Mweusi uko vizuri...Anza Sasa na wewe kuanza kufanya Kama series...Kama wengine wanavofanya...sidhani Kama utakua umewaiga sababu nahisi ulianza muda kuliko wao namaanisha mkojan na clam...ni ushauri
Jaman ka Steve nyumba ya watu unajikuta mwenye nyumba wakat mnaomba Maj hata Kama ukiambiwa ujiskie upo nyumban sio hivo njoo kwetu ufanye hivo utaita maji mma
Wakwanza naombeli like japo 20
oya steve leo like bc nimekuwa wa kwanza
Umewaingiza mwenyewe dada awo matahira 😂😂😂 ndo ukomeeee
Kazi zuri vijana wa Tanzania au basi
Mweusi uko vizuri...Anza Sasa na wewe kuanza kufanya Kama series...Kama wengine wanavofanya...sidhani Kama utakua umewaiga sababu nahisi ulianza muda kuliko wao namaanisha mkojan na clam...ni ushauri
Wapéwe mauwa yao @steven @ ndaro tz
Dangote Wanaman from Mozambique❤❤❤❤❤ Steven na Ndaro
Umetishaass mwamba ndaroooooooo
Sijalelewa hv mi sio Mt wa hv ndaro nakukubali sanaaaa
Wa kwanza kutoka kitui kenya,,npewe zangu
Munacheza vizuri sababu imekwisha haraka
Demu mkali🔥🔥
Nawakubari sana vipenzi vyangu mungu bariki kaz ya mikon yenu
Noma sana mnajua wanangu
Napenda hiyo combination ya Steve na Ndaro 😂😂😂😂,humu Kenya hatuachi kucheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi zuri vichana wa Tanzania❤❤❤❤❤
Daah hawa vijana nawakubali sana Kwanza kama wapo kwao vile
Umetisha Kaka stivu
Sema ndaro anapenda kuingia katika anga zako choma ata kisu mwanangu steven
Natuma nayakutolea 🤣🤣🤣🤣 mpande Ndege mje, nawakubali Sana ma brother 💃🙏
HvMmmb c c c c h ug chvmbmnw vhv a Yug. 😮❤😮😅😂Bonn was
Jamaaa mntisha xana more love from 001 ĶENYA
Mapenzi from Burundi nakupenda sana Steven
Napenda vituko vyenu Ndaro na Steve
Mh huyo dada aloleta maji huyo huo mzigo nyuma ni wakwake pekeake au kambebea na mwenzie jaman!
😂😂
mh sio bure awa jamaa wametoroka milembe au
Haswaa Steve
😂😂😂😂😂Ogeza sauti haina shidaaa nyumba ishakuwa yaooo😂😂😂
wapuuzi nyiny 😂😂
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Andrews
🎉
❤❤❤❤
Much love from 🇰🇪 🇰🇪
Steve kuekt unajuwa Ila hii michezo mda mwengne hatuilewi bhn
🤣🤣🤣🤣🤣 Ndarooo bwana ety kwani wewe hupendi kupendwa 😂😂😂 Nakubali
Nombeni like zenu
❤❤❤
Steve nyimunaakili Sana🤭nimechangaasana ionitabia mbaya Sana huuyu dada nimutumupole Sana 🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮✔️
Sijechelewa kucomment wapi like yangu
Huyu dazet ndio yupi?
Nyie ni hatarii sana
super
😂😂😂hivi vichwa ni vyeupe kabisa
😂hhahahaha😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ nawapenda jamani
Steve unatisha sana mwamba unanikumbusha maisha ya shule unayoyafanya ndo niliyopitia kaka
😂😂😂😂uku kenya hatuachi kucheka tunawapenda Steve na ndaro
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hatariii nawakubali sana
Steve nampenda uyo Binti kidoti nipe namba yake❤🎉
Good 👍👍
Ha ha ha chino wanaman 😂😂
kigugumizi kinamtia hasira 😂😂😂
Huyo dada ni mzuri kabisa ❤❤
much love Steve from USA
Nakubali wanangu🎉🎉
Nakubali wanangu
Ahahahhahhah we ndaro na mweus
Heeehehehee makubwa
Stivu ogeanae🎉🚗
Much love steven mosses
Kwaoo pamekuaa kwaoo sasa ,,haaaahaaaaheeeer
Nice
😂😂😂😂😂😂Miwani ya wenyewe utadodosha
Unyamaaaa nimwingi
𝑺𝒕𝒆𝒗𝒆 𝒏𝒂𝒎𝒑𝒆𝒏𝒅𝒂❤
♥️♥️♥️♥️
Vraiment c'est bon
Hivi vichwa vinatia hasira 😂😂😂
😂 mkiona nimekufa nimeishiwa pumzi Kisa nyie😆🫣
Congratulations Steve
Mmetisha wajuba😂😂
unyama San ndar at me na voice kam yako😂
Weye ni mwisho
Hahahahahahahahaha.....dah....oya wazeee.....hahahah Aya bana
Safi.mwanangu
Steve huwa mnanifurahisha
Mmeuwa wanangu
Ameua😊 8:42
Haaaativeeongezenilikee😂😂😂😂
Umeweza
Oya mnaweza
Ety Ongeza sauti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Weeee eheeeee mtu mgeni bado anataka soda
Hum Dani unaishi wangap 😂😂😂
Wagen kama hawa so wasur kabisa
😂😂hinyo viatu ya mweusi 😂😂😂 et chino kid
Ni kweli mnapendeza
Washakua wenyej😂😂😂
Hahaha nmewakubali
Ndaro ni fayaaaaaa😅
Jaman ka Steve nyumba ya watu unajikuta mwenye nyumba wakat mnaomba Maj hata Kama ukiambiwa ujiskie upo nyumban sio hivo njoo kwetu ufanye hivo utaita maji mma
Nampend ndaroo
Feel at home 😅😅😅
Mnajua sana
Drivemweus😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Vp broo
Like you commedy
Hhhh
Hivi wewe Steve hua wanifurahisha nacheka nahisi mbavu kuvunjika 😂😂ndaro mrembo akindondoka utaanzia wapi
DJ djeyen
Unafanana na kora wa mtaa
😂😂miamba
Ebana Steve hee nisukumiye gamba kwee email yangu mwanangu hapa kentuncky US tunaku miss bro
❤❤❤❤❤❤
Mbavu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂