SAM AWATEMEA NYONGO SIMBA | TUSEME UKWELI TUMSHUKURU REFA KAPUNGUZA GOLI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024

Komentáře • 59

  • @SalmaKimwaga
    @SalmaKimwaga Před měsícem +4

    Azam tv mpeni kazi huyu kijana mchambuzi wa ukweli sio mchongo ❤❤❤❤❤

  • @user-um5uw9yo5q
    @user-um5uw9yo5q Před měsícem +2

    Dah broo unajua sana mungu akupe kazi ya uchambuzi kituo chochote kile

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před měsícem +7

    Huyu Kijana Nakubali.. Mashaallah

  • @nazarethally9509
    @nazarethally9509 Před měsícem +5

    Huyu jamaa yupo vizuri anajua mpira haongelei ushabiki

  • @HamadZahoro
    @HamadZahoro Před měsícem +2

    Broo Sam nakukubali sana mpira huu wakisasa unaujua siyo kichwa tenge kisugu

  • @MbwanaAlly-i3l
    @MbwanaAlly-i3l Před měsícem +6

    Upo sawa ndugu unajua mpila

  • @user-ui7vw8kr7y
    @user-ui7vw8kr7y Před měsícem +13

    Huyu kijana tamani sana kumuona kwenye uchambuzi,kinachonishangaza na kunifikirisha sana nikuona studio zimejaaza wachambuzi uchwala,hawana wanachojua zaidi ya uchawa,wanawaacha vijana km hawa wenye akili.hii nchi tutafika tukiwa tumechoka sana

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 Před měsícem +3

    Refa alikuwa family,na sio refa alikuwa mbali na matukio bali alifanya makusudi tu kuwabeba kwaiyo mumshukuru refa kapunguza magoli ila hiyo ni mbaya kwa upande wenu maana mtakuwa mnajifarij kuwa mnateam kumbe bado sana

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 Před měsícem +1

    Huyu jamaa anasema kweli kabisa,

  • @juniorjotham1524
    @juniorjotham1524 Před měsícem +4

    like kwa mwandishi😂😂

  • @cmbizo9592
    @cmbizo9592 Před měsícem +2

    Brother unajua soka

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo Před měsícem +2

    Samu nimekupenda bure unahekima sana

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on Před měsícem +1

    Washabiki wengi hawajui mpira ndo maana wako kiushabiki na sio ukweli nakuelewa sana SAM Simba unajua mpira mwanangu

  • @KhatibuMadizii
    @KhatibuMadizii Před měsícem +3

    Nakukubali sana

  • @lusubilokorosso5661
    @lusubilokorosso5661 Před měsícem +1

    Uko vizuri sana Majizo chukua huyu😂

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Před měsícem

    SAMU YUKO VIZURI SANA hachambui kwa mapenzi kama wengine Akina JB64

  • @lutegogospelteam1939
    @lutegogospelteam1939 Před měsícem +1

    Uko vizuri ila kuna neno sijalielewa nielewesheni ni No county au No cout.!

  • @abdulkarimum.khamisi3128
    @abdulkarimum.khamisi3128 Před měsícem +1

    Ukifungwa umefungwa tu utaongea pumba ,kama refa kasema off side linakuwaje goli sasa ,goli halali ni moja kwani kila offside refa kaibeba timu acha ushabiki.

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi Před měsícem +1

    Ngugu yangu hahahahahaha endelea utayakuta mbele usije ukajuta

  • @DanielSamson-sh8bq
    @DanielSamson-sh8bq Před měsícem +1

    Sam unajua,hakika ukiongeza zaidi utafikia kama Dr rick

  • @AliJuma-eg8tq
    @AliJuma-eg8tq Před měsícem +1

    Jamaa anajua kuusemea mpira
    Nimependa
    Umesema "mm sio mfia timu"

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi Před měsícem +1

    Hiv wee unatarisha maisha yako kisa unapewa hela na yanga hata mungu alisema mjali mzaz wako kuliko vitu vingine haya ongea baba

  • @OmanOman-hx8yv
    @OmanOman-hx8yv Před měsícem +1

    Jamaa anajua

  • @mojakatundu
    @mojakatundu Před měsícem

    Sam upo vzr sana, big up

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před měsícem +2

    Hurt umevaa Jezi tu, wewe ni utopolo 😂🎉

  • @ownmpompo6299
    @ownmpompo6299 Před měsícem +1

    Eti Simba ina vibaraka kama hivi,vinavaa jezi za simba na kujifanya wachambuzi,uchwara

  • @MariaHussen
    @MariaHussen Před 28 dny +1

    Nikweritu jamaa aongea archon kiona mnamtukana nn wakings nyie hamjui mpra matusitu

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před měsícem +1

    Huyu anajua na anaongea facts

  • @SamsonMasalu-y5f
    @SamsonMasalu-y5f Před měsícem +1

    waandishi acheni kumuhoji kisugu muhojini sam ndio anajua mpira.

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 Před měsícem +1

    Anaendaga avic town kuangalia mazoezi ya yanga

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi Před měsícem +1

    Kumamako

  • @MichaelJohn-vn3bt
    @MichaelJohn-vn3bt Před měsícem

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před měsícem +1

    Simba huyu kijana anasema ukweli

  • @user-vh4hy8ee9y
    @user-vh4hy8ee9y Před měsícem

    Simba ina washabiki wazuri wanao ujua mpila kuliko wa shabiki wa yanga!

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před měsícem +1

    SIMBA msikilizeni huyu kijana anaongea ukweli kabisa

  • @SamsonMasalu-y5f
    @SamsonMasalu-y5f Před měsícem +1

    acheni mambo yenu tatizo hamjui mpira tunadanganywa na ahmed ally .yani timu imefungwa yeye analala usingizi.sisi ndo tunaumia.ngoja dabi ingine inakuja.jamani tupaze sauti .

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 Před měsícem +1

    Wewe sio simba usichunguze msemaji wetu shika yako unapenda kuongelea tznga kuwasifia achana na tim yetu mamluki mkubws

    • @user-du1nq6sz4m
      @user-du1nq6sz4m Před měsícem +1

      Wew hauna akili

    • @jimmypeter5667
      @jimmypeter5667 Před měsícem

      Huyo anaeongea ni mwanasoka ila wewe ni mnazi! Mnazi ni chawa wa timu, wengi ni wagonjwa kichwani.😅

  • @ownmpompo6299
    @ownmpompo6299 Před měsícem +1

    Ujue mtangazaji anakuchora,kwa ujinga wako unajimwagaa

  • @MwanahawaMaliki
    @MwanahawaMaliki Před měsícem

    Uyu mwamba mchambuzi

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Před měsícem +1

    Kiukweli walitegemea kupigwa nyingi hivyo kapunguza

  • @IsraelMwakagire-hn8pn
    @IsraelMwakagire-hn8pn Před měsícem +2

    Tatizo liko wapi kusema smells vizuri?

  • @user-rr7du8om1z
    @user-rr7du8om1z Před měsícem +2

    Unapswa uwekewe ulinzi

  • @user-vf6nq8dw7v
    @user-vf6nq8dw7v Před měsícem

    Sasa mobeto kaingiaje hapo mzee wangu. Hebu kuwa na maswali ya msingi baba. Usiulize maswali kama mtoto wa vidudu.

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Před 27 dny

    Mpila Kama mpila vinaingilianaje na Amissa

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 Před měsícem +1

    Hy naye alipaswa kupakwa mafuta tu km Mchome

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k Před měsícem +1

    Wewe yanga sitaki hata kukusikia mjinga wewe,hata kuchambua huwezi

  • @lovenesspaul5804
    @lovenesspaul5804 Před měsícem +1

    huyu jamaa amenikosha na huyu sio shabiki nimpenzi wa mpira na anaongea kifahamu sana mimi nisimba kindaki lakin kunavitu kanifundisha

  • @mojakatundu
    @mojakatundu Před měsícem

    Kama huna tabia ya kuji tathmin hutayaona na kuyajua madhaifu yako, sam---- (kum radh) (ashakum si matusi) haangalii----ni nyani anae angalia kundule, haangalii kundu la mwenzake.

  • @MariaHussen
    @MariaHussen Před 28 dny +1

    Msimtuka jamn anaongea ukwelitu

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi Před měsícem +1

    Mnalipya na gsm ilimharibu simba hahahaha nakuhurumia sana na pole sana

    • @MshaniMsasu-mt3pj
      @MshaniMsasu-mt3pj Před měsícem

      Mkiambiwa ukweli mnabisha, kama huamini kwamba Simba uwezo wakumfunga Yanga bado angalia rekodi ya mech CZcams utaona.

  • @severinusviatory4624
    @severinusviatory4624 Před měsícem +2

    wew si mnyama msipende kuvaa nguo za simba vaa kawaida na uongee kutuponda ila nakujua sana wewe yanga

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 Před měsícem +1

    Huyu jamaa anasema kweli kabisa,