Binafsi ninakuelewaga sana kaka. Unachokitaka kwa watanzania wakuheshimu na waijue thamani yako. Binafsi wewe ndio bondia namba moja kwa TANZANIA hakuna anayekufikia kwa Sasa. #hassanmwakinyochampez❤
@@user-dl4rw6fo6x sasa ni makosa binadam kusem yey ni bora kulik ibad yan anajitukuza Allah amsameh InshaaAllah kwan Ibada ni yake Allah mola wa viumbe wot
Hakuna chuki kwa hamo anataka kujua kwamba boxing alie ingia kwamba ipo jee wewe kaka mupe na fasi sio kusema wewe ni kifo ama yeye ety ni kifoo mupe muda watu tuone Tanzania tupo na watu wa boxing mpka wa Sani ❤😂❤❤❤
Tafuta mshauri au msemaji aww anacongea kwa ajiri yako ww uwe pemben usikitikisa kichwa kwa ishara ya kukubali kinachosemwa Hassani kinacho kufanya unakosa mvuto ni speech tu bac kwingine kite unastahili
MWAKINYO ACHANA NAE....MPE WADOGO ZAKO,,NGUMI SIO VYUMA NGUMI NI SCIENCE,,NDIO MANA BRUCE LEE,DON YEN, JACK CHAI SIO WATU WAVYUMA NI WATU WA SCIENCE TU YANI TIMING..
Hii nchi bn naona wengi wanamchukia huyu jamaa,but amini usiamini,he is the best Boxer kuwah kutokea ktk nchi yetu
The best kwako
@@yusuphmtuga4951 najua tu wivu unakusumbua,hvy ucjal ni jambo la kawaida kwa cc bnaadamu
Kweli
@@yusuphmtuga4951 kinyooooooooo....hakuna kama MWAKINYO acha ubishi
@@yusuphmtuga4951ata kwako pia utake usitake
Binafsi ninakuelewaga sana kaka. Unachokitaka kwa watanzania wakuheshimu na waijue thamani yako. Binafsi wewe ndio bondia namba moja kwa TANZANIA hakuna anayekufikia kwa Sasa. #hassanmwakinyochampez❤
Huyu ndie boxer bora aliepo hapa tz team mwakinyo 💪
The Best boxer eveer
Na kukubali sana mwambaaa mwakinyoo Na akifika Beii Mkandeee Akandike
Allah akusameh Hakik umetelwz ibada ni kubwa mno mbel ya Allah
Hajielewi
I'm sorry ibada hairuhusiwi kutolewa mfano? Naomba nielimishwe.
@@user-dl4rw6fo6x ibada ni maombi kat ya mola na mja wake
@@user-dl4rw6fo6x sasa ni makosa binadam kusem yey ni bora kulik ibad yan anajitukuza Allah amsameh InshaaAllah kwan Ibada ni yake Allah mola wa viumbe wot
@@jamalibella9707 tumuombe InshaAllah Allah atamsameh hakun mkamilifu
Tumekubali mwakinyo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Boxer number moja Tanzania
Usisikilize maneno yawatu hassani ukovizuri nasubili pambanolako inshallah Allah akufanyiewepesi
Mmakonde mjinga yule anasema eti anahisi mungu angekuwa mwanamke
Mwakinyo yuko vizuri hamonaizi bangitu nakukubalisana hassani Allah akuongoze inshallah hamonaiz hakuwez twaha pia hakuwez ukovizuri
Kwanza mfundishe kiduku
Respect Sanaa broo for that word
Uyu jamaa Yuko Smart sana naweza kudiliki uyu ndo bondia Bora kwa Sasa hapa Tz watu wanao fikir kua bondia apigane tu kiolela
Mwakinyo ni mmoja tu tz🙌
Kiukweli hakufanya vizuri. Huyo hamo.amuache mwakiyo wetu kama katumwa na ashindwe usimkosee adabu mwakinyo
MMakonde Noma sana
Ata Mimi sikupenda vile hatupasw kuish kwa visa ilihali sisi wote ni Ndugu.
Team mwakinyo mkande uyo mmakonde
MKUBALIE #KIDUKU
anzaa na kidukuu kwanza kidukuuu kwanza😮
Kaka una wabaya wengi sana wee ni m2 wabusala adi magufuli anakujua😮❤
Full content, champion 🔥🔥💪
Ukimpiga nje ya ulingo utaadhibiwa , ajiunge na afuate utaratibu, awe bondia, ndipo upigane naye, #Hassan Mwakinyo busara ikutangulie, mrumeeeeee
Boxer mwenye hekima na busara🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Usiongee sana. Kama unapigana kapigane
Mwakinyo utani wetu wa Makonde usiulete ulingoni, ukirusha ngumi za seriously tutakuloga
Kuronga Tena itakuwa vita kati ka mdigo n mmakonde au Tanga. N mtwara
Kamkande tu ili atie adabu mjinga yule
Tunasubili tareee kaka
Hii kitu haitakiwi maneno mob itaisha utamu mnatupotezea muda wa ngumi kwa kubishana kuna mtu anatakiwa aelekezwe kuwa huku siko abaki na kwake
Wew Kuna twaha kiduku Anakutaka Sana Lakn Auzungumzii kitu Pumbavu
Muulizeni babalevo ata waambia😂😂😂
Mwakinyooooo
Kweli kabix broo iyo ni sarau aixee mpe bonge la ngumi haache wenge aixeee
Hakuna chuki kwa hamo anataka kujua kwamba boxing alie ingia kwamba ipo jee wewe kaka mupe na fasi sio kusema wewe ni kifo ama yeye ety ni kifoo mupe muda watu tuone Tanzania tupo na watu wa boxing mpka wa Sani ❤😂❤❤❤
Kaka We pgana Nae t Ajifunze Hana Adabu huyo mtoto Tena Omba serikarin pga Nakuuwa
Champion boy..... mwakinyo
Hawezi
Kijana yangu ni siter tz
Haaa kumbe ww ndo ulimuanza boy jamaa alikuwa anatariii zake
Nakupenda mwakinyo mpige uyo mshamba wa kimakonde 😂😂😂
Mbona ulimrukia acha ushamba we mwoga
Yule mvuta bangi
Acha nikuchanue bangi is not part of the exercise u can smoke and still train asf👀
Hyu mwenyewe mvuta bangi
Bro malizana basi na twaha kiduku basi. 🤣🤣
Wewe si mpiganaji wew boya tu ujuw kupigana maneno meng ufanic Amna wew mcheza mduara tu
😊😊😊
Chimanogo Tena 😂😂😂😂😂
Wew muoga kama unataka hashima pesa nyingi zanini
Hapana wa tz Atumchukii mwakinyo lakini kama mpiginaji mkubwa watu wanakuja kukuzalau inatakiwa uwafinye wafinyikeee ndo upate Eshima
Unajua mwakinyo ww ni Mt ambae unajielewa Sana hayo mazungumzo yako t bas kwa mwenye akil lazm ya mfeel yule mgonjwa
Tafuta mshauri au msemaji aww anacongea kwa ajiri yako ww uwe pemben usikitikisa kichwa kwa ishara ya kukubali kinachosemwa Hassani kinacho kufanya unakosa mvuto ni speech tu bac kwingine kite unastahili
Msituzingue, manajuana nyie😊😊😊😊😊
Nakukubali sana ustarabu wako haukurupukii jambo
Ameshaanza kuogopa huyu, atakataa pambano kwamba hajafika bei 😀😀😀
Kama konde anataka kupigana nawewe,basi aiombe baraza lamichezo nchi ni awe mdhamana wa hilo Bambano.laa sivyo atakuvunjia cv yako
Piga kabisa mbwa uyooo anazarau sana
Tunaomba mwakinyo kondeboy akandwe akatibiwe mtwara😂😂😂
Mwakinyo naomba huy mmakonde ni mbage tu achana nae anataka akufie tu
Harmo mziki umemshinda akaon aruke na mwakinyo ... mwakinyo myoe naniliiii😂😂😂 ashike adabuuu
Mmakonde chizi yule anapenda sana kiki ,muziki umemshinda anataka kucheza ...Piga kabisa mvuta bangi huyooo
Hizo kiki TU,ndo wasanii wa kibongo ,,,,,brz ajee akufate TU mlango umemwachia.
Mbona kiduku hujamfungulia mlango 😂😂
Kafunguliw milango mara tu mwakinyo alipomaliz pambano lake la ubingwa Zanzibar na wameshindw kuweka pesa mapromota wake
Anamuogopa kiduku
@@sadickkasaba8069 waliweka pesa mezan akakataa kupigan ngumi ni biashar ngumi ni ajira sio maneno matupu kama taarabu bro
Kandahar chili lile
Watch out part3😂bongomovie😂
YULE MMAKONDE NI FALA SANA
Inatakiwa uue kabisa
Namimi nasema mpige mpaka uji atafuniwe
Duh ww mmakonde huwez mpiga unajua nae amehaso kitaaa ehh mpk kutoboa duh naisubr mmakonde akunyoshe ww boxer wap
Shida uyu muongeyaji sana😂
Mbona kwa kiduku aujajimaliza ivo ? Mm nakuwa wa mwisho kuwaamn star's wa bongo huenda n kiki
MWAKINYO ACHANA NAE....MPE WADOGO ZAKO,,NGUMI SIO VYUMA NGUMI NI SCIENCE,,NDIO MANA BRUCE LEE,DON YEN, JACK CHAI SIO WATU WAVYUMA NI WATU WA SCIENCE TU YANI TIMING..
Mwakinyo utakinywa vibaya mno....
Tume kujua una fanyia promo pambano lako.
Mwakinyo weni bondia mwenye akili 2kopamoja brother
hatutaki maneno yenu,, piganeni tuprove ni nani bingwa.
Ulirusha ngumu bhana acha uongo
we nae linafiki tu
Mwakinyo kumbe na wewe ni Mvuta Bangi tu, Harmonize zile ni Bangi pale akili hamna kazi yake kiki tu hamna la Maana.
Anaharibu keria na sifa zawatu,natamani atandikwe mbwa yule
Acha maneno hayo yeye ameeleza hisia zake sasa bangi ikowapi
Konde umeyakanyaga babaaa shuri yako🤗😶😶
Muuwe tu
Amna k2 apo mikwala 2 kenge ww jichanganye kama autasema umesahau viatu vyako kwenye ndege..
Kama Mimi hapa iliniuma Sana mpaka nahisi kumdai yeye ulingoni haniwezi pia🇰🇪
Uanze na Twaha kwanza bondia mwenzio ndio uje kwa harmonize, mbona unamchenga Twaha
Huyo harmonize kataka yy mwenyew
Nikwel anachungulia iv kwel kama nibobondia anataka kupigana na hamonize huyu kwel hamna kitu
Huyu dogo mm namuelewa sana
Uje unipigie konde
Nyie sasafi konde kapiga chawa wenu bado uyo bosi wenu domo a.k.a mond 😂😂😂😂😂
Huyooo inabid umpigee kama ngoma
Hamonaoze amejitia kidole mwenyewe alaf kanasa yeye mwenyewe
#mwakinyo
Champions
Wew mbona ulikuwa ulingon, kwanini ulishuka ukamfuata
Mgonge apate adabu yke
mogadishu family💪🏾
Mpigeni mpaka afe kaka
Imeisha hio
Ninavo mkubali harmonize Yani mm nakuloga weww ndio akupige mpaka uvae pempasi alafu mm nakuchukia bila ata sababu
Anazingua uy mtot af zile nyama tu akae akijua at kweny sambusa zipo uy kayakanyga
Champions 🔥🔥🔥
Kwahichi konde kakosea pole mwakinyo
Piga hadi afe
Ile video inaonyesha ulidauty kwa kumwona mmakond uku ukimtukan n ww ukashuka kwa kweny ulingo na kumsukuma unazngua