Ruby - NTADE (Official Music Audio) Sms 8704097 to 15577 Vodacom Tz

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 14. 07. 2018
  • A Brand New Music Audio - Ruby Africa - Ntade [Official Music Audio]
    Stream / Download on all streaming platforms
    Get The Song NowđŸ‘‡đŸ»
    Boomplay : www.boomplay.com/artists/1306088
    For Bookings/ Collaboration / Interviews / Performances
    Email: hellenmajeshi@gmail.com
    Mob: +255653554410
    #Ntade #MajeshiMusicGroup
    #StreamFromAllDigitalPlatforms
    Catch Up With Ruby Africa:-
    Instagram: / iamrubyafrica
  • Hudba

Komentáƙe • 601

  • @huxchyner4271
    @huxchyner4271 Pƙed 6 lety +157

    Kama unasikiliza hii nyimbo zaid ya Mara moja weka like yakoo😍😍😍

  • @herriethkatakweba9533
    @herriethkatakweba9533 Pƙed 6 lety +124

    Ivi ruby! unajua kama mziki unauweza sana wa Dada jmn, plz kuwa serious tafuta management nzur u will go to the world trust me

  • @ely-alexmarlaw7814
    @ely-alexmarlaw7814 Pƙed 6 lety +26

    First Kenyan to comment...Ruby rocking with her golden voice again...mad love from Kenya🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡Ș

  • @raji3432
    @raji3432 Pƙed 6 lety +7

    kama umeupenda wimbo huu wa ruby NTADE gonga like"

  • @kimsblessedprince6228
    @kimsblessedprince6228 Pƙed 6 lety +34

    Piga kidole kama wangoja video kama mimi

  • @ashachecheo9619
    @ashachecheo9619 Pƙed 6 lety +70

    Most of comments here are Kenyans jamani Rubi wakenya wanakupenda hata mm nipo ndani NTADE😘

  • @moorex8633
    @moorex8633 Pƙed 6 lety +37

    ruby ni fundi wengine wabundi ikikuuma kale muhindi maana muziki mzuri hauhitaji hundi đŸ”„

  • @DEGESTAR
    @DEGESTAR Pƙed 6 lety +11

    Iyii ngoma ikitoka video bhasi nandy afurukuti hapa dah. 👍 hapa

  • @ummyameir266
    @ummyameir266 Pƙed 6 lety +36

    Ruby Ruby Rubyy nikifa utanilipa roho yng 😱😱 sio kwa kunigusa huku jominiiiii HAYA WEE NANDI MICHUPI MWENYE NYUMBA KAJA NYUMBA YA URISI HAIUZWI TENA ww kauze sura sisi team Ruby tunauza kazi nzuri na saut đŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’Ș

  • @morriswafasa7167
    @morriswafasa7167 Pƙed 6 lety +49

    Maad love from kenya ❀❀❀ #Ntade

  • @queenkhalimaqueenkhalima3174
    @queenkhalimaqueenkhalima3174 Pƙed 6 lety +19

    Nakupenda sana ruby ngoma kalii sana 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @mariamhaidarijamali806
    @mariamhaidarijamali806 Pƙed 6 lety +12

    Naeshim maamuzi maana nimempenda mwenye nishayavulianguo bwana achaniyaooge ananikuna panapokunika nikiwashwa ananishona palipo chanika sitomuacha ila unajuaga mm mwenzako nakupenda napenda kweli kweli yeeh tena bbyy mwenzako mm endapoukinitenda utantenda kweli kweli atauuze karanga sawaa sawaaa nimeridhia kidogo tutachanga...... ❀❀❀❀❀❀❀❀❀ RUBY my no one😍😍😍😍😍

  • @allysiraji6935
    @allysiraji6935 Pƙed 6 lety +6

    wawooo Leo umenifanya niwe shabiki lako nic job

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 Pƙed 6 lety +121

    Ruby hiyo sauti ili mtoa nyoka pangoni Wimbo mzuri sana ongera

  • @jochrischriss9590
    @jochrischriss9590 Pƙed 6 lety +15

    Ruby masauti nakuabari ngoma kaliii

  • @shizomaniga9627
    @shizomaniga9627 Pƙed 6 lety +42

    Mashaa Allah unasauti mzuri sana ala mziki yenyewe mzuri sana.

    • @faaali244
      @faaali244 Pƙed 6 lety

      Ramadhan Ismail usitaje masha Allah kwenye mziki kenge wewe

  • @abdulkakinga5997
    @abdulkakinga5997 Pƙed 6 lety +32

    Ngomaaaaa hiiii imenigusaaa mpaka nahisi nazimia bonge la ngoma

  • @blessingwaridi6350
    @blessingwaridi6350 Pƙed 6 lety +15

    Woooow Ruby Kenya loves you dear such a sweet voice

  • @davidal2311
    @davidal2311 Pƙed 6 lety +18

    kaz nzuriiiiii #ntadee #ntadeee sawaaaaaaa✌✌✌👊👊

  • @The_Cold.
    @The_Cold. Pƙed 6 lety +57

    Nikumbate kama mtoto ntande ntande,,, #Ruby eeee! Bonge la wimbo

  • @lucaswilliams5761
    @lucaswilliams5761 Pƙed 6 lety +1

    Huku Ruby huku Nandy mambo đŸ”„đŸ”„đŸ”„Tunakufungulia dunia kuwa unachotaka đŸ’Ș🏿🙏🏿

  • @philipogodwin8623
    @philipogodwin8623 Pƙed 6 lety +20

    ruby your voice is so unique #ntande â€â€â€đŸ’„đŸ’„đŸ’‹đŸ’‹đŸ’‹

  • @Fortuneflavour
    @Fortuneflavour Pƙed 2 lety +2

    Rubie my beloved female artist ✔✔💯

  • @Eddie25502
    @Eddie25502 Pƙed 6 lety +13

    Mziki umerudi kwao đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„

  • @nellyesendi9160
    @nellyesendi9160 Pƙed 6 lety +16

    Ruby out hear killing it.. Nimepata ngoma yakufikiria mpenzi wanguđŸ”„â€đŸ™Œ

  • @princewawaziguatz1563
    @princewawaziguatz1563 Pƙed 6 lety +16

    KUSAH Ur De BEST WRITER 🙌🙌🙌

  • @shairankingfire8229
    @shairankingfire8229 Pƙed 6 lety +23

    Weeee ....fundiiii

  • @puritypendo6472
    @puritypendo6472 Pƙed 6 lety +2

    Im your number one fan Ruby..You so much talented dear
    Tbe song is lit 💕 💕

  • @abelaize
    @abelaize Pƙed 6 lety +1

    RUBY YOU KILL IT

  • @alimusa9103
    @alimusa9103 Pƙed 6 lety +18

    ruby is on fireee, karibu kwenye kiti chako.

  • @aminadaudi4680
    @aminadaudi4680 Pƙed 6 lety +4

    Daah wimbo mzuri sana huu yani umetuli sana

  • @daudmbwahali9647
    @daudmbwahali9647 Pƙed 6 lety +11

    weeeeeeel done Mamie guud guuud guuud #ruby fire

  • @barbiegal6361
    @barbiegal6361 Pƙed 6 lety +1

    She has amazing voice ever trust between nandy and Ruby acha niseme tyu ukwel Ruby anasauti amazing sana she is unique

  • @boscoboss3826
    @boscoboss3826 Pƙed 6 lety +4

    This one is fire kazana dadangu mpenzi wangu chochote tu mola amekupangia nadeka na kueshimu yote yatokayo kwa kinywa chako mpenzi
    Nakupenda mpenzi wangu.

  • @hadassperez494
    @hadassperez494 Pƙed 6 lety +4

    Ananikuna panapokunika, ananishona palipo chanika. #Ntade. Hatwariii king ruru👑

  • @salmamdede985
    @salmamdede985 Pƙed 6 lety +1

    Dat voice damn gal... Shikamoo Ruby

  • @tonelaiser7589
    @tonelaiser7589 Pƙed 6 lety +18

    Umewash kama wasaf tv #ruby

  • @yohan_254
    @yohan_254 Pƙed 6 lety +1

    that voice....out of this world,,great one. moto moto

  • @nahlove3940
    @nahlove3940 Pƙed 6 lety +6

    Always my favorite😍

  • @michaelkauzeni2645
    @michaelkauzeni2645 Pƙed 6 lety +1

    Love concerning song
    Nice dreaming........ Good work.

  • @iddyjumanne1205
    @iddyjumanne1205 Pƙed 6 lety +1

    Ruby kiukweli mziki unaujua sana aisee nimeisikiliza zaid ya mar 10kila lakher ni zaid ya fire

  • @whitneyrodrick6180
    @whitneyrodrick6180 Pƙed 6 lety

    kuna vijidada vinadanga utaona
    vikijipitisha vina tingisha utaona
    waambie siongezi neno nishaweka nukta,
    wajue nilitulia sikukurupuka
    😍😍😍😙😘😚

  • @queenmaa7892
    @queenmaa7892 Pƙed 6 lety +2

    My bby....u kill it

  • @ghafirahmbaga5445
    @ghafirahmbaga5445 Pƙed 6 lety +2

    Asiyeikubali hii ngoma mchawiii

  • @Eddie25502
    @Eddie25502 Pƙed 6 lety +11

    That's ma sister đŸ’„đŸ’„đŸ’„đŸ’„

  • @maasainortehn.3701
    @maasainortehn.3701 Pƙed 6 lety

    naheshimu maamuzi maana nimempenda mwenyewe, nishayavulia nguo acha nioge, any one who can say this word to me please nipo single for sure ntadekaa.............ruby umetishaaaaaaaa mama.

  • @youngdalove5125
    @youngdalove5125 Pƙed 6 lety +1

    daaa best song.... this is ruby bwana... we need best songs ruby like this 😍😍😍😍😍

  • @elishabarongo6794
    @elishabarongo6794 Pƙed 6 lety

    The best female singer in Tanzania, sio kama watanzania Hawakuelew ila kuna kitu bado kidogo hujaweka sawa au haupo kwenye mikono salama..kaza buti Kidogo, ongeza maubunifu..soon utaishangaza Africa

  • @honorathashayo2292
    @honorathashayo2292 Pƙed 6 lety +1

    nice song ma dear ruby may God be with u

  • @melaniaagustino5331
    @melaniaagustino5331 Pƙed 6 lety +4

    By this trend....am going to be among of your fans

  • @DearMsomi
    @DearMsomi Pƙed 5 lety +1

    Nimependa hii ngoma ni nzuri sana. Big up....wewe unajua tena sana allah akuongoze ufike mbali zaidi ya hapo.đŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’Ș

  • @japhetkakwezi9497
    @japhetkakwezi9497 Pƙed 6 lety +1

    Honestly kuna time nlikua nakosa hii ladha na SAUTI kwa hii kiwanda....Thanks for coming back na for this good music Ruby,,you're a blessing kwa huu muziki....Nimereplay hii kitu for hours n i dont get tired,,i really missed you kwa my ears..THANKS

  • @mariamtaylor7180
    @mariamtaylor7180 Pƙed 6 lety +1

    Yani nimelike kabla hata nyimbo haijaisha just like your sweet voice much love dadake Mie

  • @valentinemwatembo5768
    @valentinemwatembo5768 Pƙed 6 lety +1

    I can listen to this from nrn to the next mrn...your songs are always on point strting frm the lyrics,ur cute voice and the beat....my two female legend Ruby and Maua Sama...please do a song together

  • @michaelbigvai1199
    @michaelbigvai1199 Pƙed 6 lety

    We dada ni konyo hakuna binti wa kukuzima tz, acha waongee ila sometimes nature select people” your selected ruby❀❀❀❀❀❀

  • @sodiegeorge8820
    @sodiegeorge8820 Pƙed 5 lety +1

    i always listen to this everyday .... Mziki mtamu

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 Pƙed 4 lety

    One of my favourite from ruby and âŁâŁđŸ”„âŁâŁ

  • @W.i.s.d.o
    @W.i.s.d.o Pƙed 6 lety +1

    So sweat, keep it up baby 😘😘😘

  • @josephmongo91
    @josephmongo91 Pƙed 6 lety

    Mhhh!!! Mbili kama hizi zingine, taji larud kwako Rasmi

  • @valentinemwatembo5768
    @valentinemwatembo5768 Pƙed 6 lety +1

    I can actually listen to this bang frm mrn to the next mrn,all your songs are on point,the beat,the lyrics ur voice...my female legends in bongo Ruby and Maua Sama...plz do a song together

  • @brancetweve1807
    @brancetweve1807 Pƙed 6 lety

    woyooooooooooooooooooooo daaah rubyiiiii umrdiii na niliksbriiii sanaaa safiiiiiii

  • @henryjoseph5703
    @henryjoseph5703 Pƙed 5 lety +1

    I love you Ruby😘😘😘😘 nice song

  • @raphaelz.kisinza9499
    @raphaelz.kisinza9499 Pƙed 6 lety +3

    Kusah, ure truly amazing. Ure dream is going to Come true as i once said. Uko juu yao broh.

  • @minahjumaa4471
    @minahjumaa4471 Pƙed 6 lety

    Hongera Ruby mm nakukubal nand naona ananichanganya ty saut yako haifikii

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 Pƙed 6 lety +2

    Wcb mkaribisheni Ruby 👌👌👌

  • @brownmshan2629
    @brownmshan2629 Pƙed 6 lety +1

    Jamani nakapenda haka kadada bure kabisa!! Sauti ya kumtoa nyoka pangoni.

  • @chipagafashion
    @chipagafashion Pƙed 6 lety +15

    Unarud vizur sana Dada angu nyimbo Kali sana.
    USISAHAU KUSUBSCRIBE CHANEL YANGU

  • @nyekingobwire7993
    @nyekingobwire7993 Pƙed 5 lety

    Nice song Kama Tim luby pita na😁😁😁like

  • @mariecelestin3757
    @mariecelestin3757 Pƙed 2 lety

    ivi kuna mtu anasikiza 2022 bado kama mpo tujuwane basi ❀

  • @ebisalum8828
    @ebisalum8828 Pƙed 5 lety

    Nataman ningepata wa kuniimbia nyimbo hii nikiwa na stress !!! Ruby ni shida.

  • @youngjesus5148
    @youngjesus5148 Pƙed 5 lety

    nimekuwa kwenye misingi ya HIP HOP na mziki nnaosikiliza kwa wadada ni wa ruby pekee kwa sababu anajua mpk anapitiliza cha msingi fanya kweli i real appreciate what u ar doing dodo

  • @gabrielwilliam2340
    @gabrielwilliam2340 Pƙed 6 lety +1

    I LOVE THIS SONG PLEASE RELEASE THE VIDEO ALREADY

  • @Sammie.S
    @Sammie.S Pƙed 6 lety +24

    đŸ”„đŸ”„đŸ”„ ruby ntade hotter

  • @mayelias4207
    @mayelias4207 Pƙed 6 lety +3

    wew ruby wew au umeniimbia mmi jamani 💞💞💞👍👌

  • @aishatoee8027
    @aishatoee8027 Pƙed 6 lety

    dadaaaa,,,hizo hit zako mazeee,,m naitwa Aisha natamani sana kuwa kama ww haki,,,,,,ninazo nyimbo hila dahhh,,,,

  • @filesonlinetv4725
    @filesonlinetv4725 Pƙed 6 lety

    Waooooh @diamondplatnumz chukua uyu dada weka wcb bhna..anajua ad anakela nakupenda bureee

  • @selemanimwinyimkuu9539
    @selemanimwinyimkuu9539 Pƙed 6 lety

    Sina imani na hii nyimbo kufika mbali JAPO kazi nzuri. samahani kwa mashabiki wake wanafki, ila tusiweke sifa nyingi bila ya kuangalia soko lipoje na kumkosoa afike mbali

  • @paulbryxonofficial
    @paulbryxonofficial Pƙed 6 lety +2

    Nikisema sikupendi ntakuwa nakosea Ruby... I love you sweet heart...... Nakupenda mpaka, naumwa aki.. Dah

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 Pƙed 6 lety +14

    NUKTA.NUKTA.
    Inatosha.

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 Pƙed 6 lety +16

    Am from crotia i don understand swahili ila hii nyimbo ni hot sana ila tu sina wakudekeza😏

    • @novakhaucky9669
      @novakhaucky9669 Pƙed 6 lety +1

      carol Praise umeuaa from Croatia na hujui swahil😂😂😂

    • @shiksshiks8494
      @shiksshiks8494 Pƙed 6 lety

      novathi jrking 😁😁😁😁 kooh

    • @shiksshiks8494
      @shiksshiks8494 Pƙed 6 lety

      novathi jrking 😄😄😄😄😄

    • @shiksshiks8494
      @shiksshiks8494 Pƙed 6 lety

      John Edwins eee😉😉😉😉

    • @edwinjohn3964
      @edwinjohn3964 Pƙed 5 lety +1

      @@shiksshiks8494 😜

  • @veesessy1958
    @veesessy1958 Pƙed 6 lety

    Aisee we ruby fundi....umenikuna panapokunika😁😁😁 #ntadeđŸ”„đŸ”„đŸ”„

  • @zulfayusufu3184
    @zulfayusufu3184 Pƙed 6 lety

    Hata uuze karanga sawa sawa nmeridhia nkumbate kama mtoto ntadeka ananikuna nkiwasha ananishona nnapochanika...........dah ruby nomaaaaaaaaaaaaaa maneno matam sana haya ongera mm ntadeka2 kumbe nn

  • @jamillaongasiawetiko6044
    @jamillaongasiawetiko6044 Pƙed 6 lety

    Nahisi nkama Hamissa anamwimbia Mondi hapo kwa Katanga,.... Nice one ruby

  • @stevenonyango7021
    @stevenonyango7021 Pƙed 5 lety

    ghaaaii saaautiii !!!..........more love from KENYA

  • @michaelmwinuka8925
    @michaelmwinuka8925 Pƙed 6 lety

    Mim huwa namwelewa sana huuuyuuuuu mdda yan coz anajua mpaka anakela

  • @howardbillionaire
    @howardbillionaire Pƙed 6 lety +2

    Beat za producer bonga.... Zikipataga muimbaji wa hisia Kali ka ruby hutengenezaga hit kama hizi

  • @mbokachawe9657
    @mbokachawe9657 Pƙed 6 lety

    Hakika bora ulivoenda depo... Umerudi hooot...me lv dis

  • @binbad4691
    @binbad4691 Pƙed 5 lety +1

    I think she is better that any girl in Tanzania good song too I love it just give me a like plzz

  • @slimted759
    @slimted759 Pƙed 5 lety +1

    Sichoki kuirejelea yaan kama asali vile. Good work, awesome piece of talent

  • @suleyswaleh5381
    @suleyswaleh5381 Pƙed 5 lety

    Bonge la ngoma. Welcome . w c b. Ruby. Mana naona unapita mulemule heshima kwako

  • @shabbyofficial_
    @shabbyofficial_ Pƙed 6 lety +7

    Ruby đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„ from 🇰đŸ‡Ș

  • @rosefrank5770
    @rosefrank5770 Pƙed 6 lety

    Ruby wa kwetu umejua kunikomesha mwenzio 😘 yaani wimbo umeutia vikorokoro na vikorokocho vyote #perfect special dedication to my one and only my sweetest husband Frank malela. Congrats cc Ruby. 👌👍

  • @latifajafari3784
    @latifajafari3784 Pƙed 6 lety +1

    I love this

  • @faithfaith561
    @faithfaith561 Pƙed 5 lety

    Maaaaaaad love from Kenya 🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡Ș Ruby twasusubiri video.

  • @ayubsolomonherman1454
    @ayubsolomonherman1454 Pƙed 6 lety

    daaaah nilimiss sana sauti za kiufundu,,,fundi wangu......Asantee,asanteeee

  • @AbbyTheKing
    @AbbyTheKing Pƙed 6 lety

    Sawaaaa sawaaaaaaaa sawaaaa Umeuwa dada angu...!!!!!

  • @happinessmzandah2359
    @happinessmzandah2359 Pƙed 6 lety

    Ukwel jama Rub Dada yang umedamsh na umenigusaa sanaaaa!!!

  • @cpaissachengo4705
    @cpaissachengo4705 Pƙed 5 lety

    Dada ruby am more than your fan for real ,natamani hiyo sauti siku moja niimiliki iwe inanibebembeleza kila ninapo kasirika na kuchoka........lov u and your music ...from +254

  • @juniouremmanuel9216
    @juniouremmanuel9216 Pƙed 6 lety

    dah. luby. umenikosha. ngoma. kariii. đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„âœ…âœ…âœ…âœ…

  • @man-chusefanns2198
    @man-chusefanns2198 Pƙed 6 lety +1

    Nakukubari xaana Ruby kuliko hata Nandi Gd job all the best