Kimya x Kalapina x Gwalu BeeF Kikosi cha Mizinga (Prod by Kimya 2000somn)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Beef track released in the early 2000's by Kikosi cha Mizinga versus Bongo flava artists at the time. Colossal beef followed and it was the beginning of a musical revolution in Dar es Salaam, Kinondoni, Block 41. Kikosi cha Mizinga.

Komentáře • 29

  • @samwelshilungu4370
    @samwelshilungu4370 Před 3 lety +3

    Baada ya interview ya efm-jabir.

  • @ragabmfaume2727
    @ragabmfaume2727 Před 2 lety +2

    oi huyu jamaa Kimya amemdisi mpaka bro wake au nimesikia vbaya 😂
    🔥🔥🔥

  • @TheAddyjembe
    @TheAddyjembe Před 2 lety +2

    Noma

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 Před 3 lety +2

    Kalapina MFALME

  • @emmanuelbrassy4000
    @emmanuelbrassy4000 Před 3 lety +2

    Ngoma inogilee kikosi.

  • @mwakanyekenyiki9241
    @mwakanyekenyiki9241 Před 3 lety +2

    HII ILIKUWA NOMA SANA, MAPINDUZI MLIO LETA YATAISHI MILELE

  • @RebelsSonz
    @RebelsSonz Před rokem +1

    Kipindi hiki ilikuwa rafu sana!! This was the best shit to hit the road! I remember hearing this in Slipway!! IYKYK

  • @selemansalum
    @selemansalum Před 2 lety +1

    Eeeh bwana huyu GWALU yukogo wapi sikuiziiii wana

    • @mistamiyaki
      @mistamiyaki  Před 9 měsíci

      Gwalu ako wilaya za mbali uko kazini...

  • @melkilulandala4083
    @melkilulandala4083 Před 2 lety +2

    🔥 🔥 🔥🔥🔥

  • @kafirsantana8631
    @kafirsantana8631 Před rokem +1

    Kikosi nomaaa

  • @mwakanyekenyiki9241
    @mwakanyekenyiki9241 Před 3 lety

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hajisaidy3081
    @hajisaidy3081 Před 9 měsíci +1

    Kama huwezi Shari title huwezi kuchukua!

    • @mistamiyaki
      @mistamiyaki  Před 9 měsíci

      Oi oi oi, Kimya ni Mizinga soldier.

  • @palmalazulazul4939
    @palmalazulazul4939 Před 3 lety +1

    MTAFUTE KAZI YA KUFANYA KAMA UBABE IWE UBABE LAKINI MZIKI MA BRO UMEWAACHA

    • @namelessnameless4868
      @namelessnameless4868 Před 3 lety +2

      Mzee vipi mbona povu hii nyimbo ni ya zamani kipindi cha beef ya Kikosi na hao baadhi ya wasanii waliyowataja kwenye hii nyimbo

    • @selemansalum
      @selemansalum Před 2 lety +2

      Usichokijua sawa na usiku wa giza ujui chct khs kikos,kacheze na type yako,hizi sound kipindi zinatengenezwa bado ulikuwa dogo sn kwa hiyo ujui chcht kile,tuachie sisi tuliokuwepo bab

  • @palmalazulazul4939
    @palmalazulazul4939 Před 3 lety +1

    KINACHO WA BEBA NYINYI NI UBABA ILA MZIKI MNA UPENDA AU WAPENDI KWANZA HAMNA MADINI

  • @mbesherejoh4219
    @mbesherejoh4219 Před 3 lety +2

    hii ngoma imetengezwa 2006 na sio 2000

    • @mistamiyaki
      @mistamiyaki  Před 3 lety +1

      imeandikwa Mwaka wa elfu mbiuli na kitu.. me ndio producer alieproduce hio kazi.

    • @mbesherejoh4219
      @mbesherejoh4219 Před 3 lety

      @@mistamiyaki yes nakubali ndo mana nasema sio 2000 kamili mana mwaka 2000 kamili wasanii kama wakina fid q babu wakitaa hawakuwepo kwenye map ambao mmewataja humu hii ni around 2005's mana hata haouse og music ndo ilikuwa inatesa sana kipindi hichi

    • @mistamiyaki
      @mistamiyaki  Před 3 lety +1

      @@mbesherejoh4219 Ebu jiulize mimi kama Mkenya na mgeni kwenu, niliwajulia wapi kaka? Sema ulikua huwajui wewe, sio hawakuwepo kwenye map. kwani walianzia wapi? juu au?

    • @mbesherejoh4219
      @mbesherejoh4219 Před 3 lety

      @@mistamiyaki hahha pole sana bruv Profesor Jay wakati anatoa album yake ya pili 2001 na yake Pili na ya kwanza kama solo 9MACHOZI JASHO NA DAMU) Fid Q alikuwa kwao Mwanza Fid amekuja dar 2002 tena aliletwa na wakina ajuma nature na akashirikishwa kwenye wimbo wa ukweli na uwazi wa wachuja nafaka ila 2003 Fid alikuwa na kundi moja linaitwa amachizi flani wa hatari amblo alikuwa yeye,Geez Mbovu,Quuzeer,nA MAPACHA MAGENEGE, 2003 NDO ANATOA HUYU NA YULE we ubishavyoBISHA UBISHAVYO ILa HII NGOMA HAIJATENGEZWA MWAKA 2000 BaLI 2005's KWENDA MBELe

    • @mistamiyaki
      @mistamiyaki  Před 3 lety

      @@mbesherejoh4219 Mimi sibishi. Bali mimi ndie mtengenezaje yaani producer wa Kikosi cha Mizinga, na Fid Q, Babu, na wote wengine waliotajwa humu ndani walikua na uhusiano flani na sisi, ambapo Beef ilipotokea waliguswa. later homie. tafuta mwingine wa kuargue naye. Peace.