ZAHARA AFUNIKA MBAYA KWENYE SHOW YA LADY JAY DEE / WASANII BONGO WAMVULIA KOFIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 44

  • @ashtonmzumara4020
    @ashtonmzumara4020 Před 5 lety +9

    Inkosi ikubusise usisi wami U zahara you are simply great
    Umeonyesha ni jinsi gani unamthamini Mungu mbele za watu ambao wamejirubuni wenyewe ya kwamba kuburudisha watu mpaka ukae uchi na uimbe mapenzi
    Uhlale kahle in Tanzania

  • @leratomoloi9260
    @leratomoloi9260 Před 5 lety +1

    Gangana Thanx for sharing these live performance of zahara

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 5 lety +6

    Kiukweli mmetenda haki Dada zetu u re the best!! Zahara oooh nasisimka. Big up JDee kwa kuanda hili.

  • @leratomoloi9260
    @leratomoloi9260 Před 5 lety +1

    We love you African Queen

  • @kulsoomkulsoom8897
    @kulsoomkulsoom8897 Před 5 lety +5

    Zahara Zahara heshima kwako Dada❤😘😘

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 5 lety +8

    Zahra umetimiza vigezo vyote kuitwa msani mkubwa. Ubunifu unaonekana kweli kuna watu wanajua wanachokifanya.Tatizo linatokea mtu ana cover irimradi watu wasipoe. Big up Zahra

  • @abdulnalio7224
    @abdulnalio7224 Před 5 lety +2

    Nimependa amevaa kieshima na kapendeza mwanamke lazima utambue thamani yako wasanii wetu wabongo kuvaa uchi ndo wanazani kuwapagawisha mashabiki kumbe c kweli kazi yako nzuri ndio itakayofanya mashabiki wapagawe

  • @arunamwaholi1351
    @arunamwaholi1351 Před 4 lety +1

    Zahara nampenda sana uimbaji wake na namfuatilia sana. Iakini nashangaa ujio wake ckujua kaja lini ila nimemwelewa vzr uvaaji hadi imba yake nywere zakwake cio mawigi anajitambua no play bank ni lev

  • @leratomoloi9260
    @leratomoloi9260 Před 5 lety +1

    A song never ends

  • @hamisihassan9018
    @hamisihassan9018 Před 5 lety +1

    Ngoma nzuri zanikumbusha kwetu ukunda(south coast) Mombasa Kenya.

  • @rajiaroni9530
    @rajiaroni9530 Před 5 lety +10

    Safi show nimetiza na mama angu mkwe bila shida jmn nimependa xana wanajitambua

  • @gabbybenda4327
    @gabbybenda4327 Před 5 lety +2

    well done and best vocalists in the World

  • @rukinanizz2011
    @rukinanizz2011 Před 5 lety

    Nafurah kuwa shuhuda wa kizazi hichi. Nitawasimulia wajukuu zangu kuwa ulikuwepo na baada yako hakutokuwa na mwingine Africa. Love u Zahra.

  • @jaguarpaw113
    @jaguarpaw113 Před 5 lety +1

    very nice my sister zahara

  • @richardphilipo312
    @richardphilipo312 Před 5 lety +3

    #yani hapo angepewa dela angevaa lkn wasanii wetu mmmmm no shida

  • @bikangala2448
    @bikangala2448 Před 5 lety +2

    True definition of art

  • @Faraja-yg1lr
    @Faraja-yg1lr Před 5 měsíci +1

  • @jasminfantasticiddy4307
    @jasminfantasticiddy4307 Před 5 lety +1

    zahara, umefunka sana pumz ya kutosha unayo very nice

  • @allyomary9318
    @allyomary9318 Před 5 lety +4

    zahara we fundiiiiiiiiiiii

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 Před 5 lety +2

    Omukari agawe aganchisiku? umefanya vzuri Mdada nimempenda sana Wambura!

  • @simonmenza
    @simonmenza Před 7 měsíci +2

    Rest in peace zahara😢

  • @raysonkiwelu6076
    @raysonkiwelu6076 Před 5 lety +5

    Nice 🎶 not play back music i don't like. Na music ya heshima unaangalia na watoto wako tujifunze.

  • @ashabakari7895
    @ashabakari7895 Před 5 lety +2

    Ngyakutanda zahara

  • @mirajikinuke6636
    @mirajikinuke6636 Před 5 lety +1

    Yani uyu dada namkubari sana tena sana, lakini ujio wake Tanzania sikua na taarifa kabisa yani....ila one day akija Tanzania tena siwezi kukosa

  • @ashurahaji3475
    @ashurahaji3475 Před 5 lety +4

    Zahara amevaa gauni LA heshima hadi rahaaà

  • @clarajulius4046
    @clarajulius4046 Před 5 lety +1

    Shikamoo Zahara

  • @mufasamufas6023
    @mufasamufas6023 Před 5 lety +6

    Dada zetu washazoea back vocals sasa wamekua hawana pumzi ya kutosha jaydee unanyimbo zako nzuri sana lakini hujazitendea haki kama zahara alivyofanya

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 Před 5 lety +3

    Mmefanya Kitu Kikubwa Cna Hongereni Cna

    • @ericadepree1906
      @ericadepree1906 Před 5 lety +1

      Yaani adi na Mimi nimeanza kucheza Ah ah Jde utunzwe sana unanibarikije sasa Zahara karibu tena Tz

  • @mayalamartina4185
    @mayalamartina4185 Před 5 lety +3

    Huyu dada nampenda jamani

  • @raysonkiwelu6076
    @raysonkiwelu6076 Před 5 lety +1

    Nice

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 Před 5 lety +1

    Wengine burudani iko damuni Dada ana mzka balaaa

  • @geturdablatch9706
    @geturdablatch9706 Před 4 lety

    Naona mapicha tu

  • @aishayahya7687
    @aishayahya7687 Před 5 lety +1

    Hata simuelew anaimba mapambio au

    • @jasminfantasticiddy4307
      @jasminfantasticiddy4307 Před 5 lety +2

      Aisha Yahya kaimbe wew kama unaweza problem wivu tuu

    • @aishayahya7687
      @aishayahya7687 Před 5 lety +1

      Jasmin fantastic Iddy hata simuonei wivu mm sio msanii ila hajanikosha

    • @saimtangi7508
      @saimtangi7508 Před 5 lety

      @@aishayahya7687 of course huwezi kukoshwa sababu si mpenda music, so hapo lazima uone mapicha picha tuache wenyewe

    • @jaguarpaw113
      @jaguarpaw113 Před 5 lety

      Aisha Yahya ww n mjinga bana

    • @aishayahya7687
      @aishayahya7687 Před 5 lety

      Sai Mtangi napenda mziki ila sio wa namna hiyo huo mzik wa wazee kama na ww mzee poa