

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx Před měsícem

    Tulpokuwa twapoteza nfsi Miaka minne ulkuwa wapi ww shenzi njaa mpka unaongea uhongo

  • @etufaniakahemela5879
    @etufaniakahemela5879 Před měsícem

    Kama ni hivo haina haja ya kusajili!!!!

  • @abasiramashoo5026
    @abasiramashoo5026 Před měsícem +4

    Wacha uwongo wewe mzee mpira siyo uchawi

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před měsícem

    We mzee wacha kumuongopea kijana huyo kusema kweli watu kama muongo mimi siwapendi wewe si una watoto wa kiume mbona uwafanyii huo uganga wacheze tim kubwa wacha mambo ya kizamani ya ujinga ujinga hayo mibange hiyo mwenyewe anaona sifa huo ujinga ujinga wake

  • @kadirichannelonlinetv4258
    @kadirichannelonlinetv4258 Před měsícem

    Utakufa mapema

  • @wechemakambo2182
    @wechemakambo2182 Před měsícem

    YANGA KWELI WACHAWI NAKUMBUKA MIAKA YA 90 KWENYE MKUTANO WAO WA WANACHAMA KUNA MJUMBE WA KAMATI YA UFUNDI(ZAMANI ILIKUWA NI UCHAWI ILIITWA HIVYO),MJUMBE YULE ALIDAI KUNA MGANGA HAJALIPWA NA AKAADHIBIWA KWA KUTOA SIRI.

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Před měsícem +2

    Ww mzee fala acha uongo peleka mbele uchawi wako

  • @FaridaTonny
    @FaridaTonny Před měsícem

    Wanasimba mnashadadia vitu vya kijinga mchukueni huyo magoma km anafaida kwenu

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 Před měsícem +1

    Watoto wa Simba jitayarisheni kimfiata Magoma gerezani.

  • @neemaisrael688
    @neemaisrael688 Před měsícem

    MZEE ACHANA NA MITANDAO . UTAPATA AFYA YA AKILI.

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu366 Před měsícem

    Njaa kwenye mfuko wa plastic.

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před měsícem

    Huyu Mzee ni mkweli sana wale wazee wote yanga ni vigagula pale .Simba ya akina amir bamchawi ndio ilikua inaamini sana mambo hayo .ila kwasasa Kwa fieldmashall dalali anawajua wale wazee wote wale hivyo ndio dawa yanga

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před měsícem +1

    Unatumia neno UTAMADUNI acha sanaaa we KIZEEEEE😂😂😂😂 KULUJUANI mkubwaaaaa ww

  • @MOHAMEDIABDURAHMANI-hu2gi
    @MOHAMEDIABDURAHMANI-hu2gi Před měsícem +1

    Nakuona magoma kurujuwani inakurudiya mwenyewe,

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před měsícem

    Wana yanga tuko nyuma yako

  • @user-oz6oo3qw9u
    @user-oz6oo3qw9u Před měsícem +1

    Mamluki unasifia Yanga iliyosukwa na Injinia Hersi unachomeka Imani za kishirikina KAZI za uinjinia hazipitii kwenye ushirikina kwa hiyo fungu lako la ulaji halipo kwa Hersi mpira mguuni

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před měsícem

    Mbona magoma asikabidhiwe timu?

  • @BarnabaJaphet
    @BarnabaJaphet Před měsícem

    Jmn naomba wana nyuma mwiko pindi watakapo ingiziwa mwiko leo wasikutafute mzee maana hawataki kushilikiana na wewe

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Před měsícem +3

    Nenda kawasaidie Simba kuloga fala

  • @YusuphJuma-s2g
    @YusuphJuma-s2g Před měsícem

    Mbwa wewe punbavu kabisa Yani uyu magoma tumtafute

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem

    Kama uchawi dili timu zisisajili badala yake pesa za kusajili tuwape waganga wa kienyeji na tubakize wachezaji wa ndani tu. Na Taifa stars isaidie kiuchawi kuchukua makombe ya Afrika. Mpuuzi wewe! Fikra za kijima sana.

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 Před měsícem +1

    Tangu 2019 umefukuzwa Yanga mbona tunashinda? Peleka uchawi wako huko.

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri Před měsícem +1

    MAGOMA APEWE TEAM ITAFIKA MBALI

  • @mubatwalibu4108
    @mubatwalibu4108 Před měsícem +1

    sasa uko mahakamani unaitaka yangu ..huku unatoa kodi za yanga sasa unatarajia nn.msengerema kweli ww ...hujitambui njaa zinakufanya unajiongelea tuu

  • @michaelpatrick9317
    @michaelpatrick9317 Před měsícem

    😂😂mzee angalia usije ukagusaa CCM wapo humo ndani hiyo Kurujuani yako inakudanganya

  • @fundimorisho8230
    @fundimorisho8230 Před měsícem

    Mimi naona kama uyu mzeee anamatatizo yakili akapimwe

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem

    Kawasaidie simba ili waweze kupata kombe la dunia kwa kuloga. Kama uchawi dili fanya ili upate pesa. Sasa unaanzisha tena mambo ya uchawi. Zee jinga hili! Linatia kichefuchefu.

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Před měsícem

    Kama kuna mafanikio nje ya mchezo wafundisheni simba,acha ushirikina mzee

  • @michaelpatrick9317
    @michaelpatrick9317 Před měsícem

    Wapo wazee kina Kikwete,Mwinyi,mzee Karume waheshimiwa Hawa wazee wa wapii na ulivyo maskini anakuambia Kurujuani sikia uchawi ni hela usitegemee ukawa na uchawi wa Bei rahis ukategemea majini yako ya Bei rahis ukashindana na watu utapoteaa 😅😅😅

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem +6

    WATOTO WA MSIMBAZI TUPO NYUMA YAKO MZEE USICHOKE KUPAMBANIA HAKI

    • @SembucheMahiya
      @SembucheMahiya Před měsícem +2

      Nyuma ya mkndu

    • @allydaud612
      @allydaud612 Před měsícem +3

      Magoma wewe kweli kichaa very soon utaokata unasema wanaloga na wakari unaona timu inawekeza mpira wa kuloga ulishapitwa na wakati kama ulivo pitwa nakati

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 Před měsícem +1

      Mpo nyuma yake mnataka kumfanyaje huyu KULUJUANI 😂😂😂😂😂 mdanganyeni!! sasa!!!

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 Před měsícem

      😂😂😂😂​@@jumannemsengi2195

    • @amanimgaya9623
      @amanimgaya9623 Před měsícem

      Nyuma wap 😅weww

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před měsícem

    Acha hizo unatupanga tukuogope kwenye KESI , hakuna mshikamano hatutaki tena ww LOGA tu tufungwe nawe ushinde kesi tukupe TIMU kulujuani ww😂😂😂

  • @FurahaAngetile-fu4cv
    @FurahaAngetile-fu4cv Před měsícem +1

    Sasa ili tujue kwamba ww ndo unasababisha yanga awe vizur ondoka afu tuone kama tutateteleka mpumbavu ww

  • @ministererickluhanga810
    @ministererickluhanga810 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂Mzee kakalili Enzi zake achaneni Nae hakuwa kwenye bench Wala mwanachama kajuaje katoka Kwa wanasheria waliomkimbia now anazungumzia ftna anahangaika

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před měsícem

    Ona alivyo KENGE sasa mpira hakuna bila uchawi mbona hawajawahi kuipeleka TAIFA STAR kombe la dunia 😂😂😂😂😂 KULUJUANI mkubwa ww

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před měsícem

    Hili ZEE halina akili kabsaaaa sasa hayo ya uchawi aka nje ya mchezo ni upuuzi ndio maaana wamekunyima hela ya kucheza nje ya mchezo!! 😂😂 Njaaaa ya uchawi bhana sasa kwa nn ucutumie kuchukua hela BENKI

  • @user-ru4fe4cj2k
    @user-ru4fe4cj2k Před měsícem

    Mkundu wewe