VIDEO: TRENI ya UMEME ILIVYOANZA SAFARI ya KWANZA - YAANI SHWAAA! DAR USHAFIKA MORO...
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2024
- VIDEO: TRENI ya UMEME ILIVYOANZA SAFARI ya KWANZA - YAANI SHWAAA! DAR USHAFIKA MORO...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Magufuli mungu akupnguzie athabu
The dream cam truu, rest in peace KING JPM👑,,
RIP JPM 😭😭
Kongole sana Rais wetu Mama yetu SSH kwa kuturaishisha usafiri wa haraka
Magufuli huyo
Camera man naomba unionyeshe wahudumu wa kwenye hiyo tren nione jinsi wanavyo timiza majukumu yao🎉
Next time nitapanda ihii maana nimeteseka sana kwenye ordinary siku nzima naitafuta dodoma ni waste of time
Hongera kwetu watanzania
❤❤❤❤❤
Mamboooo nimotooooo jamani ❤❤❤❤❤
🎉
Sasa waTanzania Dawasco maji yanatoka ogeni viruzi msituchafulie treni yetu
Asante nyote
Tunaomba link ya kukatia tiketi kwa njia ya mtandao wa simu
Hapo ndio tatizo hatari nzima wanahojiwa viongozi mnapaswa kuonyesha na safari huduma zilizopo pia
Hayo ndo maendeleo.
Wapeni Abaria waliosafiri na Train nafasi ya kuongea na kutoa maoni yao juu ya usafiri huu maana ndiyo wadau wakuu kuliko kila wakati ni mahojiano na viongozi na maelezo wanayoyatoa ni yeleyale ya siku zote ambayo tumeyachoka sasa tunataka kusikia sauti mpya za Abiria kuhusu huduma hii mpya ya usafiri Nchini Tanzania.
Safari zimeanza leo. Kama unajisikia nenda kapande ujionee mwenyewe. Ukikuta watu wenye roho mbaya kama mwafulani watasema haina matairi!😂😂😂😂
Bure ghali bwana hizi bure mmetuletea mpaka mashuleni matokeo yake watoto wetu wanakaa chini
Kutwa kukosoa! Hamna jema! Kah! Kila kitu ni kibaya. Nyie mmefanya lipi zaidi ya kulalama??😢😢
Hiyo ni offer ya leo katoa Rais amelipia yeye
@@jumamdoka7867 Na bado wanamsa vibaya! Mitano tena kwa.S.S.H!
Wakosoaji mpaka nawaonea huruma kila kitu kwenu kibaya mpaka wapenzi wenu wabaya.
@@omarybakunda2554 wanatumia nguvu nyiingi kumshusha Raisi wetu! Lakini tunajitambua! Wasafishe nyumba zao kwanza! TUNASIMAMA NA MAMA KWISHA!
SASA HUMO MNG'OE KILA KITU NA KUVIPELEKA MAJUMBANI KWENU. MAANA WATANZANIA TUNAIBAGA MPAKA MAVI. ROHO YA WIZI IMEITAWALA TANZANIAN. NA WALA HATUJUI KUTUNZA VITU VIZURI.
Tanzania ongera kwakweri
Choo jee TUONYESHE, na maji yapo ????
Nimeona kichwa si mchongoko
Kichwa Cha train tulicho ahidiwa na JPM sio hiki so watanzania tunapaswa kuandamana kipinga hili
Andamana wewe na familia yako.
@@omarybakunda2554 Kwan ulizani naanzia kwenu we boya,kopo la choon usiye ona jua
Tanguliza familia yako tutawakuta mbele huko! Kuandamana kila siku! Hamna kazi za kufanya si male!!
@@user-nt6fb2ky3t Hasira imewajaa jamani! Kwani ukitumia lugha nzuri utapungukiwa na nini??
@@dorothmsuya1686 wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa,Kila kitu kwao sawa