H BABA AMEMPA MAKAVU LIVE KAJALA/ AACHE KUMPA PAULA MIKOSI/ HARMONIZE NAMDAI BILIONI TANO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • H Baba Atema Cheche Kwa Mara Nyengine Hii Ni Baada Yakukaa Muda Mrefu Bila Kuongea #hbaba

Komentáře • 67

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Před rokem +1

    Tanzania kwa mara ya Kwanza tumepata hit Song # Single Again

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 Před rokem +1

    Billion 5 kwa kazi gani

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Před rokem +2

    Chawa kazini 😂😂😂

  • @salimbasho8126
    @salimbasho8126 Před rokem +1

    Ilikuwa tarehe 10/10/2015 saa kumi na moja na dakika 22 🤣🤣🤣 unastaili tuzo la uongo mzee baba

  • @khashirjuma3612
    @khashirjuma3612 Před rokem +1

    H baba wcb 4 life 💥💥💥💥💯 💯

  • @mohamedally-nx8mk
    @mohamedally-nx8mk Před rokem

    Ni kweli hbaba

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn7752 Před rokem +1

    Kila kitu ni harmonize jamen atawanyoosha mwaka huu

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před rokem +2

    H mama

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před rokem

    Kwa Leo nakukubali kutembeya namwanamuke aliyeshindikana nitabuuuu😂😂😂

  • @hyacinthe313
    @hyacinthe313 Před rokem +1

    Ujumbe kwenda kwa agg baby anavyo jishauwa n'a sio mzuri🤣🤣🤣

  • @saidishabani2176
    @saidishabani2176 Před rokem

    H baba kapendeza kabisa ongera sana diamond platnumz

  • @bigirimanajoseph4590
    @bigirimanajoseph4590 Před rokem

    Nakukubali sana h baba

  • @mikaelndimila4013
    @mikaelndimila4013 Před rokem +2

    Kaka leo umeongea vitu mpaka nimesikia kengere kichwani kunywa coca cora ya bardi sanaa

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před rokem +1

    Kwani huyu jamaa ana fanya kazigani 😂

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Před rokem

    Huyu Bro smtym Akikosa Cha kuongea si Akaage kimya tu ye kila akiona mic anaropoka tu hata kama Hana Point"

  • @aliciamwalimu582
    @aliciamwalimu582 Před rokem

    Yaaaan wew boya sana kumbe,sasa yalomkuta harmonize WCB sie tunajua kilimkuta nini?yaan we bonge la senge,sijawah ona harmo akisimama kwenye media anaongelea WCB zaid ya interview ya kwanza aloelezea yalomkuta,ndio mond kamsaidia harmo ila yalomkuta huko sie mashabiki hawaelew,umetoa reference nzr kuhusu fei na yanga ko na harmo muachen nyau ninyi

    • @bongebig64
      @bongebig64 Před rokem

      Washabiki wa konde wote MNA macho Ila hamuoni sijui ni fegi h pasua miamba

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 Před rokem +5

    Mashabiki wa kondegang mnavyofanya kumtukana hbaba mnakosea alijitoa sana kwa Hamo

  • @onesmomashembo8495
    @onesmomashembo8495 Před rokem +1

    Wewe H mama sisi Kama mashabiki wa kondeboy tunajua wasukuma mna uchawi mwingi hata ukijikosha vipi hatukuamini na hatukutaki kenge wewe

  • @alantonio855
    @alantonio855 Před rokem +1

    10.10.2015 ilikua Saturday....muongo sana

  • @zaytunacom
    @zaytunacom Před rokem

    Msi we mnazungumzia Habari za mpira na machawa mfyuu maana chawa Sawa na mwanamke2😂h baba mzungumzie Dimond mambo ya mpira sio mahala kwako😂

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před rokem +2

    Hv tuache unafk na ushabik kati ya hawa wawil h baba na harmonise nan aliyemsaidia sana mwanzie??nan aliyemleta mwenzie mjin??huwa najifunza vitu ving sana kwenye maisha binadamu tenda wema nenda zko

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone Před rokem

      Walisaidiana wote

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone Před rokem

      Baada ya h,baba kusaidiwa ndo akajiunga na harmo nae kumusemea

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 Před rokem +1

      Walisaidiana kufanyaje?mziki wa harmo hta bila kusemewa unaenda,,,yy ndo alijipendekeza kwa kuropoka kumsemea harmo,,km harmo angetaka kusemewa angeendelea kubaki nae,,tukishamsahau h baba karudishwa na harmo analeta umavi

    • @mubuyafrancis3979
      @mubuyafrancis3979 Před rokem

      Aliye Msaidia Sana ni H.Baba.kwasabab yeye ndo aliyempa ela yanaur kwenda kuonana na Diamond first time Mbagala Dar live bro

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 Před rokem +1

      Mubuya@acha story za kusadikika uma uhakika gan km akimpa hela ya kwenda kumuona Diamond??tunakata story za kujionyesha zenyewe km harmo kumrudisha h baba mjin Co za mtu kunena kwenye kinywa chake,,,kwan unadhan harmo hana ya kuongea juu ya hyo h mama wenu au sababu ameamua kukaa kimya asimjihu hyo mpumbavu

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před rokem

    H baba anastahili apewe tuzo ya heshima maana siku hizi anasema ukweli tu 🤣🙉

  • @masukumulumba3034
    @masukumulumba3034 Před rokem

    H baba ndo mtu muongo wa kwanza tz

  • @binarytanzania
    @binarytanzania Před rokem +1

    Hbaba unaongea pumba,unamsifia kupitiliza mwanaume mwenzako

  • @aliciamwalimu582
    @aliciamwalimu582 Před rokem

    Asa habar za fei na diamond zimeingia mshenz ww, fyuuuuuuuuuuuuuu,🙊

  • @rehanialfene7729
    @rehanialfene7729 Před rokem +1

    Unamponda Harmo,alafu unatowa mfano mzuri kwa Feisal wakufanana vile vile na wa harmo we tatizo unasemaga bitu bila kufikiria,we sindo ulikuwa unaweka clip za kupanda stejini na herizi eti kinatoka anakirudisha.

    • @aliciamwalimu582
      @aliciamwalimu582 Před rokem

      Ndomaana nasema hawa machawa wengine ni,,,,,,,, ,nge 🙊🙊

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem

    Ukweli b ndo huo Yanga ni wapuuzi kweli na roho mbaya

  • @sultansultans9462
    @sultansultans9462 Před rokem

    H baba hana contents ila Diamond Diamond huyu jamaa kisha chokesha .. mwambieni jamani..

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Před rokem

    Senge hili

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Před rokem +1

    yani wewe unajifanya mtu mzuri mbele ya camera sio wakati una roho mbaya unajifanya unazungumzia watu wengine bado ili watu wakuone mtu mzur sio zungumzia maisha yako na machawa wako tu

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Před rokem

      Nilimtukana Sana huyu mwamba lakini baadae nikagundua hili jamaa linasemaga ukweli TU

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 Před rokem

      @@barakakusa7606 amin msema kwer lazm hakuchukiwe

  • @shabaninonda6233
    @shabaninonda6233 Před rokem +2

    Acha umama wewe utaolewa

  • @titusomare
    @titusomare Před rokem

    Hii ni gunia ya mtu

  • @deedeemacnerry3977
    @deedeemacnerry3977 Před rokem

    Aki this ka primitive wah 😫

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Před rokem

    maskini Kawa kama mtumwa sasa hivi hajui anazungumza nini sijui akitoka kwa diamond atakimbilia wap jamani du ujitharau mpaka mwenyewe kweli

  • @shamimshaban2969
    @shamimshaban2969 Před rokem

    Islam doesn’t allow helping and speaking so Hbaba you are wrong

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Před rokem +1

    wewe mwislam unasali hujui dini ya kislam kua kuimba haram alafu unatetea mziki ogelea mashekhe na kutangaza mziki tangaza dini yako sio mziki wewe kelele nying azina faida yoyote kama unajua dunia mapito

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 Před rokem

    Kama unajua nyumban ni moja sasa kwa nn kutwa unamshambilia homonizer ukifa utajibu nn unataka kusema hujawahi kufaidi kitu chochot kwa hamo saingine jiulize ukifa Leo utajibu nn

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani1165 Před rokem

    Utakua wewe wakwanza kuwekwandani

  • @arafahassan9350
    @arafahassan9350 Před rokem

    Ushafeli wewe kwendaaa 🖕

  • @bigj1657
    @bigj1657 Před rokem

    chawa wakwanza kuanguka stejini.
    boya wewe .pumbu zako

  • @onesmomashembo8495
    @onesmomashembo8495 Před rokem

    Wewe H mama sisi Kama mashabiki wa kondeboy tunajua wasukuma mna uchawi mwingi hata ukijikosha vipi hatukuamini na hatukutaki kenge wewe