Simba SC 2-0 Tabora United | Highlights | NBC Premier League 06/05/2024
Vložit
- čas přidán 5. 05. 2024
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Simba yametoka kwa Sadio Kanoute dakika ya 19 na Edwin Balua dakika ya 77. - Sport
Gonga like kama unapenda simba nguvu moja
Naipend Simba yangu atakama nikafungwa mia Simba siami
Timu ya hovyo wewe jitambue
❤❤❤
Niambie kwann refa kalikataa like goli mm sio simba wala yanga ila napenda haki
Wa kwanza like zenu
Mbn Hiyo Sheria imepitishwa Toka Mda Sana. Kwamba mpira ukivuka msitari Hauko Ndani ya nyavu Siyo golii
Sheria inasema mpira ukivuka mstari wa goli kwa asilimia 100% ni goli halali. Hilo ni goli la wazi
Kabisa yn
Mie ni simba ila hili Goli Tabora wamenyimwa
This is simba❤❤❤
Yanga bana mishabiki mingine imekuwa na roho mbaya et papatu papatu so kila siku mungu akupe wew atawengine n watu zaidi yako
simba nguvu moja ❤❤
Simba❤❤
💪💪💪🙏🙏 Edwin b
Ila mpenja eti walikwenda bila gadi wakapewa bila idadi😂❤
♥️♥️♥️♥️
Tunamsubr azam tunampiga 2
Tutarudi tukiwa bora zaidi simba nguvu moja
Ubingwa hata mwakani hatuchukui.. timu imejaa viongozi wote janja janja , usajili wanaleta wacezaji low quality wanamtegemea a. Ally awanadi.. wanajaza matubo yao pesa
simba nguvu moja damu damu ❤❤❤❤❤🎉
Kweli
Gool safi hil kiukweli tim zetu ndogo zinaonewa wanapocheza simb na yanga
Itajulikana mechi na Azam
Wanathimba watajitafuta hawa
Sema tabora United wanabahati mbya daa Yan ni Kam vle vya ki azizi kule south🤣🤣
Daah kweli bwana ni goli kweli
Kukosa uzio kila siku marefa wangetolewa na machela uwanjani maana WAPUMBAVU, WAPUMBAVU, WAPIMBAVU
Ila mpenja eti walikwenda bila gadi wakapewa bila idadi😂
Dhuluma
Mimi ni Simba tangu utotoni.. lakini Tabora wamenyimwa goli la wazi.. Simba wajitathmini .. wachezaji wa Simba hawapendi kujituma..!
Simba Toka utoroni ya wapi, hamna simba aliyepo ivo
Justice for tabora united 😅😂
Inonga kanuna kunyimwa kuuza timu leo 😅😅😅😅
Umeonaeee yeye ndo wa kwanza kutoka uwanjani yaani hata kuwapongeza wenzake kashindwa😢
Hahahhaha hatufai duka linalotembea
Yamekuw hayo leo 😂😂
Huwezi ruhusu goli ambalo huna uhakika nalo
Hahisi wakati goli linaingia refa alikua anaziweka sawa sodo alizovaa ili zisimdondoke na ndio maana hajaona goli
Na kibender alikuw wapi
TIMU la MAKOLO yaani ni BOVU hamna kitu ni PAPATU PAPATU
Mechi na azam inabidi safu ya ilinzi ipunguze makosa,laa sivyo tutaadhibiwa na azam
Ila fred huyu dah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
kweri kabisa
Refa kenge kweli kweli.. na hana haya hata kidogo mamae
That was a robbery
Hiyo ni marudio ya south
Hiyo kajula ni mnafiki sana kwanza kuonyesha kama timu haipendi havaigi jezi ya simba mo anava yy natumashati aachie ngazi
Huyu fred michael analijua goli
Tutashinda hata kwamukono
Sawa nape😂😂😂😂😂😂ila sio poa😂😂😂😂
Mgunda mie namwamini San na baraka mpenja Safi san
Kwani simba mashabiki wameenda wapi
Simba Hilo goli mtalipia2 waulizeni mamelodi wapo wapi sasa hv😢😢
Siku chache tu nakuambia watalipia ha inahuzunisha😢
Na hii itaqnza kwa azam, watabutuliwa hawa 4_0
Tabora wamenyimwa goli halali
Alichokifanya mwamuzi wa mchezo Ni kututonyesha tulipopona wapenzi wa yanga hili goli la Tabora United ni goli
Mwanangu irambona kakandwa na mme kisha kaibiwa na mkeee pole djumaaa ila mupo bien
Marefaree wa Tanzania wengi wao hawajui chochote katka mpira leo ndio nimeamini
Mwamuzi ni shabiki wa simba
Lazima aisaidie timu yake.
Hii mechi kwa haki ilikuwa draw ya 1-1
Kwa kuzulumu 😂😂😂😂
Watangazaji wenyewe mazamwamwa umpira ukaenda nn unamumunya sema mpira umevuka gol line
Kolo mungu anawaona
Ww lefa ulochezesha imechi una ataaibu wachezaji wasimbabwana kugonga ww nini auulikua kwenye sikuzako
Mechi chapwa japo mtangaza aji anajitahidi kuipamba
Wamemyimwa.goli.hao
Tabora
Mm ni simba timu ya hovyo hovyo janja janja . Hakuna kikosi hapo usajili wa kuwashibisha kiongozi matumbo..
Tusajilie timu yako nzuri sisi tuko tayari
Shida iko wapi sasa si ubaki kimya
@@agnesjohn9382 nyamaza wewe yanga hujui kitu
Kwani wanagombea nafasi ya ngapi hawa au ni nafasi Ile Ile ya 3😂😂😂😂
Wako ile ile wala hawasogei
Ijumaa watalala kabisa hata kutambaa hawataweza 😂😂
Kajula hajajiuzulu?mbona walikuwa wanamwonyesha km anaenda kuwaaga wachezaji?nauliza jmn
Azam watarudisha ilo goli
Kennedy hakuna beki kabisa
Kanyimwa yanga na mamerodi na asec memosa na esperensi sembuse hao Tabora
im
Kidogo mgunda ila simb wafwa
Ao ndo waamuzi wetu wao nachoangalia ni lushwashwa2 awajui kama wana alibu kalia yao
tofautishan l na r kwanza ndio uje kubishana
Balaka mpenja mtangazajibwangu Bora wa mdawote😡😡
Wajinga hao wanakumbuka shuka kumekucha?
Simba mmebebwa
Kama nyie tu
Bado hamjasema
WAMEAMUA KUSHILIKIANA NA TFF ILI MADUNDUKAA WAPATE NAFASI YA PILI😊
Kichwapanzi ww hiyo team haindeshwi kiccm kama utoporo
Mutaimba sana ngonjera
Nafasi ya pili inaisha ljumaa hawataamini
Kwanza tunaitaka nafsi ya tatu tuende shirikixo huko ndio kuzur sasa kombe liko wazi
Mmm mmebebwa
Ww utopolo tu
tatizo la waamuzi vibungo mnahongwa kiwaki ndomana hakuna maamuzi hata mmoja kutoka Tanzania anaechezeza michuano ya CAF,..unakataa goli halali linalogharim mchezo mzima,.mfano angelala Kati Simba wasingepata goli la pili sababu mda vijana wa Tabora wanadai haki Yao ndipo walipofungwa goli la pili,..
Bora mshuke daraja tu na kwa dhurma hii Simba haichezi club bingwa mwakani,.twende tuone
Unateseka ukiwa wapi utopolo😅
Naona uto wanateseka Sana wakati Hilo sio goal
Unawanga ukiwa wap😂😂😂 majini yenu yameishiwa nguvu sasa
Hana jipya huyo utopolooooooo
Magoal kama hayo mbona hata CAF wanakataa mnajitoa ufahamu😂
Fredi aondoke
mamae zenu mmeitafuta aibu mmeipata Kama mamelod
Wote wanashuka Daraja😂😂
Let's trust ours bhna @mgunda
Simba vs YANGA
czcams.com/video/ppaAh9cxjoU/video.htmlsi=4qkNiM0PoJ6AoAUH
Uyu ayubu bonge la kipa yani angekuwa mainline angeanza kuskilizia inakuaje
Ndio hivihivi mtu hujiloga hahaha poleni tabora MUNGU yuko kwenu hizo zambi za refa
Ila mpenja eti walikwenda bila gadi wakapewa bila idadi😂