HAWA NDIO MAWAKALA WA USHOGA DUNIANI | HIZI NDIO KUMBI ZA KUENEZA USHOGA ACHANENI NAZO | SH: MTUPA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 03. 2023

Komentáře • 110

  • @masudimwinyi7301
    @masudimwinyi7301 Před rokem +13

    Tuko pamoja sheikh tuungane kwa nguvu zoote kuupinga ushoga na usagaji Tanzania waislam wote takbiriiiii

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem

      Allhau akbaru

    • @stefanomasolwa8979
      @stefanomasolwa8979 Před rokem

      Ni afazali wanaume wote Hapo Tanzania wakapimwe Huko Nyuma kama kweli bando ni wazima ? Ama sio wazima tena hapo ndio mtawafahamu Mashoga na wasio Mashoga Asanteni Sheikh

    • @ahmedhamisi-jc2hs
      @ahmedhamisi-jc2hs Před rokem

      Kabisa apo ushasema kweli kabisa watu washikani kupinga kwani awa wazungu wataka mungu atuangamize in shaallah kwa uwezo wa mwenyezi mungu tutawashinda

    • @ahmedhamisi-jc2hs
      @ahmedhamisi-jc2hs Před rokem

      Shukuran sana shekh wangu kwani ushasema kweli kabisa watu wasikubali kabisa maana awa wazungu awamjui mungu kwani ndio mashetani wakubwa mungu awangamize kabisa

  • @NM-rq9dr
    @NM-rq9dr Před rokem +5

    Mwenyezi Mungu Azidi kukuhifadhi sheikh Wangu,
    Siyo Tanzanie tu ,Afrique piya na Duniani kote Kwa ujumla
    Allah Atunusuru Sisi na vizazi vyetu ya Rabi !!!

  • @theroots2743
    @theroots2743 Před rokem +3

    Ahsante sheikh wetu dawa unayotulisha hakika mwenyezimungu aitakabalie na iwe tiba kwa.wote ishaallah Amin

  • @christiankiponda4639
    @christiankiponda4639 Před rokem +4

    Allah Akbar, Hakika MUNGU wetu, Akupe Kibali na Maisha Marefu, kwa Sheikh Mkemea Ushoga na Kusagana Wanawake kwa Wanawake Kuingiliwa kinyume na Uchi halisi, Naungana na Sheikh Kukemea Ushoga.

    • @christiankiponda4639
      @christiankiponda4639 Před rokem

      Wana Musiki wengi Wanahamasisha Ushoga Usagaji na Kuingiliana Kinyume na Maumbile, Leo hii wapo wanafunzi Wana kwenda kinyume na Uchi halisi, ili wawe Bikra, wasipate mimba, Taarabu pia wahamasishaji wakubwa wa Ushoga Usagaji na Kuingiliana Kinyume na Maumbile Halisi, Hebu tuangalie na Kukemea Singeli, na nyimbo zao.

  • @ibrahimamos6949
    @ibrahimamos6949 Před rokem +2

    Mashaaallah hotuba imefika mbali na itaenda mbali zaidi,Allah akuzidishie afya na uhai mrefu shekhe wetu ili uzidi kutulete dawa nyingi zaidi kadri Allah atakavyo kujaaalia,Allahumma Amini.

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Před rokem

    Mungu atunusuru na balaa hili la ufirauuun

  • @mkibandulo1231
    @mkibandulo1231 Před rokem

    Amina

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Před rokem

    Shehe wetu mungu akulinde

  • @chd8047
    @chd8047 Před rokem +1

    Nabii akubaliki kwake Mzee mlimuona mkolofi kwhyo vumilien t naalisema mtanikumbuka

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před rokem +4

    haya mambo yalifumbiwa macho mda sana, serekali lazima itoe tamko zito ktk haya maswala la sivyo jaazi litazidi kuzama, na kuna baadhi ya media zinatangaza ushoga pia zifungwe.

  • @edoedo4973
    @edoedo4973 Před rokem

    Subuhna lwallha shekhe mwanaje Anafranil kuwa kiongozi

  • @mrsmussa115
    @mrsmussa115 Před rokem +2

    Haya mapicha mnayo weka yanafaida gani mcheni Allah

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 Před rokem +4

    Na Ile sheria ya kunyonga vip ingepishwa kwa atakaye shiriki ushoga

    • @theroots2743
      @theroots2743 Před rokem +1

      Hakika kaka yangu hio ndio dawa pekee

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Před rokem

    Wanaume kwa wanaume,wanawake kwa wanawake,,,,heeeeeee😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢astaghafirlah ,,,,eeeeee mungu wangu,tunusuru na laaana hiii mbaya iliyokithir kwa ubaya wake,,,,na kwakwel tusipokuwa imara kulikemea hili,,,,,tutapata madharaakubwa yasiyonakifan itakayotokana na hasira za alah

  • @fatumahamadi1379
    @fatumahamadi1379 Před rokem

    Shukran Shekhe ALLAH akujaalie Pepo, ifike wakat ht msikitini wasiingie wenye dalili z ushoga ht kutoba sikio au mwenye kuaa jezi marufuku su nywele z kusokota hatutaki Ushenzi

  • @Laizer3
    @Laizer3 Před 3 měsíci

    Wauwawe kama wezi

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 Před 5 měsíci

    mama kweli we ni shehe mm ni katoliki lkn umenigusa Mungu akubariki

  • @HajiHaji-rv8mq
    @HajiHaji-rv8mq Před rokem

    Ndio lazima tupinge ushoga sheikh wangu mungu akupe maisha marefu

  • @eleafilipo3146
    @eleafilipo3146 Před rokem

    Mashaallah shekh langu MTUPA

  • @gaudiankiwia7631
    @gaudiankiwia7631 Před rokem +2

    AMINA MUNGU AKUPE WEPESI KATIKA HILI BALAA KUU😂😂

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Před rokem

    Mie nawachukia sana mabasha ndio wabaya sana tena mabasha ndio wasakwe bila hivyo watakuja kualibu wengine maana Hao mabasha wabaya sana

  • @gainjulius1164
    @gainjulius1164 Před rokem +2

    Tuendelee kukemea hili jambo

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 Před rokem +1

    Innalillahi wainnailayhi rrajiuun

  • @samxx411
    @samxx411 Před rokem +1

    Sheikh ulichokisema ni kweli, mitandao, televishen na usanii zimechangia sana kuleta uhuni sio ushoga tu uhuni tele tu, imekuwa wasanii wanavaa km wanawake na huoneshwa live ktk tv, wanakula madawa na mengine hebu angalia vijana wengi wanavyofuata hao wasanii wa ndani na nje ila masheikh daawa mmepunguza kutoa kwa jamii imekuwa saivi masheikh wanaoneshana ubora wa elimu wao kwa wao. Waislam turudini ktk utamaduni wetu tuloachiwa wa kuamrisha mema na kukatazana mabaya japo wengine watachukia.

    • @christiankiponda4639
      @christiankiponda4639 Před rokem

      Wasanii wengi tu, Huhamasisha Ushoga Usagaji na Kuingiliana Kinyume na Maumbile Halisi, Angalia Kucheza kwao, Maneno Yao, Mgongo mgogo, Hili Ni Hamasa ya Ushoga, Singeli Sasa Wanawake Kuingiliwa kinyume ndiyo Starehe kubwa kwao, Hata Kucheza Singeli Ni Ushoga na Kusagana Wanawake kwa Wanawake Kuingiliwa kinyume na Uchi halisi Hakika Tukemee kwa uwezo wetu wote, Misikitini Mashuleni Makanisani, Vyama ya Kisiasa Nk.

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Mwisho nawapongeza WATU wa dini kama shekh hapa, mwamposa, na wengine wengi ambao hamna uwoga wa kusema mnasema wazi wazi na sisi tuko pamoja na ninyi.

  • @mariamfaicalhassan2890

    Asante sana shekhe

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay8946 Před rokem

    Umeisha ingia, sasa cha kufanya ni kushughulika na hao wanaouendeleza. Tujiunge kutokomeza hili janga

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Před rokem +1

    Bongo hapa kuna kazi na kwa mikopo tunayo kopa

  • @Laizer3
    @Laizer3 Před 3 měsíci

    Mashoga wote wachomwe moto hadharani

  • @manilabonalumanula9210
    @manilabonalumanula9210 Před rokem +2

    Magufuli alihimiza sana kujitegemea, tukiwategemea sana hawa wakuu wa dunia tutaumia sana. Lkn Serekali zetu zikishikamana na na viongozi wetu wa dini wanaochukia ushoga na wenye hofu ya Mungu, tutashinda kama tulivyoishinda covid 19 japo bado tunaendelea kupambana nayo taratibu

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Před rokem +1

      Hebu kuweni na akili hapa kinachoweza kutunusuru ni Nguvu ya Mungu tu lakini dunia ya sasa utajitenga vipi?Viwanda vyote vinatokea huko,Mitambo yote tunaitegemea kutoka huko hata viwanda vya kutengeza pesa viko huko,wewe unaongea nini?

    • @juxjemc5768
      @juxjemc5768 Před rokem

      @@ramadhanilukambuzi9760 kwa hyo kwa kuwa kila kitu kinatoka huko ndio hatuwez kujizuia ?
      Weee ndio huna akili kwan hao mashoga hawamtegemei mungu?
      Vitu vyote tunastahiki tumtegemeee mungu ila na cc wenyewe tulipige vitta

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Před rokem

      @@juxjemc5768 Wewe kilaza sana kuna niliko andika kwamba hatuwezi kujizuia au kulipinga jambo hilo?Kwani ushoga umeanza leo?Ni kweli Viongozi wetu wasikubari kusaini mikataba ya Usheitani kama hiyo lakini Viongozi wetu kupinga jambo hilo tu haitoshi kama sisi wazazi hatuwalei watoto wetu katika misingi ya Mwenyezi Mungu.Unawakuta watoto wadogo ni mashabiki wa wasanii wanaofanya jitihada za kishoga Msanii mwanaume anavaa siketi,dela,heleni,vikuku,amesuka nywele,wanakatika viuno kama wanawake,wanalembua,wanapaka lip stick,walevi na wanavaa vinguo havieleweki vingine vyabana maungio alafu hawa hawa ndiyo vipenzi vya watoto wetu bado hiyo haitoshi wanaimba maneno ya kuamasisha ngono na ushoga tena hizo nyimbo zinaimbwa na watoto wetu majumbani,shuleni na mazingira mengine bado haitoshi Wazazi nyumbani baadhi yao wananunua manyimbo ya ajabu wanayapiga majumbani mwao na watoto wanasikia upuuzi huo na wanaangalia vipindi vya ajabu katika mativii yao wakiwa na watoto;unadhani watoto wanajifunza nini hapa?Vijana hawaoi bali wanazalishana tu na mabinti mpaka unamkuta kijana ana watoto sita kila mtoto ana mama yake kwa stahili hii kuna maadiri hapo?alafu baadae mkawalaumu Viongozi?Munaiga tamaduni za kizungu alafu hali zikiwageuka mwawapigia kelele Viongozi wetu,leo hii unataka kiongozi aje nyumbani kwako akague uchafu ulioifadhi kwenye simu yako,kwenye komputa yako,kwenye flash yako kwenye cd 💿 zako?Mitandao inachangia katika maendeleo na inachangia katika kuaribu watu,wapo watu wanajifunza vitu vya ajabu kupitia mitandao sasa hapo Rais wa nchi anahusika vipi?Watu wanazaa watoto bila uangalizi leo yuko mtaa wa 2,saa Tisa yuko mtaa wa 7,leo kapewa lifutu na fulani kesho kalala kwa fulani mara yuko Dodoma kwa rafiki yake mzazi taarifa huna,je unazani anajifunza mangapi?Viongozi wa dini wakikemea tabia mbovu utawasikia watu wanapinga heti dini zilipangwa na watu sasa nyie watu mfanyiwe nini?Mnataka nini?Hatuwezi kujitenga na Mataifa cha msingi tuwajenge watoto wetu wawe na afya bora ya akili zao ili wakiingizwa katika mitego hiyo waweze kuikataa,tujikite zaidi katika malezi bora yenye kuendana na utamaduni wetu na katika kumjua Mungu zaidi.

    • @juxjemc5768
      @juxjemc5768 Před rokem

      @@ramadhanilukambuzi9760 ujumbe mdogo sana huuu

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Před rokem

      @@juxjemc5768 Wewe unaona ni ujumbe mdogo huo kwa akili yako lakini kwa Mungu ni ujumbe mkubwa sana.Unasema anamuhogopa Rais,kwani ww unadhani huyo ni kiongozi mdogo?au wewe haumuogopi?Kazi ya kukemea maovu tusiwatwishwe viongozi wa dini tu na viongozi wetu wa kisiasa bali malezi yaanzie kwetu tu,tuwape watoto wetu katika misingi mizuri na katika tamaduni zetu,Wanawake wanatembea nusu uchi kila kona nayo hiyo unamtegemea kiongozi aje mtaani kwako kukemea hali hiyo?vijana wadogo wanazini na wamama umri wa mama zao,hali hiyo unamgoja Sheikh akakemee hali hiyo mtaani kwako?Wavulana wanavaa nguo za kike nayo Rais aje mtaani kwako kukemea hali hiyo?Watoto wetu tunawapa uhuru mpaka tunavuka mitaa,watoto wadogo twawapa simu fulu internet unategemea maadili gani hapo?Makomputa,Makatuni ya kishoga watoto wetu wengi wanaangalia kupitia channel za tv na macidi;unategemea nini?Wazazi tuwalee watoto wetu katika misingi mizuri yenye kumpendeza Mwenyezi Mungu vinginevyo utakuwa unapiga kelele tu;unashindwa kuinyoosha familia yako unamtupia lawama Kiongozi?Ji ulize kwa nini ww unaweza kuona uchafu huo ni kwa sababu umelelewa katika misingi mizuri

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Mama naye kwa nini tu asiseme live kama mugabe, au JPM, au museven, au ruto, au Vladimir putin. Tetea unachoamini waziwazi si kwa tafsida sema na sisi tunaitikia "hatutaki" Namwombea tu kwa mungu awe na ujasiri wa kutokuwaogopa hao manyang'au wa ulaya!

  • @florayoram9563
    @florayoram9563 Před rokem

    Juhudi zifanyike kuwadhibiti msshoga waliopo wapo mitaani na watoto wanakuwa wanaona

  • @mwanaizamdee7450
    @mwanaizamdee7450 Před rokem +1

    Shekhe wangu apo Ili tuelewane na Ili tusifanane na hiyo one global culture ya kihuni tusitie smart phone Wala TV kila mtu akae kwa adabu

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před rokem +3

    kuna Wakati nlishauri na kuuliza kwani mtu hawezi kufanya komed mpaka ajifanye mwanamke?

    • @praygodshayo6324
      @praygodshayo6324 Před rokem

      Ana weza Ila anafanyahivyo kwasababu anavyojifanya mwanamke ndo analipwa kwenye matangazo mengi ya makampuni

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 Před rokem

      @@praygodshayo6324 anhaaa lakini ndio kuna watu wanasema ni kuhamasisha ushoga

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Před rokem

      @@praygodshayo6324 Tamaa ya Dunia; Pesa/Mali, Umaarufu/Sifa na Sitarehe za haramu ndo zinawazuzua.
      Ifike Wakti ha Serikali na Raia/Wananchi KATIBA YETU MPYA itambuwe na ikubali kwamba ipo/zipo Dini (Serikali ni ya Dini ya Waislamu na Wakristo nk) Uhuru wa Kuabudu uwepo ila Serikali iruhusu na igharamie Mikutano ya Hadhara na Mijjadala ya Dini (Debates) Ili Watu/Raia waelimike (Wawe Wacha Mungu) Kwa kutambuwa Kweli na Haki ndo tujuwa na Viongozi, Raia WachaMungu/Wenye Maadili na Taifa lenye Maadili. Mbona Vyama vya Siasa Vinapewa Ruzuku, Ulinzi nk kutoka Serikalini kufanya Mikutano yao nk Ili Wananchi Wananchi Wachaguwe Chama chenye Sera nzuri, lipatikane Taifa zuri lenyeaendeleao Sasa iweje/kwanini ktk Suala Dini/Kupata Watu (Raia na Viongozi) wenye Maadi Serikali inawacha kugharamia/kufadhili kufundisha na Kutangaza Sera za Kila Dini Ili Jamii ijuwe Dini sahihi wapate kuifuwata kama zinavyonadiwa Sera na lrani za Vyama vya Siasa. Hakuna kulazimishana ktk Dini Wala ktk Vyama vya Siasa lakini kuhubiriana Sera na lrani ni Wajibu/Lazima na mtu antakuwa/anayo hiyari ya kuchaguwa Wapi awepo/awe. Hivyo Serikali na Wananchi ni Watu, tujitambuwe, tubadike kivitendo na tuwache Mazowea vinginevyo tutazidi kuwa Mawakala wa Ibilisi Kwa Kisingizio/Kigezo Cha SERIKALI HAINA DINI Ili iwe ujanja (Ujinga) wa kuharamishwa ya haramu tupate Kodi, Tozo nk. Kwani Taifa haliendelei Kiuchumi nk mpaka lishiriki haramu ;Kamari, Pombe/Ulevi, Zinaa, i, Riba nk Yote ni miongoni Mwa Dhambi Sasa Kwanini upgiwe kerere sana Ushoga tu?! Sinamaana naikubali Ushoga la' Ni Wakti Sasa Serikali itilie Mkazo kusomesha/Elimu tuwe na Wataalamu wetu Ili tusitegemee Misaada kutoka Kwa Makafiri/Wakala wa Ibilisi. Tz mashaallah ni Tajiri wa Ardhi, MaliAsisili nk inshaallah tutaishia hata Kwa kula Mihogo na Kisamvu na kujitibu Kwa Muarobaini lakini Si Kwa Masharti ya kuwa Mashoga (LGBTQ 🌈) ndo tusaidiwe. Tuseme HAPANA USHOGA (A Big NO🙋) Kwa Tz na WaTz.

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Před rokem

    Mfano hili suala la ushoga na usagaj likikubalika,maana yake,,,watakaokua walengwa wahii tabia,hatokuwa na din,ila nishetan,,,,,,,,yani,hakuna kitu kama hicho,eti shoga na msagaj awe ni mwenyekufanya ibada ,hakuna,,,,nishetan wa moton tu,

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Před rokem

    Ama kwel pesa shetan,,,,na tusipokua makin nahili suala ,,,tuyajaza mashoga na wasagaj tanzania,,,,hatar ya pesa ni nzito mnoooo,bora tupambane na hal yetu,tiachane na misaada ya wazungu,,,he ufiraun,,,,ufiraun,,,,,ufiraun,,,,eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,noooooo

  • @shaggyboy3085
    @shaggyboy3085 Před rokem

    Laid wetu yuko wapi asilifumbie macho hili

  • @fatumamwalimu6135
    @fatumamwalimu6135 Před rokem

    Inawezekana huyo na yeye mmoja wapo. Naona anaongea tumbo. Hata jafo amekiongelea sana na kutimiza watoto wapelekwe madrasa ili waisome dini na kujuwa dini. Kwani yeye nani. Si mmoja wapo kati ya hao wakuu wa serikali

  • @tatotato506
    @tatotato506 Před rokem +1

    Waache kukopa kopa huko kwawazungu awo wazungu ndio wanatuleteaujinga

  • @Mina.15
    @Mina.15 Před rokem

    To late 🤣😂 shoga kila konaaaa everything you touching is rainbow 🌈 🌈✨✨ social media

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 Před rokem

    Uliwajuwaje na wewe???

  • @fadhilmandaliabdalla6736

    Sheikh unasema Rais wetu anapambana kuzuia ushoga, mbona kama unamsemea na umemskia pekeako tuu akikemea huo ushoga, labda Hayati Magufuli ndio alikua akikemea haya mambo ila sio huyu, itumie vizur mimbali acha kujipendekekeza, sema kweli na umkumbushe Mh Rais , anawaona viongez wenzie wa Easte Africa wanakataa, yeye yupo kmyaa.

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Před rokem

      Kwani Waziri Mkuu wetu aliyeongelea jambo hilo,unadhani alitumwa na nani kama sio Rais wa Nchi yetu?

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před rokem

      Mbona amekemea sana tu. Kama hukusikia ni wewe peke yako.

    • @fadhilmandaliabdalla6736
      @fadhilmandaliabdalla6736 Před rokem +1

      @@mwawekomiuda9779 lini na ni wapi? Labda utukumbushe wewe

    • @fadhilmandaliabdalla6736
      @fadhilmandaliabdalla6736 Před rokem +1

      @@ramadhanilukambuzi9760 Rais ni Rais na wazir ni wazir, kwani Kenya , Burundi, Zambia, Uganda wameongoa mawaziri wakuu? Kipindi cha makonda c ilikua yeye anakemea, baadae mawazir hao hao wakajitokeza na kusema sio kauli ya serikali!! Aseme yeye kama Rais wa nchi ili mataifa makubwa yamuone na kumskia.

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Před rokem

      @@fadhilmandaliabdalla6736 Sio lazima labda useme wewe unachuki nae

  • @masudimwinyi7301
    @masudimwinyi7301 Před rokem +2

    Tuko pamoja sheikh tuungane kwa nguvu zoote kuupinga ushoga na usagaji Tanzania waislam wote takbiriiiii