BUILDERS EP 9 | PLUMBING | Ujenzi wa mifumo ya maji safi na taka ndani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 02. 2018
  • Tukiwa na #Twigacement tunakujuza kuhusiana na mambo muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa mifumo ya maji ndani ya nyumba ya maji safi na maji taka.
    Tuko na mtaalamu khalid_magypsum.
    Kama umevutiwa na material au wataalamu katika kipindi hiki Usiache kutembelea :
    builders.co.tz
    KUMBUKA KIPINDI HIKI HUKUJIA
    kwenye tv yako pendwa ITV.
    Alhamisi: Saa 12:30 jioni
    Jumanne (marudio) : Saa 7:30 Mchana
    Subscribe youtube hapa:
    czcams.com/users/thebuilders...
    Pia usiache kutu follow:
    Facebook: / thebuil. .
    Instagram : / thebuilders. .

Komentáře • 43

  • @roseurio9600
    @roseurio9600 Před rokem

    Nakuli sana

  • @roseurio9600
    @roseurio9600 Před rokem

    Uko makini kiongozi wangu

  • @LoyceMeshack
    @LoyceMeshack Před 6 dny

    Samahani jaman mi nimejenga tank la juu aitaji kupele 450mt naomba ushauli nitumie Bomba gn

  • @Ap-of5zs
    @Ap-of5zs Před 4 lety

    Building hongereni sana tunawapongeza kwa kutupa ufundi, bora na kufahamu ubora wa majengo kwa ubora wa cement yenu twigger n,k tupo pamoja Tanzania isonge mbele maendeleo hapa ni kazi tu.

    • @TheBuildersHomeTz
      @TheBuildersHomeTz  Před 4 lety

      Asante sana. Tupo pamoja. Tuendele kuwa pamoja kwaajili ya msimu wa pili

  • @lameckrichard8182
    @lameckrichard8182 Před 3 lety +1

    Mi ni fundi bomba ko jamaa wanachokiongea nakijua vizuri hawa jamaa wako vizuri wanaijua kazi yao

  • @IBENGM
    @IBENGM Před 4 měsíci

    Naomba namba ya simu ya fundi Reward Mrema!

  • @consoafrica1350
    @consoafrica1350 Před 6 lety +2

    Labda ni mimi peke yangu..lakini kipindi hiki kinatufundisha mambo mengi ya msingi....mfano: nyumba ninayoishi haikujenhwa na msingi imara kiasi mizizi ya miti iliyozunguka nyumba ilianza kuchochoza ufa za ukuta. Hii yote ni sababu ya kukosa washauri na kutojifunza juu ya mambo.
    Mwambie jirani juu ya usaidizi mzuri wa builders home.... Karibu.. Usipite bure... Jifunze....

    • @TheBuildersHomeTz
      @TheBuildersHomeTz  Před 6 lety

      conso Africa asante sana. Tunaendelea kuisogeza jamii karibu zaidi na ujenzi

  • @musettijackson1143
    @musettijackson1143 Před 2 lety

    Nice

  • @mch7434
    @mch7434 Před 2 lety

    Hi fundi

  • @mch7434
    @mch7434 Před 2 lety

    Naomba no zenu

  • @alinyange4353
    @alinyange4353 Před 2 lety

    technology of bulding house

  • @boanergesd2858
    @boanergesd2858 Před 3 lety

    Channel nzur

  • @nasri.27jr25
    @nasri.27jr25 Před 6 lety

    Good job Arch.

  • @piusdavidmuzzazzi796
    @piusdavidmuzzazzi796 Před 6 lety

    Thanks Kwa Somo

  • @nassorohassan439
    @nassorohassan439 Před 3 lety

    Kwa wastan chember inayochukua bomba nne inatakiwa iwe na ukubwa kiasi gani fundi wng

  • @stevew.mutasa2385
    @stevew.mutasa2385 Před 6 lety

    good mr.

  • @sham1718
    @sham1718 Před 4 lety

    Asanten san kwa somo naomba namba ya fund maj saf na taka

  • @mwangimomsigahute5717
    @mwangimomsigahute5717 Před 3 lety

    Hizi ndio channel zenye akili

  • @boniphaceandrew3685
    @boniphaceandrew3685 Před 3 lety

    Bado mnatoa huduma mbona hampatikan?

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před 5 lety

    How much hy biodigester ?? Kwa nyumba ya chini??

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před 4 lety +1

    Naomba contact zenu

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 Před 3 lety

    Je mnachora ramani? Kama ndio weka No. Zako hapa.

  • @ramsonkunambi6987
    @ramsonkunambi6987 Před 4 lety

    Namba namba ya fundi kwaajir ya kuniwekea mfumo wa maj saf na maji taka namba yangu ya simu ni 0784485858 kazi ipo tayari bado fundi tu

  • @erastosolomon4554
    @erastosolomon4554 Před 4 lety

    Safi sana mtaalam nimekuelewa hata mimi ndizo kazi zangu kutoka mwanza naomba namba yako kuna vitu muhimu nataka kama ushauri kutoka kwako na kibiashara zaidi hasa upande wa Rodding eye, Air vent valve 50mm kwa geita na mwanza ni changamoto sana kupatikana mara nyingi naagiza Dar es salaam. My contact +255(0)765495073

    • @TheBuildersHomeTz
      @TheBuildersHomeTz  Před 4 lety

      Karibu builders shop unaweza pata hayo material yote ndugu mtaalamu...asante sana kwa kuangalia kipindi chetu. karibu sana..

    • @erastosolomon4554
      @erastosolomon4554 Před 4 lety

      Namba zangu zipo hapo naomba tuwasiliane

  • @richardmtunguja394
    @richardmtunguja394 Před 4 lety

    Nahitaji kujifunza ufundi 0717141537