Inkosi ikubusise usisi wami U zahara you are simply great Umeonyesha ni jinsi gani unamthamini Mungu mbele za watu ambao wamejirubuni wenyewe ya kwamba kuburudisha watu mpaka ukae uchi na uimbe mapenzi Uhlale kahle in Tanzania
Zahra umetimiza vigezo vyote kuitwa msani mkubwa. Ubunifu unaonekana kweli kuna watu wanajua wanachokifanya.Tatizo linatokea mtu ana cover irimradi watu wasipoe. Big up Zahra
Zahara nampenda sana uimbaji wake na namfuatilia sana. Iakini nashangaa ujio wake ckujua kaja lini ila nimemwelewa vzr uvaaji hadi imba yake nywere zakwake cio mawigi anajitambua no play bank ni lev
Inkosi ikubusise usisi wami U zahara you are simply great
Umeonyesha ni jinsi gani unamthamini Mungu mbele za watu ambao wamejirubuni wenyewe ya kwamba kuburudisha watu mpaka ukae uchi na uimbe mapenzi
Uhlale kahle in Tanzania
Gangana Thanx for sharing these live performance of zahara
Kiukweli mmetenda haki Dada zetu u re the best!! Zahara oooh nasisimka. Big up JDee kwa kuanda hili.
We love you African Queen
Zahara Zahara heshima kwako Dada❤😘😘
Zahra umetimiza vigezo vyote kuitwa msani mkubwa. Ubunifu unaonekana kweli kuna watu wanajua wanachokifanya.Tatizo linatokea mtu ana cover irimradi watu wasipoe. Big up Zahra
Nimependa amevaa kieshima na kapendeza mwanamke lazima utambue thamani yako wasanii wetu wabongo kuvaa uchi ndo wanazani kuwapagawisha mashabiki kumbe c kweli kazi yako nzuri ndio itakayofanya mashabiki wapagawe
Zahara nampenda sana uimbaji wake na namfuatilia sana. Iakini nashangaa ujio wake ckujua kaja lini ila nimemwelewa vzr uvaaji hadi imba yake nywere zakwake cio mawigi anajitambua no play bank ni lev
A song never ends
Ngoma nzuri zanikumbusha kwetu ukunda(south coast) Mombasa Kenya.
Safi show nimetiza na mama angu mkwe bila shida jmn nimependa xana wanajitambua
Raji Aroni hahahahahahaha safi sana
Zahara nakuelewa sana mamaa
well done and best vocalists in the World
Nafurah kuwa shuhuda wa kizazi hichi. Nitawasimulia wajukuu zangu kuwa ulikuwepo na baada yako hakutokuwa na mwingine Africa. Love u Zahra.
very nice my sister zahara
#yani hapo angepewa dela angevaa lkn wasanii wetu mmmmm no shida
True definition of art
❤
zahara, umefunka sana pumz ya kutosha unayo very nice
zahara we fundiiiiiiiiiiii
Omukari agawe aganchisiku? umefanya vzuri Mdada nimempenda sana Wambura!
Rest in peace zahara😢
Nice 🎶 not play back music i don't like. Na music ya heshima unaangalia na watoto wako tujifunze.
Ngyakutanda zahara
Yani uyu dada namkubari sana tena sana, lakini ujio wake Tanzania sikua na taarifa kabisa yani....ila one day akija Tanzania tena siwezi kukosa
polee
😂😂😂hukuwa na taharifa
Zahara amevaa gauni LA heshima hadi rahaaà
Shikamoo Zahara
Dada zetu washazoea back vocals sasa wamekua hawana pumzi ya kutosha jaydee unanyimbo zako nzuri sana lakini hujazitendea haki kama zahara alivyofanya
Imba zako tuone
Mmefanya Kitu Kikubwa Cna Hongereni Cna
Yaani adi na Mimi nimeanza kucheza Ah ah Jde utunzwe sana unanibarikije sasa Zahara karibu tena Tz
Huyu dada nampenda jamani
Nice
Wengine burudani iko damuni Dada ana mzka balaaa
Naona mapicha tu
Hata simuelew anaimba mapambio au
Aisha Yahya kaimbe wew kama unaweza problem wivu tuu
Jasmin fantastic Iddy hata simuonei wivu mm sio msanii ila hajanikosha
@@aishayahya7687 of course huwezi kukoshwa sababu si mpenda music, so hapo lazima uone mapicha picha tuache wenyewe
Aisha Yahya ww n mjinga bana
Sai Mtangi napenda mziki ila sio wa namna hiyo huo mzik wa wazee kama na ww mzee poa