SHEKH AACHISHWA KAZI YA UASKARI POLISI NA MUNGU | ATEMBEA KWENDA MAKKA KWA MIGUU KWA MIEZI SABA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 03. 2021
  • NI SHEKH ROCKET AU KUSWALI MNALEKE CHOTARA WA KIMAKUWA

Komentáře • 131

  • @bintybaba3486
    @bintybaba3486 Před 3 lety +7

    1928-2021 ma shaa Allah Allah akuzidishie umri wenye kheri na furaha from kenya

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy6770 Před 3 lety +3

    Twakupenda sheikh wetu sheikh Rocket Mwenyeezi Mngu akuhifadhi.

  • @mohdmohd2550
    @mohdmohd2550 Před rokem +1

    ماشاء الله Yani Leo ndio nimejua ukweli ukweli hasa wa sheikh huyu, Allah ampe afya njema

  • @sheikhswedtwaibu7118
    @sheikhswedtwaibu7118 Před 3 lety +11

    MashaAllah! Katika Hija hizo 51 mimi nimesafiri nae mara 11 (nikiwa Kiongozi wake)

  • @isamony58
    @isamony58 Před rokem +2

    nimtu mzuri sana kuswali mnaleke tuko jirani tu vijiji vyetu

  • @hemedabdalla4171
    @hemedabdalla4171 Před rokem +2

    Msiweke sauti zenyevinanda wekeni nashid kwa sauti ya chini,ambayo inawezesha maelezo kuisikia vizuri.

  • @aaliamasachi9510
    @aaliamasachi9510 Před 3 lety +5

    Assalam alaykum warhmatullah wabarakatuh toeni miziki tumsikie sheikh mwenyewe miziki zakera jamaa

  • @just_this_way
    @just_this_way Před 3 lety +3

    Huyo mzee nimepata stori zake sana na athari zake nzuti zimetapakaa sehemu nyingi hapa mtwara.

  • @fatumatandika5849
    @fatumatandika5849 Před 2 lety +1

    MAASH ALLAH JAZAKALLAH KHEIR

  • @subiraboi9397
    @subiraboi9397 Před 3 lety +1

    Masha Allah tabaraka rahman wana kwetu wanamuita rocket

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 Před 3 lety +2

    Shukraan Sana sheikh

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe Před 3 lety +1

    Mashaallah Mashaallah

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 Před 3 lety +4

    Hio miziki inamaana gan

  • @aminaibrahim4148
    @aminaibrahim4148 Před 3 lety +2

    Mashaallah

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 Před 3 lety +1

    Maa shaa allah

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 Před 2 lety

    Maa shaa Allah tabarakallah

  • @just_this_way
    @just_this_way Před 3 lety +4

    Kaswida hiyo inazuia sauti kusikika.

  • @ShazriMussa
    @ShazriMussa Před 4 měsíci

    Alhamdulillah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @abdul-rahmanfakijuma1879

    Maa Shaa Allwah

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 Před 5 měsíci +1

    Wacheni kutia ngoma

  • @janimohammed143
    @janimohammed143 Před 13 dny

    Mangoma ya nini sasa! Mnakera sana

  • @alikadiriamswaha
    @alikadiriamswaha Před rokem

    Mashaaala

  • @aminamsuri8762
    @aminamsuri8762 Před rokem

    Mashaalaa mungu amsimamie

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před 2 měsíci

    babuuu au shekhee?????😂😂😂😂
    babu nasema ila sio kweli baadhi anadanganya

  • @consolatasamson9455
    @consolatasamson9455 Před rokem

    Mashallah lafiki take marehemu babu waswali naleke

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před měsícem

    Kuna ukweli gan

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂😂 hatar nimependa uvaaji wake 😅😅😅😅

  • @an-nuurtv
    @an-nuurtv  Před 3 lety +3

    UTAKUWA HUJAMUELEWA VZR

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 Před 3 lety +2

    Huyu mzee toen namba yake au ya mtu wake wa karib

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +2

    Mbona hujamuuliza kwa miaka 51 kaenda hijja.Alikuwa na wafadhili wanamsaidia?

  • @ustadhinuhu4251
    @ustadhinuhu4251 Před 3 lety

    Mesahau kuwa siriya munguipo kwaviumbewake

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309

    . Musituekeee ngoma.

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309

    Tusikilize ngoma? Au tumsilize mzee wetu? ( roket)

  • @abdallahmwakasege5405
    @abdallahmwakasege5405 Před 2 lety +1

    Mziki wa nini sasa. Umearibu ujumbe wore

  • @MakaiKasala
    @MakaiKasala Před 2 lety

    Wakati Mwingine mkiwa mnaanda kipindi msiweke sound track.. inasumbua usikivu.

  • @abdarahamanselemani6764

    Mziki nimeelewa Ila Mzee sijamuelewa kasema makha kwa miguu

  • @radisafaa6676
    @radisafaa6676 Před 2 lety +1

    Mziki ondoa

  • @islamjarwan1476
    @islamjarwan1476 Před 2 lety

    sasa hicho kinanda cha nini hatusikii vizuri zima tusikie ukimaliza hayo magujiano utawasha

  • @munamuna781
    @munamuna781 Před 2 lety

    Pliz ondoweni hiyo music ili tumsikie maneno kwa usafi

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před rokem

    MA SHAA ALLAH

  • @jesmirmohamed3467
    @jesmirmohamed3467 Před 2 lety

    sasa mumeeka miziki yanini twataka kuskia vizuri hayo maneno

  • @hilaljaffery4011
    @hilaljaffery4011 Před 2 lety

    Sauti ya iyo qaswida imeeondoa ladha

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před rokem

    Toba mrongo huyo mzee

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 Před 2 lety

    Izo kaswida zinatubabaisha siku nyengine msiziweke zinatuboa

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist9103 Před 2 lety

    Miziki hiyo jaman unafanya nini

  • @saidsalim4524
    @saidsalim4524 Před 2 lety

    Tatizo mnaongeza sauti ya music mpaka hatusikii anaongea Nini

  • @kheiramour2973
    @kheiramour2973 Před 7 měsíci

    Ondoeni mziki mtu anapozngumza

  • @salumally8316
    @salumally8316 Před rokem

    Acheni kutia miziki inakera kweli huu ni upuuzi mtupu

  • @tareqmarzowk1190
    @tareqmarzowk1190 Před rokem

    Masufi bana mtihani sanaa Allah awaongoze huyu anakudanganyeni

    • @rastafare878
      @rastafare878 Před rokem

      Kwa hivyo mkweli diamond Na Ali kiba au vipi ?

    • @tareqmarzowk1190
      @tareqmarzowk1190 Před rokem

      @@rastafare878namuomba Allah akuondoe kwenye kiza za usufi na ujahiil

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 Před rokem

      Asiyejua maana haambiwi maana

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před rokem

      @@tareqmarzowk1190 hicho ni kibri,

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 Před 8 měsíci

      ​@@tareqmarzowk1190ww unauhakika gani kama anadanganya tufikie wakati tuwe tyr kubadlika haki inpodhihir isiwe ni wapingaji tu

  • @mwanajeshimkuuu7643
    @mwanajeshimkuuu7643 Před 3 lety

    Anakaaa wapi huyoo shekh

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Před 2 lety

    Mziki wa nini

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před 2 lety

    Huyu ni muarabu mbona anasema mmakonde jamani anakaa wapi nimeumia maskin Allah ampe umri

  • @mikidadially9773
    @mikidadially9773 Před 2 lety

    Punguza mziki mziki mkubwa sauti za msemaji hazisikiki

  • @nasrabdallah3873
    @nasrabdallah3873 Před 3 lety

    Sasa mpaka mupige ngoma?

  • @isamony58
    @isamony58 Před rokem

    yani huyu mzee akiwa sitendi gari likampita basi nilazima litaaribika wanamuheshimu sana madureva uyu daluweshi mzee kuswali mnalekee

  • @mohamedsalim972
    @mohamedsalim972 Před 2 lety

    Uyu mzee Ana walakin katika dini anayo zungumza nikinyume na mafundisho yadini

    • @mikealeck6447
      @mikealeck6447 Před 2 lety

      Hiiiiiiii,Kama hujaelewa,Yulia.

    • @ikabako2454
      @ikabako2454 Před 2 lety

      Kwani Nabii Musa AS aliyaelewa mafunzo ya Khidr AS?

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 Před 8 měsíci

      Ni shida kumuelewa kama huna imani ya kweli

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Před rokem

    Huyu ni hizbiya mpumbavu tu

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 Před 8 měsíci

      Sizani mtu aliyekwenda hija 51 amazing atakuwa ni mpumbavu au anaejiona mwelevu aka wa ndio mpumbavu bila ya kujua

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 Před 3 lety

    Mkirikod watu wachen miziki

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Před rokem

    Upumbavu wako Wacha urongo wajuwa makarama nini

  • @abdikadirabdullahiaulabdia267

    Ni mshirikina mkubwa

    • @mansurali109
      @mansurali109 Před 2 lety

      Chunga sana ulimi wako ndg yangu utakuja kupata matatizo makubwa usiyajue dawa yake kwa kuwadharau na kuwasema vibaya wachamungu.jiepushe sana kusema na kuwasimgizia wachamungu utapata shida sana ndg yangu

    • @tareqmarzowk1190
      @tareqmarzowk1190 Před rokem

      @@mansurali109 mchamungu gani huyo mganga wa kienyeji vijana someni dini acheni kufata hawa wazee wapotevu masufi anaropoka hovyo hovyo anaongeaje na Allah ana Kwa ana

  • @njonjolomahfudh3238
    @njonjolomahfudh3238 Před 2 lety +1

    masha ALLAH Allah akubakize na afya tele miak 93 na hija 51 kheri tupuuuuu

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 Před 2 lety

    Hapo kusema anaongea na Allah moja kwamoja mmh

    • @mansurali109
      @mansurali109 Před 2 lety

      Sasa kinachokushangaza weye kitu gani.apo we kasome ndg yangu

    • @mansurali109
      @mansurali109 Před 2 lety

      Sass we kinachokushangaza weye nikitu gani apo kasome ndg yangu usifanye masiara na wacha mungu

    • @zuhurambonde1982
      @zuhurambonde1982 Před 2 lety

      Hujamuelewa hata wewe weka imani unapoomba Ni Kama unaongea na mwenyezi mungu live na majibu utayaona imani hujenga.

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 Před rokem

      Hawa wanaopinga huwenda wakamtilia mashaka na khidhri a.s

    • @aliomar1986
      @aliomar1986 Před rokem

      Usibishe

  • @abdikadirabdullahiaulabdia267

    Uwongo ni mchawi Hana lolote

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 Před rokem

      Wew jamaa usimtuhumu kwa hilo una uhakika na hiyo tuhuma?

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 Před rokem

      Dhana mbaya unayoifikiria ni zaidi ya uchawi unaodhania

    • @husnaally7964
      @husnaally7964 Před rokem

      Bora km hujapenda Kaa kimya usimdhanie mtu mabaya.kimya huleta salama.fikiria angekua Mzee wako sisi ndio tunasema hivyo ungejionaje?

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 Před 3 lety

    Kwenye dini hakuna qaswida ni mziki huo

  • @nasrisaidi7175
    @nasrisaidi7175 Před 2 lety

    HUYO NI MCHAWI

    • @ramadhaniomary9241
      @ramadhaniomary9241 Před rokem

      Haa wewe una matatizo na hujiwi Chochote katika Dini hujiwi mitume wote waliitwa wachawi mfano Nabii Musa na mtume Muhammad s,a,w

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Před rokem

    Masufi ni wapumbavu tu na wewe mwenye hii channel unaeneza upumbavu utakwenda kulizwa hizbiya mmoja wewe

  • @rajabumbendenga5480
    @rajabumbendenga5480 Před 3 lety +4

    Hivi mnajua kuwa anachokizungumza ni makosa hivi anawezaje kuzungumza na Allah ikiwa aliyepata hiyo nafasi ilikuwa nabii musa pekee huu si uzushi

    • @ahmedmuhamed4379
      @ahmedmuhamed4379 Před 3 lety

      Kasome Acha ubishi

    • @rajabumbendenga5480
      @rajabumbendenga5480 Před 3 lety

      @@ahmedmuhamed4379 Labda unisomeshe wewe kunako AQIDAH maana umeona mimi nimekosea kusahihisha kosa lililo la dhahiri

    • @kheirameir6284
      @kheirameir6284 Před 3 lety

      Kasome dungu huyo nimiongoni mwa watu wema.acha kuandika mambo ya upagani.shehe yuko sawa.

    • @sudaissoud3670
      @sudaissoud3670 Před 3 lety

      Unaongea nae ktk swala

    • @rajabumbendenga5480
      @rajabumbendenga5480 Před 3 lety

      @@kheirameir6284 unaweza kunitajia wema waliotangulia ni nani na nani wameongea na Allah uso kwa macho km hujui kukaa kimya itakuwa ni bora zaidi