Kuumwa ni sehemu ya mtihani kuna dhambi unafutiwa kutokana na maumivu Allah ndie muweza wa kila kitu tunayo yaona mazito kwa Allah ni mepesi ya Rabbi mpe shifaa mja wako na wote wanao umwa Allahuma aamin ya Rabbi
Kenya hakufai sasa ivi sema uyu baba amesha kata tamaa ya kuishi anaona aende tu akafie kwao ndo imani yake Allah muondolee maradhi alio nayo uyu baba Insha Allah
Bi Amina itabidi aende tu juu visa ishaisha itabidi aende arudi tena agongewe tenamiezi 3 kwa sababu shemeji yangu aiondoka zanzibar kuenda kuishi Mombasa ikawa kila baada ya miezi 3 ndio arudi zanzibar aingie tena alivoona usumbufu na maisha Mombasa magumu amerudi zake zanzibar na family yake lakini mkewe alizaliwa huko akasoma huko zanzibar kaja kwa kuolewa maisha magumu huko
@@masalakulwa7601 ndugu yangu uyu mzee amesha vurugwa hayuko sawa kabisa ugonjwa alio kua nao ni mkubwa apo alipo anashindwa tu kusema kama amesha jikatia tamaa Kwa sababu uko Kenya Kuna machafuko hakuko sawa
اللله يشفيك ويعافيك يارب العالمين Allah atakupa takhfif inshaallah Yote mitihani ya Allah usichoke kumshukuru Allah na kuzidisha ibada Fanya istighfaar sana sana utie nia ya kuondokewa na maradhi yako na uwaambiye watu wako wasali sana na istighfaar kwa wingi Na utie nia kuwa utapona
Haya maradhi sio TZ tu hata huku Uingereza watu kila kukicha wanakufa na cancer haya maradhi hayana matibabu sio kwa mzungu wala mwafrica mzungu mwenyewe umemshinda huu ugonjwa kikubwa tuuombe M/mungu atupunguzie makali Inshallah
@@user-cv7vm1mx9d Hata sijui kwa kweli saa hii yamewashika watu wa Tz huku uingereza mpaka unaogopa mtu zamani ukisikia wazungu saa hii hata wakuja yanatukaribisha
Iyo nikasa niugojwa wahatari wamusaidiye aende kukama kwa mutoto yunis atapona ata na mimi nilimupoteza mama yangu muzazi kupitiya uyo ugojwa mungu atakusaidiya muzee wangu
Mungu wa mbinguni atusaidie jamani.huyo shetani cancer sijui ataisha lini.lakini huwa najiuliza kwa nn wagonjwa wengi wa cancer wakianza kemo wanazidiwaga?Mungu mtie nguvu mzee wetu
Zaher huyu mzee naona stori yake ni kama marehemu babangu ingawa hakuwa anaugua Cancer. alipozidiwa alilazimisha aletwe Dar kwa kaka yetu na tukamuuguza na Allah alimkhitari tukamstiri kisutu. Kile naona ni arudi mombasa ili mkewe asipate taabu na watoto akiwa mbali. Nadhani umeniele Wa nnacho maanisha.
We nawe sijui unatumia nn kufikiria Wapi nilipomkatalia asiende kwao!? Kuuliza kwann ametamani kwenda kwao ndo kumkatalia!? Nn maana ya uhandishi wa habari!? Nisihoji!? Nisiulize!?
Baba unaniliza ww. Wallah 😢😢 Allah Ashfik kwahurumawake yaraby. Kumbe unawatoto yatima unaware 😢😢Allah atakulipa baba daaa inaumiza. Unaiimani sana Baba.
Kuumwa ni sehemu ya mtihani kuna dhambi unafutiwa kutokana na maumivu Allah ndie muweza wa kila kitu tunayo yaona mazito kwa Allah ni mepesi ya Rabbi mpe shifaa mja wako na wote wanao umwa Allahuma aamin ya Rabbi
Tuzidi kumuombea mwenzetu. Tusimjadili sana maswali. Ni ugonjwa na roho kutaabika huku na huku. Mmungu amsaidie. Subhanallah. Maradhi thaqiil haya
Mzee wetu ameshajikatia tamaa masikini,Pole sana Mungu atakufanyia wepesi🙏🙏
Allah akupe shufaa,kuugua ni Ibada,unaugua kiislam huku ukimsabhihi Allah.
Yaa rabbi miondolee ttz la maradhi mja wako Kwan snateseka Sana na amsameh alipokosea muondolee maumivu yaa Allah 🤲🤲
Kenya hakufai sasa ivi sema uyu baba amesha kata tamaa ya kuishi anaona aende tu akafie kwao ndo imani yake Allah muondolee maradhi alio nayo uyu baba Insha Allah
Bi Amina itabidi aende tu juu visa ishaisha itabidi aende arudi tena agongewe tenamiezi 3 kwa sababu shemeji yangu aiondoka zanzibar kuenda kuishi Mombasa ikawa kila baada ya miezi 3 ndio arudi zanzibar aingie tena alivoona usumbufu na maisha Mombasa magumu amerudi zake zanzibar na family yake lakini mkewe alizaliwa huko akasoma huko zanzibar kaja kwa kuolewa maisha magumu huko
@@FatimaAli-of4gh kwani hawezi kulipa Visa akiwa Tz
leo twna anasema ana watoto wengine wanaomtegemea mh🤭
@@masalakulwa7601 ndugu yangu uyu mzee amesha vurugwa hayuko sawa kabisa ugonjwa alio kua nao ni mkubwa apo alipo anashindwa tu kusema kama amesha jikatia tamaa Kwa sababu uko Kenya Kuna machafuko hakuko sawa
Pole sana ndugu yetu mungu akuponye na ayo maradhi
MUNGU hakupe Uzima wanataka pole sana mzee wetu, watching from mombasa kenya.
Usikate tamaa Allah yupo pamoja na ww na kila mwenye mitihani atakufanyia wepesi 😭😭
Allah kupe shufaa
Aamiyn, pole Sana baba ALLAH atakuafu aamiyn yaa RABBY
Allah ni Mkbwani tegemeo letu Duwa'a zetu kwako na Islaam Jamii wenye kila matatizo Allahu Akabar 🤲🤲
Allahumma Amiin
Allah atakupa shifaa baba.pole sana .
Pole sana allah atakuafu akupone akupu guzie maumivu amin
Allah akujaalie afya akuondoshee uzito wa maradhi Inshaallah
Amiin
InshaAllah Allah make easy for you
Dah allah akbar cancer ni ugonjwa mbaya sana allah ampe tahfif in shaa Allah anapitia maumivu makali sana Dua kwa Wingi In shaa Allah
pole sana. allah atakulipa kheir.
اللله يشفيك ويعافيك يارب العالمين
Allah atakupa takhfif inshaallah
Yote mitihani ya Allah usichoke kumshukuru Allah na kuzidisha ibada
Fanya istighfaar sana sana utie nia ya kuondokewa na maradhi yako na uwaambiye watu wako wasali sana na istighfaar kwa wingi
Na utie nia kuwa utapona
Mungu akuponyee
Matajili amuoni hii Hali jamani msaidieni dewj Nasoro super doll zahoro matephoni GSM wote nimewatag
Pole mzee wetu mwenyezi mungu akuondolee maradhi mwenyezi mungu yupo na wewe nami pia nakuombea mwenyezi mungu utapona mzazi wetu.
Subhana Allah 😢 innamaa ghusri yusraa pole sana babangu 😢😢
Pole baba mung akufanyie wepesi
Mungu akupe shifaa uckate tamaa mzee wetu 😢
Allah ndie muweza
Utapona baba Mwenyezi Mungu atakujaalia utapona uckate tamaa,maumivu aliyonayo nivile nimwanaume anajikaza
Subhaannallah 😢pole sana
Allah atakuwafu yaarab atakupa uzima yaarab
Pole sana baba mungu yupo pamoja nawe pia utakuwa sawa😢😢
Pole sana baba 🙏 😢 mungu akuponye
Maumivu ya huyu baba hayasimuliki😢😢Mungu tunaomba mkumbuke mwanao huyu
SUBHANALLAH 😢😢mbon tz watu wengi wanaumwa Kansa?Allah awafanyie wepesi wagonjwa wote amiin
Huyu katokea Kenya Tz kaja tu kwa kufata msaada na tiba
Haya maradhi sio TZ tu hata huku Uingereza watu kila kukicha wanakufa na cancer haya maradhi hayana matibabu sio kwa mzungu wala mwafrica mzungu mwenyewe umemshinda huu ugonjwa kikubwa tuuombe M/mungu atupunguzie makali Inshallah
Yaani Mungu atunusuru sijui tatizo nini jamani sijui vyakula??
@@user-cv7vm1mx9d
Hata sijui kwa kweli saa hii yamewashika watu wa Tz huku uingereza mpaka unaogopa mtu zamani ukisikia wazungu saa hii hata wakuja yanatukaribisha
Allah atakupa Shifaa,.Usikate tamaa kuungua kwataka Subra..Allah atakufanyia wepesi
Pole sana mungu akujaliye upone
Assalam aleykum jaman nawaombeni wote tunaomuangalia huyu mzee nawaomben sana tumuombeeni dua inshaallah tafadhalin sana
Warhmatuh msalaam Allah amfanyie sahali
Tunamuombea na pia tunamuhurumia Allah atampa shifaa in shaa Allah
Aaallllah akupe shifa
Subhannallah pole baba Allah akupe shifaa ya haraka
Allah atakupa shifaaa yaarab
Pole sana baba Allah Atakuafu Inshaallah
Kansa inamaunivu makalisana.....Pole mke uguza mumeo mwaya utabarikiwasana nimeuiuguza mumewangu kansa😢 dah inatesasana
Allah ampe tahafif in shaa allah
Subuhanallah. Pole baba ALLHA. AKUPE SHIFAA😢😢
Pole sana baba Allah akujaalie afya njema
Alla atakuwafu inshl utapowa tu.
Allah Akupe shifaa ya haraka baba yetu
Pole sana
Allah akupe shifaa ya haraka
Pole baba angu jmn
Subhanallah 😢Allah akujalie afya
dadaangu mpeleke mumeo kwa mtt yunis atapona kwa uwezo wa mungu watu wengi wamepona
Ugonjwa mbaya uyu jmn allah atunusuru jmn
Allahumma Amiin 🤲🤲🤲🤲
Allah atampa shifaa.
Kaka zahiri uko vzr na shangaa yuwasema yote sahi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hakika watanzania tunaupendo sana Baba Mungu akuponye haraka
@@user-rl5qu4zj9b Allah ampe nafuu maskini inatia huzuni😭
Msafirisheni allah ndo anaejua
Mungu atakujalia utapoa baba 😢
Iyo nikasa niugojwa wahatari wamusaidiye aende kukama kwa mutoto yunis atapona ata na mimi nilimupoteza mama yangu muzazi kupitiya uyo ugojwa mungu atakusaidiya muzee wangu
Sn ugonjwabaya sn u
Subhanna Allah 😭😭
yarabi mjalilishe shifaa mja wako,😢
Pole sana baba
Allah yashfiik
Mungu wa mbinguni atusaidie jamani.huyo shetani cancer sijui ataisha lini.lakini huwa najiuliza kwa nn wagonjwa wengi wa cancer wakianza kemo wanazidiwaga?Mungu mtie nguvu mzee wetu
Subhanallah
Amekatatamaa bba anaona atakufa
😭😭😭
Ndungu mutangazaji uyo muzee anastaili kupelekwa kwa mutoto yunis wa mukowa wa arusha
Huyu mtoto kweli jaman
Zaher huyu mzee naona stori yake ni kama marehemu babangu ingawa hakuwa anaugua
Cancer. alipozidiwa alilazimisha aletwe Dar kwa kaka yetu na tukamuuguza na Allah alimkhitari tukamstiri kisutu. Kile naona ni arudi mombasa ili mkewe asipate taabu na watoto akiwa mbali. Nadhani umeniele
Wa nnacho maanisha.
Pole sana Baba, Mungu akuponye
Subhanalllllllllah😢😢
Kwanza ulisema Kenya watu wabaya hawana Imani na wewe Leo hi Tena wawa kumbuka pole sn mungu atakupa wepesi
😢😢😢
Zahil. Mbona ww si muelewa ukiona mgonjwa anadai kwao usimzuie ww utakiwa na pesa ya kumsafurusha uyo kila mtu na maono yk alo jaaliwa na allah
We nawe sijui unatumia nn kufikiria
Wapi nilipomkatalia asiende kwao!?
Kuuliza kwann ametamani kwenda kwao ndo kumkatalia!?
Nn maana ya uhandishi wa habari!?
Nisihoji!?
Nisiulize!?
@@maximumtvonlinewatu kama hawa wasikupigishe kelele
Nenda kanisani
Watu wanakesha makanisani na wapo tele ocean road wanateseka na cancer
Akafanye nn🙄
Jamani.jinsi mnavyojaa makanisani, mngepojwa. matatizo yangebaki kwetu
@@user-ui4oh8gf8n 😂😂😂😂😂
Pole Sana baba angu akutie nguvu akupe shifaa upone 😢😢 maneno yako Yana funzo ndani yake 🤲🤲🤲🤲