Dear Yanga. I honestly did not know much about this club before this fixture but man you guys have my respect, I'll never forget you now. I won't dwell too much about officials decision, very poor as it was, that was a goal, but you guys gave us a very tough game. Let's hope this can be settled in our future meetings fair and square. You have my respect. Much love. From Cape Town 🇿🇦🇿🇦
Glad you came to know us this moment. We Young Africans love you more and hope the fair competition will one day be played. We wished to be here a long time ago but we were in it to win it only until our fortune was denied by reckless decision making by ref. No remedy on that, but now we’re focusing on other games and expecting on the day un mentioned when we will avenge against them
Alhamdullilah mungu nimwema lakini mpira wa Africa unafigisu robo yenye hadhi ya heavy weight kuwai kuitizama katika miaka 4 iliyopita mwamuzi amaitendea haki rushwa aliyoichukuwa sio bule hata var hajakwenda ku thibitisha, what a goal 🥅 master key alifunga pongezi wanajeshi wangu #msonda guede watakuja kuwa tishio nukuu.
Hongereni sana wachezaji wetu wote, viongozi pamoja na benchi la ufundi mmetuheshimisha saaaana japo shetani kaingilia kati Mungu yuko pamoja nasi tukutane next time tusilaumu sana maana hatujui Mungu anakisudi gani nasi. PAMOJA SANA ONE LOVE DAIMA MBELE NYUMA MWIKO. No matter what❤❤❤
Mlifanya kazi kubwa sanaaaa. Kinyume na matarajio ya wengi. Walitabiri tutapigwa na Mamelodi ndani nje.. YOU DID A GREAT JOB.. Siwadai majemedari wetuuuu.. We are so proud of YANGA
Naitwa mudy, kiukweli mimi binafsi sijaridhishwa na maamuzi aliyoyafanya muamuzi aliyechezesha mchezo Jana wa mamelodi vs young africans, kwasababu 1.hakuweza kutaka kujiridhisha zaidi katika VAR 2.wachezaji wetu ni wastaarabu sana nasema hivi kwasababu ingekuwa imetokea kama hivi kwa upande wa mamelodi bila shaka wangemzonga sana muamuzi lakini hawakuwa na ukali wakumzonga muamuzi nikama walijua tayari litaamuliwa kuwa ni goal bilakujua sisi lazima tufanyiwe vigisu ndo kama hivo,tusiwe wapole kiasi hicho kuanzia viongozi hadi wachezaji tafadhari watanzania wengi tumelia sana kwa maamuzi tuliyoyapokea na wakati tunajua lile ni Gori halali kabisa Ila ninachoamini young africans ni team kubwa tena kubwa sana na tunaweza ila tu hujuma juu yetu bado zipo tu 💛💚💛💚💛💚
Hongereni sana timu ya wananchi, mmepambana kadiri ya kiwango chenu cha juu sana lkn mmekatiliwa ushindi wenu na teknolojia inayomilikiwa na wanaoamua nani ashinde, but one day yes!
Mungu alisikia maombi yetu,illa hila ya kibinadammu imetumika mpaka aibuu Kumbe Yanga ni Kubwa kiasi hiki ! Asante Mungu,naamini mwakani tutavuka hatua hii. Ushauri kwa Rais,bakisheni Wachezaji wazuri,halafu ongezeni washambuliaji,hatuna. Mungu awabariki Wachezaji,, Viongozi na bench la ufundi na mashabiki wote
Mmejitaid san tena san mechi ilikuwa ngumu ila changmoto kwqmb mulijiamin munaweza kushnda kweny penalti aliakuwa hatuna wapigaji wqzur dah iki ndo kitu cha kujifunza ,nice game katka game ngum kwny hatua hii ilikuwa hii tungepewq vilaza wngne tungewqgonga sanaa❤❤
Yanga tunapaswa kujifunza jambo hatutakiw kuwa wanyonge kwa marefa hata ikitoka kadi saw tu ila wapambanie haki mwaka jan na USM Alger kwa mkapa goli la pili n off side wakatulia tu na wakakosa kombe na hapa pia goli la wazi tumenyimwa na wachezaj wametulia tu daah hii kitu imaumiza san jamn tuamke tulipolala ila mmepamban san hongeren san mungu awape umri mrefu 😢😢
This is the big club in Africa,, No body doubts about you young Africans top players,,, They robbed our right they stole our win but they now have much respect on us,,,, Gamond is very professional coach much appreciation on you
Poleni watani kwa dhulma mliyofanyiwa, inauma na inaboa sana kwa shirikisho kubwa la mpira Africa CAF kuhusika na kukataa goli la wazi kabisa, what was the VAR for then, If there are people with more power? corruption will never end..
Jeshi LA wananchi hatuwadai kitu chochote Africa imeona dunia nzima imeshuhudia balaa mlilofanya hakika mmeacha alama S.Afria. We're always with you YELLOW AND GREEN NATION FOREVER
Siwapi hongera kwa kushindwa,,,nawapongeza kwa kushindwa kwa dhuluma,,,,wamenyimwa goli la wazi na yeyote dunia ya leo anayefahamu mpira kaliona goli lile,,,,sikujua VAR nayo ina dhulumu haki wakati mbunifu wa mfumo huo aliubuni ili kufanyika haki katika mpira na kurekebisha makosa yeyote yatakayoweza kufanywa na waamuzi
Hii saiv itabidi tuite musepe ligi na sio champion ligi. Wanawafosi mamelodi waingie nusu fainali wakati hawana uwezo. YANGA imeonesha dunia leo na nimefurahi kuona vyombo vingi vya habari vya ndani na nje ya nchi mpaka sasa wanakubaliana kama golli la azizi ki ni goli halali kabisa.
Dah bahati haikuwa yetu ila tunashukuru kwa kupambana wachezaji wetu 💚💚💚💚💚🇹🇿🇹🇿 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO😢😢😢
Bahati niyakwetu ila figisu tu ndo tatizo,
Hongera sana Yanga mmejitahidi Ila mmetolewa kwa matakwa ya refa
Ni kweli kabisa
Kiukweli yanga ndio washindi ila kiuongo mamelod ndio washindi
Dear Yanga.
I honestly did not know much about this club before this fixture but man you guys have my respect, I'll never forget you now.
I won't dwell too much about officials decision, very poor as it was, that was a goal, but you guys gave us a very tough game.
Let's hope this can be settled in our future meetings fair and square.
You have my respect. Much love.
From Cape Town 🇿🇦🇿🇦
Love you more dude …that is the reason why the african football never grow …and by the way i dont see the reason of having VAR
Glad you came to know us this moment. We Young Africans love you more and hope the fair competition will one day be played. We wished to be here a long time ago but we were in it to win it only until our fortune was denied by reckless decision making by ref.
No remedy on that, but now we’re focusing on other games and expecting on the day un mentioned when we will avenge against them
siwadai Chochote wanajeshi wetu🙌🙌💚💛😒🇹🇿refa refa
Mmepambana sana ndani ya dk.90.
Na goli pia tumedhulumiwa. Hongereni sana! Msife Moyo wachezaji wetu.
Sio kinyonge tumepambana sana daima mbele nyuma mwiko
Hivi hizi sheria za mpira mbona za kibabe jamani??!! Yaani yanga imenyimwa bao hivi hivi😓😓...sasa VAR ni ya kazigani!!!
😂😂😂😂ety tumepamban sasa mmepambna nn mbna sijaona zidi zidi mmetolewa tu
, tumeshinda, ni Zaidi ya kupambana, tumenyimwa goli la wazi
Na mmejua maana ya kufa kiume😅
Mpambane nini majini hakuna mpira api😂😂
hivi hakunaga Sheria ya kukata rufaa mamae goli la wazi lile😢 hongereni wachezaji wetu mepambana
Kifungu kipo kabisa
Hongereni sana viongozi na wachezajiwetu mmeonyesha uwezo wahaliyajuu kabisa 👏👏👏 tunaomba muongeze juhudi tutafika mbali.
Mimi binafsi siwadai mashujaa wetu💚💛💚 kazi mmeifanya.
Daima mbele nyuma mwiko🔰🔰hao mamelodi washukuru Mungu refa kawabeba,,Yanga forever🔰
Nimelia saaaaanaaaa 😢😢,, hongeren wachezaji wetu
Acha tu nina maumivu hadi muda huu
Pole kipenzi imetuumiza sote
Hongera kocha na wachenzaji wetu tunawashkr wote mmejitoa kwa upendo wenu
Hawana baya wanangu wa jangwani much love 💛💛💛💛💚💚💚💚💚🟡🟡🟢🟢🟢🟢
HEROES ONE DAY INSHA'ALLAH 😢😢😢😢😢😢 MMELIHESHIMISHA TAIFA, WAKIWA WANAKUJA HUKU WATAKUJA KWA NIDHAM ZOTE. MWAMBA AZIZ KI❤❤❤❤❤❤❤
Alhamdullilah mungu nimwema lakini mpira wa Africa unafigisu robo yenye hadhi ya heavy weight kuwai kuitizama katika miaka 4 iliyopita mwamuzi amaitendea haki rushwa aliyoichukuwa sio bule hata var hajakwenda ku thibitisha, what a goal 🥅 master key alifunga pongezi wanajeshi wangu #msonda guede watakuja kuwa tishio nukuu.
You made us proud. Congratulations.. you won the game .. unfortunately wao ni familia wamebebwa.. rigging
Chukueni maua yenu wachezaji💚💚💛💛💐💐🌺🌺🌹
heads up wanangu mmepambana sanaaaa✊🏾💚💛💚💛
Hongera makanda wa wananchi 🎉
Shame on caf and motsepe😢
Tunashukuru tumepambana sana,,, so kinyonge 🎉🎉🎉🎉
Hongereni sana wachezaji wetu wote, viongozi pamoja na benchi la ufundi mmetuheshimisha saaaana japo shetani kaingilia kati Mungu yuko pamoja nasi tukutane next time tusilaumu sana maana hatujui Mungu anakisudi gani nasi. PAMOJA SANA ONE LOVE DAIMA MBELE NYUMA MWIKO. No matter what❤❤❤
Hongera wachezaji wetu, mmefanya kazi nzuri, Muendelee kupambana kwa kweli
Hongereni sana. Ila refa kawabeba mamelodi. Ushindi ulikuwa wetu
Mcheza kwako hutzwa
Refa shoga
Nawenyewe wamebaki wakisema yanga kiboko yao 💚💛💛💚🇹🇿🇹🇿
Mkude hapo mwishoni anakaziaa "hawana ugumu Wowote" ✊✊✊ that's my Team @yanga sc
Congratulations guys you have done well 💛💛💛💛
Mlifanya kazi kubwa sanaaaa. Kinyume na matarajio ya wengi. Walitabiri tutapigwa na Mamelodi ndani nje.. YOU DID A GREAT JOB.. Siwadai majemedari wetuuuu.. We are so proud of YANGA
Karibu nyumbani hatuwadai
Wanajeshi Wamewez Kupamban Kbs Yan Akun Tunachowadahi Sas💛💚💛💚
Hongera vijana mpo vzr mmefanya Kaz kubwa sana Africa na Dunia imeona
Mudathir kaumia sana,hongereni wachezaji wetu hatuwadai, tunamshukuru sana MUNGU.
Ongereni saaan nawapenda shabiki wenu 🎉🎉🎉🎉🎉💚💚💚💚💛💛💛💛💚
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 waamuzi wote wa hii mechi mungu yupo malipo nihapahapa duniani atatulipia😢😢
Mzizi anatakiwa arudi jandon akafunzwe tena
Kwahili hii vr yanini Mungu awaalaani
Daima mbele nyuma mwiko
Naitwa mudy, kiukweli mimi binafsi sijaridhishwa na maamuzi aliyoyafanya muamuzi aliyechezesha mchezo Jana wa mamelodi vs young africans, kwasababu
1.hakuweza kutaka kujiridhisha zaidi katika VAR
2.wachezaji wetu ni wastaarabu sana nasema hivi kwasababu ingekuwa imetokea kama hivi kwa upande wa mamelodi bila shaka wangemzonga sana muamuzi lakini hawakuwa na ukali wakumzonga muamuzi nikama walijua tayari litaamuliwa kuwa ni goal bilakujua sisi lazima tufanyiwe vigisu ndo kama hivo,tusiwe wapole kiasi hicho kuanzia viongozi hadi wachezaji tafadhari watanzania wengi tumelia sana kwa maamuzi tuliyoyapokea na wakati tunajua lile ni Gori halali kabisa
Ila ninachoamini young africans ni team kubwa tena kubwa sana na tunaweza ila tu hujuma juu yetu bado zipo tu 💛💚💛💚💛💚
Hongereni sana timu ya wananchi, mmepambana kadiri ya kiwango chenu cha juu sana lkn mmekatiliwa ushindi wenu na teknolojia inayomilikiwa na wanaoamua nani ashinde, but one day yes!
Tunashukuru kwa kupambana wachezaji wetu sio kinyonge🇹🇿💚💛
Yangaaaa mbele njooeni tujipooze na LIGI
yanga mpira upo wamecheza vizuri japo wametunyima ushindi kikubwa tunawaombea wachezajijiwetu wasikate tamaa waendelee kutupa furaha tunawapenda sana ilove yanga love tanzania
Mungu alisikia maombi yetu,illa hila ya kibinadammu imetumika mpaka aibuu
Kumbe Yanga ni Kubwa kiasi hiki ! Asante Mungu,naamini mwakani tutavuka hatua hii. Ushauri kwa Rais,bakisheni Wachezaji wazuri,halafu ongezeni washambuliaji,hatuna. Mungu awabariki Wachezaji,, Viongozi na bench la ufundi na mashabiki wote
Wanaume wa soccer Africa. Hapa tuongeze nguvu ya pesa tu. Mamelodi waovyo sana kwa Yanga.
Yanga sisi wananchi hatuwadai mmetupa heshima sana
Yanga mbele nyuma mwiko
Hongereni Sana wachezaji wetu tumeona kila kitu hatutakiwi kukata tamaa daima mbele nyuma mwiko.
Daima mbele nyuma mwikoo ingawa refa alihongwa
Hatuna deni nanyie mungu yupo hakika ipo siku yetu
Mumepambana sana makamanda wetu
Dah wametuonea sna yaan dah
Ya mungu ni mengii
Daima Mbele nyumq mwiko💛💚💙🖤💚ball imepigwa hakuna unyonge🎉🎉🎉🎉maua yenu chukueni.
Yanga msikate tamaa
Yanga imefanyiwa hujuma
Much love from Ruangwa keep it up 💪💪💪
Huzuni.sana.pole.wanangu
you guys made us proud as a nation, congratulation Wananchi
Hongereni hatuwadai chochote,mmepambn saaan .walikuja na matokeo yaoo
Mliupiga mwingi sana,siwadai
Mmejitaid san tena san mechi ilikuwa ngumu ila changmoto kwqmb mulijiamin munaweza kushnda kweny penalti aliakuwa hatuna wapigaji wqzur dah iki ndo kitu cha kujifunza ,nice game katka game ngum kwny hatua hii ilikuwa hii tungepewq vilaza wngne tungewqgonga sanaa❤❤
Yanga tunapaswa kujifunza jambo hatutakiw kuwa wanyonge kwa marefa hata ikitoka kadi saw tu ila wapambanie haki mwaka jan na USM Alger kwa mkapa goli la pili n off side wakatulia tu na wakakosa kombe na hapa pia goli la wazi tumenyimwa na wachezaj wametulia tu daah hii kitu imaumiza san jamn tuamke tulipolala ila mmepamban san hongeren san mungu awape umri mrefu 😢😢
Mzize ajifunze kutulia na kutumia akili
Hongeren sana vijana wangu kwa kuipambania team yetu
Congrats Team
Timu ipo co mchezaji,bila pakome,aucho na jex yanga fantastic we all never walk alone
MPO MIOYONI MWETU✊
This is the big club in Africa,, No body doubts about you young Africans top players,,, They robbed our right they stole our win but they now have much respect on us,,,, Gamond is very professional coach much appreciation on you
We altogether congrats you players you fought hard for the team
Wananchi daima mbele nyuma mwiko
Tumepambana Sana siyo kinyonge nawapenda wote
Hongereni wananchi mmepambana sana refa kaamua matoke ila wachezai wetu waache unyonge kwanini hawakumzonga mwamuzi aende kwenye var
Ndo shida yetu ata taifa staz tuko ivo
Yaani tupunguze upole
Mbona walimfuata wakamzunguka au mlitaka wampige ngumi?
Mkomvizuli.sana..wachezaji.wetu
Mm yanga nimewapa maua yenuu
Na goli la wazi tumekataliwa lakini full vibe.Mungu bado anatupenda.
Aucho anawaonyeshea wenzake Lile Gori refa kakataa
Na hatuwauzii Aziz Ki wetu🥵
Hongereen
Kwahili hii vr yanini Mungu awaalaani🎉❤❤❤❤
Kaka muda asnte kwa kuonesha uwezo nakukubali sna mdg wako kutoka jangombe Jiji la majeshi yani
Jamani mtani kaibiwa kweupeeee dah
Nimeumia tena na nitaendelea kuumia daima
I love you my team❤
Mmepambana sana hatuwadai chochote kabisa 🙏
Tumepambana sana mabigwa zetu msife moyo tuko nanyie pamoja
Wametunjima goli la wazi kabisa
Wallah Tena,,inanuma adi sahii
Wasenge
Poleni watani kwa dhulma mliyofanyiwa, inauma na inaboa sana kwa shirikisho kubwa la mpira Africa CAF kuhusika na kukataa goli la wazi kabisa, what was the VAR for then, If there are people with more power? corruption will never end..
Cyo mbaya Yuko vzur chama langu
Hii ndio Yanga ninayolipa ada kwa furaha 👏👏👏🔰🔰🔰
Jeshi LA wananchi hatuwadai kitu chochote Africa imeona dunia nzima imeshuhudia balaa mlilofanya hakika mmeacha alama S.Afria. We're always with you YELLOW AND GREEN NATION FOREVER
kwabalaha gan wakt mpira wamecheza wenzen na wamewatoa vile vile😂😂😂😂😂😂😂
@@sunwizy608unaongea moyoni unajua hakuna ambaye ajaona
Alhamdulillah
Mungu awabariki mfike salama
Siwapi hongera kwa kushindwa,,,nawapongeza kwa kushindwa kwa dhuluma,,,,wamenyimwa goli la wazi na yeyote dunia ya leo anayefahamu mpira kaliona goli lile,,,,sikujua VAR nayo ina dhulumu haki wakati mbunifu wa mfumo huo aliubuni ili kufanyika haki katika mpira na kurekebisha makosa yeyote yatakayoweza kufanywa na waamuzi
Hii saiv itabidi tuite musepe ligi na sio champion ligi. Wanawafosi mamelodi waingie nusu fainali wakati hawana uwezo. YANGA imeonesha dunia leo na nimefurahi kuona vyombo vingi vya habari vya ndani na nje ya nchi mpaka sasa wanakubaliana kama golli la azizi ki ni goli halali kabisa.
Hengereni sana,,!! Bt Ni vema viongozi mkachukua hatua kwa mujibu wa kanun za mpira tusiishie uwanjani2!! Wachezaji tupo pamoja
Marefa wanaenda na matokeo yao bhna
🎉🎉🎉🎉good job,mwaaaah I love you yangaa
Hongera sana mashujaa ahsante munguu
It's a good team
Bravo 👏👏👏 wananchi
Hongeleni sana bado tunawapenda