"Fimbo ya Nabii Mussa" kuna kile kipande kinachosema,,," yule mwana wa zuoni alietaka kujua, fimbo ya nabii mussa ni fimbo ya mti gani?" daaah ebena eeeh yaan amini kwamba kla ijumaa naiweka home kwangu na sidhani kama ntaichoka kuiyangalia na kuiskiliza
Mnsju star mpewe tuzo
Mwanagu unguja sehemu gani hii
Mzil
Mumeokota kasida hatar
Kawaida yetu
Daksh ilikua zamani sioleo hamnakitu wamebakiajinatu
dufu la kifundi kabisa hilii
Chuo kipo wapi icho
Hii qaswd atariiii imetulia sanaaaaa
key nzuri
mashaallah
Asanten mungu awape masikizano katk chuo chenu muendeleze kuburudisha dufu zur lina kila sifa
Ongezen jitihada mpo vizuri
watu wanaitikia
zurrriiii
Mwanzo n rah xan but mchaw ankuj mwxho
KASIDA hii na Fimbo ya Nabii Mussa n ktk kacda walizozipatia sanna
true
"Fimbo ya Nabii Mussa" kuna kile kipande kinachosema,,," yule mwana wa zuoni alietaka kujua, fimbo ya nabii mussa ni fimbo ya mti gani?" daaah ebena eeeh yaan amini kwamba kla ijumaa naiweka home kwangu na sidhani kama ntaichoka kuiyangalia na kuiskiliza