BALAA! LISSU KUWA WAKILI WA WANANCHI WA SINGIDA KESI YA KUNYANG'ANYWA ARDHI, WATU WACHOMEWA NYUMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #TANZANIA: Balaa zito! Lissu aingilia kati mgoggoro wa ardhi huko Singida Kaskazini, sasa kuwa wakili wa kesi hiyo, Wananchi wadai kunyang'anywa ardhi yao, nyumba zao kuchomwa moto na wengine kutaifisha mifugo zao.
    Zaidi: • BALAA! LISSU KUWA WAKI...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 35

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 Před 3 měsíci +6

    Bigger up camanda, ulipo tupo, Mungu akupe maisha marefu.

  • @marykissiva7460
    @marykissiva7460 Před 3 měsíci +3

    Eee Mungu wa Mbinguni tunakuomba umlinde Lisu . Tunakuomba uwatawanye waovu wote wanaomuwinda watawanyike kwa njia saba na waangushwe mbele ya macho yake waliokusudia mabaya Amen

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain Před 3 měsíci +7

    Hongera Tundu Lissu. Honestly, kazi hii ya kuelimisha wananchi juu ya HAKI na WAJIBU wao unayoifanya ni utumishi wa Mungu aliyehai na uliotukuka.
    Ni wazi kuwa sasa kwa awareness, uelewa na ufahamu huu wa watu, basi Singida imeshaingia mikononi mwa CHADEMA.
    CCM ilishakufa miaka mingi, sasa imeoza,inanuka na inapaswa kuzikwa kwenye mashimo tutoe laana na mikosi!!!

  • @selestinej.g.mallyarabbo1444

    'Heri ya Tumbo Lililo kuzaa' In God we Trust #You will never walk alone. Blessed be Father

  • @veronicaadrof8244
    @veronicaadrof8244 Před 3 měsíci +2

    Unasema kweli kabisa mheshimiwa watafute mtu sahihi mkweli asiwe kiongozi mdanganyifu awe tayari mda unaofaa na mda usiofaa kwakweli lisu achangiwe tuu gari ya maana tuu elimu hii inaamusha hari ya kukataa uzarimu

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk Před 2 měsíci

    Tuko pamoja makamanda we mungu mpe nguvu na afya njema na maisha marefu mtetezi wetu lissu.

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 Před 3 měsíci +1

    Hivi kweli3 Mungu alimbakisha ili afanye kazi ya Mungu,,,,

  • @magnusnkomola5950
    @magnusnkomola5950 Před 3 měsíci

    Big brain Mr Tundu Lissu

  • @ALIHASANI-md4hz
    @ALIHASANI-md4hz Před 3 měsíci +1

    Leo mkutano wa hadhara singida mjini tundu lisu

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq Před 3 měsíci

    Safi sana Tundulisu Kwa kutetea haki za watu

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 Před 3 měsíci +4

    Wewe ni kiongozi

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 Před 3 měsíci +1

    Dunia hii watu aina ya tundu liasu. Ukiwahesabu hawafiki hata watano. Ni mtume wa myngu kwa taifa la tanganyika. Kura yangu nimshampa kwa eoho ntwupe namkubalu kuliko mtu yoyote niliewahi kumsikliza hata nyrerere angelua hai. Hangweza kufunga kamba za viatu za lissu...

  • @christophersimoni1434
    @christophersimoni1434 Před 2 měsíci

    Movie and loved the movie and loved 🎉🎉🎉❤😂😂😂😂😂😂😂😮😮😮😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Před 3 měsíci +1

    Ok

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Před 3 měsíci +1

    Huyu tundu lissu ni mtanganyika anajua hadi kabila lake sio samia hajuii hajuii hata kabila lake tumpinge ni mwarabu ajui kabila lake wala ukiongea anajua kiarabu tuu

  • @IssayaNdinga
    @IssayaNdinga Před 3 měsíci +1

    Jamani jamani wa Tanzania nye nyinyi wote tunkosea kutokusikiliza chadema chama enye uruma nawatanzania tualimike jaman tualimike

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před 3 měsíci +3

    Safi sna mzee shengena ni msitu mkubwa sna kuna zahabu lakni ukionekana tu, unakamatwa

  • @rabiakitigwa9120
    @rabiakitigwa9120 Před 3 měsíci +4

    Elimu hii ingetolewa nchi nzima hakika watu wangeamka usingizini na kulinda haki zao

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 3 měsíci +1

    ✌️👍👊.

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 Před 3 měsíci

    Kweli kamanda

  • @charleskilala3678
    @charleskilala3678 Před 3 měsíci +1

    Sawasawa

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 3 měsíci +1

    WAKILI MSOMI PLUS BIG BRAIN 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 3 měsíci +1

    KUUNGANA PAMOJA

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 Před 3 měsíci +2

    Mpaka wanavunja haki za binadamu 😢😢😢

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před 3 měsíci +2

    nyinyi chadema hakuna anayewaweza kwa idadi ya watu tatizo lenu hamjiandikishi mkapiga kura acheni mchezo sasa siasa iwe kama dini huko kwenu mna hali mbaya watz watanganyika huku ccm haitoboi hata kibahati mbaya jiandikisheni jamaniiiii

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k Před 3 měsíci +2

    Nenda na kwingine Toa Elimu

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 3 měsíci +2

    Serikali yaccm inafukalisha watuwake kwamakusudi yakishetani tu kwasababu hawataki watu wenye elimu sawasawa, kwahiyo nchihii inatawaliwa namakatili yaani magaidi

  • @user-mf7xy3sf6q
    @user-mf7xy3sf6q Před 3 měsíci +1

    Daaah watanganyika tuna teseka sana serikali inatutesa raia wa tanganyika😢😢😢😂😢😢

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před 3 měsíci +1

    ewe mungu iuwe ccm kuanzia bara ili huku zenj imalizike kwa kifo cha kawaida .

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 Před 3 měsíci +2

    Wewe nyomi ya watu!

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 3 měsíci

    Eemungu tusaidiye utujariye MH lissu afyanjema namaisha marefu ilitupate akili tuondokane naujinga wamiakayote yaccm

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 Před 3 měsíci

    Hakika Mungu akutangulie ninatamani sana siku moja uwe Rais wa Tanganyika

  • @zephreinsuleimanpriciselyu5223

    Fukunyua baba
    Hatuna mtetezi