Hii nyimbo jamani sijui niseme kitu gani na isitoshe rapa wangu bora wa Bongo yumo, Daaaaaaaaah! I say. Ray enhhh! Big up brother. Nyimbo yangu bora kwa Rayvanny. Anayekubaliana na mimi gonga like hapa.
Hawa watu walitoka mbali nimeumiya rayvany kuacha huyu mwanamke sasa analea pekeake amesahau fayma alimpenda akiwa ana ata sura pesa kidogo amesonga na kujisahau you need deliverance rayvany
Verse 1: Nimeanza Safari la penzi na wewe Usikatishe Mungu mwema baba mbali otufikishe Mi binadamu nakasea nikiteleza usiuzunike eeeh Milele mwana dada, nikifa unizike Kutoka kwenye Ufungu wa moyo wangu tamka (Ni wewe) Taswira pekee kwenye ndoto zangu mamaa Ufariji pekee nikimwaga choza langu mamaa (Ni wewe) Imenishinda siri kifuanu mwangu aaahhhh Nikupeleke nyumbanikwetu sheri eeeehhh Ukawajue na ndugu zangu mamaaaaaa Unipeleke nyumbani kwenu bibi weweeee Nikawaone shemeji zangu mamaaaaa Chorus: Siri ya nini (Siri) Nini maaanaka (Siri) Siri ya nini (Siri) Nini hasra zabe (Siri) Siri oooooh siri Mapenzi ya siri Pre-Chorus: Oohhh mama lohloh Oohhh mama lohloh Oohhh mama lohloh Verse 2: Eehhh Nipeutam kabla ujutamka usingizi Sikam mbka tukiamka ni sirizi Ka konko tuende kamara kibirizi Mapaja yake utamu michirizi Micheputo imenuma imzira sili sili Na we ni kachumbara naye nizer pili pili Pili plil manga tunakilikili wanga Kilimanjaro nyumbani kwetu kisimiri mwanga Si mama Nikii Simama wima Siri ni kilele nikufikishe kwa bina Si umebeba beba mkungu wa mleba Uchungu ka kwao wakajifungue labour Uchungu ka kwao wakajifungue labour Pre-Chorus: Oohh mama lohloh (Mama Lolo) Kwako sijiwezi Oohh mama lohloh Sitoficha Mdudu mapenzi Oohh mama lohloh (Mama Lolo) Kwako sijiwezi Oohh mama lohloh Mama loh loh Chorus: Pa kueka moyo mi swa (Siri) Acha nikutaje ka jina (Siri) Najua wenye vitina (Siri) Jembe nipo nalima (Siri) Basi nawe usifiche mama (Siri) Sema na watupishe maa (Siri) Vichefuchefu watashishana (Siri) Penzi letu lislishe mamaa (Siri) Oh eh eh Hook: Oh eh Oh eh Oh eh oh Oh eh Oh eh Oh Wah Oh eh Oh eh Oh eh oh Oh eh Oh eh Oh Wah Outro: Siri ya nini (Oh eh Oh eh Oh eh oh) Nini maanake (Siri) Siri ya nini (Oh eh Oh eh Oh eh oh) Nini hasara zake (Oh eh Oh eh Oh eh wah)
Man this song jamani bado na isikiliza my couple niliyo kua na penda kulizo zingine couples bado nipo kwenye maumivu kama ni mm nili achwa fayhma na rayvanny nina wa penda saaana jamani ❤️❤️❤️❤️❤️
Jmn wasan punguzen kiki kumbe bado mpo wote kuturusha roho huko veepe jmn nmefurahi kumuona #fayvanny gonga like kama umemuona fresh jumbe ila WCB mnajua kutukumbusha wasani wa zaman
Mwanamkeee anaye mtaka Ravanny ni maa Heydan😘😘❤❤❤ fayvanny wanaendana fayvanny mzuri saaaana tunaumiya ss mashabiki wa Rayvanny kuona fayvanny hayupo na Rayvanny 😭😭😭😭😭😭😭
Rayvany alivyomuimbia paulla Leo nikaja kutazama na hii nikaona utofauti mkubwa yote mema Mungu awatunze pauvany na pia Mungu ampe fahyma amani na moyo wa kupenda Tena one love 🌝❣️🥺🥰
Wow!💜 #NICE SONGS. KILA MTU AMEHAMINI KAMA UNAMPENDA #FAHYMA NDIYO VIZURI MUNGU AWE NA wewe #rayvanny KABISA MANY GOD BLESS YOU I GIVE YOU ALL THE BEST IN YOU LIFE PROSPERITY 😍💜🔑🔑
Kama upo unaskiliza wimbo huu2024 gonga like
Nimerudi after wamerudiana na wametoa song ingine forever 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I love this song ❤
Kwani waliachana
@@catherincharles345😂😂😂
@@catherincharles345 1
Zsa
Kama unasikiliza huu wimbo 2024 nipe like
Huyu mzee Nikk wa Pili ni motooo ...here in 2024 kama ya jana tuu jameni.
Finally they are back together❤
Mungu mwema baba nikiteleleza usiuzunike,kama umekuja kusikiliza hii ngoma baada ray kumrudia fahy tujuane na likes 🇶🇦.
Kaka rayvan please rudi na umsamee dada fayma mnaendana sana pia mshazaa msimtese mtoto jaman please rudi na umsamee dada fayma
Duuuu haya bhn Ila wanaume mungu anawaona 😭😭😭 pole sana mdogo wng ipo siku mungu atakufuta machozi
Nani kaja kucompare hii na ya Wanaweweseka♥️♥️.. Siri is lit, 💪
Mimi
Hii ni kali
Nani kaja kusikiliza hii ngoma baada ya van boy kumpiga chini fay 🇶🇦
🤣🤣🤣🤣🤣
@@moapartananias8963 😄😄😄😄👊
mimi
Wanaume mbwa hawa
☝
I thought the was going to die. Omg the song was for Faima. ❤❤❤
Kama Bado waisikiliza ngoma hii kuingia 2023 nipee like 😚💥
ya moto san 😎
My song forever
@@carothomas9814 since 2017 till now iko kwa moyo 👐
Kali sana💯
Love from Burundi 🇧🇮
kama dawa chui oooh mama loooh uuuiii
Nyimbo unaiskia inaamsha hisia vany we ni fundi wa utunzi
Nimetoka kuangalia wana weweseka ...nyieeeeee maisha yanaenda kasi sanaaa
Still love this song even after listening to his new song 'wanaweweseka' with paula..I just feel for Fahyma💔💔
Me too 😭😭
😭😭😭me too
Mee four😭
Hakika jmn mmh mtoto wa kiume syo ndugu yako
all those words were lies weh.....earth is hard enyewe
Kilichopangwa na mungu mwanadamu hawezi kutenganisha gonga like after kuwatch hii Tena after kurudiana
Am Kenyan and I believe Nyashinski and Rayvanny would do a perfect love song.
Absolutely
Hii sauti ya vannyboy humu na uandishi nimeuelewa
2021 still listening to my favorite musician
Still a sweet tune....
Me too
Wish I could understand what he's saying just love this
Me 4
Yap.
Oyee i feel for Fayma😭😭😭.
Hope she finds someone who will love her genuinely 🙏
Me too😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭woi Ray watu hukosana please marriage to be strong lazima mkosane
Vituko vya rayvanny has made me to come and listen this song again.. Atakumbuka fayma.. Like how now harmonize is asking for forgiveness kwa sara
wah
@@monicahsyombua6712 is it real
@@monicahsyombua6712 is it real
Kunatofauti kubwa kati ya mwanamuziki na muimbaji... Huyu jamaa ni nyoko.. Nice work
Upo poa
Kama unapenda vvany boy sema hii piga like na comment
Napenda saaana
Nampenda kuliko venye mnampenda
nampenda tu sana
Nampenda akii
I like her so much
Baada Ya nyimbo Ya Paula tulio rudi apa tujuane gonga like😁
huyu ni mm kabisa 🙈🙈🙈🙈🙈 mapenz nyoko kabisa
Baby booy
Kama unasikiza huu wimbo baada ya fununu ya Fayvanny kuachana😢 gonga like hapa. Lila twawaombea warudiane kama kawaida.
Mpaka nimejiuliza bona rayvanny akuimba na fayma kama video vixen ya I love you 😢😢
Soo painful
😂 😂 😂
😹😹😹😹
Susan Onyango wasiludiane tu😂👌
kichupa kimewaka ####
nasa port mziki mzuri..%%%1000
van umetulia kwenye mstari ujatoka njee ya biti..
& Niki pia
Am so happy knowing that you guys are together again may your reunion stand still and raise your child as a whole family much love from Kenya 🇰🇪
Me too 😊
Hii nyimbo jamani sijui niseme kitu gani na isitoshe rapa wangu bora wa Bongo yumo, Daaaaaaaaah! I say. Ray enhhh! Big up brother. Nyimbo yangu bora kwa Rayvanny. Anayekubaliana na mimi gonga like hapa.
Nipo hapa baada ya penzi kurudi mala pake 🔥🔥🔥🔥🔥, Van huyu ndio mke tupelekee kwetu
Hakika sasa mbeya kuna kichwa cha mziki mbeya city gonga like yako kama unamfatilia mtoto wa nyumbani lakini huyu nick kaua aseeeeeeeee nawapenda sana
Anaye mkubali rayvanny kuwa BET hakukosea kuichukua gonga like
Simso Tv
Jajawah tuacha salama Vanny boy
Saad Mgendi atatuua kwa ubora wake
Simso Tv ninoma
Simso Tv mziki mnzuri
Ryvany you broke the promise you made to Fymah in this song....Wife comes first in your life time
Hawa watu walitoka mbali nimeumiya rayvany kuacha huyu mwanamke sasa analea pekeake amesahau fayma alimpenda akiwa ana ata sura pesa kidogo amesonga na kujisahau you need deliverance rayvany
All the way from Ghana I don't understand the language used but I enjoy the sweet melody Tanzanians are very talented keep stressing nigerians🔥🔥🔥🔥
Ghana ganeee? DP yako ni ya Githeriman.
Amos Charz national language of Tanzania is Swahili language
Amos Charz thx..U well come friend...
😜😜😜
❤️🇺🇬
Hii nyimbo Kali sana, i can listen to it from asubuhi to the next morning, Team Vanny gonga like.
Cyril Fernandes napenda vanny sana
Ghai!my best couple...kama wewe ni mkenya na unaamini ipo siku watarudiana gonga like hapo chini tukisonga
True love 💕 never ends.the first choice is always the best, what goes around comes around
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
even my dad will LOVE this..NICE SONG VANNY BOY..NIKKI NAILED IT..Good piece of work..
Verse 1: Nimeanza Safari la penzi na wewe Usikatishe Mungu mwema baba mbali otufikishe Mi binadamu nakasea nikiteleza usiuzunike eeeh Milele mwana dada, nikifa unizike Kutoka kwenye Ufungu wa moyo wangu tamka (Ni wewe) Taswira pekee kwenye ndoto zangu mamaa Ufariji pekee nikimwaga choza langu mamaa (Ni wewe) Imenishinda siri kifuanu mwangu aaahhhh Nikupeleke nyumbanikwetu sheri eeeehhh Ukawajue na ndugu zangu mamaaaaaa Unipeleke nyumbani kwenu bibi weweeee Nikawaone shemeji zangu mamaaaaa Chorus: Siri ya nini (Siri) Nini maaanaka (Siri) Siri ya nini (Siri) Nini hasra zabe (Siri) Siri oooooh siri Mapenzi ya siri Pre-Chorus: Oohhh mama lohloh Oohhh mama lohloh Oohhh mama lohloh Verse 2: Eehhh Nipeutam kabla ujutamka usingizi Sikam mbka tukiamka ni sirizi Ka konko tuende kamara kibirizi Mapaja yake utamu michirizi Micheputo imenuma imzira sili sili Na we ni kachumbara naye nizer pili pili Pili plil manga tunakilikili wanga Kilimanjaro nyumbani kwetu kisimiri mwanga Si mama Nikii Simama wima Siri ni kilele nikufikishe kwa bina Si umebeba beba mkungu wa mleba Uchungu ka kwao wakajifungue labour Uchungu ka kwao wakajifungue labour Pre-Chorus: Oohh mama lohloh (Mama Lolo) Kwako sijiwezi Oohh mama lohloh Sitoficha Mdudu mapenzi Oohh mama lohloh (Mama Lolo) Kwako sijiwezi Oohh mama lohloh Mama loh loh Chorus: Pa kueka moyo mi swa (Siri) Acha nikutaje ka jina (Siri) Najua wenye vitina (Siri) Jembe nipo nalima (Siri) Basi nawe usifiche mama (Siri) Sema na watupishe maa (Siri) Vichefuchefu watashishana (Siri) Penzi letu lislishe mamaa (Siri) Oh eh eh Hook: Oh eh Oh eh Oh eh oh Oh eh Oh eh Oh Wah Oh eh Oh eh Oh eh oh Oh eh Oh eh Oh Wah Outro: Siri ya nini (Oh eh Oh eh Oh eh oh) Nini maanake (Siri) Siri ya nini (Oh eh Oh eh Oh eh oh) Nini hasara zake (Oh eh Oh eh Oh eh wah)
Umejaribu
Umejitahidi
Uko sawa
Lovely song more fire
hatar
2024 nyimbo ipo hot....inaunguzaa🎆🎆🎆🎆🎆🎇❤❤
I'm from Nigeria, but ravanny is my favorite Tanzania musician
2naotazama ngoma hii 2020 tujuane kwa like2! Jaman
Very Nice songs
@@eliahharghonism2074 e22qqq,
Gonga like if you shed tears of joy seeing the two love birds in the video😍😍😍😍😍
Jamen nani Yuko hapa 2024
I can listen to this song all day n stay wanting more
You are talented Rayvanny, nimekubali cna ubishi tena !!!! Hata hujaingiza mitusi mingi km nyimbo zngne
Talented cnaaa@niki wa piliiii kauaaaa ni noymahhhhhhhhh cnaaaaaa
Huu wimbo,combination ya rayvanny na nikki imekaa penyewe.Nikki ameua sana kwenye hii nyimbi atafutwe na mahakama
Jamani nipo apa bado.roho hunituma kila.mara kuutazama hii wimbo.congrants vii.nipeeni likes twende
Rayvanny we love ur songs u sing soo nice... U talented but hungeamwacha Fayma hata basi uwaoe wote tu😭😭😭😭
Kama umekuja kusikiliza hii nyimbo baada ya rayvanny kumrudia fayhma tujuane likes 🇶🇦
Fahyma is very beautiful. So sad waliachana 🥲. Mob love 🇰🇪🇦🇺
Wimbo mkali xana 2024 lakin bado nauonaa mpya
hii kweli funga mwaka.inavoelekea hawa jamaa wa wcb store imejaa nyimbo.maana km ni msanii mwengine angesubiri 2018.kabisa
Niki wapili danger xana kubali xanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Sometimes it take one song to bring back thousands memories 😔
What a song ❤💥
As if he knew 🥺🥺 mi binadamu nakosea nkikosa usiuzunike♥️♥️💯
Man this song jamani bado na isikiliza my couple niliyo kua na penda kulizo zingine couples bado nipo kwenye maumivu kama ni mm nili achwa fayhma na rayvanny nina wa penda saaana jamani ❤️❤️❤️❤️❤️
Jmn wasan punguzen kiki kumbe bado mpo wote kuturusha roho huko veepe jmn nmefurahi kumuona #fayvanny gonga like kama umemuona fresh jumbe ila WCB mnajua kutukumbusha wasani wa zaman
Tobaaaaaaaa😂😂😂😂social media mimi hupita nikinyemelea😂😂😂,huyu c ni Fahyma naona 🙌🙌🙌kweli hapa ni #True_love ☑☑☑
Bettie Ndutire nakwambia namwona fai saa niko happy sana
Bettie Ndutire
m
Mwanamkeee anaye mtaka Ravanny ni maa Heydan😘😘❤❤❤ fayvanny wanaendana fayvanny mzuri saaaana tunaumiya ss mashabiki wa Rayvanny kuona fayvanny hayupo na Rayvanny 😭😭😭😭😭😭😭
Faymah forever,, mdada mzuri, mvumilivu😍,, mnaendanaaaaa eeeeiiiiish
Hujawah kosea kam unamkubli Rayvanny twend pamoja
wimb uko pow San rayvanny
Best song
Upo vzr
Naomba kusikuwe na breakup happy I love this couples watching after kuona Naogopa ya Rayvan
Nan ako hapa 2019 pia?? Gonga like
Nimerudi hapa baada ya kuiona wanaweweseka
Mbeya boy..mnyakusya anae jua kuimba na wala hajidai
..mbeya city stand up..gonga like hapa
janja anajua xna....mungu amtangulie kwa kla jambo analofnya
Mu
SuperDuper Tv
SuperDuper Tv uuiuh
SuperDuper Tv g
anaekubali nikki wa pili kaua agonge like hapa
Tixhaaaaa nick
Nikki kafanya kaz yake 10000000000%
Nimekukubaei Sana vnboy
Hakunaanaejuwakuimba kama vn by nimekukubari bro
Copper Tv, wallai Nikk aliua iyo verse without Sympathy
4yrs later and I can't stop listening to this. Kenyan love is real.
this mans voice is killing me.wanikunywa cheeeiiii
I keep listening to this hit. I really feel for fahyma they were such a lovely couple.💔💔😭
Daaaaa nyimbo tamu san kweri kisima cha burudani wcb
Wa Kenya 🇰🇪 nipeni likes kama muna mkubali Vivan boy
yaan we kidume ni balaaaaaaaaaaa
Nani anackiza 2021
2020 February kwani nyie mpo wapi jamani ??? Huyu ndyo Raymond Rayvany Vanyboy chui!!! From Nyanda za juu kusini the green city Mbeya Tanzania
Rayvany alivyomuimbia paulla Leo nikaja kutazama na hii nikaona utofauti mkubwa yote mema Mungu awatunze pauvany na pia Mungu ampe fahyma amani na moyo wa kupenda Tena one love 🌝❣️🥺🥰
That's ur woman rayvanny never let her go❤ if u are happy they have get back together give me a like
Tunakupendaaa na tuna penda kazi zakoo bidiii heshima na kuomba mungu ndio inakufanya kila siku juhudii
Wow nny anakubaliana n mm Rayvanny ako
Mbele y diamond Ki kuimba. Tebu leta kalakekako uku
This will always be my favorite 💝🥰
Nimefika huku after ya Paula😌💔
Nahisi km nasikiliza #Unikumbushe ya Vanny ft Bahati........ melody na singing pattern hajabadilisha..... great song #wcbforLIFE
WAMALIKO LUMUMBA yeah true
Nikki Wa Pili 🙌🏿
It's really a hit despite listening to his new jams you are such a blessing to your country 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 much love for you dear
Nimerudia baada ya wimbo wa Foreva
Nikki wa pili ni hivi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kudekezana muhimu sana kumdhamini umpedaye ..so swit❤❤mungu alinde ndoa yenu milele..
Beatrice Nibizi nice song
Kama unasikiliza wimbo huu rayvanny na faivanny wameludiana gonga like hapa tufufahi Kwa pamoja❤❤❤
Nimekuja kutazama baada ya ccarrymastory kupambanisha na wimbo wa sasa wa yy na Paula kweli hii kali bwana.
Am here bcoz of mama Watoto fayhma😍😍😍😍😍😍😍😍😍 sweat music
Dianaah Darling kenya asly
Dianaah Darling kenya a
Yani Katika Video zote Nilizowahi Kumuona Nikki wapili Humu Ndio Kavaa vizur kwel wasafi Mmetishaaaaa 😇😇
Inapendeza sanas
Yenywe pau amechukua nyota yako yani hapa wimbo mtamu kama asali
Today...just to revist the message.....❤❤❤❤the wife will remain wife..period
naondokaaajeee bilaaa ku xhow loveee....
##Kazii nzuriiiii mzeee baba...
#Nqkubaliiiiii
Van boy husubiri mwakani ..safiiii
Loh! Shikamoo mapenzi!!! Mungu tusaidie,loh!
Still my favorite song ❤️🥰❤️ she’s Beautiful and she’s good queen 👸🥰
Nyimbo hii haichooshii
Team gulf mko wapi gonga like.. kwa wenye wanakubali tz wanajua kuimba nipitishie ## like
hatari Sana van boy mtu m, baya ft Niki wa pili like zenu hapa wadau kichupa kikali
Evarest Faustin uko vzr sana
Uyu ndiye wako rayvanny please come back to this lady na mungu atawambariki sana pamoja
Ndo leo najua kua video queen wa hii nyimbo n fayvany
Wow!💜 #NICE SONGS. KILA MTU AMEHAMINI KAMA UNAMPENDA #FAHYMA NDIYO VIZURI MUNGU AWE NA wewe #rayvanny KABISA MANY GOD BLESS YOU I GIVE YOU ALL THE BEST IN YOU LIFE PROSPERITY 😍💜🔑🔑
Van boy kubar Sana mie
kutoka Kwenye uvungu wa moyo wangu Ni wewe #dah nimeipenda Sana hapo jaman
It hurts💔ray you broke the covenant in this song it wasn't supposed to end that way 😥
true aki
Who still listening to this beautiful song 2021❤️❤️