Sheikh rusaganya nakukubali Sana ktk mawaidha yako ila ktk hili suala la waislamu kutokuijua dini Yao wakulaumiwa sio waislamu wa Tanzania Bali wakulaumiwa ni bakwata kwa sababu bakwata ndo wamejipa jukumu la kuwasimamia waislamu Sasa Nani anaetakiwa kupanga mtaala wa kufundisha madrasa? Nani wa kuwalipa waalimu wa madrasa? kwa sababu elimu ya dini inatakiwa uianzie ukingali mdogo bakwata wanapata pesa nyingi Sana kutoka kwa wahisani wa nje na wa ndani hizo pesa wanapeleka wapi? waliachiwa shule za sekondari taqwa secondary school hospital za bakwata zimekufa bakwata watajibu siku ya kiyama kwa kuwanyima haki msingi ya elimu ya dini Yao Kuna nafasi za wanafunzi kusoma nje ya nchi misri, Saudia, nk hizo nafasi wanapeana wao kwa wao bakwata ndio chanzo cha kuwafarakanisha waislamu wa Tanzania
Jazaaka llah khair.waislam tusomen dini yetu tujilazimishe kufuata kheir
Mashaallah shekh Mungu akulinde kwa kusema kweli
Jazakallahu haira sheikhe
Mashallah tabaraka llah nasaha nzuri sana allah atujaaliye tuwe wenye kuzingatia
Huyu sheikh nampenda Kwa ajili ya Allah ,Huwa haogopi mtu akisema mambo ya kweli hususan yanayoathiri jamii Kwa ujumla!! Allah barik Yaa sheikh....
Mashaaallah❤❤❤
Shukrani saaaaaana mwalim
Jazaqallah kheyr kwa ukumbusho.
Allah akujalie uwe na umri mrefu wenye manufaa na akujaalie mwisho mwema 🙏
Amiin
Kweli sheikh.umenena kweli.
Shehe rusaganya mungu akupe maisha malef
Sheikh Shukran Sana.
Aslm alkm ww.... Jazakallah kheir 🙏.
MashaAllah Allah barik
Allah atuhifadhi
Allah akijaaliy Pepo
Dalili za kiama hizo ustadh
Yani uyu shehe wallahi nampenda sana yan hapindi pindi alaf akiongea ukwel moyo wng hua unapanda iman na uwoga unabak kw Allah pekeyake na sio mungne
Asalam alaikum ostazi nachukuru k wa ukumbucho wa alha
Mashaallah
Ma
Sheikh rusaganya nakukubali Sana ktk mawaidha yako ila ktk hili suala la waislamu kutokuijua dini Yao wakulaumiwa sio waislamu wa Tanzania Bali wakulaumiwa ni bakwata kwa sababu bakwata ndo wamejipa jukumu la kuwasimamia waislamu Sasa Nani anaetakiwa kupanga mtaala wa kufundisha madrasa? Nani wa kuwalipa waalimu wa madrasa? kwa sababu elimu ya dini inatakiwa uianzie ukingali mdogo bakwata wanapata pesa nyingi Sana kutoka kwa wahisani wa nje na wa ndani hizo pesa wanapeleka wapi? waliachiwa shule za sekondari taqwa secondary school hospital za bakwata zimekufa bakwata watajibu siku ya kiyama kwa kuwanyima haki msingi ya elimu ya dini Yao Kuna nafasi za wanafunzi kusoma nje ya nchi misri, Saudia, nk hizo nafasi wanapeana wao kwa wao bakwata ndio chanzo cha kuwafarakanisha waislamu wa Tanzania
Allah atuhifadhi
Inshaallah