Hongeara sana Rais wetu wa club. Pili ninaomba mtoe kitabu hicho cha transformation na kipatikane makao makuu na kwenye matawi na viuzwe na kuingizia clabu mapato.
Mwanamke anayekaa na hyuu kiongiz plz mtunze kiongoz wetu na tunakuombea coz hna mbambamba kwa upande wetu tunamuitaj sana utufikishe kwenye ahad inshaallah
YEHOVA Mungu Ulie hai Akulinde akuzidishie maisha malefu nikiongoz mahili na mwenye maono yenye mafanikio songa mbele bila khofu Daima mbere Nyuma mwiko
Hakika wew ni engineer maana unaongea speach iliyonyooka bila makona makona safiii sana tutafika mbali Allah akikupa maisha marefu😅😂 upande ule umenuna ujue
Allah akulinde na jicho la husuda/miongo,hakika Wananchi tumepata Uongozi mahiri/mafanikio chini ya uongozi wako,hongera sana Eng.Rais klabu ya Yanga kjn Hersi Said.
Duuu mungu mkubwa katuletea mtu sahihi kwenye timu yetu kilicho bakia mdogo wangu ww raisi wa yangu sisi wanayanga kilio chetu kikubwa ni uwanja2 yani tunaumia sana tunapo enda kukodi viwanja kwahiyo ikikupendeza raisi wetu tujengee uwanja Ili iwe historia kubwa kwako
Uyu jamaa akipewa nchiii tunakua dubai ndogo sure Yaani hata akikudanganya huelewi anaongea fact tuu bila kuwataja watuuu wangekua makolo wanakikao ungesikia nusu ya mazungumzo yao yanaihusu yanga🎉🎉🎉🎉 rais anaekuja sijuhi nan maaana naomba aendeleee milele
Uncle wewe ni suala la mda tu ...inabidi kile kiti cha uongozi yaani raisi wa nchi naamini utakikalia ukiwekania maana unamadini sana ...wewe ukituongoza hakika T.....itakuwa nchi ya mafanikio makubwa🤳🤳🤳
Mwamba anajua,kila LA heri uishi san,kwa maendeleo ya club yetu young African na Taifa kwa ujumla. Ila usajili striker wa maana huu msimu unakuja wa usajili,yanga hatuna striker itatucost kweny haya mashindano ya kimataifa.
Diarra starts the ball badly by shooting the ball direct to another keeper or another defense I do think he is supposed to start by giving the ball. to his defense or players the coach has to look on this
Hongeara sana Rais wetu wa club.
Pili ninaomba mtoe kitabu hicho cha transformation na kipatikane makao makuu na kwenye matawi na viuzwe na kuingizia clabu mapato.
Unakitu kaka utafika mbali
Raisi unahakili Sana naiyona yanga mbali Sana muhimu dua tu
Mungu awe nawe injiniaaaaa
Yes. Ana akili za uongozi. All the best.
we rais moja Kwa moja peponi nakama unadhambi bac madhambi yako yote atapewa mangungu na Ahmed ally we ubaki Salama kabisaaa mwamba wetu
😂😂😂😂😂✊
Kaka Rais wa Yanga 👌👌🤝🤝💛💛💛💛🇧🇮🇧🇮
Raisi anangea uyu apewe nchi anakitu 😊
Mungu akuweke baba unatuheshimisha sana
TUMUOMBEE DUA HUYU MWAMBA AISHI MPK MALENGO YAKE YATIMIE
🙏
Inshallah🎉🎉🎉
Uzuri tumeweka vichwa sana pale mbele kwenye uongozi wetuu hongerani sana
Huyu jamaaa anakityu, Afrika washamuona , good job broo yanga naiona m ali sana🎉🎉🎉
Timu kubwa mambo makubwa💛💚🖤
From Saudi Arabia nakukubar sana rais wetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Mungu akulinde zaidi kiongozi wetu mungu akuongezee maisha marefu utumize ndoto ya Wana yanga daima mbele nyuma mwiko
Rais unaongea kama umemeza maneno kichwani hongera sana
Kakisoma na kukielewa anachokiwasilisha kwa wadau.
Mungu akupe maisha marefu raisi wetu wa timu ya yanga kweli ww kiongozi ulio sahihi
Daima mbele nyuma mwiko💚💚💛💛🔰🔰🔰
Mungu akujaalie utimize yote unayo tarajia raisi wangu
Mwanamke anayekaa na hyuu kiongiz plz mtunze kiongoz wetu na tunakuombea coz hna mbambamba kwa upande wetu tunamuitaj sana utufikishe kwenye ahad inshaallah
Big up Mr president
YEHOVA Mungu Ulie hai Akulinde akuzidishie maisha malefu nikiongoz mahili na mwenye maono yenye mafanikio songa mbele bila khofu Daima mbere Nyuma mwiko
Hakika wew ni engineer maana unaongea speach iliyonyooka bila makona makona safiii sana tutafika mbali Allah akikupa maisha marefu😅😂 upande ule umenuna ujue
😂😂😂😂😂hatariiiiu
Rais nakuomba tutafutie wawekezaji wa kujenga uwanja wenyewe kila kitu Cha kisasa kama wa totoniam hosupa ya ingaland
😂
Totoniam hosupa ndio nini?😂😂😂
😂😂😂😂😂🎉🎉
Ishaallah tutafikia huko
May Allah protect our abled president Eng. Hersi Said and protect him from all kinds of harm. Grant him strength to fight for the club
Allah akulinde na jicho la husuda/miongo,hakika Wananchi tumepata Uongozi mahiri/mafanikio chini ya uongozi wako,hongera sana Eng.Rais klabu ya Yanga kjn Hersi Said.
Nyie 💛💚💛💚🇹🇿
Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Yanga Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💛💛💛
Tuna lmani sana na RAIS WETU mungu aendelee kukupa MAONO na afya njema💚💛💚💛💚
Mungu akuifaz rais wetu wa yanga akupe maisha marefu
Ewe mola tunakuomba utuwekee raisi wetu wa yanga Hadi malengo yake yatimie tujalie mungu
Tutafika mbali Sana Sana daima mbele nyuma mwiko
Akili nyingi maashaallah hatuna shaka narais wetu hers
Tutakuombea kwa mungu hadi utimize malengo yako, ila uwanja ni muhimu sana kiongozi wetu bora
Safi sana uongozi wangu nimefurahia kusikia majina ya kwenye kamati. Wote ni watu wa maana kabisa
Jukumu la kutupa furaha sisi wana yanga lipo katika vichwa salama❤❤❤❤❤
yes my mr president i like your speech
Duuu mungu mkubwa katuletea mtu sahihi kwenye timu yetu kilicho bakia mdogo wangu ww raisi wa yangu sisi wanayanga kilio chetu kikubwa ni uwanja2 yani tunaumia sana tunapo enda kukodi viwanja kwahiyo ikikupendeza raisi wetu tujengee uwanja Ili iwe historia kubwa kwako
Hongera sana Rais wetu
Good job
💚💛 mtu wa maana sana engineer Hersi
Hongera sana mh Eng....hakika upo vzr Sana Sana
Hii imekaa vizur sana
Nakumbuka rais wangu ten tulichekwa San ❤❤yanga
Mungu aendelee kukulinda injinia una2heshmisha sn ❤❤❤❤❤
Hongera raisi na viongoz wote
Kuna watu inabdi wajifunze kwetu
Ctakaa nijutie kuwa sehemu shabiki wa yanga Africa milele 👏🏼👏🏼🌳
Ndio maana timu inaenda vema ni nondo juu ya nondo viva raisi wetu
Hongera kiongozi wetu, Mungu anakuona nasi tunakuona
Mungu akupe umri mrefu uzidi kutupa madini ya uongozi
Huyu mwenyekiti wetu ni kichwa bhana.ALLAH akupe afya njema
Yes. Eliakim Maswi anatufaa wanayanga
Yanga tuna mtu, mungu akulinde na hasidi bin hasada, tunakuombea❤
Hivi wengine hawaogopi hiki kichwa, nyie💚💚💛💛🙏🙏
Rais wetu unajua hadi naogopa. Sijui kama mama Samia hajatunyang’anya 😢
Huyu rais wa yanga Ana faa kuwa rais wa Inch
Ikawe kheri kwetu mungu barki yanga
Ukikipenda kitu utakijua vizuri hivyo hutahitajia Makaratasi kukiwasilisha. Rais anayeweza kuendesha soka la Afrika kwasasa ni Engineer
Mtu wa maana sana 🎉
Uyu jamaa akipewa nchiii tunakua dubai ndogo sure
Yaani hata akikudanganya huelewi anaongea fact tuu bila kuwataja watuuu wangekua makolo wanakikao ungesikia nusu ya mazungumzo yao yanaihusu yanga🎉🎉🎉🎉 rais anaekuja sijuhi nan maaana naomba aendeleee milele
Hakika huyu ni mwamba kweli kweli
Safi sana
Mungu akutunze mungu yupo na wewe
President mwenye akili nyingi sana 🎉🎉
Hongera Sana raisi was yangasc kwa hotuba yako ya mafanikio ya kilab yetu
❤❤safi sana
Smart sana huyu mtu.💚💚💚💚💚💚
Timu yetu Watanzania 🎉
Hongera my lovely team 🥳🥳💚💚💚💚
Speech makini kutoka Kwa mtu Msomi makini
Long live Eng Hersi 💛💚
Ishi sana President
Gooooood president
Mr president Mungu muumba mbingu na Ardhi akulinde wewe na timu yetu yetu
Hi ndo Yangaaaa🙌
Weka weka weka weka weka 🔥🔥🔥✋🏻
Nakuombea kila laheri uibadlishe iyo kilab
this is yanga
Jamani wana yanga wenzangu njooni tumsapoti raisi wetu kwa kujisajili na kulipia kadi zetu za wanachama
Sema njooni tuisupport timu yetu kufikia maono yake kama yanavyosinishwa kwenye katiba mpya
Mastermind 🎉🎉🎉
Daima mbele nyuma mwiko
i will not wonder if young African win world club competition after 4 years
Uncle wewe ni suala la mda tu ...inabidi kile kiti cha uongozi yaani raisi wa nchi naamini utakikalia ukiwekania maana unamadini sana ...wewe ukituongoza hakika T.....itakuwa nchi ya mafanikio makubwa🤳🤳🤳
Safi sana Yanga
Maisha marefu presdent
🥳🔰
Mr president 💚💚💚
Mwamba anajua,kila LA heri uishi san,kwa maendeleo ya club yetu young African na Taifa kwa ujumla. Ila usajili striker wa maana huu msimu unakuja wa usajili,yanga hatuna striker itatucost kweny haya mashindano ya kimataifa.
Allaah Akbar
💛💚💛💚💚💛💚💚💚👏👏👏
Diarra starts the ball badly by shooting the ball direct to another keeper or another defense I do think he is supposed to start by giving the ball. to his defense or players the coach has to look on this
It was a tactical Design by the head coach .. Master Gamond
Don't disturb our lovely goalkeeper, please shut up your mouth😢
😂😂😂@@rhodasamuel8334
I think is just his opinion and is not bad
Wewe upo sahihi kila siku? Acha ushamba that is a mistake.
Nyuma ya pazia kumbe kuna kiumbe mzito hatari katika sheria ALEX MGONGOLWA
Muhehe mmoja hatari sana
❤❤❤
❤❤
After 10 years, tukienda kwa mifumo hii tunayozumzia hapa, itakua dubwana moja lahatar sana
Yanga nzima tujipongeze kwa kupata kiongozi mzuri na mwenye maono na kwa hili hatuitaji ushabiki wa kipuuzi tunaitaji Nguvu ya akili tu
#timuyawananchi🔰🏆🙏
Haya mambo ya kamati isije ikawa kama ya mwakaroboo😢
Usiwe na wc wc mwananchi huk hakuna ishu za kimongolii , Wala mambo ya kibumunda bumunda
Nicee
Duhh I have mistaken (nice) was my target
Umeongea ya maana sana raisi wetu. Ila tunawaza mamelod.
M nazani katiba ibadilishwe, engineer aendelee milele😅
Dogo ni kichwa sana, huyu hata nchi inaweza kumtumia katika mambo muhimu kwenye eneo lolote na atafanya vizuri.
😢😢😢ila sio ccm
Atabadilishwa atakuwa corrupt
Daa jamaa anajua Sana