Daaah inauma sana 😭😭😭😭 Ila usimuue hata mmoja muachie mungu na kwa mke wako umdai talaka muache aende zake muombe mungu atakupa mwingine atakayekuheshimu mana heshima ni kitu muhimu kwemye mahusiano Ukisema uuwe utadhan umemaliza tatizo kumbe bado ni umejiongezea matatizo kwa kuwa sheria haitambui umeuwa kwa sababu ipi endapo ikithibitisha kwamba umeuwa Cha msingi ni kuwaacha waende zao mungu ndiye atakayewalipa
Kill no one,,go and start a new life,,killing cant give you an internal happiness,,, All in all ISARITHO,,you know how to capture the feelings of audience #BIGUP
Kaka Hakika Wewe Ni Msanii Bora ✊✊
Sana alfu anajua sanaaaaa
Anajiitaje jina lake lenyew naomb kujua
7:47
Waa hii kali sana.chakufanya wafukuze waote apo kwa nyumba 😢😢
Daaah inauma sana 😭😭😭😭
Ila usimuue hata mmoja muachie mungu na kwa mke wako umdai talaka muache aende zake muombe mungu atakupa mwingine atakayekuheshimu mana heshima ni kitu muhimu kwemye mahusiano
Ukisema uuwe utadhan umemaliza tatizo kumbe bado ni umejiongezea matatizo kwa kuwa sheria haitambui umeuwa kwa sababu ipi endapo ikithibitisha kwamba umeuwa
Cha msingi ni kuwaacha waende zao mungu ndiye atakayewalipa
😁😁😁😁😁😁
💥💥🔥🔥🔥🔥 Mungu azid kukubariki kaka kazi zako 🔥🔥🔥
Shukran sana kaka
Kk asante kw kazi nzuri❤
Kaka kitambo sana umepotea wapi tunahitaji move kali tunakutegemea hongera sana
Usijal sister zinakuja
Daaaaah umetishaaaaa 🔥🔥🔥
Nice Story brother
Daah kwa hisia sana ndugu
Kill no one,,go and start a new life,,killing cant give you an internal happiness,,,
All in all ISARITHO,,you know how to capture the feelings of audience #BIGUP
Shukran sana kaka
Icho kisu katia na tunda lolote afu wape wale hapo utakua umetisha bro.usilipe ubaya kwa ubaya💪💪💪
😁😁😁😁😁
Aki dula kisu wallahi unamajaribio,basi hapo wakati unakipapasa mm nishafika nje😂😂😂😂😂😂 kifo bana Daaaah
Usiuwe bro wafukuze tu
🙌🙌🙌
Nakubali sana
My favorite artist 💥💥
Kali bro imenitouch sana 😰😰😰
Inauma sana usiombe yakukute
Wasameh tu kaka afu huyo mwanamke mfukuze baada ya msamaha hakufai huyo ni mbwa
Never disappoint
Waowanishe kaka
🔥🔥🔥
Fire🔥🔥🔥🔥
Swadakta isaa aminia kaka
Good Story
Daaah polesana kbs kaka 😭😭😭 aponauwamtu
Dj afro
Mm acha nicheke😂😂😂😂😂😂😂
😢😢😢
👏👏👏👏
Jiuwe wewe 😅😅😅
Nkbl sana bro...jitahid uwe unaweka thumbnail ambayo ina HAMASA SANA KWA MWANGALIAJ ILI uwez kupata more views😊
Shukran sana kaka kwa maoni
Nakubar 🔥🔥🔥🔥
Duuuuuuh, iyi moja kali
Kiukwl Jamaa unajuwa saan
Kaka wewe ni bom la nyuklia 😃😃😃 dah Mungu aendelee kukuinua 🙌
😀😀😀😀shukran sana
😭😭 asnte sana Ben
Uwa wote
waache waoane..... kaka ww ni fireeeeee
Shukran sana kaka
Big up
Mlete na mbanga atupee michano mikalii
😀😀😀sawa
Apo kaka angu usiuwe hata mmoja...fukuza watoke kwenye nyumba yako waende zao kufanya ujinga wao huko inje
waaaaaa
Mm sichoki kuangalia short film zako kaka
Shukran sana kaka
Wote uwa
🙄🙄🙄🙄
Uzuni,somo,fundisho great job ever
Lusaritho broo
Daahh
Daah
Waoanishe 2 kaka isarito
Shukran sana
Temana nao otee angalia pc zingine
Kaka sorry naomba kujiunga naww na
Jogoo auliwe tu