Unabahati sana kuzaliwa kwenu. Mimi ni mngoni nusu baba mngoni mama muhehe nimezaliwa mbeya na kukulia Iringa. Nina ndoto yakuja Songea nikaone kishina changu.👍👍 lakini siku zote ninajivunia kuwa mngoni, kwani nimelelewa na bibi na babu wangoni piwa. 👏👏
Kama ww nimngoni basi gongs👆👍
Songea mojaiyo❤❤❤❤
Jaman wangoni laha jamn mwenga
Ooh very good nakumbuka kwa mama songea ngingama
Ndo kwetu huko
mwenga mwenga nikumbuka ligono LA kumniyoya kwaza vanibabili adikunyumba uku vanalizombe vikina kwakweli songea najivunia kuzaliwa pale pelamiho
Unabahati sana kuzaliwa kwenu. Mimi ni mngoni nusu baba mngoni mama muhehe nimezaliwa mbeya na kukulia Iringa. Nina ndoto yakuja Songea nikaone kishina changu.👍👍 lakini siku zote ninajivunia kuwa mngoni, kwani nimelelewa na bibi na babu wangoni piwa. 👏👏
Like zangu kwa wale walio itafuta huu wimbo wa kalondonda uka ukosa, lakin ume ukuta hapa kam bahati tu 😀😀
😁😁😁
Wangoni .wapangwa..wanyasa..wakisi..wandendeule wote ni wamojaa. Moniree
ngoni pure.... mbambabay moja
Da nyumban kabixa
Lovely
Safiìiiiii!!nyumban
Kuzaliwa songeq rahq na kuwa mngon ❤❤❤❤ ngongq like apo🎉🎉🎉
Tulongwi ndoa, aaah ndege mwenye mikia miwli lazima atafute, nilitafuta ndoa
Namtumbo ❤
Safiii kandege kanarandaranda kanatafuta mchumba . Raha Sana Nani Kama mngoni
songea moja iyo
napenda sana kapungu nakumbuka kwetu ikipigwa hiyo na tushaugida ugimbi daah atoki mtu hapo
RAHIMU MAPONDELLA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mkwe nmekufumania mkweeeeee
Kumbe mmoooo
Jaman nikumbuka kweli nene
Nimekumbuka mbali sana
Najivunia kua mngoni wa songea matimira
Matimila mission....????
nakumbuka nyumbani
Nakukubali capt john komba
Jamani natamani kwenda home nikapate raha ya ukweli. Kapungu uwiiii Songea raha jamani
Nyimbo za kingoni
wakwe zangu awo😂😂😂😂😂
Aiiii ngoni raha sanaa😊❤
Home back home
Nakumbuka mbali xana...
mbona haumuweki za ADLGOT J HAULE @RUHUWIKO.
Safi sana watani zangu
Pumzika salama mwamba tuna kukumbuka daima
Najivunia kwa kuzaliwa matimila chance frowing mini
Asante sana! Thanks so much for this, reminds me of home!
penye hapa safi sana
Nimependa xana
Te tiheka na vandu!!!!
I like the song.
Jane Octavian mnanikumbushaa mbalikweli namaimba
Miss Hom
Nyakyusa
cyo nyakyusa ni ngonii
Wangoni hoyo
Bonge la sauti
ndomba001
Ndomba victoria
Jamani
nimewai ishi uko kwenye arus izo nyimbo aziishi nakumbuka sana nawapenda
hadi raha haule mwenzangu
nikuganili kunyumba yitu kusongea
Jamn naomba jina ya nyimbo nidowniloadi Chonde wenga naomba wenga
msengwili kwa kutiwuyisa kung'anda hinu mutitangatilai nyimbu za ADELGOT HAULE
festo nyingo
Ooh very good nakumbuka kwa mama songea ngingama