Video není dostupné.
Omlouváme se.

YAKUTUMBA | MAJI MAJI WAKATAA KUJIUNGA NA SEREKALI MSEMAJI WAO AMEWEKA MAMBO YOTE WAZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 11. 2022

Komentáře • 37

  • @assanibutoto9208
    @assanibutoto9208 Před rokem +3

    Congo yetuni ya kuachiya Mungu tu, ila ningeli watakiya serikali ya kimajimaji Mungu awalinde popote walipo na ingine kwa nini maji maji ijuwe kama ni Rwanda njo inasumbuwa inchi yetu kwa nini nao wasipiganishe Rwanda ili nao wakose amani?

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 Před rokem

    Umehongea vizuri sana mweshimiwa, mwakole manga👏🏾Tuko pamoja nawa heroes wetu…la patrie ou la mort nous vaincrons un jour✊🏾Respect and love from UK.

  • @massejobbs4284
    @massejobbs4284 Před rokem +1

    Umeongea vizuri sana . Ao watoto watakufa bure. Niwajinga sana. Tshisekedi ni nyangalakata

  • @Assanibirindwa
    @Assanibirindwa Před 7 měsíci +1

    Unasema muzuri Sana nakuhunga mukono

  • @fitinabwashi8487
    @fitinabwashi8487 Před rokem

    Umeongeya vizuri saaana,mumutowe Tchisekedi
    Jo ya maaana
    Mume kawiya Mungu awabariki
    Kwakila munao panga asant

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Před rokem

    Courage baba kwa ku pigania inchi yako kwa bidii mimi nakufata toka arabia saudia Asante kwa mashauli

  • @dunialehani6188
    @dunialehani6188 Před rokem +3

    kama hamutaki kujihunga na serikali mdaa ndohuhu wa sisi kama wabembe tuna jina letu kalembelembe amatogo tuna shindwa wapi historia yetu inajiweka wazi congo bila fizi nibure sasa tutahamuka mpakalini tunaweza kujenga fizi yetu wenyewe tusimtengeme mtu aje atusaidie kuleta amani

  • @mbayomaikoakzahi9400
    @mbayomaikoakzahi9400 Před rokem +1

    Kabila langu mimi sijuwi tulipataga elimu yawapi uwasielewi kabisaa hivi unatetea udongo paka lini na mkijiunga na serikali mtakufa nini na nyie mtahenda kufanya nini paka mjifanye kutokujiunga yani kabila langu ndohuwa siwaelewi kabisa hivi nyie huyo kanambe ndo amuwezi kunyatia nyinyi kwanza mkamuhuwa ili muone mnchi itahenda wapi yani ni Mungutu kweli helimu ningumu sana kuelewa

  • @MapendoMuhindo-us7ff
    @MapendoMuhindo-us7ff Před rokem

    Bien

  • @Godelivanana
    @Godelivanana Před rokem +1

    Nooooooo

  • @kariuki8
    @kariuki8 Před rokem +3

    Mimi kama mkenya na huzuni sana kuwaona wakongomani waketezeka juu ya ubinafasi na tamaa ya watu wacheche kweli Kongo itapata amani?

    • @nikowabantu6216
      @nikowabantu6216 Před rokem +1

      Mungu ata saidiya Amani ita rudi ,
      Wazungu ndo chanzo cha vita apa congo
      Kagame ana tumikishwa tu
      Ila marekani na inchi za ulaya ndo zina leta vita
      Mimi kama mbembe nina jua historia ya chanzo cha vita apo Congo

    • @jolemerci2155
      @jolemerci2155 Před rokem +1

      Ndugu sisi wa Congo mungu atu rehemu n'a atuteteye sababu inchi moja ishambuliwe n'a inchi tatu nishida mabalozi wa Tanzania mabalozi wa Nairobi mabalozi wa Rwanda n'a kazalika mungu tu piganie baba

    • @jolemerci2155
      @jolemerci2155 Před rokem +1

      @@nikowabantu6216 iko kweli wa zungu ndio wana haribu Congo sana ila mungu bariki wanaume wa Congo wanao kuwa namusimamo kama huu

  • @flavienjustin1340
    @flavienjustin1340 Před rokem +1

    Sisi wakongomani tuna maneno mengi tuh ila vitendo hatuna ila mwenyezi MUNGU atujaliye neema kabsa

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před rokem +1

    Wa mayi mayi mna maneno mengi tu myaka mingapi m23 mbona mna shindwa ku mtoa makanika mbona unashindwa aca wanya rwanda wakuwe inci mnakalia maneno mengi tu

  • @elishalugano5679
    @elishalugano5679 Před rokem +1

    Mutoke pale nyinyi we ajinga

  • @massejobbs4284
    @massejobbs4284 Před rokem

    Mnajuwa dili ambayo Tshisekedi alisinye na Wanyarwanda. Tshisekedi ni m,mbwa.

  • @jawabyamungukwibe9743
    @jawabyamungukwibe9743 Před rokem +1

    Yeye mwenyewe yakutubu kangame joohanamulipaka hawezi kupingana M23 juuniwamoja pamoja na Retabara woote wamojaa hasitundaganye kamakuna sababauyoyo

  • @florentkatembo1456
    @florentkatembo1456 Před rokem

    Mtu yeyote akiwa na nyumba ya makao ku mji wa kigeni hata weza kuongoza kongo kwagisi mkongomani ana taka tutakuwa tu watumwa nyinyi wakongomani wakamilifu benye silaha mushukuwe uongozi ya congo,upumbafu itoke.

  • @user-gw1cq5up5e
    @user-gw1cq5up5e Před měsícem

    Bafulilu.muwemacho.munateketeya.mukijiungana.serkar.warega.muwemacho.mukijiunganaserkar.

  • @user-gw1cq5up5e
    @user-gw1cq5up5e Před měsícem

    Wabembe.tutakuwatunatekeyeya.mukijiungana.serk

  • @user-gw1cq5up5e
    @user-gw1cq5up5e Před měsícem

    Mtutsi.atawamariza.ndiyoshabaayake

  • @dunialehani6188
    @dunialehani6188 Před rokem

    tujibebe wenyewe hacheni zone ruje hivi hamuhoni kitu kilichopo ndani ya zone yetu

  • @uwezojaninosgospelartist1432

    Tuwe inchi moja na sisi huku?

  • @sengomajack1680
    @sengomajack1680 Před rokem

    Una ongeya bure saana kwanza Yakotumba alipewa pesa kusudi asaliti inchi nanjo maana mu naanza kupigana na Biloze bishambuke tokeni porini hamuko nyani

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před rokem

    Sasa kwakutaka wale wa nya Rwanda watoke inabidi nyinyi muingiye kwenye serekali mpata jinsi yakuawatoa mkicukua vyeo bikubw vikubwa

  • @uwezojaninosgospelartist1432

    Kwanini Maji maji wasiombe Fizi, Uvira, Mwenga, Maniema etc...

  • @demsonmmunga1293
    @demsonmmunga1293 Před rokem

    Nyie wote ni waasi tu,nchi inatangaza vita nyie ni kuja kuongea uongo tu hapa

  • @usatoenglandvegas4046

    Mna changanya watu na uongo wenu

  • @massejobbs4284
    @massejobbs4284 Před rokem +1

    Tshisekedi ajasoma. Ameishi tu ubeljiji. Alikua mwizi wa mabanki ulaya. Tshisekedi Idiot national.

    • @sebajohn9058
      @sebajohn9058 Před rokem

      Wakongo pigeni hao ,m23 watoke Kongo haraka na Rwanda msiogope piga

    • @massejobbs4284
      @massejobbs4284 Před rokem

      @@sebajohn9058 lazima wanyongwe. Jinga izo