HALI YANGU MBAYA |KANSA IMEKUWA STAGE 4 |NARUDI NYUMBANI KENYA |NIMEWAKUMBUKA NDUGU ZANGU |NIOMBEENI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 06. 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036
  • Sport

Komentáře • 103

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 3 dny +12

    Baba unaniliza ww. Wallah 😢😢 Allah Ashfik kwahurumawake yaraby. Kumbe unawatoto yatima unaware 😢😢Allah atakulipa baba daaa inaumiza. Unaiimani sana Baba.

  • @qwerqasd8597
    @qwerqasd8597 Před 2 dny +1

    Kuumwa ni sehemu ya mtihani kuna dhambi unafutiwa kutokana na maumivu Allah ndie muweza wa kila kitu tunayo yaona mazito kwa Allah ni mepesi ya Rabbi mpe shifaa mja wako na wote wanao umwa Allahuma aamin ya Rabbi

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 Před 2 dny +2

    Tuzidi kumuombea mwenzetu. Tusimjadili sana maswali. Ni ugonjwa na roho kutaabika huku na huku. Mmungu amsaidie. Subhanallah. Maradhi thaqiil haya

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 2 dny +4

    Mzee wetu ameshajikatia tamaa masikini,Pole sana Mungu atakufanyia wepesi🙏🙏

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před 3 dny +4

    Allah akupe shufaa,kuugua ni Ibada,unaugua kiislam huku ukimsabhihi Allah.

  • @BimkubwaOthman
    @BimkubwaOthman Před 2 dny +2

    Yaa rabbi miondolee ttz la maradhi mja wako Kwan snateseka Sana na amsameh alipokosea muondolee maumivu yaa Allah 🤲🤲

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 2 dny +5

    Kenya hakufai sasa ivi sema uyu baba amesha kata tamaa ya kuishi anaona aende tu akafie kwao ndo imani yake Allah muondolee maradhi alio nayo uyu baba Insha Allah

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny +1

      Bi Amina itabidi aende tu juu visa ishaisha itabidi aende arudi tena agongewe tenamiezi 3 kwa sababu shemeji yangu aiondoka zanzibar kuenda kuishi Mombasa ikawa kila baada ya miezi 3 ndio arudi zanzibar aingie tena alivoona usumbufu na maisha Mombasa magumu amerudi zake zanzibar na family yake lakini mkewe alizaliwa huko akasoma huko zanzibar kaja kwa kuolewa maisha magumu huko

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa Před 2 dny

      @@FatimaAli-of4gh kwani hawezi kulipa Visa akiwa Tz

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 2 dny

      leo twna anasema ana watoto wengine wanaomtegemea mh🤭

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa Před 2 dny

      @@masalakulwa7601 ndugu yangu uyu mzee amesha vurugwa hayuko sawa kabisa ugonjwa alio kua nao ni mkubwa apo alipo anashindwa tu kusema kama amesha jikatia tamaa Kwa sababu uko Kenya Kuna machafuko hakuko sawa

  • @allymganga3223
    @allymganga3223 Před 2 dny

    Pole sana ndugu yetu mungu akuponye na ayo maradhi

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Před 3 dny +3

    MUNGU hakupe Uzima wanataka pole sana mzee wetu, watching from mombasa kenya.

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 2 dny

    Usikate tamaa Allah yupo pamoja na ww na kila mwenye mitihani atakufanyia wepesi 😭😭

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Před 2 dny +1

    Allah kupe shufaa

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 Před 2 dny

    Aamiyn, pole Sana baba ALLAH atakuafu aamiyn yaa RABBY

  • @sheikhanasser4714
    @sheikhanasser4714 Před 2 dny +2

    Allah ni Mkbwani tegemeo letu Duwa'a zetu kwako na Islaam Jamii wenye kila matatizo Allahu Akabar 🤲🤲

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Před dnem

    Allah atakupa shifaa baba.pole sana .

  • @user-eu2ft5ud4r
    @user-eu2ft5ud4r Před 2 dny

    Pole sana allah atakuafu akupone akupu guzie maumivu amin

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Před 3 dny +4

    Allah akujaalie afya akuondoshee uzito wa maradhi Inshaallah

  • @mrsab303
    @mrsab303 Před 2 dny +1

    InshaAllah Allah make easy for you

  • @abdullahwaziri5499
    @abdullahwaziri5499 Před 2 dny

    Dah allah akbar cancer ni ugonjwa mbaya sana allah ampe tahfif in shaa Allah anapitia maumivu makali sana Dua kwa Wingi In shaa Allah

  • @hadibjumbe
    @hadibjumbe Před 2 dny

    pole sana. allah atakulipa kheir.

  • @user-vj6qs8sv8i
    @user-vj6qs8sv8i Před 2 dny

    اللله يشفيك ويعافيك يارب العالمين
    Allah atakupa takhfif inshaallah
    Yote mitihani ya Allah usichoke kumshukuru Allah na kuzidisha ibada
    Fanya istighfaar sana sana utie nia ya kuondokewa na maradhi yako na uwaambiye watu wako wasali sana na istighfaar kwa wingi
    Na utie nia kuwa utapona

  • @prosperiamdetele1421
    @prosperiamdetele1421 Před 3 dny +3

    Mungu akuponyee

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před dnem +1

    Matajili amuoni hii Hali jamani msaidieni dewj Nasoro super doll zahoro matephoni GSM wote nimewatag

  • @saidramadhan71
    @saidramadhan71 Před 2 dny +1

    Pole mzee wetu mwenyezi mungu akuondolee maradhi mwenyezi mungu yupo na wewe nami pia nakuombea mwenyezi mungu utapona mzazi wetu.

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r Před 2 dny

    Subhana Allah 😢 innamaa ghusri yusraa pole sana babangu 😢😢

  • @ruqayaissa990
    @ruqayaissa990 Před 2 dny +2

    Pole baba mung akufanyie wepesi

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Před dnem

    Mungu akupe shifaa uckate tamaa mzee wetu 😢

  • @atwowa6380
    @atwowa6380 Před 2 dny

    Allah ndie muweza

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před 2 dny +1

    Utapona baba Mwenyezi Mungu atakujaalia utapona uckate tamaa,maumivu aliyonayo nivile nimwanaume anajikaza

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Před 18 hodinami

    Subhaannallah 😢pole sana

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 Před 2 dny +2

    Allah atakuwafu yaarab atakupa uzima yaarab

  • @tato8979
    @tato8979 Před 3 dny +2

    Pole sana baba mungu yupo pamoja nawe pia utakuwa sawa😢😢

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 Před 2 dny

    Pole sana baba 🙏 😢 mungu akuponye

  • @user-cb3vw5fp8y
    @user-cb3vw5fp8y Před 2 dny +1

    Maumivu ya huyu baba hayasimuliki😢😢Mungu tunaomba mkumbuke mwanao huyu

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Před 2 dny +3

    SUBHANALLAH 😢😢mbon tz watu wengi wanaumwa Kansa?Allah awafanyie wepesi wagonjwa wote amiin

    • @Official83640
      @Official83640 Před 2 dny +1

      Huyu katokea Kenya Tz kaja tu kwa kufata msaada na tiba

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny +2

      Haya maradhi sio TZ tu hata huku Uingereza watu kila kukicha wanakufa na cancer haya maradhi hayana matibabu sio kwa mzungu wala mwafrica mzungu mwenyewe umemshinda huu ugonjwa kikubwa tuuombe M/mungu atupunguzie makali Inshallah

    • @user-cv7vm1mx9d
      @user-cv7vm1mx9d Před 2 dny

      Yaani Mungu atunusuru sijui tatizo nini jamani sijui vyakula??

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny

      @@user-cv7vm1mx9d
      Hata sijui kwa kweli saa hii yamewashika watu wa Tz huku uingereza mpaka unaogopa mtu zamani ukisikia wazungu saa hii hata wakuja yanatukaribisha

  • @salmamusa2527
    @salmamusa2527 Před 2 dny +1

    Allah atakupa Shifaa,.Usikate tamaa kuungua kwataka Subra..Allah atakufanyia wepesi

  • @user-xj7ek3bo4w
    @user-xj7ek3bo4w Před 3 dny +1

    Pole sana mungu akujaliye upone

  • @YasmeenKhalifa-zq1zk
    @YasmeenKhalifa-zq1zk Před 3 dny +3

    Assalam aleykum jaman nawaombeni wote tunaomuangalia huyu mzee nawaomben sana tumuombeeni dua inshaallah tafadhalin sana

    • @hawahamis4176
      @hawahamis4176 Před 2 dny +1

      Warhmatuh msalaam Allah amfanyie sahali

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 Před 2 dny

      Tunamuombea na pia tunamuhurumia Allah atampa shifaa in shaa Allah

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 2 dny +2

    Aaallllah akupe shifa

  • @FatumaBasho
    @FatumaBasho Před 2 dny +1

    Subhannallah pole baba Allah akupe shifaa ya haraka

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf Před 2 dny

    Allah atakupa shifaaa yaarab

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Před 2 dny +1

    Pole sana baba Allah Atakuafu Inshaallah

  • @naomipieter4627
    @naomipieter4627 Před 2 dny

    Kansa inamaunivu makalisana.....Pole mke uguza mumeo mwaya utabarikiwasana nimeuiuguza mumewangu kansa😢 dah inatesasana

  • @raymondlinje8086
    @raymondlinje8086 Před 18 hodinami

    Allah ampe tahafif in shaa allah

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 3 dny +1

    Subuhanallah. Pole baba ALLHA. AKUPE SHIFAA😢😢

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před 3 dny +1

    Pole sana baba Allah akujaalie afya njema

  • @AmiriHumudi-hn6pt
    @AmiriHumudi-hn6pt Před 2 dny

    Alla atakuwafu inshl utapowa tu.

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 2 dny +1

    Allah Akupe shifaa ya haraka baba yetu

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Před dnem

    Pole sana

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 2 dny +1

    Allah akupe shifaa ya haraka

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 2 dny

    Pole baba angu jmn

  • @husna34562
    @husna34562 Před 3 dny +1

    Subhanallah 😢Allah akujalie afya

  • @user-pj3lh8vz5k
    @user-pj3lh8vz5k Před 3 dny +1

    dadaangu mpeleke mumeo kwa mtt yunis atapona kwa uwezo wa mungu watu wengi wamepona

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 2 dny +3

    Ugonjwa mbaya uyu jmn allah atunusuru jmn

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya Před dnem

      Allahumma Amiin 🤲🤲🤲🤲

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 Před 3 dny +1

    Allah atampa shifaa.

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 2 dny +1

    Kaka zahiri uko vzr na shangaa yuwasema yote sahi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @user-rl5qu4zj9b
      @user-rl5qu4zj9b Před dnem

      Hakika watanzania tunaupendo sana Baba Mungu akuponye haraka

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Před dnem

      ​@@user-rl5qu4zj9b Allah ampe nafuu maskini inatia huzuni😭

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji91 Před 2 dny +2

    Msafirisheni allah ndo anaejua

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 Před 3 dny +1

    Mungu atakujalia utapoa baba 😢

  • @ShanceBose
    @ShanceBose Před 3 dny +1

    Iyo nikasa niugojwa wahatari wamusaidiye aende kukama kwa mutoto yunis atapona ata na mimi nilimupoteza mama yangu muzazi kupitiya uyo ugojwa mungu atakusaidiya muzee wangu

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 3 dny +1

    Subhanna Allah 😭😭

  • @BimRamadan
    @BimRamadan Před dnem

    yarabi mjalilishe shifaa mja wako,😢

  • @NancyKaranja-gu1vk
    @NancyKaranja-gu1vk Před 3 dny +1

    Pole sana baba

  • @wahidaaidha544
    @wahidaaidha544 Před 3 dny +1

    Allah yashfiik

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před 2 dny

    Mungu wa mbinguni atusaidie jamani.huyo shetani cancer sijui ataisha lini.lakini huwa najiuliza kwa nn wagonjwa wengi wa cancer wakianza kemo wanazidiwaga?Mungu mtie nguvu mzee wetu

  • @MonaJuma-cp3jg
    @MonaJuma-cp3jg Před 3 dny +1

    Subhanallah

  • @user-en9qq1cy9x
    @user-en9qq1cy9x Před 3 dny +1

    Amekatatamaa bba anaona atakufa

  • @ShanceBose
    @ShanceBose Před 3 dny +1

    Ndungu mutangazaji uyo muzee anastaili kupelekwa kwa mutoto yunis wa mukowa wa arusha

  • @user-vi4wx7oi7o
    @user-vi4wx7oi7o Před 2 dny

    Zaher huyu mzee naona stori yake ni kama marehemu babangu ingawa hakuwa anaugua
    Cancer. alipozidiwa alilazimisha aletwe Dar kwa kaka yetu na tukamuuguza na Allah alimkhitari tukamstiri kisutu. Kile naona ni arudi mombasa ili mkewe asipate taabu na watoto akiwa mbali. Nadhani umeniele
    Wa nnacho maanisha.

  • @augustinomsuya9310
    @augustinomsuya9310 Před 3 dny +1

    Pole sana Baba, Mungu akuponye

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 2 dny +1

    Subhanalllllllllah😢😢

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 2 dny +1

    Kwanza ulisema Kenya watu wabaya hawana Imani na wewe Leo hi Tena wawa kumbuka pole sn mungu atakupa wepesi

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 Před 2 dny

    😢😢😢

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 2 dny +2

    Zahil. Mbona ww si muelewa ukiona mgonjwa anadai kwao usimzuie ww utakiwa na pesa ya kumsafurusha uyo kila mtu na maono yk alo jaaliwa na allah

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  Před 2 dny +1

      We nawe sijui unatumia nn kufikiria
      Wapi nilipomkatalia asiende kwao!?
      Kuuliza kwann ametamani kwenda kwao ndo kumkatalia!?
      Nn maana ya uhandishi wa habari!?
      Nisihoji!?
      Nisiulize!?

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 Před 2 dny

      @@maximumtvonlinewatu kama hawa wasikupigishe kelele

  • @GerladSimon-me3sc
    @GerladSimon-me3sc Před 3 dny +2

    Nenda kanisani

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Před 3 dny

      Watu wanakesha makanisani na wapo tele ocean road wanateseka na cancer

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 Před 3 dny +2

      Akafanye nn🙄

    • @user-ui4oh8gf8n
      @user-ui4oh8gf8n Před 3 dny +1

      Jamani.jinsi mnavyojaa makanisani, mngepojwa. matatizo yangebaki kwetu

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Před 3 dny +1

      @@user-ui4oh8gf8n 😂😂😂😂😂

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g Před 3 dny +1

      Pole Sana baba angu akutie nguvu akupe shifaa upone 😢😢 maneno yako Yana funzo ndani yake 🤲🤲🤲🤲