The Story Book: KANYE WEST Anayejiita MUNGU / Vituko na Mambo ya Kukera ❗️
Vložit
- čas přidán 9. 06. 2022
- The Story Book: KANYE WEST Anayejiita MUNGU / Vituko na Mambo ya Kukera ❗️
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Kazi ya kuhukumu tumwachie MwenyeziMungu☝️ siku itafika tu ukwel tutaujua mungu tujalie maisha ya kukutii ww na mwisho mwema🙏🌍🙏
AaaaAaaaaamiiiin ya rabil aalamiin
Fact zake ziko understandable wanadamu n wepesi.kufuata mapokeo yeye kawaA tofauti n wajinga wengi
Lakini huyu jamaa sio
Amen
@@dostovan5142 mtakua wote huko
Kanye West ni Mtu Mweusi pekee maarufu Nchini Marekani ambaye ana Utajiri wa Ardhi ana hekari 4,000. Ni ngumu sana kwa mtu mweusi kumiliki Ardhi katika Taifa la Marekani. Kanye West ni Genius. Professa Jamali naomba utuletee Story Book ya Ellon Musk Tajiri namba 1 Duniani.
Unamjuwa tuyeye kwasababu nimsan kuko watuwesi msheni marekani wakumjida Mimi ninaishi marekani nanimeona wengi san
@@rihannadaima7606 unaishi pande zipi mamii
@@rihannadaima7606 sikupingi ni wengi je ni wengi wenye ardhi kubwa kama yeye.....huyu ni genious anastahili heshima
Akuna Tajiri marekani aliye fanyikiwa na nguvu zake zote ni nguvu za giza
Kabisa
Biblia ndo kitabu Cha Mungu kinacho sakamwa saaaaana. Allah anajua zaidi kilicho jificha. Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema
@lionel nibitanga Kinachozungumzia Mwenyezi Mungu
@lionel nibitanga sio kitabu cha mungu wako
@lionel nibitanga ni mti wenye nn unaopigwa mawe...?? hutumii ata akili ww, ukiondoa maneno ya kwenye biblia ktk Quran itakuwa kituko, lkn biblia hamna neno la kwenye Quran baada ya Muhammad, sasa nambie wapi una shaka nayo....???
Jumanne kanye anapotosha watu Mungu ni mmoja hakuna wa kufanana naye tumuombee huruma Mungu asimwangamize big up J aprili
Asante bro kwa kuona comet yang na kunipa like za kutosha big up
Big up bro tuletee mastori makali kama hayo hunayotuletea
Anacheza huyu aulize pharaoh ....usicheze na Mungu anaeza kukushusha ulie!!!!🇰🇪2022
Hamjui vizuri mungu huyu ana msikia tuu.
Tuliokua Tunasubiri Story Ya “KANYE WEST” Kutoka Kwa Legendary Professor Jamal April Tujuane Kwa 👍🏿Hapa👇🏻
Na mie
Nipo
Bullshit story. Clickbait. Hakuna ukweli Kwnye title.
Na jewe mimi murundi jmn
Emu nambie jaman iv the story book haionyeshw tena ijumaa au mana kila niki taim kipind wasaf tv ijumaa sio naona matangazo yao tu ya mchongo pesa
jamal hana mpinzan, aya ile 1000 kwake😋🔥
Mwambie jamila aongee na mazuri yake, km hayajamaliza masaa 6.
Kaka nimekuvulia kofia your the top#jamal
Jamal April Kaka unaweza sana mungu akulinde
Mungu ni mmoja tuu hawa wengine ni miungu tu .
Neno la Mungu litasimama milele
Subhanallah
achana na wamarekani aseee kiki zao ziko katika next level...kanye kajitoa tu ufaham mambo yake yaende aongelewe nini thats business na kanya mfanyabiashara sio bongo kiki zetu dhaifu sana
Kanye is the goat ...the greatest artist of our generation ...show some respect
Sjawahi comment kwenye stor zako ila huku mwisho umeongea vizuri sana salute bro
Ubinifu Ni Hapo Mwisho Bana Asante Sana Bw Jamal Umetisha Sana Mafunzo mema
Ni moja ya vituko tu vya dunian ila end of the day dunia itabaki tupu ✌
Eeeh mungu nusuru hivi vizazi 🙏🙏🙏🙏
Kwa hakika, tuwe na tabia ya kujisomea wenyewe na kufuatilia mambo bila kutafutiwa na mtu lasivyo na matango pori tutalishwa. Mfano, hapo sehemu anayosema Kanye anajiita MUNGU, wala hakusema kuwa yeye ni Mungu, alikuwa anaeleza kwenye interview BBC RADIO kuhusu CLASSISM kama UBAGUZI wa namna nyingine, na akawa anaeleza kitu positive sana, ila namna Prof Jamal kaieleza daah! Nipo disappointed sana, namheshimu sana JAMAL MUSTAPHA, ila tafadhali tupe taarifa za kweli ili tuyajue mengi ya ulimwengu huu. Ahsante
Kwn mwenzetu hujui maana ya "I am God"?
This man is Complicated bro None can stop him Until he passed away or God 🙏🏿 because he will learn Lessons
What lessons?
Absolutely right
Haaa I'm happy to hear the story of this man,thank u proffessor I have been waiting your story for so long.
Ok tunashukulu kwa story jamali🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hujawai kukosea broo❤
WENGI tumevaasana tisheti ya YEEZUS bilakujua ni album ya huyujamaa na bilakujua maanayake
Thanks Jamal ,,,,Kenya well represented
Hey,inakuga saa ngapi kwa tv
Following
@martha stay tuned at wasafi tv for more information I'm an online big fan
Bomboo 👌
@@marthamuinde6874 fuata huku tu ndo tupo sisi wavivu wa tv! Hata hatujui kwa tv kipindi lini
Wao nilikuwa nayisubiri kwaham
Dah kwel MUNGU ana kazi ka binadam ndo hawa🙌
Tena ana kazi kweli kweli hata sio uongo 😀😀😀😀
This guy is dangerous😎
Broo wew ni hatar sana 🔥🔥🙌🙌
Jamal on the top most creativity professor kuwahi kutokea
Dah kanye✍️
Kenya well represented 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Danii
I'm Here With You 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
2:16
Jamali leo umetuingiza chaka wazi wazi acha kusimulia mambo ya social media kuhusu kanye unajiharibia brand yako... fuatilia maisha yake ww si umeamua kusimulia sasa fatilia kwanza kabla hujaharibu kama hivi... yote uliyo sema ni sawa Umsimulie Diamond Platnumz kwa kutumia Social medias...yaan humo uweke story za mwijaku zoooteeeee ndo ulicho fanya sasa hapa. KUWA MAKINI
Hahaha kwakwel Ig haina uhalisia wa mtu
The story book ibaki milele...!!
bro..jamal wewe ni miongoni mwa ma great thinkers......naapreciate saaaaana
We unadizain vzr Sana kwanza umekua mbunifu sana kuhusu kideo zako.
Nakumbuka umepanda mtumbwi, nfaransi nk
Pia umewahi kushuti kama upo vitani🤣🤣 umetisha sana plof wamchongo
@jamal April @jamal April!!! Mimi nime mu elewa uyu jama sana tena sana!!!! Sio kama anampinga mungu ila naitangaza injili bila watu kujuwa
Saana namkubali
uyu anaitwa chizi maarifa
Nmependa jinsi ulivyosimulia,Mtindo wako ulikuwa poa pia ... Lakini shida umechagua pande moja tu ya story ya kanye ambayo ni mabaya yake na jamii inavyomchukulia. But Kanye is the Best Artist ever happened to live in this world ..... Nimemfuatilia Kanye tangu Anaanza Art yake what i see from him is the true man in the world .... KANYE WEST is Tupac Shakur of our Generation.
Huyu professor anafikiri sisi hatufatilii mambo kanikera anadhan hii shoo wanao angalia ni wasio fatilia vitu tu damn
!!!
Amefeli anaogopa migongano ya iman ndo mana story yake imebez kumponda kanye
@@yesayamwamakasi4792 kanye ni mtu mzur sana sema dunia haijamjua tuu
Ww huelewi kichwa cha habari au,sasa mtu anaepingana na weusi wenzake nyie itakuwa mashoga sio bure...yani mtu anawapinga weusi wenzake toka kipind cha obama
@@vickydan2869 mbn mwishoni amesema ata saa mbovu inahumuhimu au hamjaelew...
Duhh the story book umezidi Kachimba Hatari sana…..
Hatari Sana ❤️
Tumuombe Mungu atupe pepo yake na sio pesa,
Irmão! Você é muito criativo, sem inveja, deixe-me parabenizar pelo seu trabalho. Acompanho todo o seu trabalho a partir de Moçambique 🇲🇿 porém peço uma coisa, isto é, quando está se falar sobre ano, por exemplo 1962, então deve legendar aí no vídeo, isso irá ajudar muito na percepção do telespectadores. E a mesma legenda deve ser feita em algarismo (#). Mungu akubariki! 🙏💪❤️
Congratulations brother, unasoma sana, unajua vingi... Thank you for the lesson!
Brother good job buh can u give us beyonce or Jay z story
unatufinza mengi yakale sante kaka mungu akuongeze miaka ya kuishi love by AISHA
Thank you so much bro you're the best
hii story book ya leo tamu sana😅😅😅
napenda kazi yako
so much creative ,,,,,, endelea buda
Keep it up jamaar April 💸💸💸🎶🎶🙌🙌🙌🙌🙌
Ndugu mtangazaji naona pumzi inavyokata duuuuu hongera mno
Prof Jamal mungu akuweke maana najifunza vitu Ving kupitia story zako
Intro ya kizazi sana, Creativity is on Top
Hatari sana. pia nimekuelewa sana!! hasa hapo mwishoni. ndipo umenichanganya kabisa
Unyama Sana kk
Hapa ambao si Waislam wathibiyishe kuwa Ukristo sio Dini wala hizo dini nyengine 7bu hakuna aliyeweza kuibadili kwa kuongeza wala kupunguza jambo Lake ktk QUR-AN 🥰😍💖 ALHAMDULILLAH A'LA NEEMATIL ISLAM WALHAMDULILLAH A'LA NEETIL QUR-AN 😍🥰
big five broo nakubar unachokifanya na najifunza nakujua mengi
SubhanAllah
Prof Jamarl, what an introduction!!
Nakubali juu ya maneno yako ya mwishoo nimeelewaaa mno
Jamari I love you so much. Story zako ni noma
This life no balance 🙏
🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇺🇬🇷🇼🇰🇪 WE AR RESPECT YOU PROFFESER JAMALLI MAZNA WANGU👏👏👏👏👏👏👏
Umeanza na taizi moja la kutisha
Story % kubwa in base negative side kuliko positive story ya Kanye west
Ndo alivyo brother 🔥 ataongelewa negative tu ndo ivyo
Amemfichia mazur ila katika mabaya yake nimeona maZur mengi sasa cjui mazur yake nikiyajua
Love ❤ post umetupa SoMo ,ye, by fromu🇹🇿
Jamali unaweza sana hongera professor
🤠🤠🤠respect juu ya mti top 1 ttz dadak
Moto sana kaka naifurahia nkiwa kenya
Best of professor
😂 😂 😂 😂 Akili zake anazijua mwenyewe kanye ndo mna ameshindwa kumove on 😂😂😂😂hio ni illuminate inamusumbuwa
Jifunze kuandika wewe arlene
Bro badili style ya kuongea hapo mwanzon maana unasound kama umefichwa kwenye dumu
Mwishoni nimekuelewa vzr sana,
Duuu huyu jamaa Kanye ni shida sana 😀😀
Mr prof
Pamoja sana bro 🙏
His choir look quite impressive i like that❤️❤️❤️❤️❤️
Subhanaallah Allah amjalie atubu kbla ajafaa maana kishakufur hyu jmn
I think you should do the Elon Musk story. definitelly itakuwa poa sana
Wewe ni Kanye kabisa! I salute you Brother.. live fancy chau😇
Genius idea 💡
Noumer sanaaaa 🔥🔥🔥🔥
Nzur
Good story
😆😆😆SaSa Prof Jamal naomba kujua ulinin'ginia hapo masaa mangapi😆🤦🏻♂️
😂😂😂😂😂😂
I like it
Don't like to go through only darkside of person try to balance coz no one who is perfect in short "don't judge let allah decides"
Hello
Thanks Mr kanyee
gonga like twende na Jamal april 👍
daaaah noma sana
Noma sna
Professor Jamal 🙌🙌🙌🙌🙌
Kuna watu wana laana aisee
Kisumu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪, thanks
Suala la kubadilika ghafla kwa mwanadamu kukasirika na kuchekeka ni kuwatisha mahasimu wako ila kwayeye linakua na umarufu kulingana naustaa wake
I really appreciate your search and presentation. Ido People in this community, they don’t value your time spent on collections. They can talk like parrots, Kanye called himself God, it’s okay but, which God? There’s a lots of god’s, you and me we don’t have idea of which one he’s up to! Please, save this community by sharing impressive contribution’s. Acha tukana hujui kitu wewe !!!! Thanks to you Professor Jamal.👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽😇👋🙌🙌🙌🙌🙌
🤞
This guy is complicated! Only God will judge him! Kenya iko love!🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Love
Iko lov
Kanyee hongera
My crush "YE" 😍❤
You're not serious my dear
You can't tell me nothing.Naikubali ngoma hiyo