Mrisho Mpoto X Harmonize - Nimwage Radhi (STUDIO SESSION)
Vložit
- čas přidán 10. 09. 2024
- For Bookings contact : bookharmonize@yahoo.com
Call +255755101070
Follow Harmonize on:
Twitter : / harmonize_tz
Facebook : / harmonize255
Instagram : / harmonize_tz
Copyright ©2018 WCB WASAFI .All rights reserved.
mrisho mpoto unanidham sana ndy mana kazi imekuwa nzur !!Hormonizer ni lulu ya tanzania asee kaz nzur sana kwel ukikubali kujifunza lazima usogee mbele!! gonga like kama unakubali nilicho kiandika!!
Nakbal konde boy
Mmakonde na. Mjomba like hapo
Producer huyu simfahamu jina lakini naona makali yake..mpatie like hapa Kwa kazi yake nzuri🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
anaitwa Bonga kafanya kaz ya Diamond Niache,lavalava Utatulia....Eddy kenzo na Harmonize PULL UP
Amoc Theboy mkali sana huyu dogo. Mimi nimemzoea liezer
Josebrown Bongo
anaitwa laizer
Josebrown Bongo guy how far
Lakini huyu jeshii kweli anaweza kunature vijana kwa wazee mpaka watoto mungu saidia huyu jeshii is a ⭐
Aliyegundua harmonize anaongea kama mondi tujuane
Kweli kabisa
Km umeona Kakonyagi ka kupandishia Mzuka Gonga like
Milikutana mafundi aiseee mjomba yupo faster kutunga manenoo doooh ila nmependa direction yako harmo kwamba fanya ivi toa hiki malizia hiki uar de best trust me
Chonjo
Those days konde waa so thin 😅. Love from Kenya 2024
2024 tena nineirudia❤❤❤❤
Mjomba mpaka jasho,daa kweli kuandaa wimbo ni kazi sana,nani kaona konyagi na sprite pale mezani
👆🏿
😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
Muziki ni kazi kama kazi Zingine pia...😂😂😂😂😂
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz kumrinda kumsimamia kumuepushia kira ririrobaya na renderea kuimarisha afya yake na WCB wote
kweli harmo alikuwa mpole hapa, bangi imemfanya awe wa hasira na mbishi kwa rafikiye Dangote....go be friends with your former boss Hon. Konde. much love.
yaani harmonize bwana, huyu jamaa hata akiwa WCB alikuwa na studio yake, producer wake, dj wake na team nzima ya kondegang humo WCB ndani. hii ndiyo tofauti ya harmonize na wasanii wote waliosainiwa WCB
Mjomba talent makini mashairi unayatoa studio hapohapo
KONDE BOY MKALI WA HII KAZI....MPOTO SALUTE!!!
Harmonize big boss nakuomba mtafute mjomba mtoe goma jingine 🙏🏼🙏🏼
The producer is so talented, Much respect from Nairobi Kenya
HARMONIZE genius sana blessng na mrsho mpoto alikubali kujishusha ili ajue zaid
Nakupenda mjomba mrisho mpoto❤❤❤
Kama umeona konyagi gonga like
Harmonize is the best musician Tanzania ever had...
His songs are the best, they can be listened for more years without fading 🎉🎉🎉🎉🎉
Harmonize amevaa tena ile suruali ya mistari diamond yukwapi
Nestory Msacky Alikosa location kwaajil ya iyo sual haa haaa
😂😂😂 eti suluali
🤣🤣😂🤣🤣😂🤣🤣
Unalana wewe
Laana ya nini tena
Mrisho mpoto❤
Producer heko very young!!!jamani mjomba is big bird!!!! Nyie very lucky to have him kwa studio mcheshi huyo jamani....love you mpoto
Hakka sna ubsh kwny hii nymbo hakka nmeipenda sn na ushlkiano wenu hakka nmeipenda sn one love
nguvuu ya konyagiii safi🍾
Much respect for Mrisho Mpoto..one of my favourite African poets. Much love and respect from a kenyan living in Norway🤩
Ka konyagi mezani, na 7 juu
Naona mjomba hicho Kifua haitaj gym, kaz nzur mjomba harmonize
Mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi WCB
By
Wow first one to comment ... Likes zangu
czcams.com/video/Fz8eTcx0Wzw/video.html
Dah harmonize fundi sana aseee🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽2021
ebwan producer safiiiiiiii
Waziri anaekuja ni Rajabu A.K.A Harmonize.
Mjomba naona unashushia na tanzania konyag hla nilishawai kwenda kwenye studio moja hv nkakuta kuna bango la onyo ustumie kilev chochote kiwe cha kuvuta kunywa au kutafuna nkawaza hv wasanii wataweza kweli
Konde boy hongera sana uko vzr
Naiona nguvu ya konyagi 💪🏽
Hahahaha umeona ee
Harmonize i likes your songs and dance floor am in Mt Kenya region.
Aisee mrisho na harmonize mpo juu sana..bonge la hit
Kazi nzuri pongezi sana kaka zanguni, kwakweli mashairi ya nyimbo zako yananipa uledi was kiswahili , congrats
Hakika imetulia xn bonge la jingo
Harmonize hapa alikua mzuri sana handsome boy❤❤
Mpoto alikua aandiki vinatoka kichwanii kaaah
Shikamoo mjomba mambo ni fire🔥🔥🔥
Kulirudia neno "Naomba" Kwenye Mstari wa Mwisho Kwa Upande Wangu haikukaa Sawa naona kwenye Mstari wa pili angetumia neno "Niacheni/Acheni Nichape Lapa" Ingekuwa Bora zaidi.
NI MTAZAMO TU!
we tunga yako🤣🤣🤣
Mnaweza tembo BiG up KondeBoy"!!Mungu Aku Ongezee Baba Lao.. #From Botswana Boy natamani Ufanyanye "Show" Botswana Mungu Akipenda sukumoja tuu Watswana wasikie Music Yako...Mm Naishi zangu South Africa..Napenda music Yako Sana Sana
Very interesting we love u harmonize 🇰🇪
kumbe kuna kazi nzito hivyo, du kweli mnastaili kuitwa wasanii
Dah harmonize unaakili nyingi zakufikili broo kaza ndungu yangu ipo siku utakuwa namba moja bongo
Producer noma ako juuu sana
Natamani harmoniz angefanya ngoma na mjomba tena jamani mana dah sio pw
Nakupenda mjomba unatabasamu tu mda wote 😘😍😘😘😘
Naona nyagi mezani apo
BADO NAKUMBUKA KWA SANA
Wacha TEMBO aitwe TEMBO
Nimekubal harmo ww nouma sana ndo hakika WCB ni nyumba ya vpaji
Harmonize kakate nyama za utumbo na wewe uwe mwembamba tena.. Ulipendeza ukiwa hiv
Hata kupima tezi dume nn hatari sana!!
Unyama❤️
Hamonz kaka unatoka lini huu mzigo nimeukubal
Uyo producer isea noma ...ila konyagi pia duuh
Harmonize nakupenda Sana
Nancy Biwott kwer
Tumwage radhi
Great rep. from Kampala __ Uganda
There are my guest of honor in spirit of music
Nipeni jina la huyu producer
Nizo Platinumz Tz Anaitwa Bonga
Hasa b au bonga
enz hizoo kk konde boy n mjomb mpoto daaah🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Eu até hoje sinto saudades desse tempo 🇹🇿🇲🇿💪
Mjomba mbona kaa umevaaa dera
Product of
Team work
Love&Respect
Mbona hii ngoma najua ameproduce lizer,sasa namuona producer mwngne2
Art work yoyote inaweza kuwa na producer zaidi ya mmoja, wenda yeye ali play a part when composing the music, that makes him a producer too
broo kazi nzuri mung akutangulie shikamo wcb
Kazi Mzuri wa Kukaya
Sikujua Harmonize ako vizuri kiasi hichi, do this, don't do that....
Hiyo ni fire
Mpoto upo vizr unatunga papo kwapapo unatisha
Mjomba mpaka kijasho cha konyagi nakiona
This has been my best song since the beginning
Iko poa saanaaaa
Uncle ayo maneno niyenyewe kama anavyo sema tembo
Itapigwa katika maalusi yote kama
Happy birthday inavyo pigwa
harmonize Ujuiii kucheka nee broo
Nakubali sana mrisho mpoto ft harmonize
Jeshi is such a vibe💯..big up bro👊🏽🔥9/2023
Producer is so cool
Mbona producer yupo kavu sana yan hana habari hajacheka kabisa
keep up that great music coming brothers this is Alqaeda Kraft from South africa
Noma Sana akuna rahisi
Kitu Kama Vile Nakiona Fireeeeeeeeeeeeèeeeeeee Tisha Sana Konde Na Jombaaaaaaaaaaa!
Huyu ndye diamond anayefata 2020
I love this session
Daaaah wcb ndio tiba ya bongo
NICE NIMEPENDA MLICHOKIFANYA OVER
Big up sana ..kwa kuj2ma huko mafanikio mali yako
Aisee Mungu awalinde WCB
w c b hatar sanaaa
Naona konyagiii good bat bat wakali
Love you more,harmo&Mpoto
Uyu prodyu anaitwa nan mpishi mpya uyu jameni
Usanii kaz nzito sanaaa
Ya kigigini nitayari kabisa
watu wanaangaika ku Record jamn daaah ila kazi zur xana hongereni xan
Konde boy unajuwa ufanyalo