Hello naomba kuuliza je ukitumia karafuu bila kuziponda au karafuu ya unga inaweza Kutibu tatizo la homon imbalance,kwa kuichemsha na kuiacha kwa usiku na kunywa asubuh na jioni huweza kutibu tatizo au mpaka uziponde hizo karafuu
Unachemsha na kujaza chupa kubwa... kisha ikiisha unachemsha tena Ile ile unajaza chupa mpaka ikiwa unachemsha haitoki tena brown basi unamwaga karafuu na kuchemsha upya
Kindly like this video guys...thank you so much for your support 🙏..my phone number+254740797748😊
Sorry hii nd namb yko wa whatsapp
😮
Your not in WhatsApp why
Shukram
Namba uliyotupa haipatikanu
Thanks for the update
Shukran jazzakallahu kheir
Dad naomba nisaidie inshallah natamam kuitwa mam
Asante sana dada mungu aku bariki na amini ita fanya kazi ❤❤❤
Asante sana dada mungu akubariki
Asante sana Kwa dawa dada
sawa asante jaman
Asante sana❤❤❤❤
Shukran sana
Ahsante Dada kwa somo zur..
Ahsantee kipenz
Ubarikiwe sana dada
MashaAllah nashkuru sn
God bless you Kwa Elimu hii
Hello naomba kuuliza je ukitumia karafuu bila kuziponda au karafuu ya unga inaweza Kutibu tatizo la homon imbalance,kwa kuichemsha na kuiacha kwa usiku na kunywa asubuh na jioni huweza kutibu tatizo au mpaka uziponde hizo karafuu
Yes inaweza
Ahsante my
Asante sana dadangu.nitajalibu n'a Mimi.
Asante dada
Hongera
Asantee kwa elim ninataman kupat mtot
Asante dada ❤❤❤
Asantee dear,pia inatibu p.i.d?
Asante
Mashaallah 🎉❤
aslm alkm sis, siku za period sifai kutumia?
Maasha allalh asnte mdada mxur
Asante dada yangu Nitaaza kutumia maana saizi naitaji mtoto
asante dada
Asante sana dadangu inshallah iwe dawa
Vizuri sana
Mashallah mashallah honngera sana ndugu yangu tunafaidika sana
❤❤❤
Mashallah 😍….Such a kindhearted woman
Thank you love ❤
Madam ivi ni kweri karafuu inaweza kuua sumu ya kijiti na ukapata mimba
Thanks dee ❤❤❤
Welcome 😊
Naomba namba yako
@@fuadsalum2551 +254740797748
@@najlaskitchen1572 habari samahan kwa mtu mwenye mimba changa anaweza kutumia kinywaj hicho kama tiba?
mashaallah
Mashallah you look so beautiful 😍
Thank you 😊
Dada samahani je kama upo period na unaitaji kupona UTI unaruhusiwa kutumia au mpka zile siku 7 za period ziishe
Nimeanza kutumia tangu juzi naomba mungu inisaidie 🙏 ubalikiwe dada
Ameen ❤😊
Mm ni mwaka wa 3 sijapata ujauzito
❤❤
Dada mm nataka dawa ya channgo kwa mtoto mdogo yaan mchanga wa miez 3 plz msaada
Kipimo hicho Cha karafu kijiko moja na saumu mbili ni dosi ya siku nzima ,ama
Unaishi wapi
🙏
We need to tolk
Mashallah ujuzi bora
🥰🥰🥰
@@najlaskitchen1572 hbr Dada naomba no zako nina shida
Hello,
Unaweza tocha Video kuuzu kidudu cha tumbo???
Mimi nakuwa nakidudu tumbonie kinanizumbuwa sana
Vp inaweza kutibu chango inanisumbua sana plz need ua help
Hi
Ukiswa pia kunyesha kuna shinda plz
Aa Mimi ni shamaliza period Leo naweza kutumia sahii
MashaAllah
Asante ❤
thank you sister for medicen
Asante kwaajil ya miwasho nakunywa ck ngap
Dada najla's napenda san video zako lakin vp hata mjamzito anaeza kutumia hivo??
Naomba no yko kama hutojali nataka nikuulize kitu muhimu privet plz
Yakuongeza ukunyuma ni nini?
naitaji kujuwa zaidi
Asalam alkm
Je naomb kuuliz je kuiloweka kweny maj bila kuchemxh nikawanatumiy jeee aitonisaidia mpk nichemsheee
Dawa yako nzuri kabisaa
❤❤❤
Dada naomba unisaidie pia dawa ya malaria
Nataka kujua tofauti ya kitungu saumu na tangauzi
Hello dada nsaidie kujuwa karafu hatah ukiwa mjamzito unaruhusiwa kuendelea kunywa au??
Apana
Mimi sijaweka kitunguu thom
Jaman nitashukuru kama nitapona nina p.i.d nimeangaika sana
Asallam akleykum
Assalam alykum dad mim Nina ttzo ya hedhi hazieleweki
Shukrn habbty. Naomb kuliza kila siku natakiwa nitengeneze hiyo dawa? au nitakunywa huo mchanganyiko mpk uisheee ndo nitengeze nyengine?
Unachemsha na kujaza chupa kubwa... kisha ikiisha unachemsha tena Ile ile unajaza chupa mpaka ikiwa unachemsha haitoki tena brown basi unamwaga karafuu na kuchemsha upya
Samahn ni chupa ya chai au chupa ya kilimanjaro kubwa😔
Watumia nn uso uko smooth dear nipe siri😂😂😂
Mm natak nitoe harufu dad
Assalaam Alaikum
Mjamzito anaweza tumia kwaajili ya kutibu U.T.I..?
Mashaallah imeweza
🤗🤗
Asnté dada angu
Aliyepata number za huyo dada jaman nisaidien mungu atawabariki
Kama sina karafuu
Naomb dada unisaidie dawa ya pid
Je kwa mama mjamzito pia anawez kutumia au
Habar mim ni mgeni kama mzunguko haupo sawa je inasaidia mzunguko kuja sawa
Shukuran
Kwaiy kam haujaona sikubzako hauruhhsiwi kunywa?
Assalaam alaykum
Hiyo karafuu kijiko kimoja na VITUNGUU swaumu viwili ni dozi ya per day au
Assalaam alaykum warahmatullah,asante ukhty yangu nimetumia na kwa sasa ni mjamzito alhamdulillah Allah akupe maisha marefu yenye baraka❤❤❤
Jamani dada ulitumiy kwa muda gani maana naitaji mtot
Jamani dada ulitumiy kwa muda gani maana naitaji mtot
Umetumia muda gan kipnz
Dawa ya jino
Mwanamke mjamzito anaweza kutumia kwa UTI NA PID
na taka mtoi dada angu nipe namba zko
Jambo dada Niko natumia karafu lakini iko nanikahusha sana nifanye haye nahitaji mutoto
Kama haun asali je
Hujatueleza ya kubana k iliyolegea
Nisaidie namba zako za simu dada
Dadaangu naomba namba zako plz nahitaji elimu yako zaidi
Ya unga inafaa
asnte das
Dada habar nahitaji kuongea na wewe namba zako huwa hazipatikan
Dada nahitaji ya kubana uke natumia vp mda wowote ama lazima nimalize siku za hedhi kwanza
Tumia na famicare
@@zawadizuberi9950 nisaidie pia
Ukiwa kweny piriod unaruhusiwa kutumia hy dawa
Asate kipenz
Hio kikombe Moja ndo unakunwa mara tatu au..
Dada asante sana mm nimekuwa mjamzito baada ya kutumia dawa hyo hongera sana kwa kazi nzur
Asante mami ashukuriwe Mungu Kwa kweli
Hongera nauliza je n lazma kueka asali
Ulitumia mda ganiii had ukapata
Hongera sana
Hongera my dear
Na dawa ya hormones ni nini
Tumia hii
Dawa ya maumivu ukeni
Dada dawa ya kiloda tumbo ni nini dada please help me
@@najlaskitchen1572 dada kama tyr ushabeba ujauzito ni mimba changa lakni unasmbuliwa na PID nitumie hiii pia
A.alaykum dada hii no yako uloweka nikipiga haipatikani na nina maelezo nataka nikupe ili ujuwe unanisaidia vp