Nimekutumaini || The Advent Singers - Nairobi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Contact us: +254717201711/ +254710515904
    Like Our Page: / adventsinger. .
    LYRICS
    Stanza 1
    Nimekutumaini Mungu wangu, katika hali zote,
    Wewe ni mwanzo tena na mwisho hakuna cha kunitisha (Aha)
    Nijapopita katika magumu faraja yangu yatoka Kwako,
    Ijapo marafiki wanitenge, nasimama Kwako nina ushindi,
    Daima Bwana nakutumaini Wewe Rafiki
    Chorus
    Nipe nguvu nikutumikie, maana ya kesho yamejificha (na siyajui)
    Ulinijua tangu utotoni mwangu, kwako Bwana siondoki
    Stanza 2
    Japo safari iwe ngumu, shida dhiki hapa na pale,
    Nitayainua macho yangu juu, nipatapo msaada,
    Tumaini letu li Kwako Bwana, Mungu wetu

Komentáře • 146