Jinsi Ya Kupika Chips Mayai / Zege Tamu Sana | French fries omelette
Vložit
- čas přidán 19. 09. 2019
- jinsi ya kupika chips mayai tamu sana
Mahitaji
Mayai 4
viazi 3
kitungu maji 1/2
pilipili hoho 1/2
tomato 1/2
chumvi kiasi
pilipili manga1/2 kijiko kidogo
masala nusu kijiko kidogo
Jinsi ya kupika chapati laini za kusukuma bila kukanda sana | How to make soft chapati: • Jinsi ya kupika chapat...
jinsi ya kutengeneza mahamri/maandazi laini ya iliki: • Jinsi ya Kutengeneza M...
jinsi ya kupika viazi vya nazi | viazi ulaya | mbatata | viazi mviringo vya nazi | mapishi: rahisi • jinsi ya kupika viazi ...
Manda ya kufungia sambusa | Jinsi ya kutengeneza kaki / manda za kufungia sambusa nyumbani: • Manda ya kufungia samb...
Jinsi ya kutengeneza ice cream nyumbani bila kifaa maalum ya icecream | strawberry ice cream recipe:
• Jinsi ya kutengeneza i...
Jinsi ya kutengeneza biriani/biriyani nyumbani | Jinsi ya kupika biriani ya kuku | chicken biryani: • Jinsi ya kutengeneza b...
Jinsi ya kupika Pilau la kuchambuka kwa njia rahisi | Easy pulao recipe | Mapishi Rahisi: • Jinsi ya kupika Pilau ...
Jinsi ya kuoka keki bila: oven • Jinsi ya kuoka keki bi...
Mapishi ya katlesi za samaki | Mapishi rahisi: • Mapishi ya katlesi za ...
JINSI YA KUTENGENEZA DONASI TAMU NA LAINI KWA NJIA RAHISI - Mapishi Rahisi: • JINSI YA KUTENGENEZA D...
Jinsi ya kutengeneza katlesi za mayai/ egg chop - Mapishi rahisi: • Jinsi ya kutengeneza k...
Sambusa za nyama | Jinsi ya kutengeneza sambusa za nyama: • Sambusa za nyama | Jin...
Jinsi ya kutengeneza juisi ya maembe na tangawizi tamu sana na nzuri kwa afya: • Jinsi ya kutengeneza j...
FOLLOW US ON:
Facebook: / mapishirahisi
Instagram: / mapishirahisi - Jak na to + styl
I’m half Zanzibari half Swedish and my shangazi makes me this every morning when I visit mashallah ❤️
Wow mzuri Sana kweli nakupenda 💖💖💖💖
Masha Allah nzuri shukran
Nimependa
Masha Allah yakaa tamu
MashaAllah. Nice👌🏼🙌🏽. Shukran
Mashallah nimekula dar very nice 👌👌👍
Mashaallah
Asanteeee
Maa Shaa Aallah
Haijaiva vizuri
Kazi nzuri sana dear
Inapendeza sana sana
Woooow
Wow
Looks yummy n an easy recipe too. Thank you.
Mashallah hasbiyallah
Wow Lovely
Nimeipenda nami nitapika.asante
Nice recipe..... Dadaangu
Yammy 😋❤❤❤
Wooow tasty yummy asante xana
Ntajaribu huu ufundi
nzuri sn
Nice I like it momiii
utuletee na recipes za kutengenezA vyakula bora vya watoto
Yummy
Woow! Nmeipenda sna😍
Yummy Yummy....
yum 😋
good job just subscribed
I like
Yummmmmmy
Good🥰
Asnt dear
Delicious,,, looking forward to it..GOD bless you.
da nimependa
yummy😜
I cannot rest until l make it today🤗
Mate yanitoka😋
Hii natengeneza this week,siezi tulia mpaka nijipe hii treat,yummy
Lol heehe invite me
Hello?Kindly nipe recipe ya half keki au "ngumu".Asante.
show us how to make Ethiopian anjera
Yummy zege kwani habibty una ingine channel ya youtube?
Masala gani
The red powdered chilli
Ongea taratibu jamn da 😹😹😹
Nzuri sana lakini kutamanishana uko dada angu mana nikiangalia mezani naona ugali kijani yani daaaah
Saiti nzur kama chips zege uliyotengenez
Hayo masala n masala gani
Unayo penda
ile ya mahindi choma kabla ijawekwa chumvi.
Hii ndio sasa twaita twisted recipe
Mammito Hilo jiko linaitwaje na linatumia Nini??
Induction stove
Sema taratibu km unataka wakufolu dada unasa km cherehani unafundisha unashona🤔
Hujalazimishwa uangalie... Kwan ivo ndo anasema haraka haraka
We love her vile ana explain na makini. Hii page ishaingia mahaters Subhana Allah. Wanadamu hawana jema. Keep doing your good work sweetie 💕🌹
sie ndo twaenjoy saut yake maashallah anafundish vzur
Mashaallah
Yummy