UKITAKA KUJUA MWANAMKE NI KIUMBE CHA MAANA AONDOKE NYUMBANI "PASTOR MGOGO
Vložit
- čas přidán 2. 11. 2023
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
CZcams : Pastor Daniel Mgogo czcams.com/channels/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Kwa kweli ubarikiwe sana pastor ! Mafundisho yako yanaongeza virutubisho vitamu kwenye ndoa yangu na mme wangu. Huwa nakufuatilia nikiwa huku Rwanda -Gisenyi town!
May God bless you pass
Amina
😂😂😂😂😂😂😂 sadaka inaenda mbinguni💃🏼💃🏼💃🏼
Very true pst.mungu atusaidie katika safari hii ya maisha...Emungu tupe hekma ya kuvumilia Challenge
Ubarikiwe mutumishi
Nilikutafuta siku nyingi sana
Ameeen
❤❤❤❤❤❤❤
Nimebarikiwa na haya mafundisho mungu. Atabakikua mungu Kwa kutupa mugogo
Amen ,Nimebarikiwa kbs . YEHOVA akupe nguvu uzidi kutufundisha mengi
Sure
Asante,mafundisho yako yananibariki sana,nipo Burundi hua nakufatilia kwenye youtb,Mungu akubariki sana .
Mungu akurinde pastor ❤
Pastor mgogo mungu akubariki. You are hitting the nail on the head.
Mungu akuzidishie mafuta muchungaji.From Burundi.
Amen mchunganji wanaume Hawa wengi wamegeuza neno la mungu nimebarikiwa Sana huku malawi
Following from Nairobi Kenya
Baba tunashukuru kwa mahubiri yako❤❤❤
Urakoze Pastor
Ameen
Amen 🙏 hallelujah 🙏🙏
Amee mungu atupe hekima ya kumuerewa huyu mungaji
Mwenyeezi Mungu akubariki🙏🙏🙏
Mtumishi wa Mungu una neema spesheli
😂😂😂😂😂nishafanya miujiza sana pst itabidi nimkumbushe mke wangu atoe sadaka kwa Hilo.
Pastor unamlika tu ya kwangu God bless you
Yani pastor ungejua Yale napitia Mimi natamani kurudi kwetu na watoto wangu moyo wangu unavuja damu mpaka Sasa licha ya kuishi miaka 13 Mimi ni wa ku Lia tu jamani
napiga watoto mpaka basi narudi Tena kuli mwenyewe Tena Kwa huruma sana
Vumilia dunia ndo iefikia apa pengine @@GMD820
Asante sans Paster ,nimesaidiwa
Amen
Amen 🙏🙏🙏👍👍
Ndo maana saizi wanawake tunafinikiwa kuliko wanaume tunazaa Kwa uchungu na tunatafuta Kwa jasho 🙏🙏
AMEN GOD BLESS YOU man of God
From nairobi amen
Ba❤rikiwasana
Pastor anaefundisha ukweli
True.
Sawasawa sematupone😅
🙏🙏👏
PROVERBS 31:10 IS NOT APPLICABLE MAY BE ONLY BY SINGLE MOTHERS
True
😂😂😂 ❤❤❤
Na si wakae tu vizuri?!
Barikiwa sana
Wanaume wanajitetea tu😅😅
Ubinafsi ndo kiini cha DHAMBI
Beside sadaka what about pesa za project kama ujenzi unakuta mlitoa lakini kuna asilimia haipatikani
Yenyewe ufisadi makanisani umezidi na Mungu atusaidie
😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅 wambie wanaume
Amen
Nimebarikiwa na haya mafundisho mungu. Atabakikua mungu Kwa kutupa mugogo
Amina
Da umegusa kumoyo kabisa
Ndoo ivo baba angu wengine sisi ni wahehe tumeenda umasaini