FUNGUKA NA ABDULRAZAK ep 4:NATEMBEA NA WANAWAKE OFISINI KWANGU,MANENO WANAYAPELEKA NJE,ALIKUKA DADA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 79

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Před měsícem +11

    ABDULI NI MSHENZI PROMAX.

  • @AishaHaji-h4d
    @AishaHaji-h4d Před měsícem +9

    Narcissistic,womanizer,so disrespectful 🙌
    Nyapu tbh 🙌🙌

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 2 měsíci +12

    Issues ya wigi diva alijibu kwenye interview it's was true yule dada alilipata kwenye gari ya Abdul wala haikuwa ya kutengeneza😊 So this man nimuongooo😊

    • @belak999
      @belak999 Před měsícem +1

      Kwanini unamuamin Diva?

  • @HameedaHh-y5y
    @HameedaHh-y5y Před 2 měsíci +6

    Leoo divaaa anaitwaa mtangazajii 😂😂😂Ngoja aioneee hiyooo atashushaaa ngazeti 😂😂😂

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Před měsícem

      Angekaaa kimya nani agemuita mtangazaji😏

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j Před měsícem +6

    Na huyo mtangazaji anajibebisha ingia kwenye moto

  • @user-cj2kl7cd9k
    @user-cj2kl7cd9k Před měsícem +6

    Mwanamme ana mdomo mchafu huyu loh diva ana moyo wa chuma hata iwe waume adimu ila hapa big no

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Před měsícem

      Badoo haujasemaa

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 Před měsícem +1

      @@AmanaHusseinhahaha khaaa kwa huyu tutasema yote puuuuuu mama ake alitoa chango

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Před měsícem

      Chango yanini tena mpenzi 😜

    • @efrahfarahahmed8960
      @efrahfarahahmed8960 Před měsícem +1

      Diva amevumilia mengi sana kwa huyu baba mdomo mchafu masifa

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před 2 měsíci +7

    Hapa diva alivamia mtumbwi wa vibwengo 😂

    • @belak999
      @belak999 Před měsícem

      Diva mwenyewe ni kibwengo zaid ya Abdul

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂 Kwakwel

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Před měsícem +2

    Queen huyooo.. tuchafungua code 😂😂😂😂

  • @JoyceAndongwisye-l2k
    @JoyceAndongwisye-l2k Před měsícem +2

    Masaa mawili kwaiyo mteja akakaa kuwasubiri😢

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 Před měsícem +10

    Yani Abdul ni professional Narcist na muongo grade ya mwisho

  • @SuleymanSaid
    @SuleymanSaid Před 16 dny

    Wanawake wanapenda watu marufu na wenye hela sahv hawangali upendo hela tu ila ukifilisika wanakuacha someni maisha madilikeni wanawake kama unataka kuolewa hem tafuta anae kupenda kweli sio upendo wahela2

  • @amamiss22
    @amamiss22 Před 2 měsíci +10

    This man is sick, I swear 😢

  • @salhawaziri1668
    @salhawaziri1668 Před měsícem +1

    Sifaaaa hausifiweeeeeeeeee togolwa hautogelweeeeee ptuuuuuuuuu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem

    Safi nimependa kwenye kipato ...mungu akujalie upate zaidi na uwe na mafanikio zaidi

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Před měsícem +3

    Wellu sengo

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 Před měsícem +2

    Kama kuzini unazini sanaaa na ingekua kauli inaumba kiukweli wewe sasa ungekua tayari chizi mana unavojisemesha na ulivo ni tofauti kwakweli

  • @HameedaHh-y5y
    @HameedaHh-y5y Před 2 měsíci +2

    Huyuuu shehe wallah hamuongopiii hataaa munguu kilaaaa sikuu anazini na watejaa wakeee leooo anakanushaaa

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Před měsícem

      Wewe ulienda hoficn kwake kama mtejaa mkazinii🙄

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j Před měsícem +4

    Alafu nyie watangazaji ni wagombanishi diva uzuri wote uliokua nayo hukujua kutafuta mwanaume wakweli dah

  • @FajmaHilali
    @FajmaHilali Před 2 měsíci +2

    Huyo mimi namjua Sana nimalaya wakutupwa anajikosha tu hapo😂😂😂😂😂😂😂

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Před 2 měsíci

      Eb nisimulie ndugu yangu Abdul nimalaya kivipi 👂

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 Před měsícem

      Amesha kukula

    • @Serengeti-iu4qv
      @Serengeti-iu4qv Před měsícem

      Abduli acha uongo. Kama ulikuwa hutaki Dada wa kazi asifue boxer zake mbona uliziweka pamoja na nguo zingine. Muongo huyu kaka

  • @x7hia
    @x7hia Před měsícem

    Adui wa m.mke ni m.mke mwenziwe wewe reytox mshenzi sana

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Před měsícem +1

    QUEEN

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho Před 2 měsíci +3

    Inaonesha ni Shilole😂😂😊

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b Před měsícem +4

    Huyu sheikh hata mama mkwe aliwahi kumtaka wanawake kuweni makini na huyu mtu mchafu

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 Před měsícem +1

    What if atokee mschana ambae si mkeo na ulimla ofisini ??

  • @ZenaMaseule
    @ZenaMaseule Před měsícem

    Na aliapaga wakati anamuoa diva kuwa akimuacha achizike au afe sasa mbona limeoa eee Mola wetu angamizaa hii mtu

  • @user-hc9yl8ol6q
    @user-hc9yl8ol6q Před měsícem

    Huyo atakua softena 😂😂😂 maana shughuli yake si ndogo

  • @user-bd1jv7oi3j
    @user-bd1jv7oi3j Před měsícem +3

    Nikajala au nicole

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 Před měsícem

      Anaweza akawa kajala au Nicole au posh queen au Irene uwoya ...awo ndo mmoja wao alioenda kuoga dawa...ila abduli ni mfuska Sana...hakika diva kampata mwanaume wakufanana nae kuanzia akili na Kila kitu..kufek uwongo n.k

    • @missmannydxb
      @missmannydxb Před měsícem

      Nicole Fakiiiii!

    • @JoyceAndongwisye-l2k
      @JoyceAndongwisye-l2k Před měsícem

      Nicole feki​@@jamilaathumani5481

  • @winnieamanya665
    @winnieamanya665 Před měsícem +1

    Anavyio lamba mdomo muongoooooo

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 Před měsícem +6

    Nataman nije mnihoji khs huyu kaka anaesema hajawai lala na mwanamke zaid ya mke wake..ktk wanaume waongo Dunian basi huyu ndo wa kwanza😢..

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Před měsícem

      Iyo ni kweli ama nistori za jaba😜😜😜

    • @jadetoto
      @jadetoto Před měsícem

      Katika wanaume waongo huyo ni mmoja wao

  • @SalhaIradukunda
    @SalhaIradukunda Před 2 měsíci

    Diva ana chake hapo tena duuuuh 😅😅😅

  • @SuleymanSaid
    @SuleymanSaid Před 16 dny

    Sura ya mtu ndo kila kitu mbona kwa wenye kuelewa washajua ila m2 akikosea tumuombe dua tu abadilike mana yy hua anaseidia watu kwann nasisi tusimuombe Asije akafanya zayd ya hv !!!!

  • @user-mz6lq3gr9l
    @user-mz6lq3gr9l Před měsícem +1

    Et nyapu nyeusi, mtihani huu

  • @ummysalumu4852
    @ummysalumu4852 Před měsícem

    Sanchoka😂😂😂

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d Před měsícem

    Niyule alibadil dini 😂😂😂😂 now avumi Tena Rangi ya chocolate. Ila now karud sokoni

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Před měsícem +2

    Huyu ni narcissistic 😢

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Před měsícem +1

    Masaa 2 muongo huna ubavu huo shenzi wewe😅 anajuwa kuongea tu! Na kujitetea kipaji anacho cha ujinga wake. Wote hawawezi kusema uwongo. Kijana hatari promax ndio maana hanenepi😂

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Před měsícem

    Mange alishakukataza kumtaja taja naona husikii..

  • @fatumasuleymanashurambinda6880
    @fatumasuleymanashurambinda6880 Před 2 měsíci +1

    20:45😅nimehisi kajala😅au nikool wa huba 😅mnaonaje😅

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +1

    Ila abduli wewe hujatulia kabisa yan..alafu unasema wewe ostaz...usitumie neno ilo la ustaz wakati wewe unaongelea mapenz..usijiite ostaz...

  • @seychelelamsamba475
    @seychelelamsamba475 Před měsícem

    Hyu ni sheikh? Ptuuu

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly Před měsícem

    Diva aje kubalance story Wigi lilikuwa kwa gari na ndio alipofanyia umalaya wake...housegirl alimwambia Diva hiyo ishu mwenyewe.. wanawake wengi anaolala nao wanataka tu kumuona utupu wake na tamaa ya umalaya na sio kumpenda au kuolewa, haiwezekani wakajitoa mwenye kadamnasi anajitetea ili aonekana mtu mwema mbele za watu

  • @isabellamichael1025
    @isabellamichael1025 Před měsícem

    Mmh

  • @Mamshika
    @Mamshika Před 2 měsíci +1

    Rey mlete na diva a.k.a mtangazaji ajb hoja ili ubalance story maana huyu Jamaa anaonekana ni muongo haiwezekani kila kitu anasingiziwa

  • @shanifambaraka-v6y
    @shanifambaraka-v6y Před měsícem

    NICOLE

  • @salhawaziri1668
    @salhawaziri1668 Před měsícem

    Ur dental formula sio nzur sana Sasa na wewe unavyochezesha hilo domo ,,mganga kwel mganga

  • @missmannydxb
    @missmannydxb Před měsícem

    Kiki za kijinga sana

    • @SuleymanSaid
      @SuleymanSaid Před 16 dny

      Umeona Eeee ila muhim tuombeane dua t