Zuchu - Naringa (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 25. 09. 2023
- Get #Naringa Now 👇🏼
zuchu.lnk.to/naringa
/ @officialzuchu
For Bookings:
Contacts -- zuchu@wcbwasafi.com
Connect With Zuchu On:
Instagram: / officialzuchu
Facebook: / officialzuchu
Twitter: / officialzuchu
#Zuchu #Music #Wasafi
Copyright ©2023 WCB Wasafi. All rights reserved. - Hudba
Jamani nimekuwa wa kwanza naombeni like zenu ili twende sawa.
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Vile vile
@@samielvutsipa52 Huyu Zuchu ni Mkenya siyo Mtanzania
Sasa likes utazifanyia Nini😅😂😅
@@mzeemselem1657😅😅😅aulizwe
Mwenye anajuwa ana lindwa na MUNGU anipe Like
Goodlooking i also listen
Ananilinda sana
asante
Wewe mtoto umefunja rekodi ya dunia.zuchu.@@Abdullahi546
Am Kenyan sikatai bt napenda nyimbo za huyu shujaa wenu... Tanzania nipeni likes...
THIS IS HER BEST WORK TO DATE...........DAMN! THIS ALWAYS HIT DIFFERENT ...THE VISUALS BROUGHT MORE MEANING TO IT
Zuchu you deserve kuringa mpwedwa mahali hulipo anzia hadi sasa . Wakenya oje like za kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪👊🏽👊🏽kudoz eastafrika❣❣
ZUCHU 🎉🎉🎉🎉 MALKIA WA BONGO FLEVA!!!
Unahaki ya kuringa Mungu akiwa upande wako hakuna Wa kuwa kinyume nawe! Naamini Katika Mungu Pia.
GONGA LIKES KWA ZUCHU!!!❤❤❤
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Zuchu Anapambana
@@Mwarobainiacha ujuaji
zuchu we noma sana mkar wa wot❤
czcams.com/video/fy_5aC08AN0/video.htmlsi=6AyFbn3_p9jTLtIe
You have really proved to be the best 🎉 this is the pride of Africa getting you live from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This song has a strong message,may Allah protect me from every evil plan
Amen
Stop mentioning Allah's name in music
I think you must be a devil why not mentioning our protecter ushindwe😂😂@@HadijaSikira
I know my Tanzanian brothers wont understand this..😢❤ but we love ..ZUCHU..from KENYAN..
❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
we don't have problems with kenyans but they attack us anyway...
Kenyan people love everything about Tanzania 😅
Why ?
@@sarahhassan1323you mean even women are good like your music
God bless African Music,One Love my African people let's gather here 🌎❤
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Yeah, great music there she makes amapiano sound deferent... next ngoma yangu naimba amapiano man 😀
We been asking __here we go again lame
Nakuona
Mie mkenya naomba like ya Wana bongo Napenda kazi yake Binti wenyu Zuchu🙏🙏🙏
thank you dear
Binti yetu not yenyu😂
@@fidelisfrancis839achana na waluhya 😂
Sing mmmhh eeeehh
Let sing, comeon eeh
Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali
Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu
Raise your glass
Cheers to the Lord
Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He
Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali
Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu
To The Person Reading This,i Don't Know You But i Wish You All The Best❤🥺such an inspiring music from Zuchu, Thank you Queen 👑
💯
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
nyimbo ina maudhui ya maisha ya harisia tunayo pitia people zote
Kweli kabisa ndugu
Wow wimbo mzuri sana nasikiliza adi machozi inanitoka😭😭😭😭😭😭😭zuchu dada yangu mungu azidi kukulinda is me dj shalom from kenya mungu akupe miaka mingi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
walai hapo umesema
❤😊
Ya it's good 👍🥺💯
Pple may think you are Stoopid😀😀😀
Ile maisha napitia ndio imezungumziwa kwa wimbo huu. Thanks alot for the inspiring lyrics dada Zuchu.
This is what we call "next levels"
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
❤❤❤
@@Mwarobaini sawa mchukue mpeleke kenya
Zuchu feel loved siku zote from Nairobi Kenya
Roho Mbaya hajapewa nyungungu Wala MTU mwenye maarifa. That is epic# Zuchu is the best, The Queen of velvet vocals , the tanzanian Kareena Kapoor
this song reminds me that there is a faithful God up there watching over us
Karibu Kigoma Zuchu tunakupenda Sana, tunatamani kuparty nawe.... keep going gorgeous musician female artist of this Digital Age
Kama unampenda Zuchu Nipeni Like ❤❤❤
Napenda huu muziki wake Zuchu. Ndio maisha wanoishi wengi humu duniani. Very relatable, entertaining, well-crafted... Top-tier production.👌🥳
This song is and will forever be a banger✨💪❤️🇰🇪🇰🇪
💯
2:47 @@denismwaluwanda8242
13 years now since I changed my nationality from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 to 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 thanks to DIAMOND PLATNUMZ and his artists 🙏🙏🙏 Ah Zuchu nzembo kitoko makasiiii nasepeli entout cas .
Yani Sina lakusemaaaaaaaa
If there's anything that makes me really proud is how God just defends me whether I pray or not. His graces always guide me . There's no way I'll ever be ashamed cause he just makes me walk my head up
If there's anything that makes me really proud is how God just defends me whether I pray or not.His grace always guides me.there is no way i will ever be ashamed coz he just makes me walk my head up💯
@@AlfredDavis-xq9vh sure ❤️
Her voice and writing skills are always on another level not even in this world .... let's get this 100millon peeps🎉🎉🎉 I can't even listen to the whole song without restarting everyday😂😂 Good work
Fact
czcams.com/video/fy_5aC08AN0/video.htmlsi=6AyFbn3_p9jTLtIe@@ibraahndongo5418
@@ibraahndongo54187Q8Q0OI8
Ak nasikiza karibu kila saa hii goma
MEGA HIT
All Africans let's gather to support this living talent 👌 ZUCHU on 🔥🔥🔥
czcams.com/video/fy_5aC08AN0/video.htmlsi=6AyFbn3_p9jTLtIe
Kenyan like, turinge na mamaa
Kali sana❤❤much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Walai TENA zuchu amerudi form like that salute 🎉👍👍
My music started when I was very very lirul 🤣🤣🤣🤣🤣 wakenyaa nipeeni likes
My love for music
Ameamua kutuaibisha huku
Relisten dear kenyan ..... let us Tanzanians help you with listening skills ..she said MY LOVE FOR MUSIC STARTED WHEN I WAS VERY VERY LITTLE 😅 PLUS WE PROUD AFRICANS ..WE LOVE N HONOR KISWAHILI N EVEN WHEN WE MAKE AN ENGLISH LANGUAGE MISTAKE IS QUITE FINE CAUSE ITS OUR COLONIAL LANGUAGE .. PROUD AFRICAN ... GOOD LUCK WITH YOUR ENGLISH
ongea bila kulia sasa😅😅😅
The comment I was looking for 😅
This is my East African female artist zuuu love u from Uganda 🇺🇬
Wasafi mwaka huu wasiyo ipenda kazi wanayo, wataipiga Kofi chongo ya kisu 😊😊😊 nipe likes zangu plz 🙏🙏
Kwel kbs
🤔Zuchu is the real jewel and the pride of Tanzania 🤝🇹🇿
Best of all Zuchu songs I love this one ❤❤❤nice song let's be proud of our God 💪💪💪
Naomba like zangu mtu wa kwanzA apa kutoka Msumbiji 🇲🇿
Mimi hapa
Tanzania to the highest levels Zuchu we love you Ur talented I tell u ...Ur the best 🎉
Ukweli mchungu ni kwamba toka Zuchu uingie kwenye game umewakimbiza vibaya sana wote ulowakuta. I love tis song overall your songs baby girl
Huu wimbo ni mazuri sana naeza shinda Niki irudia mara kumi nampenda sana from Kenya
Zuchu is now the best female artist in east Africa
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
@@Mwarobaini😂😂..she is the best
@@Mwarobaini😂😂
uongo
What are you saying
Nyimbo nzuri sana ❤❤❤❤ zuchu chukuwa maua yako🌹⚘️😊
Wangapi wanamuona zuchu atakuja kuwa mtumishi wa Mungu na mhubiri wa injili
She will be remembered as the best of her time ❤️🔥 only for legends 😉
She is still the GOAT in female music industry coz we have Simba as the male GOAT
this is big
Well for me, Zuchu is the best female artist to ever live. I'm her number 1 loyal fann❤❤💯💯❤🔥❤🔥
Jamani ni kweli tunalindwa na mungu🙏🙏asante mungu ❤❤🇰🇪
I love this part "Raise the glass 🥂 cheers to the Lord..." Who does that? 😂😂
Hi mziki nzuri napenda Allah atakupenda sana😊
Yes nikweli tunalindwa na Mungu❤Watu wa burundi gonga like hapa tujuane🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🔥🔥
Tupo hapa
Iv burundi mnajua kiswahili??
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
She is the best female musician of all time in East Africa
Hata kama una rohoo mbaya kiasi gani uwezi ukasikiliza wimbo wa zuumond alafu uka shindua ku like , hata kama unpedi vumilia hii imekwenda fanya ufanya ló 😂😂 thank you ❤Z❤u🖤c❤h❤u !!! Umeuwasha na kuhusu haoo wala usipate tabo 😅😅, Chorra😂🙅🙊😭👈
mwenye nacho wanataka chukua hata kidogo ulicho nacho asee kweli mungu halaliiii
The video is absolutely heartwarming and gives off nostalgia 😔❤
Love from burundi🇧🇮❤️❤️❤️
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
@@Mwarobainiayo😂
🤣
One love anyway 🇹🇿💌
Wimbo una ujumbe mzuri Sana huuu ❤❤❤
mamb vp
@@BashiryFadhily pw vp
A voice like tweeting and a personality like the moon. All love and appreciation. We hope for something new. You will reach us with your love, Abdel Moneim from Sudan 🇸🇩
I just love her may God keep bless you ❤🇹🇿
I love how resillient you are Zuchu..You inspire me and to the great challenges you overcome...🎉🎉🎉Kweli unalindwa na Mungu.
For sure she is such an inspiration, 💯
finally here I'm from Kenya huruma just landed
Wimbo wamwaka kabisa wariyo upenda kama mim munip like abarundi tumenyane
Zuchu ❤❤❤Mungu wangu halali nalindwa na Mungu na Nina ringa
Dreams are valid as long as you stay addicted to your hustle ❤
Nice one Zuchu 🎉
sauti
ujumbe
upendo
kipaji
hivyo vyote ndivyo fanya uzuri wako waonekana Upendo Moyoni mwako hauto saulika,ni vyema kuendelea hivyo hivyo maana ni adui walio wengi wasiopenda maaendeleo na wapo kwaajili tuu ya kuchafua kipaji na heshima ya mtu ,Hongera sana Z kwa ujumbe wenye maudhui ya kweli👊🏽🤝💪🏼
Gather here if you believe Zuchu Knows How to Compose Catchy Soulful Hooks? 🔥
huyu ndie Whitney Spears wa East Afrika😊....much love to you Zuu from Kenya.❤🇰🇪🇰🇪
Are you trying to say Whitney Houston or Britney spears? 💀
What do you think?
Watching live from Kumamoto in Zambia, Zuchu your songs have been turned to be our national anthem in our country 💎💎💎
kuma what?
😂😂😂, nigga ur stubborn
Taratibu na moto wako bro 😂😂😂😂
😂
@@liliantweve957 sasa mrembo, nipe number yako ata tujuane
I know she wrote this song because of what she is going through right now!
Very strong message
Walimwenguuu🤦🏽♂️
Watanzania tunakuelewa Zuchu keep the good music alive. Wewe unajua sanaaaaaa
Kama Mungu amekubariki Basi una sababu ya kuringa . Jiunge nami here 👇⬇️
Zuchu you will continue to fly like an Eagle. Love from the UK 🇬🇧 ❤️. You are super creative 👌
Huu wimbo Una jumbe wa kweli,hongera dada...from Kenya.
Nyimbo yangu ya maisha I love you zuchu ... Wimbo huuu ... Kwa siku nasikiliza zaidi ya 10
Love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
The queen and lioness of East Africa keep it up
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
czcams.com/video/fy_5aC08AN0/video.htmlsi=6AyFbn3_p9jTLtIe
Kiukweli ZUCHU kwa huu wimbo na kupa HESHIMA YAKO.
Tulioona kwenye video Zaburi 40:1-3 Nilimngojea Mwenyezi-Mungu kwa uvumilivu, akanielekea na kukisikia kilio changu. Aliniondoa katika shimo la hatari, alinitoa katika matope ya dimbwi, akanisimamisha salama juu ya mwamba, na kuziimarisha hatua zangu. Alinifundisha wimbo mpya, wimbo wa sifa kwa Mungu wetu. Wengi wataona na kuogopa, na kumtumainia Mwenyezi-Mungu.
The love of a song is spiritual love of optimism.
Zuchu's work ethic is top notch. By grind the best EA female artist.
Best artist my ass ni mchawi na ameshika nyota ya Zahra Farah na Fuad
@@ZarahfarahFarah fanya kaza tia bidii kama wenzako
Krir
But our own nadia mukami is the best
Umejuaje punguza Shobo tafuta chako acha wivu
My first day nimekubalii kazi ya zuhura 🎉🎉🎉naomi jamani like zuchu anajua🎉🎉
Nikiwai kutana na zuchu nitampa zawadi🎉🎉🎉❤she is my crashi
I cannot deny it that zuchu is the Queen the royal Queen of bongo Flava here we welcome you to the world
yes
Mwende kwa simulizi na sauti mpate fafanuzi ya hii music, heko kwako zuchu
MashaAllah 🎉🎉🎉talented hatari hatari
Ni kimwili cha kizungu mwenyewe MashaAllah ❤
Mimi na watoto wangu twakupenda sana, kila ukitoa ngoma nafanya hima kuwachezea
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Wow wow wow very powerful 🎵 with a very strong messege 😇mungu wangu alali anaulinzi mkali 16:06🙏🏾⭐️❤️🕊
Alisababisha huu wimbo ukatungwa pole yake sana, Yani ukiwa na roho mbaya pambana nayo Mungu aiondowe. Sisi huku tunaringa tu hapa.
Jamani Zuchu unatuacha hoi........hivi ungekua unaimba hata kwaya nahis watu wengi wangeokoka sanaaa.....hongera sanaaa✨✨✨
Watching from Nairobi Kenya 🇰🇪 💯 💓
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Wallah kuna wasanii lkn bint zuhura muacheni abaki kua yeye❤
wimbo mzuri sana huu wimbo umeimba kwa hisia sana kiasi ambacho unakufanya ufelling kwa hisia kali san
What a lovely song oh my God😊 good job zuchu much love from kenya
Talented Zuchu Tanzania kwakweli tuna msanii ❤❤ makopa kopa kwake
Zuchu never disappoint ❤❤
💯
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
@@Mwarobainiww hii comment umeandika Sana unawashwa na vidole
so I just called my family, one of my young brother he told me to listen to this song wisely. fell like crying 🥺
Never disappoint the one and only African Queen we love you for free 👍🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Waw Zuchu video na nyimbo vimeenda sawa sawa safi sana endelea mama kuwaonyesha Talent yako mungu alokubariki
This girl 🔥🔥🔥♥️ watching from Washington t🇺🇲🇺🇲🇺🇲
Zuhura umeua🔥🔥🔥 chukua maua🌹🌹🌹🌹 umetisha kinoma🧏🏾♀️✍️
Nadhani mpaka Sasa huu ndio wimbo Bora kutoka kwa Zuchu ambao nimewahi kusikiliza🎉🎉
Naungana na wewe kabisa. 🎉