DULLA MAKABILA afunguka MAHUSIANO na RUSHAYNAH WAPO pamoja/"MIMI ni MSANII wa SINGELI mwenye HELA"..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

Komentáře • 68

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Před 7 měsíci +6

    Tena rushayna kupika anajuwa kisha wameendana na dulla mashallah ❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @OmanOman-dn6dj
      @OmanOman-dn6dj Před 7 měsíci

      ROHO ZINAWAUMA...😅poleni kwakuumia na malizieni makombo

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 Před 7 měsíci +1

      @@OmanOman-dn6djmakombo gan😂 mtu manara aliyeoa ndo kaachwa na dulla…yaani manara kitu mpya kwake ishapigwa mbupu na dula

    • @user-re4ve4nf3p
      @user-re4ve4nf3p Před 7 měsíci

      ​@@aminmohammed4249 n hta huyo dula kma Yuko n rushayna ajue n makombo y manara n harmonize 😂😂

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 Před 7 měsíci +1

      @@user-re4ve4nf3p we mwenyewe ni makombo dear hehe

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 Před 7 měsíci +1

      @@user-re4ve4nf3p na kama ni mwanaume huyo mwanamke wako ni makombo vile vile

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Před 7 měsíci +1

    Dullah ndo mwenyewe mfalme wa singeli Cool boy 😎

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 7 měsíci +1

    Kaka safi sana.kama mke utapata mwingineeee piga kazi❤❤❤❤

  • @user-iu4vg5wb9l
    @user-iu4vg5wb9l Před 7 měsíci +1

    Dunia inapit ila akher kunabakia wew muislam lakn upo kam hun dini unajichubua mwanaum kupuk utakufa

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 7 měsíci +3

    Makabila 🔥🔥

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Před 7 měsíci +4

    Dula ni mmoja tu hatari kweli

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před 7 měsíci

      Hana lolote nyie ndiemnampa kichwa kumkuza ,mganga kamla mbuzi wake kumpa matumaini zai haolewi , na manara 😂😂😂

  • @kendkendrick775
    @kendkendrick775 Před 7 měsíci +1

    Wewe sio mwanaume mwanaume anae jielewa atukanani na mwanamke malaya ww

  • @stephenmwakabonga3872
    @stephenmwakabonga3872 Před 7 měsíci +2

    Safi dulla tupo pamoja

  • @user-co2ed6dj6p
    @user-co2ed6dj6p Před 7 měsíci +3

    Makabila we ni hatariiii

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat Před 7 měsíci +3

    Si yupo na anjella😂😂😂😂 huyu jamaa ameumia sana😂😂😂usilisema zaylisa hajui kupika unamtaka dulla move on

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Před 7 měsíci +7

    Gari kitu Gani nyie mnauliza hata bajaji Hamna dula Jenga nunua viwanja Jenga gari linahalibika usisikilize machoko

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 Před 7 měsíci +1

    Huyu jamaa boya Sana mamae

  • @alexsuleiman3795
    @alexsuleiman3795 Před 7 měsíci

    Dullar mmoja sawa na wazungu 7

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h Před 7 měsíci

    Dula ujua unajua unajua Tena mti wenye matunda hauchi kupigwa mawe.siri nikupe mdogo wangu.sikendo yeyote inayo kujia ipotezee na usishindane nao kutupiana maneno wewe piga kazi chukua rushaina piga ndoa weka ndani mchango tutatoa wa harusi.kama Atadinu tudan

  • @user-gu2dj3qg6w
    @user-gu2dj3qg6w Před 7 měsíci +1

    Rushaina muhuni sana yaani unajivunjia handi

  • @user-cr7vi4qp9c
    @user-cr7vi4qp9c Před 7 měsíci

    Hiyo team sijawahi kuiskia

  • @kendkendrick775
    @kendkendrick775 Před 7 měsíci +1

    Ukiachwa achika umejichubua sula ka lishoga

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc Před 7 měsíci

    Namkubali sana mond kila leo anawasihi vijana kutafuta pesa lakini dula anafanya juhudi kutafuta wanawake watoto wa uswahilini Wana tabu sana

  • @user-rd5qg5ip1w
    @user-rd5qg5ip1w Před 7 měsíci +2

    Kujidhalilisha tu

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h Před 7 měsíci

    Dula kumia roho lazima iume na hata Zai pia anaumia Kwa upande wake sindio mapenzi sioni Cha kushangaza nani akosane na mtu mpenz wake itokee balsa kama hilo asiumie!!!?manara kafanya balaa Kwa mwanaume yeyote timamu lazima imuume.hata manara Kwa rushaina anaumia kwakua ni kipenz chake anampenda hakutarajia kama yaye na rushaina itakuja tokea yaliyo tokea.

  • @mariethasarufu3306
    @mariethasarufu3306 Před 7 měsíci +1

    Kujizalilisha

  • @succeedgifted9355
    @succeedgifted9355 Před 7 měsíci +1

    Resistor

  • @henger_msafy_001
    @henger_msafy_001 Před 7 měsíci +1

    Ruu mkaly kuliko Lissa

  • @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk
    @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk Před 7 měsíci +2

    Jiwe kwa jiwe😅😅😅😅😅😅😅

  • @stannslousmusau8099
    @stannslousmusau8099 Před 7 měsíci +2

    Humuwezi Dvoice,,,,, unaendesha gari gani kwanza

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 Před 7 měsíci

    Makabila😂😂😂🔥🔥

  • @t.y.g.a_
    @t.y.g.a_ Před 7 měsíci

    Alaaa😂😏

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Před 7 měsíci +2

    Ila zailisa ana moyo kuolewa na dulla kabisaa

    • @PhyinaElias-mu4wf
      @PhyinaElias-mu4wf Před 7 měsíci +2

      Kuolewa na hajji je??😂😂😂

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před 7 měsíci

      Bora ya hajji kuliko huyu teja,hana nidhamu, mganga kamla mbuzi. Eri zai haolewi na manara, ushirikina hauna nguvu kwenye ushetani, 😂😂😂

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow Před 7 měsíci +2

      @@PhyinaElias-mu4wf haji ni kama biashara pale ata mi haji naolewa nae

    • @vickysteven1172
      @vickysteven1172 Před 7 měsíci +3

      Kuolewa na manara ndo anamoyo

    • @svt3
      @svt3 Před 7 měsíci

      ​@@uwimana6533kuolewa na zeru zeru mzee ambaye haesjimishe watoto wake mitandaoni, afadhali hata Dullah anayo yafanya itamsaidia kuwa mtu wa hekima uzeeni sababu hakutakuwa kipya hajawai fanya, ila huyo zeru zeru inaonekana hakufanya balaa za ujanani ndio sababu anaifanya uzeeni,

  • @user-ko4dk4po3q
    @user-ko4dk4po3q Před 7 měsíci

    Weeeee Manara kibueka tuuu... analolote assikutichiee Maicha,Sisi tutachugulikia manaranho huyu, wewe piga Kazi,towa muimbooo muenguine Muanango,daaa! Dulla,na kukubali sana,nchukue uyooo wala ussiogope lolote,ntangulize mubaji tuuuu.... Um

  • @totymgabe
    @totymgabe Před 7 měsíci

    Kumbe

  • @HalimaJuma-de5gc
    @HalimaJuma-de5gc Před 7 měsíci

    tuko na dulla popote alipo tupo

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Před 7 měsíci

    Kuna mungu utajua vya kumjibu

  • @user-ju8fj7oc3e
    @user-ju8fj7oc3e Před 7 měsíci

    Piga kelele kwa dulaa

  • @goodneighbour2638
    @goodneighbour2638 Před 7 měsíci

    Lezista😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Před 7 měsíci

    DAAA HONGERA MWANANGU DULLAH. WALLAAHI KAMA KWELI RUSHAYNA NI WAKO KWA SASAAA DAAAAH. UMEVUTA HURLAYN WA DUNIA. NAKUPONGEZAAAAA. MWENYEEZI MUNGU UKUBARIKIE. KATA MTI PANDA JITI

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 7 měsíci +1

    Dullah kapigwa na kitu kizito, manara kamnyosha , nakujiamini kote manara ni 1 tu 😂😂😂😂

    • @mahadshekh398
      @mahadshekh398 Před 7 měsíci +1

      Aliyenyooshwa kakimbilia polisi

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před 7 měsíci

      @@mahadshekh398 alikwambia kama niyy ndie alimpeleka polisi, unahaki umtete watu waupinde , Meliwa mbuzi kisa zai asiolewe haya ndoa imefungwa. Vita ya nini. Ukiachwa achika, tafuteni pesa msikataliwe nawanawake , mateja wamjini ushamba mwingi huduma hamjui 😀😀😀😀