Mimi Mars: Tulipigana sana na Vanessa utotoni, ilinichukua miaka kukubali kifo cha baba yangu
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Mimi Mars anaelezea kuhusu maisha yake ya utotoni, familia yao, alivyokuwa akigombana na dada yake, Vanessa Mdee utotoni na jinsi alivyotumia miaka mingi kukubali kifo cha baba yake
#ChillnaSky #Part1
Tupoleni wote tulio ondokewa na mzazi /wazazi kiukweli inauma sana na uchungu wake hauelezeki😭 Allah awasamehe makosa yao in shaa Allah
Emen in JESUS NAME.
Amen
🙏😢😢😢😢
Ameen
Amina
Familia ya Mdee Safi Sana wako juuu!!
She’s sooo beautiful ❤️❤️❤️😍😍❤️❤️❤️ now I understand why Vanessa character is sooo good kumbe charity begins at home ❤️❤️❤️
Interview ikiwa mda mrefu inachosha.
Mimimars nakapendaga kwajinc ninavoona kana roho nzuri mashalaah
Nakupenda bure love from USA
Huyu dada ana kisauti kitraaaam sasa kikikutana na hicho kisauti cha sky moto unawaka kabisaaaa guys nime enjoy maongezi yenu hamchoshi kuwasikiliza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
☝️😂😂
Sauti Nzuri sana mtangazaji....Tafuta Kazi Kenya 🇰🇪 Media houses. Pesa Kibao!!!!
Mungu awalaze pema peponi wazazi wetu Ameen inshallah 🙏
Amina
Amin
We mdada ni mzuri please usichezewe na domo. Tafuta mwanaume msomi achana na hawa waku pata mali bila elimu halafu hawajui kuitumia isipokua kwenye uzinzi. Bora hata kina Laizer ni watu walio pambana kwa miaka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu anaumba jamani Maashallah...kazuri
Ahhhhhhhhhhh
Hii family naipenda kwakwel ❤️❤️
Dah 😭😭pole kipenz nilifiliwa na baba ang ucku ten tulikuwa tunakunywa chai wote hafla aliangka nakufa
Pole sana
Dah pole sana
Pole sana may
Pole sana dia
Polee
Nampenda sana huyu mtangazaji. Yuko makini
Kanaongea vizuri jamani😘😘😘
AFADHALI MMETUWEKEA NILIKUWA NAINGOJEA PIGA KELELEEE KWA MARS AKEEE
Mungu ailaze roho za wazazi wetu mahali pema, nimelia upyaaa oooh dady
Pol mway
Diamasio # i love you mrembo #elimina busara
Waliokuja kufata hii interview baada ya Mimi kuonekana kwa Diamond, tujuane. September 27, 2020
Sikujua ni ka Demu kazuri hivi. Pale ulikua kama zombie na zile sunglasses
Mtangazaji anamaswali mazuri sana
Mm pia nimefanyika hivo hivo nikiwa na baba yangu zaidi ya rafiki matatizo nayaficha sitaki kumchokesha mom pole sanaa mungu azilaze roho zao pahali pema peponi
Nakupendaga mim mars
Ata hunaaja ulizwa mashallah u look alike...love u guys.
Nakupendaga ww Tang kwenye kile kipind cha gossiping cha TV 1
huyu jamaa professional sana...
Ko Mimi mars sura ya baba😢 duuuh🤣🤣
Very Nc interview big up bro
Finally this conversation inapostiwa😍I was waiting for it sana❤
Hi chidera is that ur really name?
Inauma sana kwakweli mimi ilikuwa kama wewe ninvyoambiwa nilipoteza faham masaa manne, niliondokewa na babaangu pia
KILA MTU ANA FURAHIA LUGHA ALIYO ZALIWA NAYO NAZANI ,KISWAHILI SAFI SANA
#MimiMars mrembo sana,
Unajituma,hutaki watu wapitie dadako #vanessa ili kukujua wewe, napenda hicho wakujue kama wewe #MimiMars
Nakupenda bure
Mimi mwenye mars zake big up
Nakupend mim mars san
Pole
Jamani mbona fupi hivo jamani bro Sky
Dah Vanessa sijuiii anakwama wap mkukuza mdogo wake mziki anafanya lakin hauend kam Dada yake
Safi
i just love the way u are
Afadhali mmetuwekea maana usiku nimeitafut had nimechok Pig kelele moja kwa mimi mars wake weuweeeee
Haha nasor
Mimi mwenyewe nilikuwa napendaga mambo ya uandishi wa habar nilikuwa napiga kutangaza
Kumbe kaanza mdogo miaka 9.kama red jd alianza mziki mdogo
Kina vanesa wazur hafu Wanafanana hila uyu ana mwili
@@hatamimnimempendabulejaman1596 o
Amejieleza vizur had kaeleweka
mimi mars
🥰🥰🥰🥰
Time stamp 16:18 , she was on denial. Just like i was
Maumivu ya kufiwa na mzazi jamani hayasahauliki hata kidogo mm nimefiwa na mama mwaka 1 sasa lkn naona kama ni jana
Uyu dada mzuri jamani
Mimi mars😍😍
Buetifully
Apoleni saaaana
Kumtofautisha hyu na vanessa siwez wamefanana sana
I love it...😍
Pisiiii fulanii hivii daaah safii
Mimi ndie huyu.....ni yeye
namkubali sasa huyu dada namfurahia sana kwenye juakali
Nafananishwa na ww sana mpk imebidi nije nikuone duh
Lkn kukataa lugha yetu na kupenda zaidi zawenzetu huu niutumwa
Wewe kama haujui kiingereza tulia tuu🤣🤣
Labda Kwa mtazamo wako huo Wa kimaskini, au sababu hukijui?
@@fadhiliibrahim9702 😂😂😂😂
@@albs1448 Jmn😂😂😂😂😂
Kuijuaaa lugha ni utumwa Kwan
Bundala napemda sauti yako sana
Yan uwo kaka anasauti nzur ata5
E
😅😅😅😅😅
96 uko darasa la 6 sky seriously
Grace Kaniki when I born wow
@@jeanneandfrancislifestyle1518 I don't know ndio maana nataka kujua nimesikia 96 yuko darasa la sita au nimesikia vibaya jmni
Macho haya danganyi kazuri
Mar she look old than vanessa 😎😎❤❤❤❤❤
Offcoz nliona Mimi mars ndio mkubwa kuliko V. Mdee
Yeah
Kweli
Broo Y unaangalia Camera! Just zungumza na mlengwa sio unaangalia camera mara nyinginyingi! #ushauri
Inaitwa connecting with your audience! Watu wamesomea hivi vitu usidhani vinaenda holela holela tu! Hii sio tamthilia
@@SimuliziNaSauti Sawa wakuu, Bt mimi namfuatilia Millard AYO, naangaliaga kipindi cha Ellen (marekani huko), kuna proper timing ya kuangalia Camera sio kila wakati.
Unatushirikisha pale tunapotakiwa kushirikishwa.. #ushauri
@@iamsadoc234 program imerushwa dewani kwa ajili ya watazamaji. Hata hugo Allen connects with the audience and millard does more of reporting than presenting in his interviews. Every program has a format for different target audiences especially if you are pitching it for different revenue streams. Hivi vipindi lazima viwe tofauti.
Chombo ya simba
Rubbish pia mtapigana na mondi ady akuache
😂😂😂😂wah kenya inavituko walai😂🤣i kif up, 🏃🏃
czcams.com/video/cKY9mzoW-ig/video.html