MUONEKANO MPYA BARABARA YA MWENGE - MOROCCO ALAMA Nyingine ya HAYATI MAGUFULI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • MUONEKANO MPYA BARABARA YA MWENGE MOROCCO ALAMA NYINGINE YA HAYATI MAGUFULI
    Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 112

  • @tulibakokyoma1132
    @tulibakokyoma1132 Před 3 lety +22

    PUMZIKA KWA AMANI MZALENDO MAGUFULI..ULIFANYA MENGI..WE MISS YOU KAMANDA.

  • @salumumakombo9136
    @salumumakombo9136 Před 3 lety +18

    mwamba mwenye imara hakika ulifungua kulasa ukaandika historia kisha ukafunika, , hakuna mngine ataekuja kufunua,, we miss you daddddddy

  • @hawamabira1499
    @hawamabira1499 Před 3 lety +27

    Aah Magufuli wangu wee,umejaa nchi nzima🔥🔥

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 Před 3 lety

      Yaani Magufuri Wetu amejaa Neema Nchi Nzima ni Mwamba Imara unaoishi hamna mtu atakae weza upolomosha huwo Mwamba, hata kama hayupo. Lakini ni Mwamba unaoishi,

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před 3 lety +24

    Allah ndio muweza wa yote , pumzika kwa amani mtumishi wetu MAGUFULI

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 Před 3 lety +2

      Mtumishi bora ever

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 Před 3 lety

      @@shazyahya4121 Asante sana Shaz mm nipo Durban sema Niliumia Sana Niliposikia Habari Ya JPM kwamba Amefariki

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Před 3 lety +11

    Dada unatangaza vizr❤️❤️

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Před 3 lety +13

    Wengine wote isipokuwa hayati Nyerere walishindwa lkn mwamba mmoja tu hayati Magufuli aise huyu mtu aliweza.

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 Před 3 lety +7

    Daah huyu mdada anatangaza vizuri sana jamani hongera kwake

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala7530 Před 3 lety +3

    Tinga tinga Mungu Akulaze pema

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 Před 3 lety +9

    Magufuri wangu wew

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 Před 3 lety +22

    Jpm ndiye raisi pekee ambae alikuwa akisema hatusherekei sherehe za uhuru badala yake fedha hiyo itafanya kitu fulani na kweli kinafanyika lakini kwa sasa mhhh.

    • @kiatu
      @kiatu Před 3 lety

      Na hakuwa mzurulaji-aliwatuma wateule wake kumwakilisha huko nje. Alijenga hamu ya wakuu wa nchi zingine kuja kumwona. Wengine sasa wanajutia kutowahi kumwona. RIP Baba wa Taifa II.

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 Před 3 lety +16

    Rais wetu kipenzi cha wanyoke jpm pumuzika kwa Amani Baba wetu chujaa wa Taifa letu daima milele tutakukumbuka

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 Před 3 lety +11

    Bongo lnapendeza Sana

  • @denniswoiso4439
    @denniswoiso4439 Před 3 lety +13

    Huyu ndo mtangazaji sasa anajua

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 Před 3 lety +9

    Tulijivunia Tanzania na Kasi ya maendeleo yake, Sasa tunaambiwa tuhamie Burundi. La, kila zama na kitabu chake! Hongera mtangazaji.

    • @ameedamilja7992
      @ameedamilja7992 Před 3 lety

      Lipa kodi kwa maendeleo zaidi na ukifanya hivyo hutahamia Burundi

  • @georgemahuna9200
    @georgemahuna9200 Před 3 lety +10

    Tumuombee hayati makufuli alijenga miundombinu sana wengine walishindwa

  • @Enjoy_Lyrics357
    @Enjoy_Lyrics357 Před 3 lety +10

    R,I,P magufuli

  • @saidhamza6390
    @saidhamza6390 Před 3 lety +4

    Dada hy ana data na anujuwa vizuri huu mradi .yuko vizuri hongera mtangazaji.

  • @sahimiisshak4483
    @sahimiisshak4483 Před 3 lety +12

    Rest In Peace JPM

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Před 3 lety +8

    Rip jpm😥

  • @janetpima9263
    @janetpima9263 Před 3 lety +4

    Tutaendelea kukumbuka daima JPM🥰

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 3 lety +4

    Wanaosema Hayati Magufuli hakufanya chochote, hawana dini na hawajui ukweli ni kitu gani. Hayati Magufuli kawaonyesha Watanzania wanaweza bila ya viongozi wao kupoteza wakati na fedha zao kwenda Ulaya. Lala salaama baba ulisema tutakukumbuka Na kweli. Wamejalibu kufuta legacy yako hawawezi lala salama baba.

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Před rokem +1

    Wakazi wa Nyegezi, Nyalugusu, Ikungulyambeshi mje muione Dar Es Salaam

  • @magrethmussa7655
    @magrethmussa7655 Před 3 lety +6

    Kizuli hakidumu magu sasa hivi mmmh

  • @martinstarford2015
    @martinstarford2015 Před 3 lety +6

    Wakenya tunawapongeza🎀kwa kujitahidi

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 Před 3 lety

      Kenya gdp 160 billion dollars tanzania only 60 billion Kenyan economy is twice the size of Tanzania!!!!! With a smaller population you can’t compare Tanzania with kenya we are too small

    • @martinstarford2015
      @martinstarford2015 Před 3 lety

      @@zawadix9574 Because I don't want such drama from my brothers and sisters of Tanzania it's better I tell them to improve

    • @triplea3463
      @triplea3463 Před 3 lety

      @@zawadix9574 160 Billion ?? Ebu kafatilie vizuri

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 Před 3 lety

      @@zawadix9574 160 billion dollar ya nyoko 😏

    • @Frazztraveller
      @Frazztraveller Před 3 lety

      @@lakasid3860 Kenya have 85billion dollars while Tz has 69biliion dola

  • @leotv8303
    @leotv8303 Před 3 lety +3

    I will visit tz on day

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 Před 3 lety +2

    Kazi yake mungu Aina makoza pumuzika kwa Amani Baba wetu Rais wetu chujaa la nchi yetu lakini Kama Ni Mtu Ameuzika Na kifo cha Rais wetu jpm Alaniwe na family yake

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 3 lety +3

    Naumia Sana lakin kazi ya Mungu haina makosa

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Před 3 lety

    Waaaaooooooo,raha sana jamni,mjomba Magu mwenyezi Mungu akurehemu huko uliko

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 Před 3 lety +5

    Mamifuko ya Plastiki yamerudi kwa kasi kama hakuna serikali ,ujambazi,mauaji hata madawa ya kulevya yamerudi Mungu aingilie kati

  • @leonardkarumuna4905
    @leonardkarumuna4905 Před rokem

    Mtamkumbuka Magufuli. R.I.P. JOHN! AMEN

  • @masanjanyanda9775
    @masanjanyanda9775 Před 3 lety +3

    Mmmh huyu dada kwa hakika unawachona wenye roho mbaya na kazi zote alizokuwa akifanya jpm

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 Před 3 lety +4

    Hapo hapakuwa na tozo kama za hawa mambwiga lkn kazi ilionekana je mwamba angeongeza na tozo kama hizi za kina Mwigulu Tanzania tungekuwa wapi.

  • @jennymhmhjamanimungunimwem7197

    Ndio. Maana tunamkumbuka sana alikuwa hamuongop mtu jpm na hakutunyanyasa wanyonge na kod alikuwa anakusanya Vizuri tu

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 3 lety +3

    Hapo ulipo unaona Kazi kubwa ulio.wafanyia waTZ wote lala Salama Hayati magufuli

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 Před 3 lety +4

    Tz inapendeza sana

  • @mekindossi5321
    @mekindossi5321 Před 3 lety +4

    R I p JPM 😭😭😭

  • @magrethmvungi2516
    @magrethmvungi2516 Před 3 lety +3

    Dada uko vizur kwa utangazaji

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Před 3 lety +2

    R.i.p shujaa watz jemedar we2 jpm 2takumbuka daima katika inchi hii kwa uzalendo wako

  • @chinamilenas3375
    @chinamilenas3375 Před 3 lety +2

    Hongera dada unatangaza vizuri...

  • @tsaonethapelo6373
    @tsaonethapelo6373 Před 3 lety +3

    Mwenye uchungu na nchi yake alishafariki

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 Před 3 lety +2

    Jpm jamani miaka tano utafikili miaka 10 ametawala

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 Před 3 lety +5

    We dada umenivutia kinyamma

  • @annahpsimon1156
    @annahpsimon1156 Před 3 lety +2

    Cjui kam atakuja kutokea Rais kam huyu tz yetu Maan mh

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 Před 3 lety +3

    Sisteri Unajua Kutangaza Hicho kipindi Kinakufaa

    • @manyereremgoroba7904
      @manyereremgoroba7904 Před 2 lety

      Hapa bado tunamjua magufuli japo doto yake imekatiswa na wahuni wachache.

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před 3 lety +3

    Ulale chini ya jiwe zito,

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 3 lety +3

    Nimekumiss baba yangu Magufuli hivi kweli hawa uliowaacha wataweza maamuzi ya kujitoa muhanga Kama wewe? Mbona naona ni waoga?

  • @robertmgore3653
    @robertmgore3653 Před 3 lety +4

    Jpm

  • @hassanmashaka3732
    @hassanmashaka3732 Před 3 lety +1

    Unapo sema kusu jpm unatuliza mana kumkumbuka ishakuwa kaz jamen

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před 3 lety +1

    Utunzaji ni mtihani kwetu

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 3 lety +1

    Imependeza sana...ni kama nasikia sauti ya JPM "Dar es Salaam inabadilika, inapendeza". Pumzika kwa amani JPM. Umetuachia balozi Liberata Mulamula eti anajenga uhusiano wa kimataifa....anahangaika na wathungu..😄😄😄

  • @noelmmari8570
    @noelmmari8570 Před 3 lety +1

    N kazi ya jpm, lile j2 halijafanya k2 alaf kesho litajisifu,

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 Před 3 lety +1

    Dada unajua kutangaza

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před 3 lety +1

    Nipo mwenge tuko pamoja

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 Před 2 lety

    Endelea Kupumzika kwa amani mwamba JPM,alama ulizoacha hazifutiki kamwe.

  • @notjuifjoseph
    @notjuifjoseph Před 3 lety

    Eti jamani nna swali....kwahiyo jumla ni njia sita au njia nane za barabara?

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari518 Před 3 lety

    Kule studio kisa namuona anapendeza kumbe kalibeba juso la kinyachusa sura mbaya kama Lucas

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 Před 3 lety +1

    This road has taken 4 years quality looks terrible I’ve never heard a small road like that take 4 years

    • @tonitonito1587
      @tonitonito1587 Před 3 lety +1

      Unaandika pumba tuu

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 Před 3 lety +1

      Hiyo reality hiyo barabara ni 4 years si una car Dar tangu 2017 wana jenga mpaka Leo haishi

    • @tonitonito1587
      @tonitonito1587 Před 3 lety +1

      @@zawadix9574 wewe ni mhandisi au mkandarasi au ulishawai jenga wapi barabara ya urefu uo kwa mwaka mmoja au miwili

    • @hawamabira1499
      @hawamabira1499 Před 3 lety

      @@zawadix9574 That’s some petty bullshit!

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 Před 3 lety

      @@tonitonito1587 sio muhandisi bali anaongea ukweli coz mnatoa sifa mbuzi mambwiga nyie

  • @nikolasniko6432
    @nikolasniko6432 Před 3 lety +1

    Kweli sisi watz ni wajinga sana hasa hawa wanaojiita wana habari hawana vitu vya kutangaza kilometa 4 kweli hadi mnapiga picha duh

    • @denniswoiso4439
      @denniswoiso4439 Před 3 lety

      Hawa ndo watangazaji sasa

    • @norbertmbena5896
      @norbertmbena5896 Před 3 lety +2

      Kilomita ngapi ni sahihi kupigwa picha ? Muono hafifu wa hoja angalia maudhui ya mpiga picha kwa jicho la3

    • @patrickmsetty
      @patrickmsetty Před 3 lety +4

      Nikolas brother we ndo mjinga hata akili yako ni finyu..elewa kuwa kipande cha barabara kilo meter 4 kinaweza kikawa kinaoko msongamano wa watu laki 5 hadi milioni 1 wanaotumia barabara hio au zaidi..sijaelewa point yako

    • @ludigoludigo3010
      @ludigoludigo3010 Před 3 lety +1

      School less hao wanapenda kupinga kila kitu

    • @hawamabira1499
      @hawamabira1499 Před 3 lety +1

      Mbna ww huna k2 chochote unajipiga picha...