VIDEO: TRENI ya UMEME ILIVYOANZA SAFARI ya KWANZA - YAANI SHWAAA! DAR USHAFIKA MORO...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2024
  • VIDEO: TRENI ya UMEME ILIVYOANZA SAFARI ya KWANZA - YAANI SHWAAA! DAR USHAFIKA MORO...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 36

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Před 29 dny +4

    Magufuli mungu akupnguzie athabu

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před 29 dny +3

    The dream cam truu, rest in peace KING JPM👑,,

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 Před 29 dny +6

    RIP JPM 😭😭

  • @charlesmahai3044
    @charlesmahai3044 Před 29 dny +1

    Kongole sana Rais wetu Mama yetu SSH kwa kuturaishisha usafiri wa haraka

  • @MezdDimoso
    @MezdDimoso Před 29 dny

    Camera man naomba unionyeshe wahudumu wa kwenye hiyo tren nione jinsi wanavyo timiza majukumu yao🎉

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 Před 29 dny +1

    Next time nitapanda ihii maana nimeteseka sana kwenye ordinary siku nzima naitafuta dodoma ni waste of time

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 29 dny

    Hongera kwetu watanzania

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg

    ❤❤❤❤❤

  • @Veronica-xe3ss
    @Veronica-xe3ss Před 29 dny

    Mamboooo nimotooooo jamani ❤❤❤❤❤

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 29 dny

    🎉

  • @Nagabona
    @Nagabona Před 27 dny

    Sasa waTanzania Dawasco maji yanatoka ogeni viruzi msituchafulie treni yetu

  • @SoudOmar-lu7we
    @SoudOmar-lu7we Před 29 dny

    Asante nyote

  • @victormkini2708
    @victormkini2708 Před 29 dny

    Tunaomba link ya kukatia tiketi kwa njia ya mtandao wa simu

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq Před 29 dny

    Hapo ndio tatizo hatari nzima wanahojiwa viongozi mnapaswa kuonyesha na safari huduma zilizopo pia

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 29 dny

    Hayo ndo maendeleo.

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Před 29 dny

    Wapeni Abaria waliosafiri na Train nafasi ya kuongea na kutoa maoni yao juu ya usafiri huu maana ndiyo wadau wakuu kuliko kila wakati ni mahojiano na viongozi na maelezo wanayoyatoa ni yeleyale ya siku zote ambayo tumeyachoka sasa tunataka kusikia sauti mpya za Abiria kuhusu huduma hii mpya ya usafiri Nchini Tanzania.

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 29 dny

      Safari zimeanza leo. Kama unajisikia nenda kapande ujionee mwenyewe. Ukikuta watu wenye roho mbaya kama mwafulani watasema haina matairi!😂😂😂😂

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 29 dny +2

    Bure ghali bwana hizi bure mmetuletea mpaka mashuleni matokeo yake watoto wetu wanakaa chini

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 29 dny +2

      Kutwa kukosoa! Hamna jema! Kah! Kila kitu ni kibaya. Nyie mmefanya lipi zaidi ya kulalama??😢😢

    • @jumamdoka7867
      @jumamdoka7867 Před 29 dny

      Hiyo ni offer ya leo katoa Rais amelipia yeye

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 29 dny +1

      @@jumamdoka7867 Na bado wanamsa vibaya! Mitano tena kwa.S.S.H!

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 Před 29 dny

      Wakosoaji mpaka nawaonea huruma kila kitu kwenu kibaya mpaka wapenzi wenu wabaya.

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 29 dny

      @@omarybakunda2554 wanatumia nguvu nyiingi kumshusha Raisi wetu! Lakini tunajitambua! Wasafishe nyumba zao kwanza! TUNASIMAMA NA MAMA KWISHA!

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 29 dny

    SASA HUMO MNG'OE KILA KITU NA KUVIPELEKA MAJUMBANI KWENU. MAANA WATANZANIA TUNAIBAGA MPAKA MAVI. ROHO YA WIZI IMEITAWALA TANZANIAN. NA WALA HATUJUI KUTUNZA VITU VIZURI.

  • @Muhumuza-jf3zs
    @Muhumuza-jf3zs Před 29 dny

    Tanzania ongera kwakweri

  • @vero57
    @vero57 Před 29 dny

    Choo jee TUONYESHE, na maji yapo ????

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před 29 dny

    Nimeona kichwa si mchongoko

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t Před 29 dny

    Kichwa Cha train tulicho ahidiwa na JPM sio hiki so watanzania tunapaswa kuandamana kipinga hili

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 Před 29 dny

      Andamana wewe na familia yako.

    • @user-nt6fb2ky3t
      @user-nt6fb2ky3t Před 29 dny

      @@omarybakunda2554 Kwan ulizani naanzia kwenu we boya,kopo la choon usiye ona jua

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 29 dny

      Tanguliza familia yako tutawakuta mbele huko! Kuandamana kila siku! Hamna kazi za kufanya si male!!

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 29 dny

      @@user-nt6fb2ky3t Hasira imewajaa jamani! Kwani ukitumia lugha nzuri utapungukiwa na nini??

    • @user-nt6fb2ky3t
      @user-nt6fb2ky3t Před 29 dny

      @@dorothmsuya1686 wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa,Kila kitu kwao sawa