Huyo mdudu ni kweli yupo na nilimkanyaga kipindi cha nyuma sana nikiwa naenda kazini, nilipapita na kuzunguka bila kupaona kwa masaa mawili baadaye nikakutana na mtu akanishitua ndio akili ikarudi
Mambo zenu wana steve comedy paoja na nyie marafiki mnao fuatilia steve mweusi hivi mwajua kama saiz 🇯🇲 hamna mpinzani kwenye anamweza steve wakupinga apinge tu ila mimi kama khan namkubali steven mwanzo mpaka mwisho🇳🇦🔥🔥🔥
Muuliza machinjio kajiunga na team kuzulula😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂
Steven namkubali san anajua kuchekesha naomben like za kutosha
Sasa unaomba like wewe ndo Steve mbn mnakuwa washamba
🎉
@😅JustinejJohn-gg1ch
Machinjio waliitoa ndo wakajenga shule😂😂
Mimi hapa kama mnavyonijua maneno kidogo likes nyingi basi nipeni hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤ 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Steve vs ndarooo kuweni na uruma nambavu za watu
Nimecheka 😂😂😂😂
Mdudu upi ukimkanyaga unapoteza kumbukumbu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyo mdudu ni kweli yupo na nilimkanyaga kipindi cha nyuma sana nikiwa naenda kazini, nilipapita na kuzunguka bila kupaona kwa masaa mawili baadaye nikakutana na mtu akanishitua ndio akili ikarudi
Masikin kipara wamekuchosha khaaaaaah 😂😂
😂😂😂😂😂 vijana wa hovyo
😂😂😂 aki ndaro na stive
IFIKE HATUA MKUE MAFALA NYINYI😅😅
Pumbavu
Sijachelewa jaman like bac
Poa
Vijana mko vizuri sana😢😢
Wakwanja basi likers zangu🤝🏾
Steve always anijiingiza taabani ❤🇰🇪 .
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤machinations Steve ajui.
Nawapenda Xan Hawa Watu 🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ndaro Na Steve mtaniua SKU moja😂😂 much love from kenyaa
Stiven naku kubali sana toka Congo DRC🇨🇩
😂😂😂😂kaacha wenzake wengine wapi 😂
Smjp4 apa ndaro naomba like zangu
Cool
nakupenda sana steve😬😬😬😬😬
Wakwanza kukomet naomba like moja
Kati ya steve na ndaro unamkubal nani et ❤😊
Mimi naona steve amna ki2 yan kichaa 😂
Stive na Daro bwanaa😂😂😂
Like moja tuu 😁
Sasa Steve na Ndaro munachanganyikiwa mpaka na huyo Boss mwenyewe mnamucjanganya😂😂😂😂😂
Mnanichekesha mpaka basi😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤🎉😂🎉🎉🎉🎉🎉😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndaro kakimbia 😂steve NAE KAPIGWA eti selekali😂😂😂
Kwekwe ipigwe marufuku kabisa tz sasa uyu Steve &Ndaro wanatuuuwa Kwa kichekoooooooooooo 🤣🤣🤣🤣.
Mmebugi kweli😂mahukaji toka mwanzo anaonekana hawajuani na Steve mwisho anamtaja jina
Mmetisha wanang
Aimumgemuuliza Hamadi kijicho ndio akawaelekeza pengine uko mkuranga pana makinjio😂😂😂
Naombeni like zenu leo jamani pia nawakubali sana wanangu steven na ndaro.
Wanakadilia😂😂
No.
😅😊😮😢😊😅
Love Moçambique
😂😂😂😂😂
Aaah steve atariii kinomaa yaan da! Ukiwa na mtot kama huyu umeishaaa😂😂😂😂😂
Leo😅😅😅😅😅 kapigwa yeye steve😂😂
Nipeni like zangu wakwanza mm
Kazi kubwa kweli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅daaaah
❤❤❤❤
Ok I am happy this talent
😂😂
Nimekua wa kwanza kuwafatilia Steve na ndaro naombeni like zangu
sasa kuwa wa kwanza ina mahusiano gn na like? acha ushamb
Qw😊😊😊😊😊 2:20 @@hongomanyanya8233
IYK
Wakwanza naomb like zenu
😂😂😂😂😂 hizo cheko za stuvu
Ndaro ooo❤
Mini wagwaza nipeni like zagu
Kidogo nijichome na chai nikicheka Steve😂😂
First kenyan jamani nipeni likes ata mm 🇰🇪
Kaz nzur ma brother
nakubar Steven mweusi
😁😁😁😁😁niwe muwazi tyu kakaangu
Mmetisha
Steve umekataa kutuonyesha Hamadi kijicho kabisaaaa....Nataka Kumwona Hamadi kijicho kwanza, kisha Dazeti mwishowe Fatuma
Nawapenda sana nyie watu😂😂
Styv 😂😂😂 namkubali sana from 🇨🇩🙌
Steven noooomaaa naomba like nyiiiiiing
Niko Congo drc naomba likes yangu
Hahahaha ila ndaro na Steve 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nice
Alafu wanapenda hela x mchezo😅😂😂😂😂😂😂😂ndaro na Steve jamani😂
Ahahahahaha Leo Steve kawezwa vibao safii
Noma Sana
Jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Steve yuatka maombi na akili zake.more love from doha .kama wamkubali steve gonga like yako
Nitafutie kaziii pande hzoo ndgu
😂😂😂😂😂Serekal imefikaje hapo Stev jaman
Steve mweusi “umeskia ” kuoga ahh
Nasisi Congo tunawafatiriya sana ❤❤❤❤
Jamani nakubali saaaaana kazi zenu
😂😂😂😂pumbavu 😂😂
Nzuri sana 🇨🇩
Yani ndaro 😅😅
kwe hii Kari 😂😂😂. 💪💪
Eti serikali😂😂😂
Vraiment c'est monsieur il est fort ❤❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣 kazi nzuli kwenu munatufulaisha sana ❤❤
🎉🎉 mungu awajalie afya njema kila leo
Mambo zenu wana steve comedy paoja na nyie marafiki mnao fuatilia steve mweusi hivi mwajua kama saiz 🇯🇲 hamna mpinzani kwenye anamweza steve wakupinga apinge tu ila mimi kama khan namkubali steven mwanzo mpaka mwisho🇳🇦🔥🔥🔥
😂😂😂😂Steve
Kama unamkubali sitive na ndalo like zatu hapa
Wasambaa wametajwa
God
Yeah man 😂😂
Mnipee likes na subscription kutoka tz
Ndaro na Steve tukipajua unatupa shinpi na tukipakosa unatupa shingpi 😅😅😅😮
Kenya,Bomet🎉
Selekari😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nawapenda sana
Ndaro 😂😂😂
Nawakubari sana
Ningekua mm ningewabutua 😂😂😂
Iyo Kali
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Big up steve❤❤❤❤❤❤❤❤
Weeeee jamani
We stive wew unapgaje hapo like zangu nadayiii😂
Uyo stive na ndaro ni pwagu na pwaguzi😂😂
Wanatia hasira hawa majamaa jmn😢😅
Ndaro apone kwanza ndo mengine yaendeleee