SHK RUSAGANYA VIJANA MUSIJISAHAU ZAMA ZA MWISHO HIZI BADILIKENI | ACHENI MISIMAMO YA KUBURUZANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 08. 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #ShkRusaganya

Komentáře • 24

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Před rokem +1

    Jazaaka llah khair.waislam tusomen dini yetu tujilazimishe kufuata kheir

  • @mariammasalu6547
    @mariammasalu6547 Před rokem +1

    Mashaallah shekh Mungu akulinde kwa kusema kweli

  • @kabirigisaidi8253
    @kabirigisaidi8253 Před 2 lety +2

    Jazakallahu haira sheikhe

  • @Kondoa805
    @Kondoa805 Před 2 lety +3

    Mashallah tabaraka llah nasaha nzuri sana allah atujaaliye tuwe wenye kuzingatia

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 Před rokem +1

    Huyu sheikh nampenda Kwa ajili ya Allah ,Huwa haogopi mtu akisema mambo ya kweli hususan yanayoathiri jamii Kwa ujumla!! Allah barik Yaa sheikh....

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi Před 5 měsíci +1

    Mashaaallah❤❤❤

  • @umugumyabangakhadjraty8319

    Shukrani saaaaaana mwalim

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 2 lety +5

    Jazaqallah kheyr kwa ukumbusho.
    Allah akujalie uwe na umri mrefu wenye manufaa na akujaalie mwisho mwema 🙏

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 2 lety +5

    Kweli sheikh.umenena kweli.

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Před rokem +1

    Shehe rusaganya mungu akupe maisha malef

  • @ussihamza-xn7bx
    @ussihamza-xn7bx Před 11 měsíci

    Sheikh Shukran Sana.

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Před 11 měsíci +1

    Aslm alkm ww.... Jazakallah kheir 🙏.

  • @aminashaib6956
    @aminashaib6956 Před 2 lety +2

    MashaAllah Allah barik

  • @aminashabani9526
    @aminashabani9526 Před rokem +3

    Allah atuhifadhi

  • @khadijadirunga6715
    @khadijadirunga6715 Před 9 měsíci

    Allah akijaaliy Pepo

  • @jiyaaabdillahi
    @jiyaaabdillahi Před 2 lety +1

    Dalili za kiama hizo ustadh

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Před rokem

    Yani uyu shehe wallahi nampenda sana yan hapindi pindi alaf akiongea ukwel moyo wng hua unapanda iman na uwoga unabak kw Allah pekeyake na sio mungne

  • @ayubojoao7460
    @ayubojoao7460 Před 2 lety +1

    Asalam alaikum ostazi nachukuru k wa ukumbucho wa alha

  • @omaryteddy535
    @omaryteddy535 Před rokem

    Mashaallah

  • @kaitaramadan6340
    @kaitaramadan6340 Před 2 lety +1

    Sheikh rusaganya nakukubali Sana ktk mawaidha yako ila ktk hili suala la waislamu kutokuijua dini Yao wakulaumiwa sio waislamu wa Tanzania Bali wakulaumiwa ni bakwata kwa sababu bakwata ndo wamejipa jukumu la kuwasimamia waislamu Sasa Nani anaetakiwa kupanga mtaala wa kufundisha madrasa? Nani wa kuwalipa waalimu wa madrasa? kwa sababu elimu ya dini inatakiwa uianzie ukingali mdogo bakwata wanapata pesa nyingi Sana kutoka kwa wahisani wa nje na wa ndani hizo pesa wanapeleka wapi? waliachiwa shule za sekondari taqwa secondary school hospital za bakwata zimekufa bakwata watajibu siku ya kiyama kwa kuwanyima haki msingi ya elimu ya dini Yao Kuna nafasi za wanafunzi kusoma nje ya nchi misri, Saudia, nk hizo nafasi wanapeana wao kwa wao bakwata ndio chanzo cha kuwafarakanisha waislamu wa Tanzania

  • @samyamohammed4568
    @samyamohammed4568 Před 2 lety +3

    Allah atuhifadhi