INASHANGAZA! Maamuzi Magumu Aliyofanya Zari Maeneo Ya Sehemu Zake Za Siri.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 12. 2018

Komentáře • 50

  • @aishawoooiii2777
    @aishawoooiii2777 Před 5 lety +1

    Jamani zar nimkologo tu jamani watz.wacheni.ulimbukeni na wanawake wamkologo mana langi zabandia babaake mweus kama nyani acheni kushobokea. wanawake

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 Před 5 lety +1

    Basi kazi mnayo kila siku zari na chuki zenu mulitaka avae dera kwenye swiiming pool zari mzuri sana ana sifa zote love mama tee

  • @tumabhay5941
    @tumabhay5941 Před 5 lety

    Zari mashaallah mzuri sanaaaaaa.ww mange kimaviii hebu kaogeeee kwanza uctunukishe shombo

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 Před 5 lety +1

    Kweli

  • @fatmaalrashdi1577
    @fatmaalrashdi1577 Před 5 lety +4

    Mnao to picha za zaman mmekosa kazi roho zeni za chafu zakutu wivu ndio unawasumbua kila picha mtampa kashifa ila zar anapa presha wa bongo hampumui. Bilakumsema zar zar ndio mashine yenu yapumzii

  • @user-mm5tf7yn6p
    @user-mm5tf7yn6p Před 5 lety

    zari nimuzuri arakini arikosea saaana mama watto watanu aombe musama mngu siyo kira kitu kirayenda kwenye mitandao😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mariamuharuna5271
    @mariamuharuna5271 Před 5 lety +2

    Kweri akustahiri kufanya hayo nimtu mzima na anawtt wakubwa

  • @rahelmasiga1503
    @rahelmasiga1503 Před 5 lety +3

    Zari ana stress alimpenda Sana diamond so Hali ya kuachana na diamond hakuoenda japo alitoa maamuzi mwenyewe.zari sometimes hajitambui .anafikiri kua miaka inarudi nyuma .zari ana watoto lakini anayoyafanya sio ya kufanywa na Mzazi mwenye madume makubwa .duu

    • @salimaamir5561
      @salimaamir5561 Před 5 lety

      Umeonaeee na ukisema kweli wabongo wanakuchamba utasema ni Mungu wao nyoo mi simo sipendi ujinga wala sina shobo na uyu mama

  • @tumabhay5941
    @tumabhay5941 Před 5 lety

    Ikiwa zari c kijana na uzee hanaa..nyoooooni vishanshuda wacmamia kucha mso haya..choyo to kimewaanda.hamfui dafu nyny kwa zari ..hamumpati hata mwende uchi.

  • @MariamMohamed-bw8xf
    @MariamMohamed-bw8xf Před 5 lety +1

    Hata museme nini zari nii star wangu nakpenda sana 😍mtu wangu wa nguvu 💪love u zari

  • @hakimawadh7060
    @hakimawadh7060 Před 5 lety +1

    Wanao mtaka zari kimausiano ya mapenzi niwengi sana bado yye ajafanya maamuzi ya mashindano kwavire anajierewa

  • @kabateimelda9689
    @kabateimelda9689 Před 5 lety

    Jamani kw mm ama mt mzm ni pigo la kigaidi??acheni porojo zenu wtz, mnkt awe slay qeen ndo ajiachie?

  • @salmakashindi4629
    @salmakashindi4629 Před 5 lety +1

    Achene Swahili ni jambo LA kawaida mwacheni a enjoy life yake

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 Před 5 lety +1

    Mwenye macho haambiwi tizama

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 5 lety +2

    The Don alikuwa tajiri na ameviacha what you zari sorry But Shock kinderlkinder😭😭😭

    • @mymunamymuna4807
      @mymunamymuna4807 Před 5 lety

      Stress zitamuua bitukinao, mange alimwambia utadoda hapo nakujifanya wajua sana

    • @habibabandru9174
      @habibabandru9174 Před 5 lety

      Anjelina Kasembe hivi nyinyi mlitaka Ivan awaachie nyinyi urithi?

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 5 lety +1

    Zari preienden like your real the bosslady please usijushushe kwamatusi na kashfa lmeniuma sana ulivyoingiza watoto kwenye matusi yakona Magge watoto ni Taifa letu la kesho ,WhatsApp Happen with you

  • @ndayishimiyecynthia7573
    @ndayishimiyecynthia7573 Před 5 lety +2

    Kwan mwili niwakwake So anachola anakotaka Acheni Wivu nyie

  • @ramahmariam8905
    @ramahmariam8905 Před 5 lety +1

    Menopause sentoms

  • @faridahangedo5554
    @faridahangedo5554 Před 5 lety +2

    Kuchochea yaliyopita ndo zenu.

  • @kadzojulius1814
    @kadzojulius1814 Před 5 lety

    Maisha yawatu mnapenda kuuingilia maisha yawatu wapuzi nyinyi

  • @nafulacaro9450
    @nafulacaro9450 Před 5 lety +4

    Zari ako mbele sana

  • @elizabethelias9403
    @elizabethelias9403 Před 5 lety

    Hahahaha mwka huu mtatoana roho hahaha

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 Před 5 lety

    Zar anajiheshim bn tangia ammwage mondi mshaona karusha pic ya ya kumtambulisha bwana Mitandaoni zar ni mwanamke wakujieheshomu bn

  • @nooromar6233
    @nooromar6233 Před 5 lety

    Laana hizo ndio mwisho waku kimbilia dunia wana anza kuchanga nikiwa wana umbuka sasa haina kheir dunia yao ina wadhuru wenyewe sasa hawa jui laku fanya wana babaika 😞

  • @fatmahcharo5098
    @fatmahcharo5098 Před 5 lety

    Hebu acheni zenu mwili ndio wazeeka lakini nafsi haizeeki bana

  • @mutalemwagabriel2277
    @mutalemwagabriel2277 Před 5 lety +1

    Ninaona wewe unataka umchafue zari, kwani yeye kuchora tattoo sehemu za Siri inakuhusu wewe mpka uweke CZcams? Nyooooo

  • @jordlynwoods9684
    @jordlynwoods9684 Před 5 lety

    fedup with yo lies all the time zari zari nyoooooooo mfanye ya kwenu poooooo

  • @halimasalim4600
    @halimasalim4600 Před 5 lety +1

    Mange weka zako na sisi tuone

  • @georgettetiemele8220
    @georgettetiemele8220 Před 5 lety

    Diamond s'amuse avec les fam, il a l'argent com el oci aiment sa dc el sont obligée de sortir avec lui. Où est hamissa, il va laisser tanasha com il a laissé hamissa.

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 Před 5 lety +3

    Zari kaharibika hanaakili

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 Před 5 lety

    Akuna kwa mondi zidi ya zar

  • @mankamalenga3788
    @mankamalenga3788 Před 5 lety

    kwendeni uko nyie ni wanafki kila cku mkimuongelea zari mna mponda nyie washenzi mnatumalizia bando l2 ten ww mwanaume×2 utageuzwa mke shenz ht akichora tatoo mk*nd*n hikuhusu mxweeamna ht cku 1 mkampa sifa kila ck mnamponda kwendaaaaaaaaa😡

  • @happydany684
    @happydany684 Před 5 lety

    watangszaji nao ni wapuuuuuzi tu kuchola kwakwe inahusu nn

  • @faithmelisa7103
    @faithmelisa7103 Před 5 lety +1

    Tanasha will go like hamisa waut and see

  • @zainashikuku7334
    @zainashikuku7334 Před 5 lety +1

    Nimegundua mwatafuta kuaribia Zari safi. Na muache udaku muongee ya ukweli
    Hata achore wapi n mwili wake. Kila m2 amind her own business.

    • @pendomarco9307
      @pendomarco9307 Před 5 lety

      Zari aache kuacha chupi nje

    • @samirakhamis3704
      @samirakhamis3704 Před 5 lety +1

      Washamba tu kwani uliza ndio nini??kuna watu wanaumri kama zari hawajapata wtt sasa niwadogo wao au wao ndio vijana Kazaa ni bahati yake sio iwe Kila kitu Ana wtt ukiwa na wtt ndio nini?

    • @samirakhamis3704
      @samirakhamis3704 Před 5 lety +1

      Mtapata tabu sana juu ya zari

    • @zainashikuku7334
      @zainashikuku7334 Před 5 lety

      @@pendomarco9307 na umeona ya Mange sokwe 🤣🤣🤣🤣.mwili kakauka. Madem wa Tz bure kabisa. Wakija 254 wajifanya watakatifu, kujitandia kumbe mmmm

  • @jumbebakari128
    @jumbebakari128 Před 5 lety

    Kubwa jinga

  • @hakimawadh7060
    @hakimawadh7060 Před 5 lety +1

    Zari aliamua kumuacha daimondi ukabaki usiano wa watto tu ivyo awezi kumuonea tena wivu

  • @mectirdaoman4531
    @mectirdaoman4531 Před 5 lety +1

    ujinga wa mond

    • @catherinepamphil8267
      @catherinepamphil8267 Před 5 lety

      Nanyie mmezidi umbea mmezoea.kumsakama mama.wa watu amekaa kimya mnamtafuta maneno tu hata akikaa uchi inawahusu

  • @shampamela6495
    @shampamela6495 Před 5 lety

    Mmmmh sooooo bad

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 5 lety

    Warum Kinder was ist los mit Kinder tun zari🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️